< 1 Nyakati 24 >

1 Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Synů pak Aronových tato jsou zpořádaní: Synové Aronovi: Nádab, Abiu, Eleazar a Itamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
Ale že umřel Nádab a Abiu před otcem svým, a neměli synů, protož konali úřad kněžský Eleazar a Itamar.
3 Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
Kteréž zpořádal David, totiž Sádocha z synů Eleazarových, a Achimelecha z synů Itamarových, vedlé počtu a řádu jejich v přisluhováních jejich.
4 Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
Nalezeno pak synů Eleazarových více předních mužů, než synů Itamarových, a rozdělili je. Z synů Eleazarových bylo předních po domích otcovských šestnáct, a z synů Itamarových po čeledech otcovských osm.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
I rozděleni jsou losem jedni od druhých, ačkoli byli knížata nad věcmi svatými, a knížata Boží z synů Eleazarových a z synů Itamarových.
6 Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
I popsal je Semaiáš syn Natanaelův, písař z pokolení Léví před králem a knížaty, a Sádochem knězem a Achimelechem synem Abiatarovým i knížaty čeledí otcovských mezi kněžími a Levíty, tak že dům otcovský jeden zaznamenán Eleazarovi, tolikéž druhý zaznamenán Itamarovi.
7 Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
Padl pak los první na Jehoiariba, na Jedaiáše druhý,
8 ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
Na Charima třetí, na Seorima čtvrtý,
9 ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
Na Malkiáše pátý, na Miamin šestý,
10 ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
Na Hakkoza sedmý, na Abiáše osmý,
11 ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
Na Jesua devátý, na Sechaniáše desátý,
12 ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
Na Eliasiba jedenáctý, na Jakima dvanáctý,
13 ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
Na Chuppa třináctý, na Jesebaba čtrnáctý,
14 ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
Na Bilgu patnáctý, na Immera šestnáctý,
15 ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
Na Chezira sedmnáctý, na Happizeza osmnáctý,
16 ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
Na Petachiáše devatenáctý, na Ezechiele dvadcátý,
17 ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
Na Jachina jedenmecítmý, na Gamule dvamecítmý,
18 ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
Na Delaiáše třimecítmý, na Maaseiáše čtyřmecítmý.
19 Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
Ti jsou, jenž zřízeni byli v přisluhováních svých, aby vcházeli do domu Hospodinova podlé řádu svého, pod spravou Arona otce jejich, jakož mu byl přikázal Hospodin Bůh Izraelský.
20 Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
Z synů Léví ostatních, z synů Amramových Subael, z synů Subael Jechdeiáš.
21 Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
Z Rechabiáše, z synů Rechabiášových kníže Iziáš.
22 Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
Z Izara Selomot, z synů Selomotových Jachat.
23 Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
Synové pak Jeriášovi: Amariáš druhý, Jachaziel třetí, Jekamam čtvrtý.
24 Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
Syn Uzielův Mícha, z synů Míchy Samir.
25 Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
Bratr Míchův Iziáš, a syn Iziášův Zachariáš.
26 Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
Synové Merari: Moholi a Musi, synové Jaaziášovi: Beno.
27 Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
Synové Merari z Jaaziáše: Beno, Soham, Zakur a Ibri.
28 Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
Z Moholi Eleazar, kterýž neměl synů.
29 Wana wa Kishi: Yerameli
Z Cisa synové Cisovi: Jerachmeel.
30 wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
Synové pak Musi: Moholi, Eder a Jerimot. Ti jsou synové Levítů po domích otců svých.
31 Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.
I ti také metali losy naproti bratřím svým, synům Aronovým, před Davidem králem, Sádochem a Achimelechem, i knížaty otcovských čeledí z kněží a Levítů, z čeledí otcovských, každý přednější naproti bratru svému mladšímu.

< 1 Nyakati 24 >