< Esta 1 >

1 Katika siku za utawala wa Ahasuero (huyu ni Ahasuero aliyetawala toka India hadi Ethiopa, zaidi ya majimbo 127),
And it came to pass, in the days of Ahasuerus, —the same, Ahasuerus that reigned from India even unto Ethiopia, a hundred and twenty-seven provinces:
2 katika siku hizo Mfalme Ahasuero aliketi katika kiti chake cha utawala katika ngome ya Shushani.
in those days, —when King Ahasuerus was sitting on the throne of his kingdom, which was in Shusan the palace;
3 mwaka wa tatu wa utawala wake aliwaandalia sherehe viongozi na watumwa wake wote. Waliohudhuria katika sherehe hiyo walikuwa wakuu wa jeshi la Uajemi na Umedi, watu wenye vyeo, na viongozi wa majimbo.
in the third year of his reign, he made a banquet unto all his rulers, and his servants, —the power of Persia and Media, the nobles and the rulers being before him;
4 Mfalme akaweka wazi utajiri na utukufu wa ufalme wake na heshima ya ukufu wa ukuu alio upata kwa siku nyingi, kwa siku180.
when he showed the riches of the glory of his kingdom, and the splendour of his excellent majesty, many days, a hundred and eighty days;
5 Siku hizi zilipotimia, Mfalme aliaandaa karamu iliyodumu kwa siku saba. Karamu hii ilikuwa kwa watu wote walioishi katika ikulu ya Shushani, tangu mkubwa hadi mdogo. Behewa la bustani ya ikulu ya mfalme ndiyo karamu ilipofanyikia.
that, when these days were fulfilled, the king made—for all the people that were present in Shusan the palace, both for great and small—a banquet, seven days, —in the court of the garden of the palace of the king:
6 Behewa la bustani lilipambwa kwa mapazia meupe ya pamba na urujuani, yalifungwa kwa kamba za kitani safi na zambarau, yakiwa yametundikwa kwa pete za fedha na nguzo za marimari. Kulikuwa na makochi ya dhahabu na fedha juu ya sakafu ya marimari, mawe mekundu na meupe, na ya manjano na meusi.
white stuff, cotton and blue, being held fast with cords of fine linen and purple, upon rods of silver, and pillars of white marble, —the couches being of gold and silver, upon a pavement of alabaster and white marble, and pearl and black marble.
7 Vinywaji viliandaliwa katika vikombe vya dhahabu. Na kila kikombe kilikuwa ni cha kipekee na kwa sababu ya ukarimu wa mfalme kulikuwa mvinyo mwingi.
And they gave them drink in vessels of gold, vessels, from vessels, being diverse, —even the wine of the kingdom in abundance, by the bounty of the king.
8 Mfalme aliwambia wahudumu watu wagawiwe vinywaji kwa kila mtu kulingana na matakwa yake. Maana tayari mfalme alikuwa ametoa agizo kwa watumishi wa ikulu kuwafanyia wageni kulingana na matakwa ya kila mgeni.
And, the drinking, was according to the law, no one compelling, —for, so, had the king appointed unto every chief of his household, that every man, should do according to his pleasure.
9 Wanawake nao walikuwa wamealikwa katika karamu na Malkia Vashiti katika ikulu ya Mfalme Ahusuero.
Also Vashti the queen, made a banquet for the women, —in the royal house which belonged to King Ahasuerus.
10 katika siku ya saba moyo wa mfalme ulipokuwa na furaha kwa sababu ya mvinyo, aliwaagiza Mehumani, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethari na Karkas (hawa saba ndio waliohudumu mbele ya mfalme)
On the seventh day, when merry was the heart of the king with wine, he commanded Mehuman, Biztha, Harbona, Bigtha, and Abagtha, Zethar and Carcas, the seven eunuchs who were waiting before King Ahasuerus, —
11 kumleta Malkia Vashiti akiwa katika mavazi yake ya kimalkia. Akiwa na lengo la kuwaonyesha watu na maakida urembo wake, maana alikuwa mrembo.
to bring in Vashti the queen, with the royal crown, —to show the peoples and the rulers her beauty, for, of pleasing appearance, was she.
12 Pamoja na maagizo ya Mfalme, Malkia Vashiti alikataa kwenda kama alivyokuwa amewaagiza viongozi wake. Hivyo mfalme akakasirika sana; ghadhabu yake ikawaka ndani yake
But Queen Vashti refused to come in at the command of the king, which was given through the eunuchs, —and the king was exceeding wroth, and, his anger, burned within him.
13 Mfalme akawandea wenye hekima, waliofahamu nyakati (kwa kuwa huu ndio uliokuwa utaratibu wa mfalme kuhusu wale waliokuwa watalaamu wa sheria na hukumu.
Then said the king unto the wise men having knowledge of the times, —for, so, was the manner of the king before all having knowledge of law and judgment;
14 Carshena, Shethar, Admatha, Tarshish, Meres, Marsena, na Memucan, majimbo saba ya Uajemi na Umedi walikuwa karibu na mfalme na walikuwa na vyeo vikubwa katika ufalme.
and, near unto him, were Carshena, Shethar, Admatha, Tarshish, Meres, Marsena, Memucan, —the seven rulers of Persia and Media, who used to behold the face of the king, who sat first, in the kingdom—
15 Katika kutafsiri nini kifanyike kwa mjibu wa sheria kutoka na mgomo wa Malkia Vashiti dhidi ya agizo la mfalme Ahusiero kwa Malkia Vashiti.
According to law, what ought to be done, with Queen Vashti, —for that she hath not performed the command of King Ahasuerus, through the eunuchs?
16 Mmoja wao aliyejulikana kwa jina la Memukani alisema mbele ya Mfalme na mbele ya viongozi, Malkia Vashiti hajamkosea tu mfame na wakuu na watu wote walio katika majimbo ya mfale Ahusiero.
Then said Memucan before the king and the rulers, Not against the king alone, hath Vashti the queen acted perversely, —but against all the rulers, and against all the peoples, who are in all the provinces of King Ahasuerus.
17 kwa kuwa jambo la malkia litafahamika kwa wanawake wote. watawatendea waume zao vibaya. Watasema, 'Mfalme Ahusiero Malkia Vashiti hakumtii mme wake, Mfalme Ahusiero alipotaka ahudhurie mbele yake.'
For the report of the queen, will go forth, unto all women, so putting contempt upon their lords, in their eyes, —when it is reported to them, King Ahasuerus, commanded Vashti the queen to be brought in before him, but she came not.
18 Kabla ya siku hii wanawake wa wakuu wa Uajemi na Umedi walipata taarifa ya mgomo wa malkia Vashiti watawatendea waume zao, viongozi wa mfalme. kutakuwa na ghasia na nyingi hasira.
And, this day, shall the ladies of Persia and Media, who have heard the report of the queen, tell it, unto all the lords of the king, —with enough of contempt and wrath.
19 kama ni jambo jema kwa mfalme, ruhusu tangazo litolewe, na iwe katika sheria ya Waajemi na Wamedi, ambao haiwezi kutanguliwa, kwamba Vashiti hatakuja tena mbele za mfalme kama malkia. Nafasi ya Vashiti apewe mwingine ambaye ni bora zaidi ya Vashiti.
If, unto the king, it seem good, let there go forth a royal declaration from before him, and let it be written among the laws of Persia and Media, so that it shall not pass away, —That Vashti, is not to come in, before King Ahasuerus, and, her royal estate, let the king give unto her neighbour, who is better than she.
20 Tangazo la mfalme litakapotolewa katika ufalme wote, wanawake wote watawaheshimu waume zao, tangu mwenye cheo hadi asiye na cheo.”
When the edict of the king which he shall make, is published throughout all his kingdom, for, great, it is, then, all wives, will give honour unto their lords, both great and small.
21 Ushauri huu ulikuwa mzuri kwa mfalme na wakuu wengine, mfalme akafamya kama Memkani alivyopendekeza.
And the thing seemed good in the eyes of the king, and the rulers, —and the king did according to the word of Memucan.
22 Akatuma barua katika majimbo yote ya mfalme, kwa kilajambo na andiko lake, na watu kwa makabila yao. Aliamuru kwamba kila mme awe msimamizi katika nyumba yake mwenyewe. Tangazo hili lilitolewa katika lungha ya kila mtu katika ufalme.
So he sent letters, into all the provinces of the king, into every province according to she writing thereof, and unto every people according to their tongue, —That every man should he ruler in his own house, and issue his commands, according to the tongue of his people.

< Esta 1 >