< Ezekieli 28 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
耶和華的話又臨到我說:
2 “Mwanadamu, waambie watawala wa Tiro, 'Bwana Yahwe asema hivi: Moyo wako unakiburi! Umesema, “mimi ni mungu! Nitakaa kwenye kiti cha miungu katika moyo wa bahari!” Ingawa wewe ni mtu na sio mungu, unaufanya moyo wako kama moyo wa mungu,
「人子啊,你對泰爾君王說,主耶和華如此說: 因你心裏高傲,說:我是神; 我在海中坐神之位。 你雖然居心自比神, 也不過是人,並不是神!
3 unafikiri kwamba unahekima kuliko Danieli, na kwamba hakuna siri ikushangazayo!
看哪,你比但以理更有智慧, 甚麼祕事都不能向你隱藏。
4 Umejitajirisha mwenyewe pamoja na hekima na ujuzi, na kujipatia dhahabu na fedha katika hazina yako!
你靠自己的智慧聰明得了金銀財寶, 收入庫中。
5 Kwa hekima kubwa na kwa biashara yako, umeongeza utajiri wako, hivyo moyo wako una kiburi kwa sababu ya utajiri yako.
你靠自己的大智慧和貿易增添資財, 又因資財心裏高傲。
6 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu umetengeza moyo wako kama moyo wa mungu,
所以主耶和華如此說: 因你居心自比神,
7 kwa hiyo nitaleta wageni juu yako, watu wa kuogofya kutoka mataifa mengine. Wataleta panga zao juu hekima ya uzuri wako, na watauchafua uzuri wako.
我必使外邦人, 就是列國中的強暴人臨到你這裏; 他們必拔刀砍壞你用智慧得來的美物, 褻瀆你的榮光。
8 Watakupeleka chini hata kwenye shimo, na utakufa kifo cha waliokufa katika Bahari.
他們必使你下坑; 你必死在海中, 與被殺的人一樣。
9 Je! kweli utasema, “Mimi ni mungu” mbele ya uso wa yule akuuaye? Wewe ni mwanadamu na sio Mungu, na utakuwa kwenye mkono wa yule akujeruaye.
在殺你的人面前你還能說「我是神」嗎? 其實你在殺害你的人手中, 不過是人,並不是神。
10 Utakufa kifo cha asiyetahiriwa kwa mkono wa wageni kwa kuwa nimesema hili-asema Bwana Yahwe.
你必死在外邦人手中, 與未受割禮的人一樣, 因為這是主耶和華說的。」
11 Neno la Yahwe likanijia, kusema,
耶和華的話臨到我說:
12 “Mwanadamu, inua maombolezo kwa ajili ya mfalme wa Tiro na umwambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Uliumbwa mkamilifu, umejaa hekima na ukamilifu wa hekima.
「人子啊,你為泰爾王作起哀歌,說主耶和華如此說: 你無所不備, 智慧充足,全然美麗。
13 Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu. Kila jiwe la thamani lilikufunika: akiki, yakuti manjano, almasi, zabarajadi, shohamu, yaspi, yakuti samawi, zumaridi, baharamani, na dhahabu. Ilikuwa siku uliyokuwa umeiumba ambayo walikuwa wameiandaa.
你曾在伊甸上帝的園中, 佩戴各樣寶石, 就是紅寶石、紅璧璽、金鋼石、 水蒼玉、紅瑪瑙、碧玉、 藍寶石、綠寶石、紅玉,和黃金; 又有精美的鼓笛在你那裏, 都是在你受造之日預備齊全的。
14 Nimekuweka juu ya mlima mtakatifu wa Mungu kama kerubi nimekutia mafuta kwa ajili ya kumlinda mwanadamu. Ulikuwa kati ya mawe ya moto ulipozunguka.
你是那受膏遮掩約櫃的基路伯; 我將你安置在上帝的聖山上; 你在發光如火的寶石中間往來。
15 Ulikuwa mwadilifu kwenye njia zako kutoka siku ulipoumbwa hadi uovu ulipoonekana ndani yako.
你從受造之日所行的都完全, 後來在你中間又察出不義。
16 Kupitia biashara yako kubwa uliyokuwa umeijaza kwa udhalimu, hivyo umetenda dhambi. Hivyo nimekutupilia mbali ya mlima wa Mungu, kama mmoja wao wa aliyekuwa ameninajisi, na nimekuharibu, kerubi mlinzi, na kukutoa miongono mwa mawe ya moto.
因你貿易很多, 就被強暴的事充滿,以致犯罪, 所以我因你褻瀆聖地, 就從上帝的山驅逐你。 遮掩約櫃的基路伯啊, 我已將你從發光如火的寶石中除滅。
17 Moyo wako ulikuwa na kiburi kwa uzuri wako; umeiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako. Nimekupeleka chini kwenye dunia. Nimekuweka mbele ya wafalme ili waweze kukuona.
你因美麗心中高傲, 又因榮光敗壞智慧, 我已將你摔倒在地, 使你倒在君王面前, 好叫他們目睹眼見。
18 Kwa sababu ya wingi wa dhambi zako na biashara za udanganyifu, umepanajisi mahali pako patakatifu. Basi nimetengeneza moto kutoka ndani yako; utakula wewe. Nitakugeuza kwenye majivu juu ya dunia katika macho ya wote wakutazamao.
你因罪孽眾多, 貿易不公, 就褻瀆你那裏的聖所。 故此,我使火從你中間發出,燒滅你, 使你在所有觀看的人眼前變為地上的爐灰。
19 Wale wote waliokujua miongoni mwa watu watakao kutetemekewa; watakuwa watu wa kutisha, na hutakuwepo tena milele.”'
各國民中,凡認識你的, 都必為你驚奇。 你令人驚恐, 不再存留於世,直到永遠。」
20 Kisha neno la Bwana Yahwe likanijia, kusema,
耶和華的話臨到我說:
21 “Mwanadamu, elekeza uso wako Sidoni na toa utabiri juu yake.
「人子啊,你要向西頓預言攻擊她,
22 Sema, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu yako, Sidoni! Kwa kuwa nitatukuzwa kati yako hivyo watu wako watajua kwamba mimi ni Yahwe wakati nitakapokuwa nimezitekeleza hukumu ndani yako. Nitaonyesha utakatifu ndani yako.
說主耶和華如此說: 西頓哪,我與你為敵, 我必在你中間得榮耀。 我在你中間施行審判、顯為聖的時候, 人就知道我是耶和華。
23 Nitapeleka tauni juu yako na tazama mitaa yako, na walioua wataanguka kati yako. Wakati upanga utakapokuja juu yao kutoka pande zote, kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
我必使瘟疫進入西頓, 使血流在她街上。 被殺的必在其中仆倒, 四圍有刀劍臨到她, 人就知道我是耶和華。」
24 Kisha hakutakuwa na mtemba uchomao na maumivu ya miba kwa ajili ya nyumba ya Israeli kutoka wale wote waliomzunguka wanaowadharau watu wake, hivyo watajua kwamba mimi ni Bwana Yahwe!'
「四圍恨惡以色列家的人,必不再向他們作刺人的荊棘,傷人的蒺藜,人就知道我是主耶和華。」
25 Bwana Yahwe asema hivi, Nitakapowakusanya nyumba ya Israeli kutoka miongni mwa watu waliokuwa wamekusanyika, na wakati nilipokuwa nimewatenga miongoni mwao, hivyo mataifa aanaweza kuona, kisha watafanya nyumba zao katika nchi nitakayo mpatia mtumishi wangu Yakobo.
主耶和華如此說:「我將分散在萬民中的以色列家招聚回來,向他們在列邦人眼前顯為聖的時候,他們就在我賜給我僕人雅各之地,仍然居住。
26 Kisha wataishi salama ndani yake na kujenga nyumba, kulima mizabibu, na kuishi salama wakati nitakapo zitekeleza hukumu juu ya wote wale ambao sasa wanawadharau kutoka sehemu zote; basi watajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao!”'
他們要在這地上安然居住。我向四圍恨惡他們的眾人施行審判以後,他們要蓋造房屋,栽種葡萄園,安然居住,就知道我是耶和華-他們的上帝。」

< Ezekieli 28 >