< Ezekieli 33 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
I doszło do mnie słowo PANA mówiące:
2 “Mwanadamu, sema hivi kwa watu wako; waambie, 'Nitakapoleta upanga juu ya nchi, kisha watu wa hiyo nchi wakamchukua mtu mmoja kutoka mingoni mwao na kumfanya awe mlinzi wao.
Synu człowieczy, przemów do synów twego ludu i powiedz im: Gdy sprowadzam miecz na jakąś ziemię, a lud tej ziemi weźmie jakiegoś mężczyznę spośród siebie i ustanowi go sobie stróżem;
3 Atazamapo kwa upanga kama unakuja juu ya nchi, na apige tarumbeta kuwaonya watu!
A [on], gdy zobaczy nadciągający miecz na tę ziemię, zadmie w trąbę i ostrzeże lud;
4 Kama watu wakisikia sauti ya tarumbeta lakini bila kusikia, na kama upanga ukija na kuwaua, kisha damu ya kila mmoja iko juu ya kichwa chake mwenyewe.
A ktoś usłyszy dźwięk trąby i nie przyjmie przestrogi, a miecz przyjdzie i zabierze go, to jego krew spadnie na jego [własną] głowę.
5 Kama mtu akisikia sauti ya tarumbeta na hakusikiliza, damu yake iko juu yake; lakini kama akisikia, ataokoa maisha yake mwenyewe.
Dźwięk trąby usłyszał, ale nie przyjął przestrogi, jego krew spadnie na niego. Ten jednak, który przyjmie przestrogę, ocali swoją duszę.
6 Bali, kama mlinzi akiona upanga unakuja, lakini kama asipopiga tarumbeta, pamoja na matokeo kwamba watu hawajaonywa, na kama upanga ukija na kuchukua uhai wa mtu yeyote, kisha yule mtu akafa kwenye dhambi yake mwenyewe, lakini nitaitaka damu yake kutoka mlinzi.'
Ale jeśli stróż zobaczy nadciągający miecz, a nie zadmie w trąbę i ludu nie ostrzeże, a przyjdzie miecz i zabierze kogoś z nich, to ten [jest] porwany w swojej nieprawości, ale jego krwi zażądam z ręki tego stróża.
7 Sasa wewe mwenyewe, mwanadamu! Nimekufanya kuwa mlinzi kwa ajili ya nyumba ya Israeli; utasikia maneno kutoka kinywani mwangu na uwaonye badala yangu.
Ciebie, synu człowieczy, ciebie ustanowiłem stróżem dla domu Izraela. Gdy usłyszysz słowo z moich ust, ostrzeżesz go ode mnie.
8 Kama nikimwambia mtu mwovu, 'Mwovu, hakika utakufa!' lakini kama hutangazi hivi ili kwa ajili ya kumuonya mtu mwovu kuhusu hii njia, kisha huyo mtu mwovu atakufa katika dhambi yake, lakini nitaitaka damu yake kutoka kwenye mkono wako!
Gdy mówię do bezbożnego: Bezbożniku, na pewno umrzesz – a ty mu [tego] nie powiesz, aby przestrzec bezbożnika przed jego drogą, to ten bezbożnik umrze z powodu swojej nieprawości; ale jego krwi zażądam z twojej ręki.
9 Lakini wewe, kama ukimwonya mwovu kuhusu hii njia, hivyo basi anaweza kurudi kutoka hiyo, na kama kama asipogeuka kutoka njia yake, kisha atakufa katika dhambi yake, lakini wewe mwenyewe utakuwa umeokoa maisha yako.
Jeśli jednak ostrzeżesz bezbożnego przed jego drogą, aby odwrócił się od niej, a on się nie odwróci od swojej drogi, to umrze on z powodu swojej nieprawości; ale ty ocalisz swoją duszę.
10 Basi wewe, mwanadamu, sema kwa nyumba ya Israeli, 'Mnasema hivi, Makosa yetu na dhambi zetu zi juu yetu, na tunadhoofika kwa ajili yao! Je! tutaishije?”'
Ty więc, synu człowieczy, mów do domu Izraela: Tak mówicie: Skoro ciążą na nas nasze występki i nasze grzechy, tak że w nich marniejemy, to jakże możemy żyć?
11 Waambie, 'Kama niishivyo-asema Bwana Yahwe-sifurahii kifo cha mwovu, kwa kuwa kama mwovu akitubu kutoka njia yake, kisha ataishi! Tubu! Tubu kutoka njia zako mbaya! Kwa nini mnataka kufa, nyumba ya Israeli?'
Powiedz im: Jak żyję, mówi Pan BÓG: Nie pragnę śmierci bezbożnego, ale aby bezbożny odwrócił się od swojej drogi i żył. Odwróćcie się, odwróćcie się od swoich złych dróg. Dlaczego macie umrzeć, domu Izraela?
12 Hivyo basi wewe, mwanadamu, waambe watu wako, 'Haki ya mwenye haki haitamwokoa kama akikosa! Uovu wa mtu mwovu hautamfanya kuangamia kama akitubu dhambi zake! Kwa kuwa mtu mwenye haki hataweza kuishi kwa sababu ya haki yake kama akikosa.
Ty więc, synu człowieczy, mów do synów swego ludu: Sprawiedliwość sprawiedliwego nie wybawi go w dniu jego przestępstwa, a bezbożność bezbożnego nie zgubi go w dniu, kiedy się odwróci od swojej bezbożności. Sprawiedliwy nie będzie mógł żyć dzięki swojej [sprawiedliwości] w dniu, kiedy zgrzeszy.
13 Kama nikisema kwa mwenye haki, “Hakika ataisha!” na kama akiamini katika haki yake na kisha akafanya udhalimu, sitokumbuka haki yake yoyote. Atakufa kwa ajili ya uovu alioufanya.
Jeśli powiem sprawiedliwemu: Na pewno będziesz żyć, a on, polegając na swojej sprawiedliwości, uczyni nieprawość, to żadna jego sprawiedliwość nie będzie wspomniana, ale umrze z powodu swojej nieprawości, którą uczynił.
14 Hivyo kama nikisema kwa mwovu, “Utakufa hakika,” lakini kama akitubu kutoka kwenye dhambi zake na kufanya yaliyo halali na haki-
A jeśli powiem bezbożnemu: Na pewno umrzesz, a on odwróci się od swego grzechu i uczyni to, co prawe i sprawiedliwe;
15 kama akirudisha dhamana ambayo aliyomnyang'anya, au kama akirudisha alichokipoteza, na kama akitembea katika amri zitoazo uhai na bila kufanya dhambi-kisha ataishi hakika. Hatakufa.
Jeśli bezbożny zwróci zastaw, odda to, co wydarł, i będzie chodził według praw życia, nie czyniąc nieprawości, na pewno będzie żył i nie umrze.
16 Dhambi alizozifanya hazitakumbukwa kwa ajili yake. Ametenda halali na haki, na hivyo, ataishi hakika!
Żadne jego grzechy, które popełnił, nie będą mu wspominane. Czynił to, co prawe i sprawiedliwe; na pewno będzie żył.
17 Lakini watu wako husema, “Njia ya Bwana haiko sawa!” lakini ni njia zako ndizo haziko sawa!
Lecz synowie twego ludu mówią: Droga Pana nie jest słuszna, choć to ich droga nie jest słuszna.
18 Wakati mtu mwenye haki ageukapo kutoka kwenye haki na kufanya dhambi, kisha atakufa katika hiyo!
Jeśli sprawiedliwy odwróci się od swojej sprawiedliwości i będzie czynił nieprawość, to umrze z jej powodu.
19 Wakati mtu mbaya ageukapo kutoka kwenye ubaya wake na kufanya iliyo halali na haki, ataishi kwa sababu ya hayo mambo!
Ale jeśli bezbożny odwróci się od swojej bezbożności i będzie czynił to, co prawe i sprawiedliwe, to dzięki temu będzie żył.
20 Lakini ninyi watu husema, “Njia ya Bwana haiko sawa!” Nitawahukumu kila mmoja wenu kulingana na njia yake, nyumba ya Israeli!”'
Wy jednak mówicie: Droga Pana nie jest słuszna. Domu Izraela, będę sądził każdego z was według jego drogi.
21 Ikawa katika mwaka wa kumi na mbili, siku ya tano ya mwezi wa kumi ya uhamisho wetu, mtu mmoja akatoroka kutoka Yerusalemuna kusema, “Mji umetekwa!”
I stało się w dwunastym roku naszego uprowadzenia, w dziesiątym [miesiącu], piątego [dnia] tego miesiąca, że przyszedł do mnie jeden zbieg z Jerozolimy, mówiąc: Zdobyto miasto.
22 Mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu jioni kabla yule mtoro hajaja, na mdomo wangu ulikuwa wazi mda huo alikuja kwangu wakati wa mapambazuko. Hivyo mdomo wangu ulikuwa wazi; sikuwa bubu tena!
A ręka PANA była nade mną wieczorem, zanim przyszedł ten zbieg, i otworzyła moje usta, aż ten przyszedł do mnie rano. Otworzyła moje usta i nie byłem już niemy.
23 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
I doszło do mnie słowo PANA mówiące:
24 “Mwanadamu, wale waishio mahali palipoharibika katika nchi ya Israeli huongea na kusema, 'Ibrahimu alikuwa mtu pekee, na alirithi nchi, lakini sisi tukowengi! Tumepewa nchi kama wamiliki.”
Synu człowieczy, mieszkańcy tych spustoszonych miejsc w ziemi Izraela mówią: Abraham był jeden i wziął ziemię w posiadanie. Ale nas jest wielu, nam więc dana jest ta ziemia w posiadanie.
25 Kwa hiyo waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Mnakula damu, na mmeziinulia macho yenu sanamu, kisha mnazimwagia damu za watu. Je! mna uhakika wa kuimiliki hii nchi?
Dlatego mów do nich: Tak mówi Pan BÓG: Jadacie z krwią, podnosicie swe oczy ku swoim bożkom i przelewacie krew, a ziemię chcielibyście wziąć w posiadanie?
26 Mnategemea upanga wenu na mmetenda mambo maovu; kila mtu amemnajisi mke wa jirani yake. Je! kweli mtaimiliki nchi?'
Opieracie się na swoim mieczu, popełniacie obrzydliwość i każdy plugawi żonę swego bliźniego, a ziemię chcielibyście wziąć w posiadanie?
27 Utawaambia hivi, 'Bwana Yahwe asema hivi: Kama niishivyo, hakika wale walio katika uharibifu wataanguka kwa upanga, na nitawapatia wale walio katika mashamba viumbe hai kama chakula, na wale walio katika ngome na mapango watakufa kwa tauni.
Tak im powiedz: Tak mówi Pan BÓG: Jak żyję, ci, którzy są w spustoszonych miejscach, polegną od miecza, a [kto jest na] otwartym polu, tego wydam zwierzętom na pożarcie, a ci, którzy są w warowniach lub w jaskiniach, umrą od zarazy.
28 Kisha nitairudisha nchi kwenye ukiwa na tishio, na kiburi cha uwezo wake kitakoma, kwa kuwa milima ya Israeli itakuwa jangwa, na hakutakuwa na mtu yeyote atakayewapitia.'
I wydam ziemię na wielkie spustoszenie, i ustanie pycha jej mocy; spustoszeją góry Izraela i nikt przez nie nie będzie przechodził.
29 Hivyo watajua kwamba mimi ni Yahwe, nitakapoifanya nchi ukiwa na tishio kwa sababu ya machukizo yote waliyoyafanya.
I poznają, że ja jestem PANEM, gdy wydam [ich] ziemię na wielkie spustoszenie z powodu wszystkich ich obrzydliwości, które czynili.
30 Hivyo basi wewe, mwanadamu-watu wako wanasema mambo yako karibu na kuta na malango ya nyumba, na kila mmoja anaambizana na mwenzake-kila mtu na ndugu yake, 'Twende na tukasikilize neno la nabii lililotoka kwa Yahwe!
Ale co do ciebie, synu człowieczy, synowie twego ludu często rozmawiają o tobie przy murach i w drzwiach domów, i mówi jeden do drugiego, każdy do swego bliźniego: Chodźcie i posłuchajcie, co za słowo wyszło od PANA.
31 Hivyo watu wangu watakuja kwako, kama wafanyavyo mara nyingi, na nitaketi mbele yako na kusikiliza maneno yako, lakini mioyo yao inafuata udhalimu kwa faida yao.
I przychodzą do ciebie, tak zwykł przychodzić lud, zasiadają przed tobą [jak] mój lud i słuchają twoich słów, ale ich nie wypełniają. Mają bowiem miłość na ustach, lecz ich serce podąża za niegodziwym zyskiem.
32 Kwa kuwa umekuwa kama wimbo mzuri kwao, sauti nzuri awezaye kucheza kinanda vizuri, hivyo watasikia maneno yako, lakini hakuna atakaye yatii.
A oto jesteś dla nich jak urokliwa pieśń [tego, który] ma piękny głos i cudownie gra. Słuchają bowiem twoich słów, ale ich nie wykonują.
33 Hivyo wakati haya yote yatakapotokea-tazama! itatokea! -watajua yakwamba nabii alikuwa miongoni mwao.”
Lecz gdy to nadejdzie – oto nadejdzie – wtedy poznają, że prorok był pośród nich.

< Ezekieli 33 >