< 1 Nyakati 28 >

1 Daudi akakusanya waamuzi wote wa Israeli Yerusalemu: waamuzi wa makabila, maafisa wa vitengo walio mtumikia mfalme katika kazi walizo pangiwa, wakuu wa maelfu na mamia, wasimamizi wa mali zote za mfalme na mwanae, na maafisa na wanaume wa mapambano, ukijumuisha wale wenye ujuzi sana.
David rassembla à Jérusalem tous les chefs d’Israël, les chefs des tribus, les chefs des sections, chargés du service du roi, les chiliarques, les centurions, les intendants de tous les biens et troupeaux appartenant au roi et à ses fils, en même temps que les fonctionnaires du palais, les héros et tous les vaillants guerriers.
2 Daudi mfalme akainuka kwa miguu yake na kusema, “Sikilizeni mimi, kaka zangu na watu wangu. Ilikuwa dhumuni langu kujenga hekalu kwa ajili ya sanduku la agano la Yahweh; stuli ya miguu kwa ajili ya Mungu wetu, na nimefanya maandalizi kuijenga.
Se mettant debout, le roi David dit: "Ecoutez-moi, mes frères, mon peuple! J’Avais à cœur, moi, de bâtir une résidence stable pour l’arche d’alliance de l’Eternel et le marche-pied de notre Dieu, et j’avais fait des préparatifs pour cette construction.
3 Lakini Mungu akaniambia, 'Hautajenga hekalu kwa ajili ya jina la langu, kwasababu wewe ni mwanaume wa vita na umemwaga damu.'
Mais Dieu m’a dit: "Ce n’est pas toi qui bâtiras une maison en l’honneur de mon nom, car tu es un homme de guerre, et tu as répandu du sang!"
4 Bado Yahweh, Mungu wa Israeli, alinichagua kutoka katika familia ya baba yangu kuwa mfalme wa Israeli milele. Amechagua kabila la Yuda kama kiongozi. Katika kabila la Yuda, na nyumba ya baba yangu, kutoka kwa wana wa baba yangu, amenichagua kuwa mfalme wa Israeli.
Or, l’Eternel, Dieu d’Israël, m’a donné la préférence sur toute la maison de mon père pour régner à jamais sur Israël, car, ayant élu Juda comme prince et choisi, dans la tribu de Juda, la maison de mon père, c’est moi des fils de mon père qu’il a agréé pour me faire roi de tout Israël.
5 Kutoka kwa wana wengi ambao Yahweh amenipa, amemchagua Sulemani, mwanangu, kuketi katika kiti cha enzi cha ufalme wa Yahweh, juu ya Israeli.
Et entre tous mes fils car le Seigneur m’a donné de nombreux fils il a choisi mon fils Salomon pour occuper le trône de la royauté de l’Eternel en Israël.
6 Aliniambia, 'Sulemani mwanae atanijengea nyumba yangu na nyuani mwangu, kwa kuwa nimemchagua kuwa mwana wangu, nami nitakuwa baba yake.
Il m’a dit: "C’Est ton fils Salomon qui bâtira ma maison et mes parvis, car je l’ai choisi pour m’être un fils, et moi, je lui servirai de père.
7 Nitaimarisha ufalme wake, akidumu kutii sheria na amri zangu, kama ulivyo siku ya leo.'
Je consoliderai sa royauté à jamais, pourvu qu’il persévère à observer mes préceptes et mes lois comme en ce jour."
8 Kisha sasa, katika macho ya Waisraeli wote, ili kusanyiko la yahweh, na katika uwepo wa Mungu wetu, nyinyi nyote lazima mshike na kufanya amri zote za Yahweh Mungu wenu. Fanyeni hivi ili mmiliki nchi nzuri na kuacha urithi wa watoto wenu baada yenu milele.
Et maintenant, en présence de tout Israël, de cette assemblée du Seigneur, et de notre Dieu, qui nous entend, je vous dis: "Respectez et pratiquez tous les préceptes de l’Eternel, votre Dieu, afin de demeurer en possession de ce beau pays et de le transmettre à vos fils après vous comme un héritage éternel."
9 Kwako wewe, Sulemani mwanangu, mtii Mungu wa baba yako, mtumikie kwa moyo wako wote na roho ya utayari. Fanya hivi kwasababu yahweh anachunguza mioyo yote na kufahamu amasa ya kila wazo la mtu. Ukimtafuta, ataonekana kwako, lakini ukimtelekeza, atakukataa milele.
Quant à toi, mon fils Salomon, reconnais le Dieu de ton père et adore-le d’un cœur intègre et d’une âme empressée, car le Seigneur sonde tous les cœurs et pénètre tout dessein des pensées: si tu le recherches, il te sera accessible, mais si tu l’abandonnes, il te délaissera pour toujours.
10 Elewa kuwa Yahweh amekuchagua kujenga hekalu ili kama sehemu yake takatifu. Kuwa imara na ufanye.”
Considère maintenant que c’est toi que l’Eternel a choisi pour construire une maison comme sanctuaire: courage donc et à l’œuvre!"
11 Kisha Daudi akamkabidhi Sulemani mwanae mipango ya baraza la hekalu, jengo la hekalu, vyumba vya hifadhi, vyumba vya juu, vyumba vya ndani, na chumba chenye mfuniko wa maombezi.
David remit alors à son fils Salomon le plan du portique, des bâtisses du temple, de ses salles de dépôt, de ses chambres supérieures, de ses salles intérieures et de l’enceinte du propitiatoire;
12 Alimpatia mipango aliyo chora ya nyuani kwa ajili ya nyumba ya Yahweh, vyumba vyote vilivyo zunguka, vyumba vya hifadhi katika nyumba ya Mungu, na hazina za vitu vya Yahweh.
le plan de tout ce qu’il avait projeté concernant les parvis du temple de l’Eternel, toutes les salles du pourtour, les trésors du temple de Dieu et les trésors des choses saintes;
13 Alimpatia masharti kwa vitengo vya makuhani na Walawi, kwa majukumu walio pangiwa katika nyumba ya Yahweh, na kwa vyombo vyote vinavyo tumika katika nyumba ya Yahweh.
les sections des prêtres et des Lévites, toute l’organisation du service de la maison de l’Eternel et tous les ustensiles destinés au service de la maison de l’Eternel;
14 Alimpa uzito wote wa vifaa vya dhahabu kwa kila huduma na vifaa vyote vya fedha, na vitu vyote kwa kila namna ya huduma.
le plan de tous les objets en or, en indiquant le poids en or de tous les ustensiles nécessaires à chaque service; de même, de tous les ustensiles en argent, en indiquant le poids de tous les ustensiles nécessaires à chaque service.
15 Haya maelekezo yalitolewa kwa uzito, ukijumuisha maelekezo yote ya vinara vya taa vya dhahabu na taa za dhahabu, maelekezo kwa uzito kwa kila vinara vya taa, kwa vinara vya taa vya fedha, na maelekezo kwa matumizi sahihi ya vinara vya taa vyote.
Il remit aussi le poids en or pour les chandeliers d’or et leurs lampes d’or, en tenant compte du poids de chaque chandelier et de ses lampes, et pour les chandeliers d’argent, le poids pour chaque chandelier et ses lampes, suivant la destination de chaque chandelier;
16 Alitoa uzito wa dhahabu kwa meza za mkate wa uwepo, kwa kila meza, na uzito wa fedha kwa meza za fedha.
le poids en or pour chacune des tables de proposition et l’argent pour les tables d’argent;
17 Alitoa uzito wa dhahabu safi kwa uma za nyama, bakuli, na vikombe. Alitoa uzito kwa kila bakuli ya dhahabu, na uzito kwa kila bakuli ya fedha.
l’or pur pour les fourchettes, les bassins et les montants; le poids d’or nécessaire pour chacune des écuelles d’or et le poids d’argent nécessaire pour chacune des écuelles d’argent:
18 Alitoa uzito wa dhahabu ya kutakasika kwa madhabahu ya uvumba, na kwa dhahabu kwa ajili ya mchoro wa makerubi waliye tanda mabawa yao na kufunika sanduku la agano la Yahweh.
le poids d’or affiné pour l’autel des parfums. Il remit aussi le plan du char, des chérubins d’or ayant les ailes étendues et recouvrant l’arche d’alliance du Seigneur,
19 Daudi akasema, “Nimeeka haya katika maandishi kama Yahweh alivyo ni elekeza na kunipa kuelewa kuhusu mchoro.”
"Tout cela disait David tous les détails du plan est consigné par écrit, tel que l’inspiration de l’Eternel me l’a fait connaître."
20 Daudi akasema kwa Sulemani mwanae, “Kuwa hodari na mjasiri. Fanya kazi. Usiogope au kuwa na wasiwasi, kwa kuwa Yahweh Mungu, Mungu wangu, yupo nawe. Hatakuacha wala kukutelekeza mpaka kazi ya huduma ya hekalu la Yahweh imekamilika.
Le roi David dit à son fils Salomon: "Sois fort et vaillant, et mets-toi à l’œuvre! Sois sans peur et sans faiblesse! Car l’Eternel-Dieu, mon Dieu, sera avec toi; il ne te laissera fléchir ni ne t’abandonnera jusqu’à l’achèvement de tout le travail du service de la maison de l’Eternel.
21 Ona, hivi ni vitengo vya makuhani na Walawi kwa huduma katika hekalu la Mungu. Watakuwa nawe, pamoja na wanaume walio tayari na wenye ujuzi, kukusaidia katika kazi na kutenda huduma. Waamuzi na watu wote wako tayari kufuata amri zako.”
Voici, d’ailleurs, les sections des prêtres et des Lévites, chargés de tout le service de la maison de Dieu; pour chaque ouvrage, tu seras secondé par des hommes de bonne volonté, experts en tout travail. De plus, les chefs et tout le peuple seront à ta disposition pour toutes tes entreprises."

< 1 Nyakati 28 >