< Esta 1 >

1 Katika siku za utawala wa Ahasuero (huyu ni Ahasuero aliyetawala toka India hadi Ethiopa, zaidi ya majimbo 127),
Leng Xerxes vaipoh laiya thilsoh ho ahi, amahin India a pat a Ethiopia gam geija gam jakhat le somni le sagi chunga vai anahop ahi.
2 katika siku hizo Mfalme Ahasuero aliketi katika kiti chake cha utawala katika ngome ya Shushani.
Hiche phatlai chun Xerxes lengpa chu Susa khopia alaltouna a anatouvin lengvai anapo in ahi.
3 mwaka wa tatu wa utawala wake aliwaandalia sherehe viongozi na watumwa wake wote. Waliohudhuria katika sherehe hiyo walikuwa wakuu wa jeshi la Uajemi na Umedi, watu wenye vyeo, na viongozi wa majimbo.
Avaihom na kumthum channa a chun amilen le amilal ho jouse dingle vaihom ho jouse dingin golvah loupitah khat ana bollin ahi. Hichea pang ding hin Persia le Media gamsunga leng hole epia lamkai ho jouse jong akouvin ahi.
4 Mfalme akaweka wazi utajiri na utukufu wa ufalme wake na heshima ya ukufu wa ukuu alio upata kwa siku nyingi, kwa siku180.
Golvah loupitah chu ni jakhat le somget geijin achelhan ahi. Hiche sungchun, agamsung loupina le thaneina, ahaonale aloupina atah langin ahi.
5 Siku hizi zilipotimia, Mfalme aliaandaa karamu iliyodumu kwa siku saba. Karamu hii ilikuwa kwa watu wote walioishi katika ikulu ya Shushani, tangu mkubwa hadi mdogo. Behewa la bustani ya ikulu ya mfalme ndiyo karamu ilipofanyikia.
Hicheng chu akichaisoh phat in, lengpan Susa khopi sunga um mi alenpen apat aneopen geidingin golvah khat abolkit in ahi. Hiche chu lengpa khopi honsung tol lhanga chun ni sagi achelha kit in ahi.
6 Behewa la bustani lilipambwa kwa mapazia meupe ya pamba na urujuani, yalifungwa kwa kamba za kitani safi na zambarau, yakiwa yametundikwa kwa pete za fedha na nguzo za marimari. Kulikuwa na makochi ya dhahabu na fedha juu ya sakafu ya marimari, mawe mekundu na meupe, na ya manjano na meusi.
Hichea hin len inpi leitol chu pondal pon, ponkang jong, pondum jong tupat ponnem patjang chutoh akijop matsoh keijin, ponsandup chuto jong akijop in, dangka sumkol ho chutoh akijopmat soh keijin, songval khompia kisemma kiphut hoa chun akihenin ahi. Phatah a kijempol kalbi leijong chu sanale dangka kiphan song mantam ton akihallin songval akigollin, twikoh chang le songmantam dang dang tampi toh akihallin ahi.
7 Vinywaji viliandaliwa katika vikombe vya dhahabu. Na kila kikombe kilikuwa ni cha kipekee na kwa sababu ya ukarimu wa mfalme kulikuwa mvinyo mwingi.
Leng in na juchu neng chatna jatchom choma kijem sana khon ho a chu kidon ahin, hichu lengpa ninglhinnale ahongphalna atah langin ahi.
8 Mfalme aliwambia wahudumu watu wagawiwe vinywaji kwa kila mtu kulingana na matakwa yake. Maana tayari mfalme alikuwa ametoa agizo kwa watumishi wa ikulu kuwafanyia wageni kulingana na matakwa ya kila mgeni.
Akhopi sunga vaihom hochun min ama ama ngaichat dungjui cheh a agotchan na adon ding uva ahomdoh diuvin lengpan thupeh aneijin ahi.
9 Wanawake nao walikuwa wamealikwa katika karamu na Malkia Vashiti katika ikulu ya Mfalme Ahusuero.
Hichetoh kilhon hin lengnu Vashti in jong leng Xerxes khopi sunga numeiho ding in golvah ana bollin ahi.
10 katika siku ya saba moyo wa mfalme ulipokuwa na furaha kwa sababu ya mvinyo, aliwaagiza Mehumani, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethari na Karkas (hawa saba ndio waliohudumu mbele ya mfalme)
Hiche golvah ni sagi channa niachun lengpa Xerxes chu ju akhamlheh jengtan ahileh ama jenle’a pang nukiso mi sagiho, Mehuman, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethar chule Carcas chu,
11 kumleta Malkia Vashiti akiwa katika mavazi yake ya kimalkia. Akiwa na lengo la kuwaonyesha watu na maakida urembo wake, maana alikuwa mrembo.
Lengnu Vashti in alallukhuh kikhuh puma lengpa ang sung’a ahung dingin gapuijun tin asoltan ahi. Amanu chu numei hoitah ahijeh chun amilen amilalten amel hoina chu ana vetsoh keidiu chu adei ahi.
12 Pamoja na maagizo ya Mfalme, Malkia Vashiti alikataa kwenda kama alivyokuwa amewaagiza viongozi wake. Hivyo mfalme akakasirika sana; ghadhabu yake ikawaka ndani yake
Ahinlah amahon lengpa thupeh chu lengnu Vashti kom’a aga hetsah phat’un amanu chu ahung nom tapon ahi. Hiche chun lengpa chu alung ahansah lheh jengtan, alunghan akoudoh leuvin ahi.
13 Mfalme akawandea wenye hekima, waliofahamu nyakati (kwa kuwa huu ndio uliokuwa utaratibu wa mfalme kuhusu wale waliokuwa watalaamu wa sheria na hukumu.
Aman Persia mite danle chena lhongpiho hethem ama thumop apang phattinna ana dohjing saho chu gangtah in adongtan ahi.
14 Carshena, Shethar, Admatha, Tarshish, Meres, Marsena, na Memucan, majimbo saba ya Uajemi na Umedi walikuwa karibu na mfalme na walikuwa na vyeo vikubwa katika ufalme.
Amaho minchu Carshena, Shethar, Admatha, Tarshish, Meres, Marsena chule Memucan - Media leh Persia mithupi sagi hochu ahiuve. Amahohi leng gamsunga panmun sangpen loiho chu ahiuvin, lenga toh phat tinna kimuto jing jiuva ahi.
15 Katika kutafsiri nini kifanyike kwa mjibu wa sheria kutoka na mgomo wa Malkia Vashiti dhidi ya agizo la mfalme Ahusiero kwa Malkia Vashiti.
“Lengnu Vashti hi i-loding ham? Lengpa keiman nukisoho kaga kousah a lengpa thupeh palkeh a hung nomlou lengnu chu dan dung jui'a itobang gotna peh dinga lom am?” tin lengpan adongtan ahi.
16 Mmoja wao aliyejulikana kwa jina la Memukani alisema mbele ya Mfalme na mbele ya viongozi, Malkia Vashiti hajamkosea tu mfame na wakuu na watu wote walio katika majimbo ya mfale Ahusiero.
Memucan chun lengpa leh amithupi hochu hiti hin adonbut’e, “Vashti lengnu hin lengpa keo hilouvin naleng gam pumpi sunga milen milal ho jouse leh gamsunga cheng mipiho jouse hi anoise ahi.
17 kwa kuwa jambo la malkia litafahamika kwa wanawake wote. watawatendea waume zao vibaya. Watasema, 'Mfalme Ahusiero Malkia Vashiti hakumtii mme wake, Mfalme Ahusiero alipotaka ahudhurie mbele yake.'
Lengnu Vashti hin lengpan akom’a hunghen tia akou in anompoi tihi muntinna numeihon ajah tenguleh ajiteu hi anoise diu ahitai.
18 Kabla ya siku hii wanawake wa wakuu wa Uajemi na Umedi walipata taarifa ya mgomo wa malkia Vashiti watawatendea waume zao, viongozi wa mfalme. kutakuwa na ghasia na nyingi hasira.
Tunilhum masang ngeihin Persia le Media gamsunga milen milal ho jouse jiten lengnu umchan hi hin jadoh untin ajipa teu hi ahin nahsah loudiu ahitai. Hitia chu lunghan nale thangtom na a hung dimset ding ahi.
19 kama ni jambo jema kwa mfalme, ruhusu tangazo litolewe, na iwe katika sheria ya Waajemi na Wamedi, ambao haiwezi kutanguliwa, kwamba Vashiti hatakuja tena mbele za mfalme kama malkia. Nafasi ya Vashiti apewe mwingine ambaye ni bora zaidi ya Vashiti.
Hijeh chun lengpan na phatsah dinga ahileh Persia le Media gamsunga khelthei lou helding dan khat jihtho inlang phongdoh lechun kadeije. Lengnu Vashti hin lengpa Xerxes hi amai amukit tah louhel dingin a-imatih channa dingin kaidoh in um henlang lengpa dingin nakiloppi tah lengnu chomkhat kilheng doh hen katin,” ahi.
20 Tangazo la mfalme litakapotolewa katika ufalme wote, wanawake wote watawaheshimu waume zao, tangu mwenye cheo hadi asiye na cheo.”
“Hiche dan hi lenggam pumpia hi ahung kiphondoh tengleh muntinna mipate hin itobang panmun nei hijongleu aji teuva konna achan diuva lom jana akimudiu ahi,” atipeh tai.
21 Ushauri huu ulikuwa mzuri kwa mfalme na wakuu wengine, mfalme akafamya kama Memkani alivyopendekeza.
Lengpa le amilen amilal hojousen Memucan’s thumop hi pha asasoh kei taovin ahi.
22 Akatuma barua katika majimbo yote ya mfalme, kwa kilajambo na andiko lake, na watu kwa makabila yao. Aliamuru kwamba kila mme awe msimamizi katika nyumba yake mwenyewe. Tangazo hili lilitolewa katika lungha ya kila mtu katika ufalme.
Hiti chun lengpan agamsung pumpi gambih sung jousea ama ama pao le lekhajem a athotdoh in, mipa jousehi ama ama insunga thanei vaihom hiding chule athu thua hiding ahi tin aphongdoh tan ahi.

< Esta 1 >