< 2 Wafalme 6 >

1 Wana wa manabii wakamwambia Elisha, “Sehemu ambayo tunayoishi na wewe ni ndogo sana kwa ajili ya wote.
A sinovi proroèki rekoše Jelisiju: gle, mjesto gdje sedimo pred tobom tijesno nam je.
2 Tafadhali, tuache tuende Yordani, na umwache kila mtu akate mti hapo ambako tunaweza kuishi.” Elisha akajibu, “unaweza kwenda mbele.”
Nego hajde da otidemo na Jordan, pa da uzmemo ondje svaki po brvno i naèinimo ondje mjesto gdje æemo boraviti. A on reèe: idite.
3 Mmoja wao akasema, “Nenda na watumishi wako tafadhali.” Elisha akajibu, “Nitaenda.”
A jedan reèe: budi voljan, poði i ti sa slugama svojim. A on reèe: hoæu.
4 Kwa hiyo akaenda pamoja nao, na wakati walipokuja Yordani, wakaanza kukata miti.
I tako poðe s njima. I došavši na Jordan sjekoše drva.
5 Lakini mmoja wao alipokuwa akikata, kichwa cha shoka kikaangukia kwenye maji; akalia kwa sauti na kusema, “la hasha, bwana wangu, kilikuwa kimeazimwa!”
A kad jedan od njih sijecijaše drvo, pade mu sjekira u vodu; a on povika govoreæi: avaj gospodaru, još je u naruè uzeta.
6 Basi mtu wa Mungu akasema, “kiliangukia wapi?” Yule mtu akamwonyesha Elisha ile sehemu. akakata fimbo, akarusha kwenye maji, na kufanya chuma kuelea.
A èovjek Božji reèe mu: gdje je pala? A kad mu pokaza mjesto, on otsijeèe drvo i baci ga onamo, i uèini te sjekira ispliva.
7 Elisha akasema, “Kichukue.” Basi yule mtu akafikisha mkono wake na kukinyakua.
A on reèe: uzmi je. I èovjek pruži ruku, te je uze.
8 Basi mfalme wa Shamu alikuwa akipigana vita dhidi ya Israel. Akafanya shauri na watumishi wake, akisema, “kambi yangu itakuwa sehemu flani na flani.”
A kad car Sirski vojevaše na Izrailja, vijeæaše sa slugama svojim, i reèe: tu i tu neka stane vojska moja.
9 Basi huyo mtu wa Mungu akamtuma kwa mfalme wa Israeli, akisema, “Kuwa makini usipite ile sehemu, kwa kuwa ndipo Washamu wanakoshukia hapo.”
A èovjek Božji posla k caru Izrailjevu i poruèi: èuvaj se da ne ideš onuda, jer su ondje Sirci u zasjedi.
10 Mfalme wa Israeli akatuma mjumbe kwenda pale sehemu ambayo mtu wa Mungu alipaongelea na kumtahadharisha. Zaidi ya mara moja au mbili, wakati mfalme alipoenda pale, alikuwa kwenye ulinzi wake.
I car Izrailjev posla na ono mjesto, za koje reèe èovjek Božji i opomenu ga, te se èuvaše. I to ne bi jedanput ni dva puta.
11 Huyo mfalme wa Shamu alikasirishwa kuhusu haya maonyo, na akawaita watumishi wake na kuwaambia, “Je hamtaniambia ni nani miongoni mwetu aliye upande wa Israeli?”
I smuti se srce caru Sirskom zato, i sazvavši sluge svoje reèe im: hoæete li mi kazati ko od naših dokazuje caru Izrailjevu?
12 Hivyo mmoja wa watumishi wake akasema, “Hapana, bwana wangu, mfalme, kwa ajili ya Elisha yule nabii katika Israeli humwambia yule mfalme wa Israeli maneno ambayo uyaongeayo kwenye kitanda chako cha kulala!”
A jedan od sluga njegovijeh reèe mu: niko, care gospodaru moj; nego Jelisije prorok u Izrailju dokazuje caru Izrailjevu rijeèi koje govoriš u ložnici svojoj.
13 Yule mfalme akajibu, “Nenda na uone Elisha alipo hivyo naweza kutuma watu na kumkamata.” Akaambiwa, “Tazama yuko Dothani.”
Tada reèe: idite, vidite gdje je, da pošljem da ga uhvate. I javiše mu govoreæi: eno ga u Dotanu.
14 Kwa hiyo yule mfalme akatuma farasi kwenda Donathi, magari ya farasi, na jeshi kubwa. Wakaja usiku na kuzunguka ule mji.
I posla onamo konje i kola s velikom vojskom; i oni došavši noæu opkoliše grad.
15 Wakati yule mtumishi wa mtu wa Mungu alipoamka mapema na kutoka nje, kumbe, jeshi kubwa pamoja na farasi na magari ya farasi yameuzunguka mji. Mtumishi wake akamwabia, “Kumbe, bwana wangu! Tutafanya nini?”
A ujutru sluga èovjeka Božijega ustavši izide, a to vojska oko grada i konji i kola. I reèe mu sluga: jaoh gospodaru, šta æemo sad?
16 Elisha akajibu, “usiogope, wale walio na sisi ni zaidi kuliko wale walio nao.”
A on mu reèe: ne boj se, jer je više naših nego njihovijeh.
17 Elisha akajibu na kusema, “Yahwe, nakuomba kwamba utamfungua macho yake ili kwamba aweze kuona.” Ndipo Yahwe alipofungua macho ya mtumishi, na akaona. Kumbe, ule mlima ulikuwa umejaa farasi na magari ya farasi ya moto yamemzunguka Elisha!
I pomoli se Jelisije govoreæi: Gospode, otvori mu oèi da vidi. I Gospod otvori oèi momku, te vidje, a to gora puna konja i kola ognjenijeh oko Jelisija.
18 Wakati hao Washami walipomshukia chini, Elisha aliomba kwa Yahwe na kusema, “Uwapige hawa watu kwa upofu, nakuomba.” Hivyo Yahwe akawafanya vipofu, kama Elisha alivyoomba.
A kad poðoše Sirci k njemu, pomoli se Jelisije Gospodu i reèe: oslijepi ovaj narod. I oslijepi ih po rijeèi Jelisijevoj.
19 Kisha Elisha akawaambia Washami, “Hii njia sio, pia mji huu sio. Nifuateni mimi, na nitawaleta kwa yule mtu ambaye mnayemtafuta.” Ndipo akawaongoza kweda Samaria.
Tada im reèe Jelisije: nije ovo put, nije ovo grad; hodite za mnom i odvešæu vas èovjeku kojega tražite. I odvede ih u Samariju.
20 Hata walipokwisha kufika Samaria, Elisha akasema, “Yahwe, fungua macho ya hawa watu ili waweze kuona.” Yahwe akawafungua macho yao na wakaona, na kumbe, walikuwa katikati ya mji wa Samaria.
A kad doðoše u Samariju, reèe Jelisije: Gospode, otvori im oèi da vide. I Gospod im otvori oèi, i vidješe, a to bijahu usred Samarije.
21 Yule mfalme wa Israeli akamwambia Elisha, wakati alipowaona, “Baba yangu, niwaue? Niwaue?”
A car Izrailjev reèe Jelisiju kad ih ugleda: hoæu li biti, hoæu li biti, oèe moj?
22 Elisha akajibu, “Usiwaue. Ungeweza kuwaua wale ambao uliokuwa umewachukua mateka kwa upanga na upinde wako? Weka mkate na maji mbele yao, ili kwamba waweze kula na kunywa, na kwenda kwa bwana wao.”
A on reèe: nemoj biti; eda li æeš one pobiti koje zarobiš maèem svojim i lukom svojim? Iznesi im hljeba i vode neka jedu i piju, pa onda neka idu gospodaru svojemu.
23 Ndipo mfalme akaandaa chakula kingi kwa ajili yao, na wakati walipokula na kunywa, akawapeleka mbali, na walirudi kwa bwana wao. Lile kundi la jeshi la Wasahami halikurudi kwa mda mrefu katika nchi ya Israeli.
I ugotovi im gozbu veliku, te jedoše i piše; pa ih otpusti, a oni otidoše gospodaru svojemu; i od tada ne dolaziše èete Sirske u zemlju Izrailjevu.
24 Baadaye baada ya huyu Ben Hadadi mfalme wa Shamu kukusanya majeshi yake yote na kuiteka Samaria na kuizingira.
A poslije toga Ven-Adad car Sirski skupi svu vojsku svoju, i izide i opkoli Samariju.
25 Hivyo kulikuwa na njaa kubwa katika Samaria. Kumbe, wakauzingira hadi kichwa cha punda kilipouzwa kwa vipande themanini vya fedha, na sehemu ya nne ya sehemu ya kibaba cha kinyesi cha njiwa kwa vipande vitano vya fedha.
I nasta velika glad u Samariji, jer gle, bješe opkoljena toliko da glava magareæa bijaše za osamdeset sikala srebra, a èetvrt kava golubinjega kala za pet sikala srebra.
26 Wakati mfalme wa Israeli alipokuwa akipita karibu na ukuta, mwanamke mmoka akamlilia akisema, “Nisaidie, bwana wangu, mfalme.”
I kad car iðaše po zidovima, jedna žena povika k njemu govoreæi: pomagaj, care gospodaru!
27 Akasema, “Kama Yahwe hawezi kukusaidia, je nitakusaidiaje? je kuna kitu chochote kinakuja kutoka sehemu ya kupuria nafaka au shinikizoni?”
A on reèe: Gospod ti ne pomaže, kako æu ti ja pomoæi? s gumna li, ili iz kace?
28 Mfalme akaendelea, “Nini kinakusumbua?” Akajibu, “Huyu mwanamke ameniambia, 'Mtoe mtoto wako ili tuweze kumla leo, na tutamla wakwangu kesho.”
Još joj reèe car: što ti je? A ona reèe: ova žena reèe mi: daj sina svoga da ga pojedemo danas, a sjutra æemo pojesti moga sina.
29 Hivyo tulimchemsha mtoto wangu na kumla, na siku ya pili yake nikamwambia, “Mtoe mtoto wako ili tuweze kumla, lakini alikuwa amemficha mtoto wake.”
I skuhasmo sina mojega i pojedosmo ga, a sjutradan rekoh joj: daj sina svojega da ga pojedemo. Ali ona sakri svoga sina.
30 Basi mfalme aliposikia yale maneno ya yule mwanamke, akayachana mavazi yake (sasa alikuwa akitembelea kwenye ukuta), na watu wakatazama na kuona kwamba alikuwa amevaa nguo ya gunia chini, dhidi ya ngozi yake.
A kad car èu rijeèi ženine, razdrije haljine svoje; i kad iðaše po zidu, vidje narod gdje kostrijet bijaše ozdo na tijelu njegovu.
31 Kisha akasema, “Mungu afanye hivyo kwangu, na zaidi pia, kama kichwa cha Elisha mwana wa Shafati kitabaki juu yake leo.”
Tada reèe car: tako da mi uèini Bog i tako da doda, ako glava Jelisija sina Safatova ostane danas na njemu.
32 Basi Elisha alikuwa ameketi kwenye nyumba yake, na wazee walikuwa wamekaa pamoja naye. Yule mfalme akamtuma mtu wa mbele yake, lakini wakati mjumbe alipokuja kwa Elisha, akawaambia wazee, “Ona jinsi huyu mwana wa muuaji alivytumwa kuchukua kichwa changu? Tazama, wakati yule mjumbe atakapokuja, funga mlango, na uushikilie huo mlango funga dhidi yake asiingie. Je sio sauti ya bwana wake nyuma mguuni pake?”
A Jelisije sjeðaše u svojoj kuæi, i starješine sjeðahu kod njega. I posla car jednoga od onijeh što stajahu pred njim; a dok još ne doðe poslani k njemu, on reèe starješinama: vidite li gdje onaj krvnièki sin posla da mi otsijeèe glavu? Gledajte kad doðe poslani, zakljuèajte vrata, i odbijte ga od vrata; eto, i bahat nogu gospodara njegova za njim.
33 Wakati alipokuwa bado akiongea pamoja nao, kumbe, yule mjumbe alishuka kwake. Mfalme akasema, “Kumbe, masumbuko haya yatoka kwa Yahwe. Kwa nini nimsubiri Yahwe tena?”
I dok još govoraše s njima, gle, poslani doðe k njemu, i reèe; gle, ovo je zlo od Gospoda; èemu æu se još nadati od Gospoda?

< 2 Wafalme 6 >