< 1 Nyakati 5 >

1 Wana wa Rubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli - sasa Rubeni alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli, lakini haki yake ya mzaliwa wa kwanza ilipewa kwa wana wa Yusufu mwana wa Israeli kwa sababu Rubeni alinajisi kochi la baba yake. Hivyo hajanakiliwa kama mwana wa kwanza.
Torej sinovi Izraelovega prvorojenca Rubena, (kajti on je bil prvorojenec; toda, ker je omadeževal posteljo svojega očeta, je bila njegova pravica prvorojenstva dana sinovoma Izraelovega sina Jožefa; in rodovnik ni štet po pravici prvorojenstva.
2 Yuda alikuwa mwenye nguvu kuliko kaka zake, na kiongozi ata toka kwake. Lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yusufu -
Kajti Juda je prevladal nad svojimi brati in od njega je prišel glavni vladar; toda pravica prvorojenstva je bila Jožefova.)
3 wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli alikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.
Sinovi, pravim, od Izraelovega prvorojenca Rubena so bili: Hénoh, Palú, Hecrón in Karmí.
4 Uzao wa Yoeli ulikuwa huu: Mwana wa Yoeli alikuwa Shemaia. Mwana wa Shemaia alikuwa Gogi. Mwana wa Gogi alikuwa Shimei.
Joélovi sinovi: njegov sin Šemajá, njegov sin Gog, njegov sin Šimí,
5 Mwana wa Shimei alikuwa Mika. Mwana wa Mika alikuwa Reaia. Mwana wa Reaia alikuwa Baali.
njegov sin Miha, njegov sin Reajá, njegov sin Báal,
6 Mwana wa Baali alikuwa Bera, ambaye Tiligathi Pileseri alimpeleka matekani kule Assiria. Bera alikuwa kiongozi katika kabila la Rubeni.
njegov sin Beerá, ki ga je asirski kralj Tiglát Pilnéser, odvedel ujetega. On je bil princ Rubenovcev.
7 Ndugu wa Bera kwa makabila yao ni hawa wafuatao, wameorodheshwa katika nakala za uzao wao: Yeieli wa kwanza, Zekaria, na
Njegovi bratje po njihovih družinah, ko je bil preštet rodovnik njihovih rodov, so bili vodja Jeiél, Zeharjá,
8 Bela mwana wa Azazi mwana wa Shema mwana wa Yoeli. Waliishi Aroeri, kwa umbali wa Nebo na Baali Meoni,
Bela, sin Azáza, sinú Šemaá, sinú Joéla, ki je prebival v Aroêrju, celo do Nebója in Báal Meóna;
9 na mwanzo wa mashariki mwa jangwa lenye umbali wa hadi Mto Efarati. Hii ni kwa sababu walikuwa na mifugo mingi katika nchi ya Gileadi.
in proti vzhodu je naseljeval do vstopa v divjino, od reke Evfrat, ker je bila njihova živina pomnožena v deželi Gileád.
10 Katika siku za Sauli, kabila la Rubeni lilishambulia Wahagiri na kuwa shinda. Wakaishi ndani ya hema za Wahagiri katika nchi yote mashariki mwa Gileadi.
V Savlovih dneh so se bojevali s Hagríjevci, ki so padli po njihovi roki in prebivali so v njihovih šotorih po vsej vzhodni deželi Gileád.
11 Kabila la Gadi liliishi karibu nao, katika nchi ya Bashani umbali wa Saleka.
Gadovi otroci so prebivali nasproti njih, v deželi Bašán do Salhe;
12 Viongozi wao walikuwa Yoeli, aliyekuwa kichwa wa ukoo, na Shafamu alikuwa kichwa wa ukoo mwingine, na Yanai na Shafati walikuwa wa Bashani.
vodja Joél, naslednji Šafám, Janáj in Šafát v Bašánu.
13 Ndugu zao, kwa familia za baba yao, walikuwa Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, na Eberi - jumla saba wote.
Njihovi bratje iz hiše njihovih očetov so bili: Mihael, Mešulám, Šeba, Joráj, Jakán, Ziá in Heber, sedem.
14 Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana w a Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
Ti so otroci Abihájila, sinú Huríja, sinú Jaróaha, sinú Gileáda, sinú Mihaela, sinú Ješišája, sinú Jahdója, Buzovega sina;
15 Ahi mwana wa Abidieli mwana wa Guni, alikuwa kichwa cha familia ya baba yake.
Ahí, sin Abdiéla, Guníjevega sina, vodja hiše njihovih očetov.
16 Waliishi Gileadi, Bashani, katika miji, na katika nchi zote za malisho ya Sharoni kwa umbali wa mipaka yake.
Prebivali so v Gileádu, v Bašánu in v njihovih mestih in v vseh predmestjih Šaróna, na njihovih mejah.
17 Hawa wote waliorodheshwa katika nakaka za uzao katika siku za Yothamu mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.
Vsi ti so bili šteti po rodovnikih v dneh Judovega kralja Jotáma in v dneh Izraelovega kralja Jerobeáma.
18 Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase walikuwa na wana jeshi elfu arobaini na nne walio fuzu kwa vita, walio beba ngao na upanga, na pinde na mishale.
Sinovi Rubena, Gádovcev in polovice Manásejevega rodu izmed hrabrih mož, mož zmožnih, da nosijo ščit in meč in da streljajo z lokom in veščih v vojni, je bilo štiriinštirideset tisoč sedemsto šestdeset, ki so odšli ven na vojsko.
19 Waliwashambulia Wahagri, Yeturi, Nafishi, na Nodabu.
Bojevali so se s Hagríjevci, z Jetúrjem, Nafíšem in Nodábom.
20 Walipokea msaada wa Kimungu dhidi yao. Katika hili Wahagri na wote walio kuwa nao walishindwa. Hii ni kwa sababu Waisraeli walipaza sauti katika vita, na yeye akawajibu, kwa sababu waliweka tumaini lao kwake.
Pomagano jim je bilo zoper njih in Hagríjevci so bili izročeni v njihovo roko in vsi tisti, ki so bili z njimi; kajti v bitki so vpili k Bogu in izprošen je bil od njih, ker so svoje zaupanje položili vanj.
21 Walikamata wanya wao, pamoja na ngamia elfu hamsini, kondoo 250, 000, punda elfu mbili, na wanaume 100, 000.
Odvzeli so njihovo živino; od njihovih kamel petdeset tisoč in od ovc dvesto petdeset tisoč in od oslov dva tisoč in od ljudi sto tisoč.
22 Kwa sababu Mungu aliwapigania, waliua maadui wengi. Waliishi katika nchi yao mpaka mateka.
Kajti tam je padlo mnogo umorjenih, ker je bila vojna od Boga. In namesto njih so tam prebivali do ujetništva.
23 Baadhi ya watu wa kabila la Manase waliishi katika nchi ya Bashani kwa umbali wa Hermoni na Seniri (hiyo ni, Mlima Hermoni).
Otroci polovice Manásejevega rodu so prebivali v deželi. Množili so se od Bašána do Báal Hermona in Senírja in do gore Hermon.
24 Hawa walikuwa viongozi wa familia zao: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia, na Yahdieli. Walikuwa wenye nguvu na wanaume wa jasiri, wanaume maharufu, viongozi wa familia zao.
Ti so bili poglavarji hiše njihovih očetov, celo Efer, Jiší, Eliél, Azriél, Jeremija, Hodavijá in Jahdiél, močni junaški možje, slavni možje in poglavarji hiše njihovih očetov.
25 Lakini walikuwa sio wa aminifu kwa Mungu wa babu zao. Badala yake, waliabudu miungu ya watu waio nchi, ambao Mungu aliwaangamiza mbele yao.
Pregrešili so se zoper Boga svojih očetov in se odšli vlačugat za bogovi ljudstva dežele, ki jih je Bog uničil pred njimi.
26 Mungu wa Israeli alimchochea Puli mfalme wa Assiria ( ambaye pia uitwa Tiligathi Pileseri, mfalme wa Assiria). Aliwa peleka matekani Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase. Aliwaleta kwa Hala, Habori, Hara, na kwenye mto wa Gozani, ambapo wapo adi leo.
Izraelov Bog pa je razvnel duha asirskega kralja Pula in duha asirskega kralja Tiglát Pilnéserja in ta jih je odvedel proč, celo Rubenovce, Gádovce in polovico Manásejevega rodu in jih privedel v Haláh, Habór, Haro in k reki Gozán do današnjega dne.

< 1 Nyakati 5 >