< Ezekieli 38 >

1 Neno la Yahwe likanijia, likisema,
La parole de Yahweh me fut adressée en ces termes:
2 “Mwanadamu, weka uso wako kumwelekea Gogu, nchi ya Magogu, kiongozi mkuu wa Mesheki na Tubali; na kutabiri dhidi yake.
Fils de l'homme, tourne ta face vers Gog, au pays de Magog, prince souverain de Mosoch et de Thubal, et prophétise sur lui, et dis:
3 Sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Ni juu yako, Gogu, kiongozi mkuu wa Mesheki na Tubali.
Ainsi parle le Seigneur Yahweh: Voici que je viens à toi, Gog, prince souverain de Mosoch et de Thubal.
4 Hivyo nitakugeuza na kuweka kulabu kwenye taya yako; nitakupeleka nje pamoja na jeshi lako lote, farasi, na waendesha farasi, wote wakiwa wamevaa silaha, kusanyiko kubwa pamoja na ngao ndogo na ngao kubwa, wote wakishikilia panga!
Je t'emmènerai; je mettrai des crocs à tes mâchoires, et je te ferai sortir, toi et toute ton armée, chevaux et cavaliers, tous magnifiquement équipés, troupe nombreuse, avec le bouclier et l'écu, tous maniant l'épée.
5 Persia, Kushi, Uajemi wapo pamoja nao, wote pamoja na ngao na chapeo!
Perses, Ethiopiens et Libyens seront avec eux, tous avec le bouclier et le casque.
6 Gomeri na jeshi lake lote, na Beth-Togarma, kutoka sehemu za mbali ya kaskazini, na jeshi lake lote! Watu wengi wako pamoja nawe!
Gomer et tous ses bataillons, la maison de Thogorma, des confins du septentrion et tous ses bataillons, peuples nombreux, seront avec toi.
7 Kuwa tayari! Ndio, jiandae na jeshi lako waliokusanyika pamoja na wewe, na amiri wao mkuu.
Tiens-toi prêt, fais tes préparatifs, toi et toute la multitude qui s'est assemblée autour de toi; sois leur chef.
8 Utaitwa baada ya siku nyingi, na baada ya miaka michache utaenda kwenye nchi iliyofunikwa kutoka upanga na ambayo iliyokusanywa kutoka watu wengi, iliyowkusanya kuwarudisha milima ya Israeli ambayo imeendelea kuangamizwa. Lakini watu wa nchi watatolewa na kabila za watu, na wataishi salama, wote!
Au bout de beaucoup de jours tu seras visité; à la fin des années tu viendras contre la nation soustraite à l'épée, rassemblée d'entre beaucoup de peuples sur les montagnes d'Israël, qui ont été longtemps désertes, la nation ramenée du milieu des peuples, et qui habite toute entière en sécurité.
9 Hivyo utapanda juu kama tufani iendavyo; utakuwa kama wingu lililofunika nchi, wewe na jeshi lako lote, maaskari wako wote pamoja na wewe.
Tu monteras, tu arriveras comme l'ouragan, tu seras comme le nuage qui va couvrir la terre, toi et tous tes bataillons, et des peuples nombreux avec toi.
10 Bwana Yahwe asema hivi: Itakuwa siku hiyo hayo mawazo yataingia moyoni mwako, na utatunga njama mbaya.'
Ainsi parle le Seigneur Yahweh: En ce jour-là, des pensées s'élèveront dans ton cœur, et tu concevras un mauvais dessein.
11 Kisha utasema, 'nitapanda hata nchi iliyowazi; nitaenda hata kwa watu wapole waishio salama, wote wakiishi mahali ambapo hakuna kuta wala makomeo, na mahali ambapo hakuna malango ya mji.
Tu diras: Je monterai contre un pays ouvert; je viendrai vers ces gens tranquilles qui habitent en sécurité, qui ont tous des demeures sans murailles, qui n'ont ni verrous ni portes.
12 Nitanyakua mateka na kuiba mateka, ili nilete mkono wangu juu kuwaangamiza wale wakazi wapya, na juu ya watu waliokusanyika kutoka mataifa, watu wale waongezao wanyama na mali, na wale waishio katikatika ya dunia.'
Tu iras pour piller et faire du butin, pour porter ta main sur des ruines maintenant habitées, sur un peuple recueilli du milieu des nations, qui élève des troupeaux et acquiert des biens, et qui habite au centre de la terre.
13 Sheba na Denani, na wafanya biashara wa Tarshishi pamoja na mahodari wake wote watakwambia, 'Je, umekuja kuteka nyara? Je, umewakusanya majeshi yako kuchukua mateka, kuchukua fedha na dhahabu, kuchukua mifugo yao na mali na kuwakokota mateka wengi sana?'
Saba, Dédan, les trafiquants de Tharsis et tous ses lionceaux te diront: " Est-ce pour piller que tu viens? Est-ce pour faire du butin que tu as assemblé tes troupes; pour emporter de l'argent et de l'or, pour prendre des troupeaux et des biens, pour ravir de grandes dépouilles? "
14 Kwa hiyo tabiri, mwanadamu, na mwambie Gogu, 'Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku hiyo, wakati watu wangu Israeli watakapoishi salama, je, hutajifunza kuhusu wao?
C'est pourquoi prophétise, fils de l'homme, et dis à Gog: Ainsi parle le Seigneur Yahweh: N'est-ce pas? En ce jour-là, quand mon peuple habitera en sécurité, tu le sauras,
15 Utakuja kutoka mahali pangu mbali katika kaskazini pamoja na jeshi kubwa, wote wakiendesha farasi, kusanyiko kubwa, jeshi kubwa.
et tu viendras de ton pays, des confins du septentrion, toi et des peuples nombreux avec toi, tous montés sur des chevaux, grande troupe et puissante armée.
16 Utawashambulia watu wangu Israeli kama wingu lifunikavyo nchi. Katika siku za baadaye nitakuleta juu ya nchi yangu, ili mataifa wanijue nitakapojifunua mwenyewe kupitia wewe, Gogu, kuwa mtakatifu mbele ya macho yao.
Et tu monteras contre mon peuple d'Israël; comme une nuée qui va couvrir le pays. Ce sera à la fin des jours que je te ferai venir contre mon pays, afin que les nations me connaissent, quand je me sanctifierai en toi à leurs yeux, ô Gog.
17 Bwana Yahwe asema hivi: Je, wewe siye yule ambaye niliyeongea naye katika siku za zamani kwa mkono wa watumishi wangu, manabii wa Israeli, waliotabiri katika mda wao wenyewe kwa miaka niliyowaleta juu yao?
Ainsi parle le Seigneur Yahweh: N'es-tu pas celui dont, j'ai parlé aux jours d'autrefois, par l'intermédiaire de mes serviteurs les prophètes d'Israël, qui ont prophétisé en ces jours-là, pendant des années, que je te ferais venir contre eux?
18 Basi itakuwa katika siku hiyo wakati Gogu atakapo ishambulia nchi ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-ghadhabu yangu itapanda katika hasira yangu.
Et il arrivera en ce jour-là, le jour où Gog entrera dans la terre d'Israël, — oracle du Seigneur Yahweh, mon courroux montera à mes narines,
19 Katika wivu wangu katika hasira ya moto wangu, ninasema kwamba katika siku hiyo kutakuwa na tetemeko kubwa la nchi katika nchi ya Israeli.
et dans ma jalousie, dans le feu de ma fureur, — je l'ai dit, — il y aura en ce jour-là un grand tremblement sur la terre d'Israël.
20 Watatetemeka mbele yangu-samaki wa baharini na ndege wa angani, wanyama wa mashambani, na viumbe watambaao juu ya nchi, na kila mtu aliyeko juu ya uso wa nchi. Milima itaangushwa chini majabali yataanguka, hadi kila ukuta utaanguka kwenye nchi.
Devant moi trembleront les poissons de la mer, les oiseaux du ciel, les bêtes des champs, tout reptile qui rampe sur la terre, et tout homme qui est sur la face de la terre; les montagnes s'écrouleront et les rochers tomberont, et toute muraille tombera sur le sol.
21 Nitaita upanga dhidi yake juu ya milima yangu yote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-upanga wa kila mtu utakuwa kinyume na ndugu yake.
Et j'appellerai contre lui l'épée sur toutes mes montagnes, — oracle du Seigneur Yahweh, et chacun tournera son épée contre son frère.
22 Kisha nitamuhukumu kwa tauni na damu; nakufurika mvua na mvua ya mawe na kuchoma asidi nitainyeshea chini juu yake na jeshi lake na mataifa mengi yaliyo pamoja naye.
J'exercerai mon jugement sur lui par la peste et par le sang; je ferai pleuvoir des torrents de pluie et des pierres de grêle, du feu et du soufre, sur lui et sur ses bataillons, et sur les peuples nombreux qui seront avec lui.
23 Kwa kuwa nitaonyesha ukuu wangu na utakatifu wangu na nitafanya kujulikana mimi mwenyewe katiaka macho ya mataifa mengi, na watajua kwamba mimi ni Yahwe.”
Je me montrerai grand et saint, et je me ferai connaître aux yeux de beaucoup de nations, et elles sauront que je suis Yahweh. "

< Ezekieli 38 >