< Kutoka 6 >

1 Kisha Yahweh akasema na Musa, “Sasa utaona nitakacho fanya kwa Farao. Utaona hili, kwa kuwa ata waacha waenda kwa mkono wangu hodari. Kwasababu ya mkono wangu hodari, ata waondoa nje ya nchi.”
And the Lord seide to Moises, Now thou schalt se, what thingis Y schal do to Farao; for bi strong hond he schal delyuere hem, and in myyti hond he schal caste hem out of his lond.
2 Mungu akasema na Musa na kumwambia, “Mimi ni Yahweh.
And the Lord spak to Moises,
3 Nilimtokea Ibrahimu, Isaka, na Yakobo kama Mungu mwenye nguvu; lakini kwa jina langu, Yahweh, sikujuliikana kwao.
and seide, Y am the Lord, that apperide to Abraham, and to Isaac, and to Jacob in Almyyti God; and Y schewide not to hem my greet name Adonai;
4 Pia niliimarisha agano langu na wao, ilikuwapatia nchi ya Kanani, nchi walioishi kama sio raia, nchi walio tanga tanga.
and Y made couenaunt with hem, that Y schulde yyue to hem the lond of Canaan, the lond of her pilgrymage, in which thei weren comelyngis.
5 Zaidi ya yote, nimesikia kilio cha Waisraeli ambao wa Misri wame wa chukua watumwa, na nimekumbuka agano langu.
Y herde the weilyng of the sones of Israel, in which the Egipcians oppresseden hem, and Y hadde mynde of my couenaunt.
6 Kisha basi, sema kwa Waisraeli, 'Mimi ni Yahweh. Nitawatoa kwenye utumwa chini ya wa Misri, na kuwaweka huru na nguvu zao. Nitawaokoa kwa kudhihirisha nguvu zangu, na kwa matendo ya ajabu ya hukumu.
Therfor seie thou to the sones of Israel, Y am the Lord, that schal lede out you of the prisoun of Egipcians; and Y schal delyuere fro seruage; and Y schal ayen bie in `an hiy arm, and in grete domes;
7 Nitawaleta kwangu kama watu wangu, na nitakuwa Mungu wenu. Mtajua kuwa mimi ndiye Yahweh Mungu wenu, aliye watoa kwenye utumwa chini ya wa Misri.
and Y schal take you to me in to a puple, and Y schal be youre God; and ye schulen wite, for Y am youre Lord God, `which haue led you out of the prisoun of Egipcians,
8 Nitawaleta kwenye nchi niliyo muahidi kumpa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo. Nitawapa kama mali yenu. Mimi ni Yahweh.”'
and haue led you in to the lond, on which Y reiside myn hond, that Y schulde yyue it to Abraham, and to Ysaac, and to Jacob; and Y schal yyue to you that lond to be weldid; I the Lord.
9 Musa alipo waambia haya Waisraeli, hawakumsiliza kwasababu ya mateso magumu ya utumwa wao.
Therfor Moises telde alle thingis to the sones of Irael, whiche assentide not to hym for the angwisch of spirit, and for the hardest werk.
10 Hivyo Yahweh akazungumza na Musa na kumwambia,
And the Lord spak to Moises,
11 “Nenda umwambie Farao, mfalme wa Misri, awaache watu wa Israeli waondoke kwenye nchi yake.”
and seide, Entre thou, and speke to Farao, kyng of Egipt, that he delyuere the children of Israel fro his lond.
12 Musa akamwambia Yahweh, “Kama Waisraeli hawajanisikiliza mimi, kwa nini Farao anisikillize mimi, tangu mimi sio mzuri wakuzungumza?”
Moises answeride bifore the Lord, Lo! the children of Israel here not me, and hou schal Farao here, moost sithen Y am vncircumcidid in lippis?
13 Yahweh akasema na Musa na Aruni. Akawapa amri ya Waisraeli na Farao, mfalme wa Misri, awatoe Waisraeli kutoka nchi ya Misri.
And the Lord spak to Moises and to Aaron, and yaf comaundementis to the sones of Israel, and to Farao, kyng of Egipt, that thei schulden lede out the sones of Israel fro the lond of Egipt.
14 Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao: wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Rubeni.
These ben the princis of housis bi her meynees. The sones of Ruben, the firste gendrid of Israel, Enoch, and Fallu, Esrom, and Charmy; these ben the kynredis of Ruben.
15 Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli - mwana wa mwanamke wa Kanani. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Simeoni.
The sones of Symeon, Jamuel, and Jamyn, and Aod, and Jachym, and Soer, and Saul, the sone of a womman of Canaan; these ben the kynretis of Symeon.
16 Hapa yameorodheshwa majina ya wana wa Lawi, pamoja na uzo wao. Walikuwa ni Gerishoni, Kohathi, na Merari. Lawi aliishi mpaka alipo kuwa na miaka 137.
And these ben the names of the sones of Leuy by her kynredis, Gerson, and Caath, and Merary. Forsothe the yeeris of lijf of Leuy weren an hundrid and seuene and thretti.
17 Wana wa Gerishoni walikuwa Libni na Shimei.
The sones of Gerson, Lobny and Semei, bi her kynredis.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli. Kohathi aliishi hadi miaka 133.
The sones of Caath, Amram, and Isuar, and Hebron, and Oziel; and the yeeris of lijf of Caath weren an hundrid and thre and thretti.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi. Hawa walikuja kuwa mababu wa ukoo wa Walawi, pamoja na uzao wao.
The sones of Merari weren Mooli and Musi. These weren the kynredis of Leuy bi her meynees.
20 Amramu alimuoa Yokebedi, dada yake baba yake. Alimzalia Aruni na Musa. Amramu aliishi miaka 137 na akafa.
Forsothe Amram took a wijf, Jocabed, douytir of his fadris brother, and sche childide to hym Aaron, and Moises, and Marie; and the yeeris of lijf of Amram weren an hundred and seuene and thretti.
21 Wana wa Izhari walikuwa Kora, Nefegi, na Zikri.
Also the sones of Isuar weren Chore, and Nafeg, and Zechry.
22 Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elizafani na Sithri.
Also the sones of Oziel weren Misael, and Elisaphan, and Sechery.
23 Aruni alimuoa Elisheba, binti wa Aminadabu, dada wa Nashoni. Alimzaa Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.
Sotheli Aaron took a wijf, Elizabeth, the douytir of Amynadab, the sistir of Naason, and sche childide to hym Nadab, and Abyu, and Eleazar, and Ythamar.
24 Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasa. Hawa walikuwa mababu wa ukoo wa Wakora.
Also the sones of Chore weren Aser, and Elcana, and Abiasab; thes weren the kinredis of Chore.
25 Eleazari, mwana wa Aruni, alimuoa mmoja wa mabinti Wa Putieli. Alimzalia Fineazi. Hawa walikuwa vichwa wa nyumba za baba yao miongoni mwa Walawi, pamoja na uzao wao.
And sotheli Eleazar, sone of Aaron, took a wijf of the douytris of Phatiel, and sche childide Fynees to hym. These ben the princis of the meynees of Leuy bi her kynredis.
26 Hawa wanaume wawili walikuwa Musa na Aruni ambao Yahweh alisema, “Waleteni Waisraeli kutoka nchi ya Misri, kwa makundi ya wanaume wapiganaji.”
This is Aaron and Moises, to whiche the Lord comaundide, that thei schulden lede out of the lond of Egipt the sones of Israel by her cumpanyes;
27 Aruni na Musa wakazungumza na Farao, mfalme wa Misri, awaruhusu Waisraeli watoke Misri. Hawa walikuwa Musa na Aruni wale wale.
these it ben, that speken to Pharao king of Egipt, that thei lede the sones of Israel out of Egipt;
28 Pale Yahweh alipo zungumza na Musa katika nchi ya Misri,
this is Moises and Aaron, in the dai in which the Lord spak to Moises in the lond of Egipt.
29 alimwambia, “Mimi ni Yahweh. Sema kwa Farao, mfalme wa MIsri, kila kitu nitacho kwambia.”
And the Lord spak to Moises, and seide, Y am the Lord; spek thou to Farao, kyng of Egipt, alle thingis whiche Y speke to thee.
30 Lakini Musa alimwambia Yahweh, “Mimi sio mzuri wa kuongea, hivyo kwanini Farao anisikilize mimi?”
And Moises seide bifore the Lord, Lo! Y am vncircumcidid in lippis; hou schal Farao here me?

< Kutoka 6 >