< Mhubiri 4 >

1 Kisha tena nikafikiri kuhusu mateso yote yaliyo chini ya jua. Tazama machozi ya watu walioteswa. Hakuna anaye mfariji kwa ajili yao. Nguvu iko katika mikononi mwa watesaji, lakini wateswaji hawana mfariji.
پس من برگشته، تمامی ظلمهایی را که زیرآفتاب کرده می‌شود، ملاحظه کردم. واینک اشکهای مظلومان و برای ایشان تسلی دهنده‌ای نبود! و زور بطرف جفاکنندگان ایشان بود اما برای ایشان تسلی دهنده‌ای نبود!۱
2 Hivyo nikawapongeza watu walio kufa, wale ambao tayari wamekufa, sio wanaoishi, wale ambao wako hai.
ومن مردگانی را که قبل از آن مرده بودند، بیشتر اززندگانی که تا بحال زنده‌اند آفرین گفتم.۲
3 Ingawa, bahati zaidi kuliko wote wawili ni yule ambaye hajaishi, yeye ambaye hajaona matendo yoyote mabaya ambayo yanafanyika chini ya jua.
و کسی را که تا بحال بوجود نیامده است، از هر دو ایشان بهتر دانستم چونکه عمل بد را که زیر آفتاب کرده می‌شود، ندیده است.۳
4 Kisha nikaona kwamba kila tendo la kazi na kila kazi ya utashi ikawa wivu wa jirani ya mtu. Huu pia ni mvuke na kujaribu kuchunga upepo.
و تمامی محنت و هر کامیابی را دیدم که برای انسان باعث حسد از همسایه او می‌باشد. وآن نیز بطالت و در‌پی باد زحمت کشیدن است.۴
5 Mpumbavu hukunja mikono yake na hafanyi kazi, hivyo chakula chake in mwili wake.
مرد کاهل دستهای خود را بر هم نهاده، گوشت خویشتن را می‌خورد.۵
6 Lakini afadhari konzi ya faida pamoja na kazi ya haraka kuliko konzi mbili pamoja na kazi ambayo hujaribu kuuchunga upepo.
یک کف پر از راحت ازدو کف پر از مشقت و در‌پی باد زحمت کشیدن بهتر است.۶
7 Kisha nikafikiri tena zaidi kuhusu ubatili, mvuke upoteao zaidi chini ya jua.
پس برگشته، بطالت دیگر را زیر آسمان ملاحظه نمودم.۷
8 Kuna aina ya mtu ambaye yuko peke yake. Hana mtu, hana mwana, wala ndugu. Hakuna mwisho wa kazi zake zote, na macho yake hayatosheki kwa kupata utajiri. Anashangaa, “Ninajishumbua na kuharibu furaha yangu kwa ajili ya nani?” Huu pia ni mvuke, hali mbaya.
یکی هست که ثانی ندارد و او راپسری یا برادری نیست و مشقتش را انتها نی و چشمش نیز از دولت سیر نمی شود. و می‌گوید ازبرای که زحمت کشیده، جان خود را از نیکویی محروم سازم؟ این نیز بطالت و مشقت سخت است.۸
9 Watu wawili wanafanya vizuri zaidi ya mmoja; kwa pamoja wanaweza kupata malipo mazuri kwa ajili ya kazi yao.
دو از یک بهترند چونکه ایشان را ازمشقتشان اجرت نیکو می‌باشد؛۹
10 Kwa kuwa kama mmoja akianguka, mwingine anaweza kumwinua rafiki yake. Ingawa, huzuni humfuata yeye aliye peke yake anapoanguka kama hakuna mtu wa kumwinua.
زیرا اگربیفتند، یکی از آنها رفیق خود را خواهدبرخیزانید. لکن وای بر آن یکی که چون بیفتددیگری نباشد که او را برخیزاند.۱۰
11 Na kama wawili wakilala pamoja, wanaweza kupata joto, lakini mtu mmoja anawezaje kupata joto akiwa mwenyewe?
و اگر دو نفرنیز بخوابند، گرم خواهند شد اما یک نفر چگونه گرم شود.۱۱
12 Mtu akiwa peke yake anaweza kushindwa nguvu, lakini wawili wanaweza kusimama katika shambulio, na kama ya nyuzi tatu haikatika upesi.
و اگر کسی بر یکی از ایشان حمله آورد، هر دو با او مقاومت خواهند نمود. وریسمان سه لا بزودی گسیخته نمی شود.۱۲
13 Ni bora kuwa kijana masikini kuliko kuwa mfalme mzee na mpumbavu ambaye hajui jinsi ya kusikiliza maonyo.
جوان فقیر و حکیم از پادشاه پیر و خرف که پذیرفتن نصیحت را دیگر نمی داند بهتر است.۱۳
14 Hii ni kweli hata kama mtu mdogo anapokuwa mfalme kutoka gerezani, au hata kama alizaliwa masikini katika ufalme wake.
زیرا که او از زندان به پادشاهی بیرون می‌آید وآنکه به پادشاهی مولود شده است فقیر می‌گردد.۱۴
15 Ingawa, niliona kila mmoja aliye kuwa hai na kuzunguka chini ya jua wakijitia chini kwa kijana mdogo aliyeinuka kama mfalme.
دیدم که تمامی زندگانی که زیر آسمان راه می‌روند، بطرف آن پسر دوم که بجای او برخیزد، می‌شوند.۱۵
16 Hakuna mwisho kwa watu wote wanaotaka kumtii mfalme mpya, lakini wengi wao hawatamsifu yeye. Hakika hali hii ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.
و تمامی قوم یعنی همه کسانی را که او بر ایشان حاکم شود انتها نیست. لیکن اعقاب ایشان به او رغبت ندارند. به درستی که این نیزبطالت و در‌پی باد زحمت کشیدن است.۱۶

< Mhubiri 4 >