< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Benjamin became the father of Bela his firstborn, Ashbel the second, Aharah the third,
2 Noha, na Rafa.
Nohah the fourth, and Rapha the fifth.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
Bela had sons: Addar, Gera, Abihud,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
Abishua, Naaman, Ahoah,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
Gera, Shephuphan, and Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
These are the sons of Ehud. These are the heads of fathers’ households of the inhabitants of Geba, who were carried captive to Manahath:
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
Naaman, Ahijah, and Gera, who carried them captive; and he became the father of Uzza and Ahihud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
Shaharaim became the father of children in the field of Moab, after he had sent them away. Hushim and Baara were his wives.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
By Hodesh his wife, he became the father of Jobab, Zibia, Mesha, Malcam,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
Jeuz, Shachia, and Mirmah. These were his sons, heads of fathers’ households.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
By Hushim, he became the father of Abitub and Elpaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
The sons of Elpaal: Eber, Misham, and Shemed, who built Ono and Lod, with its towns;
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
and Beriah and Shema, who were heads of fathers’ households of the inhabitants of Aijalon, who put to flight the inhabitants of Gath;
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
and Ahio, Shashak, Jeremoth,
15 Zebadia, Aradi, Eda,
Zebadiah, Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Michael, Ishpah, Joha, the sons of Beriah,
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
Zebadiah, Meshullam, Hizki, Heber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
Ishmerai, Izliah, Jobab, the sons of Elpaal,
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
Jakim, Zichri, Zabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
Elienai, Zillethai, Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
Adaiah, Beraiah, Shimrath, the sons of Shimei,
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
Ishpan, Eber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zichri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
Hananiah, Elam, Anthothijah,
25 Ifdeia, na Penueli.
Iphdeiah, Penuel, the sons of Shashak,
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
Shamsherai, Shehariah, Athaliah,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
Jaareshiah, Elijah, Zichri, and the sons of Jeroham.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
These were heads of fathers’ households throughout their generations, chief men. These lived in Jerusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
The father of Gibeon, whose wife’s name was Maacah, lived in Gibeon
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
with his firstborn son Abdon, Zur, Kish, Baal, Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
Gedor, Ahio, Zecher,
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
and Mikloth, who became the father of Shimeah. They also lived with their families in Jerusalem, near their relatives.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Ner became the father of Kish. Kish became the father of Saul. Saul became the father of Jonathan, Malchishua, Abinadab, and Eshbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
The son of Jonathan was Merib-baal. Merib-baal became the father of Micah.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
The sons of Micah: Pithon, Melech, Tarea, and Ahaz.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Ahaz became the father of Jehoaddah. Jehoaddah became the father of Alemeth, Azmaveth, and Zimri. Zimri became the father of Moza.
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Moza became the father of Binea. Raphah was his son, Eleasah his son, and Azel his son.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Azel had six sons, whose names are these: Azrikam, Bocheru, Ishmael, Sheariah, Obadiah, and Hanan. All these were the sons of Azel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
The sons of Eshek his brother: Ulam his firstborn, Jeush the second, and Eliphelet the third.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
The sons of Ulam were mighty men of valor, archers, and had many sons, and grandsons, one hundred fifty. All these were of the sons of Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >