< Ezekieli 25 >

1 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
Et la parole de l’Éternel vint à moi, disant:
2 “Mwanadamu, weka uso wako juu ya watu wa Amoni na tabiri juu yao.
Fils d’homme, tourne ta face vers les fils d’Ammon, et prophétise contre eux,
3 Waambie watu wa Amoni, 'Sikiliza neno la Bwana Yahwe. Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo: Kwa sababu umesema, “Aha!” juu ya patakatifu pangu wakati palipotiwa unajisi, na juu ya nchi ya Israeli wakati ilipokuwa ukiwa, na juu ya nyumba ya Yuda wakati walipoenda utumwani,
et dis aux fils d’Ammon: Écoutez la parole du Seigneur, l’Éternel! Ainsi dit le Seigneur, l’Éternel: Parce que tu as dit: Ha ha! contre mon sanctuaire, quand il a été profané, et contre la terre d’Israël, quand elle a été désolée, et contre la maison de Juda, quand elle est allée en captivité:
4 kwa hiyo, tazama, nitakupatia kwa watu katika mashariki kama milki yao. Watafanya kambi juu yako na kuweka mahema miongoni mwako. Watakula matunda yako na watakunywa maziwa yako.
à cause de cela, voici, je te donne en possession aux fils de l’orient, et ils établiront chez toi leurs parcs, et placeront chez toi leurs demeures; ils mangeront tes fruits et boiront ton lait.
5 Nitamfanya Raba malisho ya ngamia na watu wa Amoni shamba la mifugo. Kisha utajua yakwamba mimi ni Yahwe.
Et je ferai de Rabba un pâturage pour les chameaux, et [du pays] des fils d’Ammon un gîte pour le menu bétail; et vous saurez que je suis l’Éternel.
6 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Umepigia makofi mikono yako na kupiga chapa miguu yako, na kufurahi pamoja na dharau ndani yako dhidi ya nchi ya Israeli.
Car ainsi dit le Seigneur, l’Éternel: Parce que tu as battu des mains et que tu as frappé du pied, et que tu t’es réjoui dans tout le mépris que tu avais en ton âme contre la terre d’Israël, –
7 Kwa hiyo, tazama! Nitanyoosha mkono wangu na kukupatia kama mateka kwa mataifa. Nitakukatilia mbali kutoka watu na kukuangamiza kutoka miongoni mwa nchi! Nitakuharibu, na utajua yakwamba mimi ni Yahwe.'
à cause de cela, voici, j’étendrai ma main sur toi et je te livrerai en proie aux nations, et je te retrancherai d’entre les peuples, et je te ferai périr d’entre les pays; je te détruirai, et tu sauras que je suis l’Éternel.
8 Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu Moabu na Seiri husema “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama kila taifa jingine.”
Ainsi dit le Seigneur, l’Éternel: Parce que Moab et Séhir ont dit: Voici, la maison de Juda est comme toutes les nations;
9 Kwa hiyo, tazama! ntafungua miteremko ya Moabu, kuanzia kwenye miji yake juu ya mpaka-uzuri wa Beth Yeshimothi, Baal Meoni, na Kiriathaimu-
à cause de cela, voici, j’ouvre le côté de Moab par les villes, par ses villes, jusqu’à la dernière, la gloire du pays, Beth-Jeshimoth, Baal-Méon, et Kiriathaïm;
10 kwa watu wa mashariki waliokuwa juu ya watu wa Amoni. Nitawapatia kama milki ili kwamba watu wa Amoni hawatakumbukwa miongoni mwa mataifa.
[je l’ouvre] aux fils de l’orient, avec [le pays] des fils d’Ammon; et je le leur donnerai en possession, afin qu’on ne se souvienne plus des fils d’Ammon parmi les nations;
11 Hivyo nitafanya hukumu juu ya Moabu, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.'
et j’exécuterai des jugements sur Moab; et ils sauront que je suis l’Éternel.
12 Bwana Yahwe asema hivi, Edomu amelipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda na amefanya makosa katika kufanya hivyo.
Ainsi dit le Seigneur, l’Éternel: À cause de ce qu’Édom a fait quand il s’est vengé cruellement de la maison de Juda, et parce qu’il s’est rendu fort coupable en se vengeant d’eux, –
13 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu na kumharibu kila mtu na wanyama huko. Nitawaharibu, sehemu ya ukiwa, kutoka Temani hata Dedani. Wataanguka kwa upanga.
à cause de cela, ainsi dit le Seigneur, l’Éternel: J’étendrai ma main aussi sur Édom, et j’en retrancherai hommes et bêtes, et j’en ferai un désert depuis Théman, et, jusqu’à Dedan, ils tomberont par l’épée;
14 Nitaweka kisasi changu juu ya Edomu kwa mkono wa watu wangu Israeli, na watafanya kwa Edomu kulingana na hasira yangu na ghadhabu yangu, na wakitajua kisasi changu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
et j’exercerai ma vengeance sur Édom par la main de mon peuple Israël; et ils agiront en Édom selon ma colère et selon ma fureur; et ils connaîtront ma vengeance, dit le Seigneur, l’Éternel.
15 Bwana Yahwe asema hivi, 'Wafilisti wamelipiza kisasi pamoja na uovu na kutoka ndani yao wamejaribu kuiharibu Yuda tena na tena.
Ainsi dit le Seigneur, l’Éternel: À cause de ce que les Philistins ont fait par vengeance, et parce qu’ils se sont vengés cruellement, dans le mépris de leurs âmes, pour détruire par une inimitié perpétuelle, –
16 Basi hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo: Tazam! Nitanyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti, na nitakalia mbali Wakerethi na kuwaharibu mabaki yaliyobaki karibu na pwani.
à cause de cela, ainsi dit le Seigneur, l’Éternel: Voici, j’étends ma main sur les Philistins, et je retrancherai les Keréthiens, et je ferai périr le reste qui est sur le bord de la mer;
17 Kwa kuwa nitalipiza kisasi kikubwa dhidi yao pamoja na matendo ya ghadhabu kubwa ya adhabu, hivyo watajua yakwamba mimi ni Yahwe, nitakapolipiza kisasi juu yao.”'
et j’exercerai sur eux de grandes vengeances par des châtiments de fureur; et ils sauront que je suis l’Éternel, quand j’exécuterai sur eux ma vengeance.

< Ezekieli 25 >