< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Beniamin spłodził Belę, swego pierworodnego, Aszbela – drugiego, Achracha – trzeciego;
2 Noha, na Rafa.
Nocha – czwartego, Rafa – piątego.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
Synami Beli [byli]: Addar, Gera, Abihud;
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
Abiszua, Naaman, Achoach;
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
Gera, Szefufan i Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
Oto synowie Ehuda – byli oni naczelnikami rodów mieszkających w Geba i zostali przesiedleni do Manachat;
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
Byli to: Naaman, Achiasz i Gera. On ich przesiedlił i potem spłodził Uzzę i Ahiuda.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
A Sacharaim spłodził [dzieci] w krainie Moabu po odprawieniu swoich żon Chuszimy i Baary.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
Spłodził więc ze swojej żony Chodeszy Jobaba, Sibię, Meszę, Malkoma;
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
Jeusa, Sakiasza i Mirmę. Ci [byli] jego synami, naczelnikami rodów.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
Z Chuszimy spłodził Abituba i Elpaala.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
Synowie Elpaala: Eber, Miszam i Szemed, który zbudował Ono i Lod oraz należące do niego miejscowości;
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
A także Beria i Szema, którzy [byli] naczelnikami rodów mieszkających w Ajjalonie. To oni wypędzili mieszkańców Gat.
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
A Achio, Szaszak, Jeremot;
15 Zebadia, Aradi, Eda,
Zebadiasz, Arad, Eder;
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Mikael, Jiszpa i Jocha – [byli to] synowie Berii.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
A Zebadiasz, Meszullam, Chiszki, Cheber;
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
Jiszmeraj, Jiszlia i Jobab – [byli] synami Elpaala.
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
A Jakim, Zikri, Zabdi;
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
Elioenaj, Silletaj, Eliel;
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
Adajasz, Berajasz, Szimrat – to synowie Szimejego.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
A Jiszpan, Eber, Eliel;
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zikri, Chanan;
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
Chananiasz, Elam i Antotiasz;
25 Ifdeia, na Penueli.
Jifdejasz i Penuel – to synowie Szaszaka.
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
A Szamszeraj, Szechariasz, Ataliasz;
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
Jaareszjasz, Eliasz i Zikri – to synowie Jerochama.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
Ci [byli] naczelnikami rodów, przywódcami według swoich rodowodów, a zamieszkali w Jerozolimie.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
W Gibeonie mieszkał ojciec Gibeona, a jego żona miała na imię Maaka.
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
Jego pierworodnym synem [był] Abdon, a następni to: Sur, Kisz, Baal, Nadab;
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
Gedor, Achio i Zakir.
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
Miklot spłodził Szimeę. Oni także mieszkali ze swoimi braćmi w Jerozolimie, naprzeciw swoich braci.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Ner spłodził Kisza, a Kisz spłodził Saula, Saul zaś spłodził Jonatana, Malkiszuę, Abinadaba i Eszbaala.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
Synem Jonatana [był] Meribbaal, Meribbaal zaś spłodził Micheasza.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
Synowie Micheasza: Piton, Melek, Tarea i Achaz.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Achaz spłodził Jehoaddę, a Jehoadda spłodził Alemeta, Azmaweta i Zimriego, a Zimri spłodził Mosę;
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Mosa spłodził Bineę, jego synem był Rafa, jego synem był Eleasa, jego synem był Asel.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Asel miał sześciu synów, a oto ich imiona: Azrikam, Bokru, Izmael, Szeariasz, Obadiasz i Chanan. Ci wszyscy byli synami Asela.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
Synowie jego brata Eszeka: Ulam, jego pierworodny, Jeusz – drugi, Elifelet – trzeci;
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
Synowie Ulama byli dzielnymi wojownikami, sprawnymi łucznikami, a mieli wielu synów i wnuków, razem – stu pięćdziesięciu. Ci wszyscy [pochodzili] z synów Beniamina.

< 1 Nyakati 8 >