< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
Fils de Lévi: Gerson, Kehâth et Merari.
2 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Fils de Kehâth: Amram, Yiçhar, Hébrôn et Ouzziël.
3 Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
Enfants d’Amram: Aaron, Moïse et Miriam. Fils d’Aaron: Nadab, Abihou, Eléazar et Ithamar.
4 Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
Eléazar engendra Phinéas, celui-ci Abichoua,
5 Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
celui-ci Boukki, celui-ci Ouzzi,
6 Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
celui-ci Zerahia, celui-ci Meraïot,
7 Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
celui-ci Amaria, celui-ci Ahitoub,
8 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
celui-ci Çadok, celui-ci Ahimaaç,
9 Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
celui-ci Azaria, celui-ci Johanan,
10 Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
et celui-ci Azaria. C’Est ce dernier qui exerça le pontificat dans le temple bâti par Salomon à Jérusalem.
11 Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Azaria engendra Amaria, celui-ci Ahitoub,
12 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
celui-ci Çadok, celui-ci Challoum,
13 Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
celui-ci Hilkia, celui-ci Azaria,
14 Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
celui-ci Seraïa, celui-ci Joçadak.
15 Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
Joçadak émigra, lorsque Dieu exila Juda et Jérusalem par l’intermédiaire de Nabuchodonozor.
16 Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
Fils de Lévi: Gersom, Kehâth et Merari.
17 Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
Les fils de Gersom eurent pour noms Libni et Chimeï.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Ceux de Kehâth: Amram, Yiçhar, Hébrôn et Ouzziël.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
Fils de Merari: Mahli et Mouchi. Telles sont les familles des Lévites selon leurs ancêtres.
20 Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
De Gersom sont issus Libni, son fils, de celui-ci Yahat, de celui-ci Zimma,
21 Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
de celui-ci Yoah, de celui-ci Iddo, de celui-ci Zérah, de celui-ci Yeatraï.
22 Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
Descendants de Kehâth: Amminadab, son fils; celui-ci eut pour fils Coré, celui-ci Assir;
23 Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
celui-ci Elkana, celui-ci Ebiassaf, celui-ci Assir;
24 Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
celui-ci Tahat, celui-ci Ouriël, celui-ci Ouzzia, celui-ci Chaoul.
25 Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
Les fils d’Elkana furent Amassaï et Ahimot.
26 Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
Le premier eut pour descendant Elkana. Voici les descendants de celui-ci: Çofaï, son fils, de celui-ci Nahat;
27 Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
de celui-ci Elïab, de celui-ci Yeroham, de celui-ci Elkana.
28 Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
Les fils de Samuel furent, l’aîné… et le cadet, Abiyya.
29 Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
Descendants de Merari: Mahli, qui eut pour fils Libni, celui-ci Chimeï, celui-ci Ouzza,
30 Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
celui-ci Chimea, celui-ci Hagghiya, celui-ci Assaïa.
31 Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
Voici ceux que David préposa au service musical du temple de l’Eternel, quand l’arche eut un emplacement fixe.
32 Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
Ils s’acquittèrent de ce service musical devant le tabernacle de la Tente d’assignation jusqu’à la construction, par Salomon, du temple de l’Eternel à Jérusalem. Ils remplissaient leurs fonctions selon le règlement établi.
33 Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
Tels furent donc ces préposés, avec leurs fils: des Kehathites: Hêmân, le chantre, fils de Joël, fils de Samuel,
34 Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
fils d’Elkana, fils de Yeroham, fils d’Eliël, fils de Toah,
35 Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
fils de Çouf, fils d’Elkana, fils de Mahat, fils d’Amassaï,
36 Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
fils d’Elkana, fils de Joël, fils d’Azaria, fils de Cefania,
37 Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
fils de Tahat, fils d’Assir, fils d’Ebiasaf, fils de Coré,
38 Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
fils de Yiçhar, fils de Kehâth, fils de Lévi, fils d’Israël.
39 Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
Son frère, Assaph, qui se tenait à sa droite. Assaph était fils de Bérékhiahou, fils de Chimea,
40 Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
fils de Mikhaël, fils de Baasêya, fils de Malkia,
41 Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
fils d’Etni, fils de Zérah, fils d’Adaïa,
42 Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
fils d’Etân, fils de Zimma, fils de Chimeï,
43 Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
fils de Yahat, fils de Gersom, fils de Lévi.
44 Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
Les Merarites, leurs frères, qui se tenaient à gauche: Etân, fils de Kichi, fils d’Abdi, fils de Mallouc,
45 Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
fils de Hachabia, fils d’Amacia, fils de Hilkia,
46 Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
fils d’Ami, fils de Bâni, fils de Chémer,
47 Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
fils de Mahli, fils de Mouchi, fils de Merari, fils de Lévi.
48 Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
Leurs frères, les Lévites, étaient voués à tous les autres services du Sanctuaire, de la maison de Dieu,
49 Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
tandis qu’Aaron et ses descendants faisaient fumer les oblations sur l’autel des holocaustes et sur celui de l’encens, et étaient préposés à tout le service du Saint des Saints et à la propitiation en faveur d’Israël, suivant toutes les prescriptions de Moïse, serviteur de Dieu.
50 Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
Voici quels furent les descendants d’Aaron: Eléazar, Phinéas, fils de celui-ci, Abichoua, fils de celui-ci,
51 Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
Boukki, fils de celui-ci, Ouzzi, fils de celui-ci, Zerahia, fils de celui-ci,
52 Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
Meraïot, fils de celui-ci, Amaria, fils de celui-ci, Ahitoub, fils de celui-ci,
53 Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
Çadok, fils de celui-ci, Ahimaaç, fils de celui-ci.
54 Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
Voici leurs résidences selon les enclaves qu’elles formaient et avec leurs limites. Aux descendants d’Aaron, d’entre les familles kehathites, à qui échut le premier lot,
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
on donna Hébron, dans le pays de Juda, avec la banlieue d’alentour.
56 lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Les champs et les bourgades dépendant de la ville, on les avait donnés à Caleb, fils de Yefounné.
57 Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
Mais aux descendants d’Aaron on donna les villes de refuge, Hébron, Libn. a avec sa banlieue, Yattir et Echtemoa, avec sa banlieue,
58 Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
Hilên, avec sa banlieue, Debir, avec sa banlieue,
59 Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
Achân, avec sa banlieue, et Beth-Chémech, avec sa banlieue.
60 na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
Et de la tribu de Benjamin: Ghéba et sa banlieue, Alémet et sa banlieue, Anatot et sa banlieue: total, treize villes pour leurs familles.
61 Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
Quant aux descendants de Kehâth, formant le surplus de la famille, on leur donna, au sort, de la tribu… et de la demi-tribu de Manassé, dix villes.
62 Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
Aux descendants de Gersom selon leurs familles on donna treize villes des tribus d’Issachar, d’Aser, de Nepthali et de la tribu de Manassé du Basan.
63 Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
Les familles descendant de Merari reçurent, par le sort, des tribus de Ruben, Gad et Zabulon, douze villes.
64 Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
Les enfants d’Israël donnèrent aux Lévites ces villes avec leur banlieue.
65 Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
On donna, par le sort, des tribus des Judéens, des Siméonites et des Benjaminites, les villes qui ont été désignées nominativement.
66 Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
Quant aux autres familles des Kehathites, les villes qui leur furent assignées appartenaient à la tribu d’Ephraïm.
67 Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
On leur attribua les villes de refuge, Sichem avec sa banlieue, sur la montagne d’Ephraïm, Ghézer avec sa banlieue,
68 Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
Yokmeâm avec sa banlieue, Beth-Horôn avec sa banlieue,
69 Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
Ayyalôn avec sa banlieue et Gath-Rimmôn avec sa banlieue.
70 Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
De la demi-tribu de Manassé: Anêr avec sa banlieue, Bileam avec sa banlieue. Tout cela pour le surplus des familles des Kehathites.
71 Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
Les familles lévitiques descendant de Gersom reçurent, de la demi-tribu de Manassé, Golân dans le Basan, avec sa banlieue, et Achtarot avec sa banlieue.
72 Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
De la tribu d’Issachar: Kédech avec sa banlieue, Daberath avec la sienne,
73 Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
Ramot avec sa banlieue, Anêm avec la sienne.
74 Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
De la tribu d’Aser: Machal avec sa banlieue, Abdôn avec la sienne,
75 Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
Houkok avec sa banlieue, Rehob avec la sienne.
76 Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
De la tribu de Nephtali: Kédech, en Galilée, avec sa banlieue, Hammôn avec la sienne, Kiryathaïm avec la sienne.
77 Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
Les descendants de Merari, formant le surplus des Lévites, reçurent de la tribu de Zabulon: Rimmono avec sa banlieue, Tabor avec la sienne,
78 Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
et de l’autre côté du Jourdain de Jéricho, à l’orient du Jourdain: de la tribu de Ruben, Bécer dans le désert avec sa banlieue, Yahça avec la sienne,
79 Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
Kedêmoth avec sa banlieue et Mèfaath avec la sienne.
80 Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
Et de la tribu de Gad: Ramoth en Galaad avec sa banlieue, Mahanaïm avec la sienne,
81 Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.
Hesbôn avec sa banlieue et Yazêr avec la sienne.

< 1 Nyakati 6 >