< 1 Wafalme 15 >

1 Katika mwaka wa kumi na tano wa mfame Yeroboamu mwana wa Nebati, Abiya alianza kutawala juu yaYuda.
Abijam became king of Judah in the eighteenth year of the reign of King Jeroboam, son of Nebat.
2 Alitawala kwa miaka mitata kule Yerusalemu. Jina la mama yake allikuwa Maaka. Alikuwa binti wa Absalomu.
He reigned in Jerusalem for three years. His mother's name was Maacah, daughter of Abishalom.
3 Naye alitembea katika dhambi zote ambazo baba yake alizifanya kabla yake; moyo wake haukuwa mkalifu kwa BWANA, Mungu wake kama moyo wa Daudi, babu yake ulivyokuwa.
Abijam committed all the sins his father had before him. He was not wholly dedicated to the Lord his God as his forefather David had been.
4 Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi, BWANA, Mungu wake alimpa taa Yerusalemu kwa kumwinua mwanae baada yake ili kuiimarisha Yerusalemu.
Even so, for David's sake, the Lord his God let his descendants to continue to rule like a lamp, a son to rule after him and to make Jerusalem strong.
5 Mungu alifanya haya kwa sababu Daudi alifanya yaliyo mema machoni pake; wakati wote wa uhai wake, hakugeuka wala hakukosa katika yote aliyomwamuru, isipokuwa tu swala la Uria Mhiti.
For David had done what was right in the Lord's sight, and had not deviated from anything the Lord commanded throughout his lifetime, except in the case of Uriah the Hittite.
6 Sasa kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Jeroboamu katika siku zote za maisha ya Abiya.
(Rehoboam and Jeroboam were always at war with each other.)
7 Kwa mambo mengine ya Abiya, yote aliyofanya, je, hayajaandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda? Sasa kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.
The rest of what happened in Abijam's reign and everything that he did are recorded in the Book of Chronicles of the Kings of Judah. Abijam and Jeroboam were always at war with each other.
8 Abiya akalala na mababu zake, nao wakamzika katika mji wa Daudi. Asa mwanae akawa mfalme mahali pake.
Abijam died and was buried the City of David. His son Asa succeeded him as king.
9 Katika mwaka wa ishirini wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa akaanza kutawala Yuda.
Asa became king of Judah in the twentieth year of the reign of Jeroboam, king of Israel.
10 Alitawala kwa miaka arobaini na moja kule Yerusalemu. Bibi yake alikuwa Maaka, binti wa Absalomu.
He reigned in Jerusalem forty-one years. His grandmother's name was Maakah, daughter of Abishalom.
11 Asa akafanya yaliyo mema machono mwa BWANA, kama alivyofanya Daudi, babu yake.
Asa did what was right in the Lord's sight, as his forefather David had done.
12 Yeye aliwafukuza kutoka katika nchi wale makahaba wa kipagani na akaziondoa sanamu zote ambazo babu zake walikuwa wametengeneza.
He expelled the cult prostitutes from the land and got rid of all of the idols that his forefathers had made.
13 Pia alimwondoa bibi yake asiwe Malkia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza kwa Ashera. Asa aliikata sanamu ya kuchukiza na kuiteketeza katika Bonde la Kidroni.
He even dismissed his grandmother Maacah as queen mother, because she had made a disgusting idol. Asa had the idol chopped down and burned in the Kidron Valley.
14 Lakini pale mahali pa juu hapakuchukuliwa. Hata hivyo. Moyo wa Asa ulikuwa mkamilifu mbele ya BWANA katika siku zake zote.
Though the high places were not removed, Asa was completely committed to the Lord all his life.
15 Alivirerjesha katika nyumba ya BWANA vitu vile vilivyokuwa vimetengwa kwa ajili ya BWANA, na vile vitu vyake vilivyokuwa vimetengezwa kwa fedha, na dhahabu na vyombo.
He brought into the house of the Lord the silver and gold and the other items that he and his father had dedicated.
16 Basi kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli, kwa miaka yao yote.
Asa and Baasha, king of Israel, were always at war with each other.
17 Baasha mfalme wa Israeli, akaivamia na kuijenga Rama, kiasi kwamba hakumruhusu yeyote kuondoka au kuingia katika nchi ya Asa mfalme wa Yuda.
Baasha, king of Israel, attacked Judah and fortified Ramah to stop people coming from or going to Asa, king of Judah.
18 Kisha Asa akazichukua zile fedha na dhahabu zilizokuwa zimebaki kwenye hazina kwenye nyumba ya BWANA, na katika hazina ya ikulu ya mfalme. Akaziweka katika mikono ya watumishi wake na kuzituma kwa Beni Hadadi mwana wa Tabrimoni mwana wa Hezioni, mfalme wa Shamu ambaye alikuwa akishi Dameski. Akamwambia,
So Asa took all the silver and gold that was left in the treasuries of the Lord's Temple and of the royal palace. He handed it over to his servants and sent them to Ben-hadad, son of Tabrimmon, the son of Hezion, king of Aram, who lived in Damascus, along with this message:
19 “Naomba tufanye patano kati yangu na wewe, kama ilivyokuwa kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, Nimekutumia zawadi ya fedha na dhahabu. Ili uvunje agano lako na Baasha mfalme wa Israeli, ili kwamba aniache.”
“Let us make a treaty between us, just as there was between my father and your father. Look, I've sent you a gift of silver and gold. Go and break your treaty with Baasha, king of Israel, so that he will retreat and leave me alone.”
20 Beni Hadadi akamsikiliza mfalme Asa na kutuma wakuu wa majeshi yake, nao wakaishambulia miji ya Israeli. Wakaishambulia Ijoni, Dani, Abeliya Bethi Maaka, na Kinerothi yote, pamoja na nchi yote ya Naftali.
Ben-hadad accepted Asa's proposal and sent his army with its commanders to attack the towns of Israel. They captured the towns of Ijon, Dan, Abel-beth-maacah, and all Kinnereth, including all the land of Naphtali.
21 Ikawa Baasha aliposikia haya, akaacha kuijenga Rama akarudi Tirza.
When Baasha heard about this, he stopped fortifying Ramah and retreated to Tirzah.
22 Kisha mfalme Asa akaitangazia Yuda yote. Hakuna aliyeachwa. Wakayabeba mawe na miti ya Rama ambayo Baasha alikuwa akijengea mji. Kisha mfalme Asa akavitumia hivyo vitu kuijenga Geba ya Benjamini na Mispa.
Then King Asa issued a proclamation throughout all Judah, with no exception. The people obeyed, and carried away the stones and the timbers Baasha had used for building up Ramah. King Asa used these building materials to strengthen Geba of Benjamin, as well as Mizpah.
23 Mambo mengine yanyohusu utawala wa Asa, uwezo wake wote, yote aliyofanya, na miji aliyoijenga, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda? Lakini wakati wa uzee wake alipata ugonjwa wa miguu.
The rest of what happened in Asa's reign, all his achievements, everything that he did, and the towns he built, are recorded in the Book of Chronicles of the Kings of Judah. But when he grew old he had disease in his feet.
24 Kisha Asa akalala na mababu zake na akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi baba yake. Yehoshafati mwanae akawa mfalme mahali pake.
Asa died and was buried with his ancestors in the City of David. His son Jehoshaphat succeeded him as king.
25 Nadabu mwana wa Yerobiamu alianza kutawala huko Israeli wakati wa mwaka wa pili wa Asa mfalme wa Yuda; Aliitawala Israeli kwa miaka miwili.
Nadab, son of Jeroboam became king of Israel in the second year of the reign of King Asa of Judah. He reigned in Israel for two years.
26 Akafanya yaliyo maovu mbele y a macho ya BWANA naye akatembea katika njia ya baba yake, na katika dhambi yake, aliisababisha Israeli kufanya dhambi.
He did what was evil in the Lord's sight. He followed the ways of his father and committed the same sins his father had made Israel commit.
27 Baasha mwana wa Ahiya, wa familia ya Isakari, akafanya hila dhidi ya Nadabu; Baasha akamwua huko Gibethoni, ambao ulikuwa mji wa Wafilisti, kwa kuwa Nadabu na Israeli walikuwa wakiuhusuru Gibethoni.
Baasha, son of Ahijah of the tribe of Issachar, plotted a rebellion against him. Baasha murdered Nadab at the Philistine town of Gibbethon while Nadab and the whole Israelite army were besieging it.
28 Katika mwaka wa tatu wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha alimwua Nadabu naye akawa mfalme mahali pake.
Baasha killed Nadab and took over as king in the third year of the reign of King Asa of Judah.
29 Mara tu baad ya kuwa mfalme, Baasha aliwaua watu wote wa familia ya Yeroboamu. Hakumwacha hata mmoja wa uzao wa Yeroboamu awe hai; Kwa njia hii akawa ameuharibu ukoo wote wa kifalme, kama vile BWANA alivyokuwa amesema kupitia mtumishi wake Ahiya Mshilo,
As soon as he became king he killed all the rest of Jeroboam's family. He did not leave any of Jeroboam's descendants alive—he destroyed them all, as the Lord had said through his servant Ahijah the Shilonite.
30 kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu ambazo alifanya na akaisababishia Israeli kufanya dhambi, kwa kuwa alimkasirisha BWANA, Mungu wa Israeli.
This happened because of the sins Jeroboam had committed and had made Israel commit, and because he had made the Lord, the God of Israel, angry.
31 Mambo mengine yanayomhusu Nadabu, na yote aliyofanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
The rest of what happened in Nadab's reign and everything that he did are recorded in the Book of Chronicles of the Kings of Israel.
32 Kisha kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli katika siku zao zote.
Asa and Baasha, king of Israel, were always at war with each other.
33 Katika mwaka wa tatu wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya alianza kuitawala Israeli yote huko Tirza naye alitawala kwa miaka ishirini na nne.
Baasha, son of Ahijah, became king over all of Israel in the third year of the reign of King Asa in Judah. Baasha reigned in Tirzah for twenty-four years.
34 Naye akafanya yaliyo mabaya katika macho ya BWANA na akatembea katika njia ya Yeroboamu na katika dhambi yake ambayo kwa hiyo aliifanya Israeli kufanya dhambi.
Baasha did what was evil in the Lord's sight and followed the way of Jeroboam and his sin, which he had made Israel commit.

< 1 Wafalme 15 >