< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Benjamim gerou a Belá seu primogênito, Asbel o segundo, Aará o terceiro,
2 Noha, na Rafa.
Noá o quarto, e Rafa o quinto.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
E os filhos de Belá foram: Adar, Gera, Abiúde,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
Abisua, Naamã, Aoá,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
Gera, Sefufá, e Hurão.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
E estes foram os filhos de Eúde, os quais foram os cabeças das famílias dos moradores em Geba, que foram levados cativos a Manaate:
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
Naamã, Aías, e Gera; este os levou cativos, e gerou a Uzá e a Aiúde.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
E Saaraim gerou filhos na terra de Moabe, depois que deixou a suas mulheres Husim e Baara.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
De sua mulher Hodes ele gerou a Jobabe, Zíbia, Messa, Malcã,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
Jeús, Saquias, e Mirma. Estes foram seus filhos, cabeças de famílias.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
E de Husim ele gerou a Abitube, e a Elpaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
E os filhos de Elpaal foram: Héber, Misã, Semede (o qual edificou a Ono e a Lode com suas aldeias),
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
Assim como Berias, e Sema, que foram cabeças das famílias dos moradores de Aijalom, os quais afugentaram aos moradores de Gate.
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
E Aiô, Sasaque, Jeremote,
15 Zebadia, Aradi, Eda,
Zebadias, Arade, Eder;
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Micael, Ispa, e Joá, foram filhos de Berias.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
E Zebadias, Mesulão, Hizqui, Héber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
Ismerai, Izlias, e Jobabe, foram filhos de Elpaal.
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
E Jaquim, Zicri, Zabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
Elioenai, Ziletai, Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
Adaías, Beraías, e Sinrate, foram filhos de Simei.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
E Ispã, Héber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdom, Zicri, Hanã,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
Hananias, Elão, Antotias,
25 Ifdeia, na Penueli.
Ifdeias, e Penuel, foram filhos de Sasaque.
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
E Sanserai, Searias, Atalias;
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
Jaaresias, Elias, e Zicri, foram filhos de Jeroão.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
Estes foram cabeças de famílias, chefes segundo suas gerações; estes habitaram em Jerusalém.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
E em Gibeão habitou o pai de Gibeão; e o nome de sua mulher era Maaca;
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
E seu filho primogênito foi Abdom; depois Zur, Quis, Baal, Nadabe,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
Gedor, Aiô, Zequer,
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
E Miclote, que gerou a Simeia. Estes também habitaram perto de irmãos em Jerusalém, vizinhos a eles.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
E Ner gerou a Quis; Quis gerou a Saul, e Saul gerou a Jônatas, Malquisua, Abinadabe, e a Esbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
O filho de Jônatas foi Meribe-Baal, e Meribe-Baal gerou a Mica.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
Os filhos de Mica foram: Pitom, Meleque, Tareia e Acaz.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
E Acaz gerou a Jeoada; e Jeoada gerou a Alemete, a Azmavete, e a Zinri; e Zinri gerou a Moza.
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
E Moza gerou a Bineá, cujo filho foi Rafa, cujo filho foi Eleasá, cujo filho foi Azel.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Azel teve seis filhos, cujos nomes foram: Azricão, Bocru, Ismael, Searias, Obadias, e Hanã; todos estes foram filhos de Azel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
E os filhos de Eseque, seu irmão, foram: Ulão seu primogênito, Jeús o segundo, e Elifelete o terceiro.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
E os filhos de Ulão foram guerreiros valentes, hábeis flecheiros; e tiveram muitos filhos e netos, cento e cinquenta. Todos estes foram dos filhos de Benjamim.

< 1 Nyakati 8 >