< 1 Nyakati 18 >

1 Baada ya haya Daudi akawashambulia Wafilisti na kuwashinda. Alichukuwa Gathi na vijiji vyake katika utawala wa Wafilisti.
Po tych wydarzeniach Dawid pobił Filistynów, ujarzmił ich i zabrał z ich rąk Gat i jego wioski.
2 Kisha akamshinda Moabu, na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na wakamlipa ushuru maalumu.
Pobił też Moab i Moabici stali się sługami Dawida składającymi daninę.
3 Daudi kisha akamshinda Hadadezeri, mfalme wa Zoba huko Hamathi, wakati Hadadezeri alipo kuwa akisafiri kuimarisha utawala wake kwa Mto wa Frati.
Dawid pobił też Hadadezera, króla Soby w Chamat, gdy ten wyprawił się, aby rozciągnąć swoją władzę nad rzeką Eufrat.
4 Daudi akateka magari ya farasi elfu, wanaume wa farasi elfu saba, na wanajeshi wa miguu elfu ishirini. Daudi aliwajeruhi farasi wote wagari, lakini akahifadhi baadhi kwa ajili ya magari ya farasi mia moja.
Dawid zabrał mu wtedy tysiąc rydwanów, siedem tysięcy jeźdźców i dwadzieścia tysięcy pieszych. I popodcinał Dawid [ścięgna] wszystkich [koniom] zaprzęgowym, zostawiając z nich tylko [tyle, ile potrzeba] do stu rydwanów.
5 Waaramia wa Damasko walipo kuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Zoba, Daudi aliua wanaume elfu ishirini na mbili wa Kiaramia.
Kiedy Syryjczycy z Damaszku przybyli na pomoc Hadadezerowi, królowi Soby, Dawid pobił spośród nich dwadzieścia dwa tysiące ludzi.
6 Kisha Daudi akaweka vikosi huko Aramu ya Damasko, na Waaramia wakawa watumishi wake na wakamletea ushuru maalaumu. Yahweh alimpatia Daudi ushindi popote alipoenda.
Potem Dawid umieścił [załogi] w Syrii damasceńskiej, a Syryjczycy stali się sługami Dawida składającymi daninę. Tak PAN zachowywał Dawida, dokądkolwiek [ten] się udał.
7 Daudi alichukua ngao za dhahabu zilizo kuwa kwa watumishi wa Hadadezeri na kuleta Yerusalemu.
Dawid zabrał też złote tarcze, które mieli słudzy Hadadezera, i przyniósł je do Jerozolimy.
8 Kutoka Tibhathi na Kuni, miji ya Hadadezeri, Daudi alichukuwa shaba nyingi sana. Ilikuwa shaba hii ambayo baadae Sulemani alifanya saani ya shaba, nguzo, na vifaa vya shaba.
Również z Tibchat i Kun, miast Hadadezera, Dawid zabrał bardzo dużo brązu, z którego Salomon wykonał morze brązowe, słupy i naczynia brązowe.
9 Wakati Toi, mfalme wa Hamathi, alipo sikia kuwa Daudi ameshinda majeshi yote ya Hadadezeri mfalme wa Zoba,
A gdy usłyszał Tou, król Chamatu, że Dawid pobił całe wojsko Hadadezera, króla Soby;
10 Toi akamtuma Hadoramu mwanae kwa Mfalme Daudi kumsalimia na kumbariki, kwasababu Daudi amepigana na Hadadezeri na kumshinda, na kwasababu Hadadezeri alifanya vita na Toi. Hadoramu alipeleka vifaa vya fedha, dhahabu, na shaba.
Posłał swego syna Hadorama do króla Dawida, aby go pozdrowił w pokoju i aby mu powinszował tego, że walczył z Hadadezerem i pokonał go – Hadadezer bowiem prowadził wojnę z Tou – i [Hadoram] przyniósł ze sobą wszelkiego rodzaju naczynia złote, srebrne i brązowe.
11 Mfalme Daudi alivitenga hivi vitu kwa ajili ya Yahweh, pamoja na fedha na dhahabu aliyo ibeba kutoka kwa mataifa yote: Edomu, Moabu, watu wa Amoni, Wafilisti, na Waamaleki.
Również i je król Dawid poświęcił PANU wraz ze srebrem i złotem, które pobrał od wszystkich narodów: od Edomu, od Moabu, od synów Ammona, od Filistynów i od Amaleka.
12 Abishai mwana wa Zeruia akawaua Waedomi elfu kumi na nane katika Bonde la Chumvi.
I Abiszaj, syn Serui, pobił w Dolinie Soli osiemnaście tysięcy Edomitów.
13 Alieka vikosi huko Edomu, na Waedomi wote wakawa watumishi wa Daudi. Yahweh alimpa Daudi ushindi pote alipoenda.
I umieścił w Edomie załogi, a wszyscy Edomici stali się sługami Dawida. Tak PAN zachowywał Dawida, dokądkolwiek [ten] się udał.
14 Daudi alitawala Israeli yote, na alitenda haki na utaua kwa watu wote.
Dawid więc królował nad całym Izraelem i sprawował sąd nad całym swym ludem, i [wymierzał] mu sprawiedliwość.
15 Yoabu mwana wa Zeruia walikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mtunza kumbukumbu.
Joab, syn Serui, [był postawiony] nad wojskiem, a Jehoszafat, syn Achiluda, [był] kronikarzem.
16 Zadoki mwana wa Ahitubi na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Shavisha alikuwa mwandishi.
Sadok, syn Achituba, i Abimelek, syn Abiatara, [byli] kapłanami, a Szawsza [był] pisarzem.
17 Benaia mwana wa Yehoiada alikuwa mwangalizi wa Wakerethi na Wapelethi, na wana wa Daudi walikuwa washauri wakuu wa mfalme.
Benajasz, syn Jehojady, był [postawiony] nad Keretytami i Peletytami, a synowie Dawida [byli] pierwszymi przy królu.

< 1 Nyakati 18 >