< 1 Nyakati 4 >

1 Uzao wa Yuda ulikuwa Peresi, Hesroni, Karmi, Huri, na Shobali.
Synowie Judy: Peres, Chesron, Karmi, Chur i Szobal.
2 Shobali alikuwa baba wa Reaya. Reaya alikuwa baba wa Yahathi. Yahathi alikuwa baba wa Ahumai na Lahadi. Hawa walikuwa mababu wa koo za Wasorathi.
A Reajasz, syn Szobala, spłodził Jachata, a Jachat spłodził Achumaja i Lahada. To są rody Soreatytów.
3 Hawa walikuwa mababu wa ukoo katika mji wa Etamu: Yezreeli, Ishma, na Idbashi. Babu yao alikuwa Haselelponi.
A ci pochodzą od ojca Etama: Jizreel, Jiszma i Jidbasz, a ich siostra miała na imię Haselelponi.
4 Penueli alikuwa babu wa koo katika mji wa Gedori. Ezeri alikuwa muanzilishi wa koo katika Husha. Hawa walikuwa uzao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi na muanzilishi wa Bethelehemu.
Penuel [był] ojcem Gedora, a Ezer – ojcem Chuszy. To są synowie Chura, pierworodnego Efraty, ojca Betlejema.
5 Ashuri baba wa Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
A Aszur, ojciec Tekoa, miał dwie żony: Chelę i Naarę.
6 Naara alimzalia Ahuzamu, Heferi, Temeni na Ahashtari. Hawa walikua wana wa Naara.
I Naara urodziła mu Achuzama, Chefera, Temniego i Achasztariego. Ci [byli] synami Naary.
7 Wana wa Hela walikua Serethi, Ishari, Ethnani,
Synowie Cheli: Seret, Jesochar i Etnan.
8 na Kozi, alikua baba wa Anubu na Sobeba, na koo zilizotoka kwa Aharheli mwana wa Harumu.
A Koz spłodził Anuba, Zobeba i rody Acharchela, syna Haruma.
9 Yabesi aliheshimika zaidi ya kaka zake. Mama yake alimuita Yabesi. Alisema, “Kwasababu nimemzaa katika huzuni.”
A Jabes był bardziej poważany niż jego bracia. Jego matka dała mu na imię Jabes, mówiąc: Ponieważ urodziłam go w bólu.
10 Yabesi akamuita Mungu wa Israeli na kusema, “Kama tu utanibariki mimi, ongeza mipaka yangu, na mkono wako ukuwa juu yangu. Ukifanya hivi utaninusuru na mabaya, ili kwamba niwe huru na huzuni!” Kwa hivyo Mungu akamjalia maombi yake.
I Jabes wzywał Boga Izraela, mówiąc: Obyś mi naprawdę błogosławił i rozszerzył moje granice, oby twoja ręka była ze mną, obyś zachował [mnie] od zła, abym nie był utrapiony. I Bóg spełnił to, o co go prosił.
11 Kelubu kaka wa Shuha akawa baba wa Mehiri, aliyekuwa baba wa Eshtoni.
A Kelub, brat Szuchy, spłodził Mechira, który był ojcem Esztona.
12 Eshtoni akawa baba wa Beth-Rafa, Pasea, na Tehina, ambaye alianzisha mji wa Nahashi. Hawa ni wanaume walioishi Reka.
A Eszton spłodził Betrafę, Paseacha i Techinnę, ojca Irnachasza. To [są] mężczyźni z Rechy.
13 Wana wa Kenazi walikua Othinieli na Seraia. Wana wa Othinieli walikuwa Hathathi na Meonothai.
Synowie Kenaza: Otniel i Serajasz, a synowie Otniela: Chatat [i Meonotaj].
14 Meonothai akawa baba wa Ofara, na Seraia akawa baba wa Yohabu, mwanzilishi wa Ge Harashimu, ambao watu wake walikua wahunzi.
Meonotaj spłodził Ofrę. Serajasz zaś spłodził Joaba, ojca Charaszimów mieszkających w dolinie – byli bowiem rzemieślnikami.
15 Wana wa Kalebu mwana wa Yefune walikua Iru, Ele na Namu. Wana wa Ela alikua Kenazi.
Synowie Kaleba, syna Jefunnego: Iru, Ela i Naam. A synem Eli był Kenaz.
16 Wana wa Yehaleli walikua Zifi, Zifa, Tiriya, na Azareli.
Synowie Jehalleleela: Zif, Zifa, Tiria i Asareel.
17 Wana wa Ezra walikua Yetheri, Meredi, Eferi, na Yaloni.
Synowie Ezry: Jeter, Mered, Efer i Jalon. [A żona Mereda] urodziła Miriama, Szammaja i Iszbacha, ojca Esztemoi.
18 Mke wake Meredi wa Kimisri alimzalia Miriamu, Shamai, na Ishibahi, aliyekua baba wa Eshitemoa. Hawa walikua wana wa Bithia, binti wa Farao, ambaye Meredi alimuoa. Mke wa Kiyahudi wa Meredi alimzalia Yeredi, ambaye alikua baba wa Gedore; Heberi, aliyekua baba wa Soko; na Yekuthieli aliyekua baba wa Zanoa.
Jego żona Jehudaja urodziła Jereda, ojca Gedora, Chebera, ojca Soko, i Jekutiela, ojca Zanoacha. To [są] synowie Bitii, córki faraona, którą pojął za żonę Mered.
19 Kati ya watoto wawili wa mke wa Hodia, dada wa Nahamu, mmoja wao kawa baba wa Keila Mgarimite. Mwingine alikua Eshitemoa Mmakathite.
Synowie jego żony Hodijji, siostry Nahama, ojca Keili: Garmity i Esztemoa, Maakatyta.
20 Wana wa Shimoni walikua Amnoni, Rina, Beni Hanani, na Tilon. Wana wa Ishi walikua Zohethi na Beni Zoheti.
Synowie Szimona: Amnon, Rinna, Benchanan i Tilon. A synowie Jisziego: Zochet i Benzochet.
21 Uzao wa Shela mwana wa Yuda, Ulikua ni Eri baba wa Leka, Laada baba wa Maresha na koo za wafanyakazi wa kushona kule Beth Ashbea,
Synowie Szeli, syna Judy: Er, ojciec Leki, Laada, ojciec Mareszy i tych rodów, które wytwarzały bisior w domu Aszbea;
22 Yoakimu, Wanaume wa Kozeba, na Yoashi na Sarafi, waliokua na mali huko Moabu, lakini walirudi Bethlehemu. ( Maelezo haya yametoka kwenye nakala za zamani.)
Jokim i mężczyźni Kozeby oraz Joasz i Saraf, którzy panowali w Moabie, a także Jaszubilechem. To [są] dawne wydarzenia.
23 Baadhi ya watu hawa walikuwa ni wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera na wakawa wafanyakazi wa Mfalme.
Byli oni garncarzami i mieszkali w sadach i między płotami. Mieszkali tam przy królu i pracowali dla niego.
24 Uzao wa Simeoni ulikua Jamini, Jaribu, Zera, na Shauli.
Synowie Symeona: Nemuel, Jamin, Jarib, Zerach i Saul.
25 Shalumu alikua mwana wa Shauli, Mibisamu mwana wa Shalumu, na Mishima mwana wa Mibisamu.
Jego syn Szallum, jego syn Mibsam, jego syn Miszma.
26 Ukoo wa Mishima ulikua Hamueli mwana wake, Zakuri mjukuu wake, na Shimei kitukuu chake.
A synowie Miszmy: jego syn Chamuel, jego syn Zakkur, jego syn Szimei.
27 Shimei alikua na wana kumi na sita na mabinti sita. Kaka yake hakua na watoto wengi, Hivyo koo zao hazikuongezeka kwa idadi kubwa kama wato wa Yuda walivyoongezeka.
Szimei miał szesnastu synów i sześć córek, lecz jego bracia nie mieli wielu synów i wszystkie ich rody nie były tak liczne jak [rody] synów Judy.
28 Waliishi Beasheba, Molada, na Hazari Shuali.
Mieszkali oni w Beer-Szebie, Molada i w Chasar-Szual;
29 Pia waliishi Bilha, Ezemu, Toladi,
W Bilha, Esem i Tolad;
30 Bethueli, Horma, Zikilagi,
W Betuel, Chorma i Siklag;
31 Bethi Markabothi, Hazari Susimi, Bethi Biri, na Shaaraimu. Hii ilikua miji yao mpaka utawala wa Daudi.
W Bet-Markabot, Chasar-Susim, Bet-Birei i Szaaraim. To były ich miasta aż do panowania Dawida.
32 Vijiji vyao vitano vilikua Etamu, Aini, Tocheni, na Ashani,
A ich wioskami [były]: Etam, Ain, Rimmon, Token i Aszan, pięć miast;
33 pamoja na mipaka ya vijiji kwa umbali wa Baali. Haya yalikua makazi yao, na walitunza kumbukumbu za uzao wao.
Oraz wszystkie ich wioski [położone] dokoła tych miast aż do Baal. To były ich miejsca zamieszkania i spisy ich rodów.
34 Viongozi wa ukoo walikua Meshobabu, Yamileki, Yoshahi mwana wa Amazia,
Meszobab, Jamlek i Josza, syn Amazjasza;
35 Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia mwana wa Seraia mwana wa Asieli,
Joel i Jehu, syn Joszibiasza, syna Serajasza, syna Asiela;
36 Elioenai, Yaakoba, Yeshohaia, Asaia, Adieli, Yesimieli, Benaia,
I Elioenaj, Jaakoba, Jeszochajasz, Asajasz, Adiel, Jesimiel i Benajasz;
37 na Ziza mwana wa Shifi mwana wa Aloni mwana wa Yedaia mwana wa Shimiri mwana wa Shemaia.
Ziza, syn Szifiego, syna Allona, syna Jedajasza, syna Szimriego, syna Semajasza.
38 Hawa walio orodheshwa kwa majina walikua viongozi wa koo zao, na koo zao ziliongezeka sana.
Ci wymienieni imiennie byli naczelnikami w swoich rodach, a rodziny ich ojców bardzo się rozrosły.
39 Walienda karibu na Gedori, mashariki mwa bonde, kutafuta malisho ya mifugo yao.
I dotarli aż do wejścia do Gedor, aż na wschodnią stronę doliny, szukając pastwiska dla swych trzód.
40 Walipata malisho mengi na mazuri. Nchi ilikua tambarare, tulivu na ya amani. Wahamu waliishi hapo awali.
I znaleźli obfite i dobre pastwiska oraz ziemię obszerną, spokojną i bezpieczną. Tam bowiem mieszkali przedtem Chamici.
41 Hao walio orodheshwa hapo kwa majina walikuja katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda, na wakashambulia makazi ya Wahamu na Wameuni, ambao pia walikua hapo. Waliwaangamiza kabisa na kuishi hapo sababu walipata malisho kwa ajili ya mifugo yao.
Zapisani [tu] imiennie przyszli za czasów Ezechiasza, króla Judy, zniszczyli ich namioty i przybytki, które się tam znajdowały, doszczętnie wygubili ich i osiedlili się na ich miejscu. Tam bowiem były pastwiska dla ich trzód.
42 Wanaume mia tano wa kabila la Simeoni walienda katika mlima Seiri, na viongozi wao Pelatia, Nearia, Refaia, na Uzieli, wana wa Ishi.
[Niektórzy] z nich, pięciuset mężczyzn spośród synów Symeona, udali się na górę Seir, a ich przywódcami byli: Pelatiasz, Neariasz, Refajasz i Uzziel, synowie Jisziego.
43 Waliwashinda wakimbizi wa Waamaleki waliobakia, na wakaishi hapo hadi siku hii.
I pobili resztę ocalałych Amalekitów, i zamieszkali tam do dziś.

< 1 Nyakati 4 >