< Ezekieli 1 >

1 Katika mwaka wa thelathini, mwezi wa nne, na siku ya tano ya mwezi, ikawa kuhusu kwamba nilikuwa nikiishi miongoni mwa wafungwa karibu na Kebari Kanali. Mbingu zilifunguka, na kuona maono ya Mungu.
Pripetilo se je torej v tridesetem letu, v četrtem mesecu, na peti dan meseca, ko sem bil med ujetniki pri reki Kebár, da so se odprla nebesa in zagledal sem Božja videnja.
2 Katika siku ya tano katika mwezi huo-ilikuwa mwaka wa tano wa utumwani wa Mfalme Yehoyakini-
Na peti dan meseca, kar je bilo peto leto ujetništva kralja Jojahína,
3 Neno la Yahwe likamjia Ezekieli mwana wa Buzi kuhani, katika nchi ya Wakaldayo karibu na Keberi Kanali, na mkono wa Yahwe ulikuwa juu yake hapo.
je prišla Gospodova beseda izrecno k duhovniku Ezekielu, Buzijevemu sinu, v deželi Kaldejcev, pri reki Kebár in tam je bila nad njim Gospodova roka.
4 Kisha nikaona, kulikuwa na upepo wa dhoruba unakuja kutoka kaskazini; wingu kubwa pamoja na moto wa nuru ndani yake na kung'aa ukizunguka ndani yake, na moto ulikuwa na rangi ya kaharabu ndani ya hilo wingu.
Pogledal sem in glej, vrtinčast veter je prišel iz severa, velik oblak in ogenj ga je obsegal in okoli njega je bil sijaj in iz njegove srede kakor jantarjeva barva ven iz srede ognja.
5 Katikati kulikuwa na viumbe vinne vinavyofanana. Mwonekano wao ulikuwa hivi: walikuwa wanamfanano wa mtu,
Prav tako je iz njegove srede prišla podobnost štirih živih ustvarjenih bitij. In to je bil njihov videz; imela so podobnost človeka.
6 lakini walikuwa na sura nne kila mmoja, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne.
Vsako je imelo štiri obraze in vsako je imelo štiri peruti.
7 Miguu yao ilikuwa imenyooka, lakini nyayo za miguu yao zilikuwa kama kwato za ndama zilizokuwa zinang'aa kama shaba iliyosuguliwa.
Njihova stopala so bila ravna stopala in podplat njihovih stopal je bil podoben telečjemu kopitu, in lesketala so se podobno barvi zloščenega brona.
8 Bado walikuwa na mikono ya binadamu chini ya mabawa yao chini kwenye pande zote nne. Kwa wote wanne, nyuso zao na mabawa vilikuwa hivi:
Pod svojimi perutmi, na svojih štirih straneh, so imela človeške roke in ta štiri so imela svoje obraze in svoje peruti.
9 mabawa yao yalikuwa yameungana na kiumbe kingine, na hawakurudi walipokuwa wameenda; badala yake, kila mmoja alienda mbele.
Njihove peruti so bile pridružene druga k drugi; niso se obračala, ko so hodila; šla so vsaka naravnost naprej.
10 Mfanano wa nyuso zao ulikuwa kama uso wa mwanadamu. Wanne hao walikuwa na uso wa simba kwa upande wa kuume. Hao wanne pia walikuwa na uso wa tai.
Kar zadeva podobnost njihovih obrazov, ta štiri so imela človeški obraz in obraz leva na desni strani in ta štiri so imela obraz vola na levi strani; ta štiri so imela tudi obraz orla.
11 Nyuso zao zilikuwa hivyo, na mabawa yao yalikuwa yametawanyika juu, hivyo basi kila kiumbe kilikuwa na jozi ya za mabawa yaliyokuwa yameshikamana na bawa la kiumbe kingine, na pia jozi za mabawa yaliyokuwa yamefunika miili yao.
Takšni so bili njihovi obrazi. Njihove peruti so bile iztegnjene navzgor; dve peruti vsakega sta bili pridruženi druga k drugi, dve pa sta pokrivali njihova telesa.
12 Kila mmoja alienda mbele, hivyo basi popote Roho alipowaelekeza kwanda, walienda bila kurudi.
Hodila so vsako naravnost naprej. Kamor naj bi šel duh, [tja] so šla, in niso se obračala, ko so hodila.
13 Kama kwa mfanano wa hao viumbe hai, mwonekano wao ulikuwa ni kama kuchoma kaa la moto, kama mwonekano wa nuru; mng'ao wa moto pia ulihama karibu na miongoni mwa viumbe, na kulikuwa na nuru za radi.
Kar se tiče podobnosti živih ustvarjenih bitij, je bil njihov videz podoben gorečemu ognjenemu oglju in podoben videzu svetilk. Ta je šel gor in dol med živimi ustvarjenimi bitji in ogenj je bil svetel in iz ognja se je dvigovalo bliskanje.
14 Hao viumbe hai vilikuwa vikihama mbio mbele na nyuma, na walikuwa na mwonekano wa radi!
Živa ustvarjena bitja so tekala in se vračala kakor videz bliska strele.
15 Kisha nikawatazama wale viumbe hai; kulikuwa na gurudumu moja juu ya aridhi kando ya vile viumbe hai.
Medtem ko sem gledal živa ustvarjena bitja, sem na zemlji zagledal eno kolo poleg živih ustvarjenih bitij, z njegovimi štirimi obrazi.
16 Huu ndio ulikuwa mwonekano na umbo wa hizo gurudumu: kila gurudumu lilikuwa kama zabarajadi, na manne hayo yalikuwa na mfano mmoja; mwonekano wao na umbo vilikuwa kama gurudumu lililoungana na jingine.
Videz koles in njihovo delo je bilo podobno barvi berila. Ta štiri so imela eno podobnost, in njihov videz in njihovo delo je bilo, kakor bi bilo kolo v sredi kolesa.
17 Wakati yale magurudumu yalipokuwa yakitembea, yalienda bila kurudi kwenye mwelekeo wowote viumbe vilipokuwa vimeelekea.
Ko so hodila, so hodila na svoje štiri strani, in ko so hodila, se niso obračala.
18 Kama kwa upande kingo, walikuwa warefu na wakutisha, kwa upande kingo kulikuwa na macho yamezunguka kote.
Kar se tiče njihovih platišč, so bila tako visoka, da so bila grozna, in njihova platišča so bila polna oči naokoli teh štirih.
19 Popote vile viumbe hai vilipokuwa vikielekea, yale magurudumu yalielekea karibu nao. Wakati vile viumbe hai vilipoinuka kutoka kwenye nchi, na yale magurudumu yaliinuka pia.
Ko so živa ustvarjena bitja hodila, so poleg njih šla kolesa. In ko so bila živa ustvarjena bitja dvignjena z zemlje, so bila dvignjena kolesa.
20 Popote Roho alipokwenda, walikwenda, na yale magurudumu yaliinuka karibu nao, roho wa kiumbe hai ilikuwa magurudumu.
Kamor naj bi šel duh, so šla, tja naj bi šel njihov duh, in kolesa so bila dvignjena nasproti njih, kajti v kolesih je bil duh živega ustvarjenega bitja.
21 Popote vile viumbe vilipoelekea, magurudumu pia yalielekea huko; na wakati wale viumbe viliposimama hata hivyo, magurudumu yalisimama bado; wakati viumbe viliposimama kutoka kwenye nchi, magurudumu yalisimama karibu nao, kwa sababu yule roho wa wale viumbe alikuwa kwenye magurudumu.
Ko so tista šla, so šla ta; in ko so tista stala, so stala ta; in ko so bila tista dvignjena z zemlje, so bila kolesa dvignjena nasproti njih, kajti v kolesih je bil duh živega ustvarjenega bitja.
22 Juu ya vichwa vya wale viumbe hai kulikuwa na mfanano wa anga la kutanuka; ilikuwa inang'aa kama mfano wa barafu juu ya vichwa vyao.
Podobnost nebesnega svoda nad glavami živega ustvarjenega bitja je bila kakor barva strašnega kristala, razprostrtega zgoraj, nad njihovimi glavami.
23 Chini ya anga, kila mabawa ya kiumbe kimoja yalinyooshwa mbele na kugusana kila mabawa na kiumbe kimoja. Pia kila kiumbe hai kilikuwa na jozi moja kwa ajili ya kujifunika vyenyewe; kila kimoja kilikuwa na jozi moja kwa ajili ya kujifunika mwili wake mwenyewe.
Pod nebesnim svodom so bile njihove peruti ravne druga proti drugi. Vsako je imelo dve, ki sta pokrili na tej strani in vsako je imelo dve, ki sta pokrili na oni strani njihovih teles.
24 Kisha nikasikia sauti ya mabawa yao. Kama mlio wa maji mengi. Kama sauti ya mwenye enzi popote walipoelekea. Kama sauti ya jeshi. Popote pale waliposimama, walishusha mabawa yao.
In ko so hodila, sem slišal šum njihovih peruti, podoben hrumenju velikih vodá, kakor glas Vsemogočnega, glas govora kakor hrup vojske. Ko so stala, so svoje peruti povesila.
25 Sauti ikaja kutoka juu ya anga juu ya vichwa vyao popote waliposimama na kushusha mabawa yao.
Bil je glas izpod nebesnega svoda, ki je bil nad njihovimi glavami, ko so stala in spustila svoje peruti.
26 Juu ya anga juu ya vichwa vyao kulikuwa na mfanao wa kiti cha enzi ambacho kilikuwa na mwonekano wa jiwe la samawati, na juu mfano wa kiti cha enzi kilifanana kama mwonekano wa mwanadamu.
Nad nebesnim svodom, ki je bil nad njihovimi glavami, je bila podobnost prestola, kakor videz kamna safira. Na podobnosti prestola je bila podobnost kakor videz človeka nad njim.
27 Nikaona umbo lenye mwonekano wa chuma chenye kung'aa pamoja na moto ndani yake kutoka kwenye mwonekano wa juu ya nyonga zake juu; Nikaona kutoka kwenye mwonekano wa nyonga zake upande wa chini mwonekano wa moto na mng'ao umezunguka kote.
Videl sem kakor barvo jantarja, kakor videz ognja okrog in okrog znotraj njega, od videza njegovih ledij navzgor in celo od videza njegovih ledij navzdol sem videl, kakor bi bil videz ognja in ta je imel sijaj vsenaokrog.
28 Kama mwonekano wa upinde wa mvua kwenye mawingu katika siku ya mvua ulikuwa na mwonekano wa taa iliyowaka imeizunguka. ulikuwa na mwonekano unaofanana na utukufu wa Yahwe. Wakati nilipouona, nilihisi kwenye uso wangu, na nikasikia sauti ikiongea.
Kakor videz mavrice, ki je na oblaku na deževen dan, takšen je bil videz sijaja naokoli. To je bil videz podobnosti Gospodove slave. Ko sem to zagledal, sem padel na svoj obraz in slišal glas nekoga, ki je spregovoril.

< Ezekieli 1 >