< 2 Samweli 11 >

1 Ikawa wakati wa majira ya kipupwe, wakati ambapo kwa kawaida wafalme huenda vitani, Daudi akamtuma Yoabu, mtumishi wake, na jeshi lote la Israeli. Wakaliaribu jeshi la Amoni na kuuhusuru Raba. Lakini Daudi akakaa Yerusalemu.
E aconteceu que, tendo decorrido um ano, no tempo em que os reis saem, enviou David a Joab, e a seus servos com ele, e a todo o Israel, para que destruíssem os filhos de Ammon, e cercassem a Rabba; porém David ficou em Jerusalém.
2 Hivyo ikawa siku moja wakati wa jioni Daudi akaamka kutoka kitandani na akatembea katika dari la kasri. Akiwa pale akamwona mwanamke aliyekuwa akioga, mwanamke yule alikuwa mzuri sana kwa mwonekano.
E aconteceu à hora da tarde que David se levantou do seu leito, e andava passeando no terraço da casa real, e viu do terraço a uma mulher que se estava lavando: e era esta mulher mui formosa à vista.
3 Hivyo Daudi akatuma na kuuliza watu waliomfahamu yule mwanamke. Mtu mmoja akasema, “Je huyu siye Bathsheba, binti Eliamu, naye si mke wa Uria mhiti?
E enviou David, e perguntou por aquela mulher: e disseram: Porventura não é esta Bathseba, filha de Eliam, mulher de Urias, o hetheu?
4 Daudi akatuma wajumbe nao wakamchukua; akaja kwake, na akalala naye(kwani ndo alikuwa amejitakasa kutoka siku zake). Kisha akarudi nyumbani kwake.
Então enviou David mensageiros, e a mandou trazer; e, entrando ela a ele, se deitou com ela (e já ela se tinha purificado da sua imundícia): então voltou ela para sua casa.
5 Mwanamke akawa mjamzito, naye akatuma na kumwambia Daudi; akasema, “mimi ni mjamzito.”
E a mulher concebeu; e enviou, e fê-lo saber a David, e disse: Prenhe estou.
6 Kisha Daudi akatuma watu kwa Yoabu kusema, “Umtume kwangu Uria mhiti.” Hivyo Yoabu akamtuma Uria kwa Daudi.
Então enviou David a Joab, dizendo: Envia-me Urias o hetheu. E Joab enviou Urias a David.
7 Uria alipofika, Daudi akamuuliza hali ya Yoabu. Jinsi jeshi lilivyokuwa likiendelea, na jinsi vita vilivyokuwa vinaendelea.
Vindo pois Urias a ele, perguntou David como ficava Joab, e como ficava o povo, e como ia a guerra.
8 Daudi akamwambia Uria, “Shuka nyumbani kwako, unawe miguu yako. “Hivyo Uria akaondoka katika kasri la mfalme, mfalme akamtumia zawadi kwa Uria.
Depois disse David a Urias: Desce a tua casa, e lava os teus pés. E, saindo Urias da casa real, logo saiu atráz dele iguaria do rei.
9 Lakini Uria akalala pamoja na watumishi wa bwana wake katika lango la kasri, wala hakushuka nyumbani kwake.
Porém Urias se deitou à porta da casa real, com todos os servos do seu senhor: e não desceu à sua casa.
10 Daudi alipoambiwa, “Uria hakushuka nyumbani kwake,” akamwambia Uria, Je haukutoka safarini? Kwa nini haukushuka nyumbani kwako?”
E o fizeram saber a David, dizendo: Urias não desceu a sua casa. Então disse David a Urias: Não vens tu de uma jornada? Porque não desceste a tua casa?
11 Uria akamjibu Daudi, “Sanduku, na Israeli na Yuda wamo kwenye mahema, na Yoabu na watumishi wa bwana wangu wamepiga hema uwandani. Jinsi gani basi mimi naweza kwenda nyumbani kwangu kula kunywa na kulala na mke wangu? kwa hakika kama uishivyo, sitafanya hivyo.
E disse Urias a David: A arca, e Israel, e Judá ficam em tendas; e Joab meu senhor e os servos de meu senhor estão acampados no campo; e hei de eu entrar na minha casa, para comer e beber, e para me deitar com minha mulher? Pela tua vida, e pela vida da tua alma, não farei tal coisa.
12 Hivyo Daudi akamwambia Uria, “Ukae leo pia, kesho nitakuacha uende.” Kwa hiyo uria akakaa Yerusalemu siku hiyo na iliyofuata.
Então disse David a Urias: Fica cá ainda hoje, e amanhã te despedirei. Urias pois ficou em Jerusalém aquele dia e o seguinte.
13 Daudi alipomwita, alikula na kunywa pamoja naye, Daudi akamfanya alewe. Wakati wa jioni Uria akaenda kulala kitandani pake pamoja na watumish wa bwana wake; hakushuka nyumbani kwake.
E David o convidou, e comeu e bebeu diante dele, e o embebedou: e à tarde saiu a deitar-se na sua cama como os servos de seu senhor; porém não desceu a sua casa.
14 Hivyo asubuhi Daudi akamwandikia Yoabu barua, naye akaituma kwa mkono wa Uria.
E sucedeu que pela manhã David escreveu uma carta a Joab: e mandou-lha por mão de Urias.
15 Ndani ya barua Daudi aliandika hivi, “Mweke Uria mbele ya vita vikali sana, na kisha, mmwache, ili apigwe na afe.
Escreveu na carta, dizendo: Ponde a Urias na frente da maior força da peleja; e retirai-vos de detraz dele, para que seja ferido e morra.
16 Hivyo Yoabu alipoona mji ukizingirwa, alimweka Uria katika sehemu aliyojua askari adui wenye nguvu wangekuwa wakipigana.
Aconteceu, pois, que, tendo Joab observado bem a cidade, pôs a Urias no lugar onde sabia que havia homens valentes.
17 Wakati watu wa mji walipotoka na kupigana dhidi ya jeshi la Yoabu, baadhi ya askari wa Daudi wakaanguka, na Uria Mhiti pia akauwawa.
E, saindo os homens da cidade, e pelejando com Joab, cairam alguns do povo, dos servos de David: e morreu também Urias, o hetheu.
18 Wakati Yoabu alipotuma neno kwa mfalme kuhusu hali ya vita,
Então enviou Joab, e fez saber a David todo o successo daquela peleja.
19 alimwagiza mjumbe, kusema, “Utakapomaliza kumwambia mfalme kuhusu hali ya vita,
E deu ordem ao mensageiro, dizendo: Acabando tu de contar ao rei todo o successo desta peleja;
20 yawezekana mfalme akakasirika, naye akakwambia, 'Kwa nini mlipigana na mji kwa karibu hivyo, hamkujua kwamba wangeweza kushambulia kutokea ukutani?
E sucedendo que o rei se encolerize, e te diga: Porque vos chegastes tão perto da cidade a pelejar? Não sabieis vós que haviam de atirar do muro?
21 Ni nani aliyemwua Abimeleki mwana wa Yerubeshethi? Siye mwanamke aliyerusha jiwe la kusagia juu yake kutoka ukutani, hata akafa huko Thebesi? Kwanini basi mliukaribia ukuta jinsi hiyo? Nawe umjibu, 'Uria mtumishi wako amekufa pia.”
Quem feriu a Abimelech, filho de Jerubbeseth? Não lançou uma mulher sobre ele do muro um pedaço de uma mó corredora, de que morreu em Thebes? Porque vos chegastes ao muro? Então dirás: também morreu teu servo Urias, o hetheu.
22 Hivyo mjumbe akaondoka na kwenda kwa Daudi akamwambia kila jambo ambalo Yoabu alimtuma kusema.
E foi o mensageiro, e entrou, e fez saber a David tudo, porque Joab o enviara dizer.
23 Na mjumbe akamwambia Daudi, “Mwanzoni adui walikuwa na nguvu kuliko sisi; walitukabili uwandani, lakini tukawarudisha nyuma kwenye maingilio ya lango.
E disse o mensageiro a David: Na verdade que mais poderosos foram aqueles homens do que nós, e sairam a nós ao campo; porém nós fomos contra eles, até à entrada da porta
24 Na wapiga mishale wao wakawarushia watumishi wako kutoka ukutani, na baadhi ya watumishi wa mfalme wameuawa, na mtumishi wako Uria mhiti pia ameuawa.”
Então os flecheiros atiraram contra os teus servos desde o alto do muro, e morreram alguns dos servos do rei: e também morreu o teu servo Urias, o hetheu.
25 Kisha Daudi akamwambia mjumbe, “Mwambie hivi Yoabu, 'Usiruhusu jamba hili likuhuzunishe, kwa maana upanga huangamiza huyu kama uangamizavyo na mwingine. Vifanye vita vyako kuwa vyenye nguvu zaidi dhidi ya mji, na uuteke.' Mtie moyo Yoabu.”
E disse David ao mensageiro: Assim dirás a Joab: Não te pareça isto mal aos teus olhos; pois a espada tanto consome este como aquele: esforça a tua peleja contra a cidade, e a derrota: esforça-o tu assim.
26 Hivyo mke Uria aliposikia kwamba mme wake amekufa, akaomboleza sana kwa ajili yake.
Ouvindo pois a mulher de Urias que Urias seu marido era morto, lamentou a seu senhor.
27 Huzuni yake ilipoisha, Daudi akatuma na kumchukua kwake katika kasri lake, naye akawa mkewe na akamzalia mwana. Lakini alichokifanya Daudi hakikumpendeza Yahwe.
E, passado o nojo, enviou David, e a recolheu em sua casa, e lhe foi por mulher, e pariu-lhe um filho. Porém esta coisa que David fez pareceu mal aos olhos do Senhor.

< 2 Samweli 11 >