< Torati 19 >

1 Wakati Yahwe Mungu wenu anayafutilia mbali mataifa, yale ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa nchi yao, na wakati mnakuja kwao na kuishi katika miji yao na nyumba,
After the Lord your God has destroyed the nations whose land he's giving you, and after you have driven them out and settled in their cities and houses,
2 mnapaswa kuchagua miji mitatu kwa ajili yenu katikati mwa nchi yenu ambayo Yahwe Mungu anawapa kuimiliki.
then you are to choose three sanctuary towns in the country that the Lord your God is giving you to own.
3 Mnapaswa kujenga barabara na kugawa mipaka ya nchi yenu katika maeneo matatu, nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anafanya kuimiliki, ili kwamba kila mmoja anayeua mtu mwingine apate kukimbia hapo.
You are build roads to these towns. Divide the country the Lord is giving you into three sections. This way anyone who kills someone else can easily run to these towns for protection.
4 Hii ni sheria kwa ajili ya mtu anayeua mwingine na anayekimbilia huko kuishi: yeyote auae jirani yake bila kujua, na hapo awali hakumchukia-
This is what is to happen when a person accidentally kills someone else without meaning to, and runs to one of these sanctuary towns to save their life.
5 kama wakati mtu aingiapo katika msitu pamoja na jirani yake kukata kuni, na mkono wake ukata mti chini kwa shoka, na kichwa uteleza kutoka kwenye mpini na kumpiga jirani yake mpaka akafa- basi mtu huyu anapaswa kukimbilia katika moja ya miji hii na kuishi.
For example, if a man goes to cut wood in the forest with his friend and swings his axe to chop down a tree, but the head flies off the handle and hits and kills his friend, he may run to one of these towns to save his life.
6 Vinginevyo damu ya mlipiza kisasi atamfuata yeye aliyetoa uhai, na kwa hasira kali anampita kwa sababu ilikuwa safari ndefu. Na anampiga na kumuua, ijapokuwa mtu huyo akustahili kufa; na hata akustahili adhabu ya kifo kwa sababu hakumchukia jirani yake kabla hili halijatokea.
Otherwise the avenger in his anger might chase after the man and catch up with him and kill him, if it's a long distance. The man would be killed even though he didn't deserve to die, because he hadn't meant to cause any harm.
7 Basi sasa ninakuamuru kuchagua miji mitatu kwa ajili yako.
This is the reason why I'm giving this order to choose three sanctuary towns.
8 Kama Yahwe Mungu wenu apanua mipaka yenu, kama alivyoapa kwa mababu zenu kufanya, na kuwapa nchi yote ambayo amewaahadia kuwapa mababu zenu;
Should the Lord your God expand your territory, as he promised your forefathers, and give you all the land he said he would,
9 kama mnazishika amri hizi zote kuzifanya, ambazo ninakuamuru leo- amri za kumpenda Yahwe Mungu wenu na daima kutembea katika njia zake, basi mnapaswa kuongeza miji mitatu zaidi kwa ajili yenu, isipokuwa ile mitatu.
and if you are careful to keep all these commandments I'm giving you today, loving the Lord your God and always following his ways, then you are to choose three additional three sanctuary towns.
10 Fanya hivi ili kwamba damu isiyo na hatia isimwangwe katikati ya nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa kwa ajili ya urithi, ili kwamba pasiwepo hatia ya damu kwenu.
In this way the blood of innocent people won't not be shed in the country the Lord your God is giving you to own and you won't be responsible for the death of innocent people who aren't guilty of losing their lives.
11 Lakini kama yeyote anamchukia jirani yake, uongo unamsubiri, uinuka dhidi yake, na majeraha ya kufa kwake ili kwamba anakufa, na kama basi anakimbia katika moja ya miji hii-
On the other hand, if a man hates someone, hides in wait, and attacks and kills them, and then the killer runs to one of the sanctuary towns,
12 basi wazee wa mji wake wanapaswa kumtoa na kumrudisha toka huko, na kumkabizi katika mkono wa ndugu mhusika, ili kwamba amuue.
the elders of his home town must send for him, bring him back, and hand him over to the avenger to be killed.
13 Jicho lako halipaswi kumuonea huruma; badala yake; unapaswa kuondoa hatia ya damu kutoka Israel, ili kwamba iwe vizuri kwako.
Show him no mercy. You are to eliminate from Israel the guilt of shedding the blood of the innocent, and then all will be well.
14 Haupaswi kuondoa alama ya jirani yako ambayo wameweka katika eneo muda mrefu, katika urithi wako ambao utarithi, katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupa kumiliki.
Don't move your neighbor's boundary marker. It was placed there by your ancestors to mark the land allotment you will receive in the country that the Lord your God is giving you to own.
15 Shahidi moja peke hapaswi kuinuka dhidi ya mtu kwa ajili ya uovu wowote, au kwa ajili ya dhambi yoyote, katika jambo lolote ambalo amefanya dhambi; kwa kinywa cha mashahidi wawili, au kwa kinywa cha mashahidi watatu, kunapaswa jambo lolote lilithibitishwe.
The evidence given by a single witness is not enough to prove a sin or a crime against someone, never mind what offense they are alleged to have committed. The facts must be confirmed by the evidence given by two or three witnesses.
16 Kama ushuhuda wa mtu asiye na haki anainua dhidi ya mtu yeyote kushuhudia dhidi yake kwa mambo mabaya.
If someone falsely accuses another person of a crime,
17 Basi watu wote wawili, mmoja kati ya yule utata upo, anapaswa kusimama mbele ya Yahwe, mbele ya makuhani na waamuzi ambao wanatumika siku hizo.
both those involved must come to be judged in the presence of the Lord by the priests and judges who are then in office.
18 Waamuzi wanapaswa kuchunguza kwa uangalifu; ona, kama ushahidi ni ushahidi wa uongo na umeshuhudiwa kwa uongo dhidi ya ndugu yake,
The judges shall conduct a full investigation, and if the accuser proves to be a liar who has made false accusations
19 basi unapaswa kufanya kwake, kama alivyokusudia kufanya kwa ndugu yake, na utaondoa uovu kutoka miongoni mwenu.
then you must punish the accuser in the same way they wanted to punish their victim. You must eliminate this evil from among you.
20 Basi wale wanaobaki watasikia na kuogopa, na kuanzia hapo na kuendelea hawatafanya tena aina ya ouvu miongoni mwao.
Then the rest of the people will hear and be afraid, and they will never again do anything so evil among you. Then everyone else will hear about it and be afraid, and won't ever do anything so evil.
21 Macho yako hapaswi kuona huruma; maisha yatalipa kwa maisha, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.
Don't show any mercy. The rule is life for life, eye for eye, tooth for tooth, hand for hand, and foot for foot.

< Torati 19 >