< Danieli 3 >

1 Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu ya dhahabu ambayo ilikuwa na urefu wa dhiraa sitini na upana dhiraa sita. Aliiweka katika uwanda wa Dura katika jimbo la Babeli.
В лето осмонадесятое Навуходоносор царь сотвори тело злато, высота его лактий шестидесяти и широта его лактий шести, и постави е на поли Деире во стране Вавилонстей.
2 Kisha Nebukadneza alituma ujumbe wa kuwaita pamoja magavana wote wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana wa vijiji, pamoja na na washauiri, wahazini, waamuzi, mahakimu, na maafisa wengine wakuu wa majimbo ili waje kwa ajili ya uzinduzi wa sanamu aliyokuwa ameiweka.
И посла (Навуходоносор царь) собрати ипаты и воеводы и местоначалники, вожди же и мучители, и сущыя на властех и вся князи стран, приити на обновление кумира, егоже постави Навуходоносор царь.
3 Ndipo magavana wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana wa vijiji, pamoja na washauri, wahasibu, waamuzi, mahakimu, na maafisa wa juu wa majimbo walikusanyika kwa pamoja katika uzinduzi wa sanamu ambayo Nebukadneza aliyokuwa ameiweka. Walisimama mbele yake.
И собрашася местоначалницы, ипатове, воеводы, вождеве, мучителие велицыи, иже над властьми, и вси началницы стран на обновление тела, еже постави Навуходоносор царь: и сташа пред телом, еже постави Навуходоносор царь.
4 Kisha mtangazaji alipiga kelele, “Enyi watu, mataifa, na lugha mmeamriwa
И проповедник вопияше со крепостию: вам глаголется, народи, людие, племена, языцы:
5 kwamba mtakaposikia sauti za pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari na aina zote za muziki, ni sharti kuanguka na kuisujudia ninyi wenyewe sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa ameiweka.
в оньже час аще услышите глас трубы, свирели же и гусли, самвики же и псалтири и согласия, и всякаго рода мусикийска, падающе покланяйтеся телу златому, еже постави Навуходонсор царь:
6 Na yeyote asiyeanguka na kuiabuda, kwa wakati huo huo atatupwa katika tanuru la moto.”
и иже аще не пад поклонится, в той час ввержен будет в пещь огнем горящую.
7 Basi watu walilposikia sauti za pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari na aina zote za muziki, watu wote, mataifa na lugha walianguka na kuisujudia wao wenyewe sanamu ya dhahabu ambayo Nebukadneza mfalme alikuwa ameiweka.
И бысть егда услышаша людие глас трубы, свирели же и гусли, самвики же и псалтири и согласия, и всякаго рода мусикийска, падающе вси людие, племена, языцы, покланяхуся телу златому, еже постави Навуходоносор царь.
8 Wakati huu baadhi ya Walkadayo walikuja na kuleta mashitaka kinyume na Wayahudi.
Тогда приступиша мужие Халдейстии и оболгаша Иудеев,
9 Walimwambia mfalme Nebukadneza, “mfalme aishi milele!
отвещавше реша Навуходоносору цареви: царю, во веки живи:
10 Ewe mfalme, umeweka amri kwamba kila mtu aisikiye sauti ya pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinubi na zumari, na aina zote za muziki, lazima kuanguka na kuisujudia sanamu ya dhahabu.
ты, царю, положил еси повеление, да всяк человек, иже аще услышит глас трубы, свирели же и гусли, самвики же и псалтири и согласия, и всякаго рода мусикийска,
11 Mtu yeyote asiyeanguka na kuiabudu sharti atupwe katika tanuru linalowaka moto.
и не пад поклонится телу златому, ввержен будет в пещь огнем горящую.
12 Sasa kuna baadhi ya Wayahudi ambao umewaweka juu masuala ya jimbo la Babeli; majina yao ni Shadraka, Meshaki, na Abednego. Mfalme, hawa watu hawakutii wewe. Hawataiabudu, kuitumikia wala kuisujudia wenyewe sanamu ya dhahabu ambayo umeiweka.”
Суть убо мужие Иудее, ихже поставил еси над делы страны Вавилионския, Седрах, Мисах и Авденаго, иже не послушаша заповеди твоея, царю, и богом твоим не служат и телу златому, еже поставил еси, не покланяются.
13 Ndipo Nebukadneza alijawa na hasira na ghadhabu, aliagiza kwamba Shadraka, Meshaki na Abednego waletwe kwake. Hivyo, waliwalete hawa watu mbele ya mfalme.
Тогда Навуходоносор в ярости и гневе рече привести Седраха, Мисаха и Авденаго. И приведени быша пред царя.
14 Nebukadneza aliwaambia, “Je mmejipanga katika akili zenu, enyi Shadraka, Meshaki na Abedinego, kwamba hamtaiabudu miungu yangu wala kuisujudia wenyewe sanamu ile ya dhahabu ambayo nimeiweka?
И отвеща Навуходоносор и рече им: аще воистинну, Седрах, Мисах и Авденаго, богом моим не служите и телу златому, еже поставих, не покланяетеся?
15 Basi sasa kama mko tayari - mtakaposikia sauti pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinumbi na zumari, aina zote za muziki - kuanguka chini na kuisujudia wenyewe sanamu ile ambayo nimeitengeneza, mambo yote yatakuwa mazuri. Lakini kama hamtaiabudu, mtatupwa mara katika tanuru la moto. Ni mungu gani atakayeweza kuwaokoa katika mikono yangu?”
Ныне убо аще есте готови, да егда услышите глас трубы, свирели же и гусли, самвики же и псалтири и согласия, и всякаго рода мусикийска, падше поклонитеся телу златому, еже сотворих: аще же не поклонитеся, в той час ввержени будете в пещь огнем горящую: и кто есть Бог, иже измет вы из руки моея?
16 Shadraka, Meshaki, na Abednego wakamjibu mfalme, “Nebukadneza, hatuhitaji kukujibu wewe katika jambo hili.
И отвещаша Седрах, Мисах и Авденаго, глаголюще царю Навуходоносору: не требе нам о глаголе сем отвещати тебе:
17 Kama kuna jibu, ni kwamba Mungu wetu ambaye tunamtumikia anaweza kutuhifadhi sisi salama katika katika tanuru la moto, na atatuokoa sisi katika mkono wako, mfalme.
есть бо Бог наш на небесех, Емуже мы служим, силен изяти нас от пещи огнем горящия и от руку твоею избавити нас, царю:
18 Kama sivyo, na ijulikane kwako, wewe mfalme, kwamba hatutaiabudu miungu yako, na wala hatutaisujudia wenyewe sanamu ya dhahabu uliyoiweka.
аще ли ни, ведомо да будет тебе, царю, яко богом твоим не служим и телу златому, еже поставил еси, не кланяемся.
19 Ndipo Nebukadneza alijawa na ghadhabu; mwonekano wa uso wake ulibadilika kinyume na Shadraka, Meshaki na Abedinego. Aliagiza kuwa tanuru lichochewe ukali mara saba zaidi kuliko lilivyokuwa kawaida.
Тогда Навуходоносор исполнися ярости, и зрак лица его изменися на Седраха, Мисаха и Авденаго, и рече: разжжите пещь седмерицею, дондеже до конца разгорится.
20 Kisha aliwaamuru baadhi ya watu wenye nguvu katika jeshi lake kuwafunga Shadraka, Meshaki na Abednego na kuwatupa katika tanuru liwakalo moto.
И мужем сильным крепостию рече: оковавше Седраха, Мисаха и Авденаго, вверзите в пещь огнем горящую.
21 Walifungwa akali wakiwa wamevaa nguo zao, kanzu, kilemba, na mavazi mengine, na walitupa katika tanuru liwakalo moto.
Тогда мужие онии оковани быша с гащами своими и покрывалы, и сапогми и со одеждами своими, и ввержени быша посреде пещи огнем горящия.
22 Kwasababu ya agizo la mfalme lilifuatwa na tanuru lilikuwa na joto sana, miali ya moto iliwaua watu waliowatupa Shadraka, Meshaki, na Abedinego.
Понеже глагол царев превозможе, и пещь разжжена бысть преизлишше: и мужей оных, иже ввергоша Седраха, Мисаха и Авденаго, уби пламень огненный.
23 Hawa wanaume watatu, Shadraka, Meshaki, na Abednego, waliangukia katika tanuru liwakalo moto wakali wamefungwa.
И мужие тии трие, Седрах, Мисах и Авденаго, падоша посреде пещи огнем горящия оковани,
24 Kisha Nebukadneza mfalme alishangazwa na alisimam haraka. Aliwauliza washauri wake, “Je hatukutupa watu watatu wakiwa wamefungwa katika moto?” Nao walimjibu mfalme, “Hakika mfalme.”
Навуходоносор же слыша поющих их, и почудися, и воста со тщанием, и рече вельможам своим: не триех ли мужей ввергохом среде огня связаных? И реша цареви: воистинну, царю.
25 Alisema, “Lakini ninaona watu wanne ambao hawajafungwa wakizunguka katika moto, na hawajaumizwa. Mng'ao wa mtu wa nne ni kama mwana wa miungu.”
И рече царь: се, аз вижду мужы четыри разрешены и ходящя среде огня, и истления несть в них, и зрак четвертаго подобен сыну Божию.
26 Ndipo Nebukadneza aliposogea karibu na mlango wa tanuru liwakalo moto na akaaita, “Shadraka, Meshaki na Abednego, watumishi wa Mungu Aliye Juu, tokeni nje! Njooni hapa! Ndipo Shadraka, Meshaki na Abednego walitoka nje ya moto.
Тогда прииде Навуходоносор ко устию пещи огнем разжженныя и рече: Седрах, Мисах, Авденаго, раби Бога Вышняго, изыдите и приидите. И изыдоша Седрах, Мисах, Авденаго от среды огня.
27 Magavana wa majimbo, magavana wengine, na washauri wa mfalme waliokuwa wamekusanyika kwa pamoja waliwaona watu hawa. Moto haukuunguza miili yao; nywele katika vichwa vyao hazikuungua; mavazi yao yalikuwa hayajaharibiwa; na hawakuwa na harufu ya moto.
И собрашася князи и воеводы, и местоначалницы и вельможи царевы, и видяху мужей, яко не одоле огнь телесем их и власа главы их не опали, и ризы их не изменишася, и вони огненны не бяше в них.
28 Nebukadneza alisema, “Na tumsifu Mungu wa Shadraka, Meshaki na Abedinego, ambaye amemtuma mjumbe wake na amewapa ujumbe watumishi wake. Walimtumaini yeye wakati walipoikana amri yangu, na waliitoa miili yao badala ya kuabudu au kusujudia mungu mwingine isipokuwa Mungu wao.
И поклонися пред ними царь Богу, и отвеща Навуходоносор царь и рече: благословен Бог Седрахов, Мисахов и Авденаго, Иже посла Ангела Своего и изя отроки Своя, яко уповаша на Него: и слово царево премениша, и предаша телеса своя во огнь, яко да не послужат, ни поклонятся всякому богу иному, но точию Богу своему:
29 Hivyo basi ninaagiza kwamba watu wote, taifa au lugha ambayo itazungumza kitu chochote kinyume na Mungu wa Shadraka, Meshaki na Abedinego lazima wakatwe vipande, na ya kwamba nyumba zao lazima zifanywe kuwa vichuguu vya uchafu kwasababu hakuna mungu mwingine anayeweza kuokoa kama hivi.”
и аз заповедаю заповедь: вси людие, племя, язык, аще речет хулу на Бога Седрахова и Мисахова и Авденаго, в пагубу будут, и домове их в разграбление: понеже несть бога другаго, иже возможет избавити сице.
30 Ndipo mfalme aliwapandisha cheo Shadraka, Meshaki na Abednego katika jimbo la Babeli.
Тогда царь постави Седраха, Мисаха и Авденаго во стране Вавилонстей, и возвеличи их, и сподоби их старейшинства Иудеев всех сущих во царстве его.

< Danieli 3 >