< 1 Nyakati 15 >

1 Daudi akajingea nyumba zake katika mji wa Daudi. Akaanda sehemu kwa ajili ya sanduku la Mungu na hema lake.
Una vez que David terminó de construirse casas en la Ciudad de David, hizo un lugar para el Arca de Dios y levantó allí una tienda.
2 Kisha Daudi akasema, “Walawi pekee ndio watabeba sanduku la Mungu, kwa kuwa walichaguliwa na Yahweh kubeba sanduku la Yahweh, na kumtumikia milele.”
Luego dio órdenes: “Nadie debe llevar el Arca de Dios, excepto los levitas, porque el Señor mismo los eligió para llevar el Arca del Señor y servirle para siempre”.
3 Kisha Daudi akakusanya Israeli yote Yerusalemu, kuleta sanduku la Yahweh sehemu aliyo iandaa.
Entonces David convocó a todo Israel a Jerusalén para llevar el Arca del Señor al lugar que había preparado para ella.
4 Daudi akakusanya uzao wa Aruni na Walawi pamoja.
Esta es la lista de los levitas, Los hijos de Aarón, que David convocó para asistir:
5 Kutoka uzao wa Kohathi, palikuwa na Urieli kiongozi na ndugu zake, wanaume 120.
De los hijos de Coat, Uriel (el jefe de familia), y 120 de sus parientes;
6 Kutoka uzao wa Merari, palikuwa na Asaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 220.
de los hijos de Merari, Asaías (el jefe de familia), con 220 de sus parientes;
7 Kutoka uzao wa Gerishomu, palikuwa na Yoeli kiongozi na ndugu zake, wanaume 130.
de los hijos de Gersón, Joel (el jefe de familia), con 130 de sus parientes;
8 Kutoka uzao wa Elizafani, palikuwa na Shemaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 200.
de los hijos de Elizafán, Semaías (el jefe de familia), con 200 de sus parientes;
9 Kutoka uzao wa Hebroni, palikuwa na Elieli kiongozi na ndugu zake, wanaume themanini.
de los hijos de Hebrón, Eliel (el jefe de familia), con 80 de sus parientes;
10 Kutoka uzao wa Uzieli, palikuwa na Aminadabu kiongozi na ndugu zake, wanaume 112.
de los hijos de Uziel, Aminadab (el jefe de familia), con 112 de sus parientes.
11 Daudi akaagiza Zadoki kuitwa na Abiathari kuhuani, na Walawi Urieli, Asaia, Yoeli, Shemaia, Elieli, na Aminadabu.
Entonces David convocó a los sacerdotes Sadoc y Abiatar, y a los levitas Uriel, Asaías, Joel, Semaías, Eliel y Aminadab.
12 Akasema, “Nyinyi ni viongozi wa familia za Kilawi. Jiwekeni wakfu, nyie na ndugu zenu, ilikwamba mlete sanduku la Yahweh, Mungu wa Israeli, kwenye sehemu niliyo iandaa.
Les dijo: “Ustedes son los jefes de las familias de los levitas. Ustedes mismos y sus parientes deben estar ceremonialmente limpios y puros antes de que traigas de vuelta el Arca de Dios, el Señor de Israel al lugar que he hecho para ella.
13 Mara ya kwanza hamkubeba. Ndio maana Yahweh Mungu wetu akawa na hasira kwetu, kwa kuwa hatuku mtafuta wala kutii amri yake.”
Por no haber estado allí la primera vez para llevar el Arca, el Señor, nuestro Dios, estalló en violencia contra nosotros. No la tratamos de acuerdo con sus instrucciones”.
14 Hivyo makuhani na Walawi waka jiweka wakfu iliwaweze kuleta sanduku la Yahweh, Mungu wa Israeli.
Así que los sacerdotes y los levitas se purificaron para poder traer de vuelta el Arca del Señor, el Dios de Israel.
15 Walawi wakabeba sanduku la Mungu katika mabega yao na nguzo, kama Musa alivyo amuru-kwa kufuata sheria zilizo tolewa na Yahweh.
Entonces los levitas llevaron el Arca de Dios de la manera que Moisés había ordenado, según lo que Dios había dicho: sobre sus hombros, usando las varas especiales para transportarla.
16 Daudi akazungumza na viongozi wa Walawi kuwapangia ndugu zao kuwa wana muziki wenye vyombo vya muziki, vyombo vya uzi, vinubi na upatu, kwa kupiga kwa sauti na furaha wakipaza sauti zao.
David también dio instrucciones a los jefes de los levitas para que asignaran de entre sus parientes a cantores que cantaran con alegría, acompañados por músicos que tocaran liras, arpas y címbalos.
17 Hivyo Walawi wakamchagua Hemani mwana wa Yoeli na mmoja wa kaka zake, Asafu mwana wa Berekia. Pia walimchagua ndugu wa uzao wa Merari na Ethani mwana wa Kushaia.
Así que los levitas asignaron a Hemán, hijo de Joel, y de sus parientes a Asaf, hijo de Berequías, y de los hijos de Merari, sus parientes, a Etán, hijo de Cusaías.
18 Pamoja nao walikuwa ndugu wa daraja la pili: Zekarai, Yaazieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni, Eliabu, Benaia, Maasaeia, Matithia, Elifelehu, Mikineaia, Obedi Edomu, na Yeieli, mlinzi wa lango.
El segundo grupo de levitas estaba formado por Zacarías, Jaaziel, Semiramot, Jehiel, Uni, Eliab, Benaía, Maaseías, Matatías, Elifelehu y Micnías; y los porteros Obed-edom y Jeiel.
19 Wanamuziki Hemani, Asafu, na Ethani walichaguliwa kupiga upatu wa shaba.
Los músicos Hemán, Asaf y Etán debían tocar los címbalos de bronce;
20 Zekaria, Azieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni Eliabu, Maaseia, na Benaia walicheza vyombo vya uzi.
Zacarías, Aziel, Semiramot, Jehiel, Uni, Eliab, Maasé y Benaía debían tocar las arpas “según alamot”,
21 Matithia, Elifelehu, Mikineia, Obedi Edomu, Yeieli, na Azazia waliongoza njia na vinubi.
mientras que Matatías, Elifelehu, Micnías, Obed-edom, Jeiel y Azazías debían dirigir la música con liras “según seminit”.
22 Kenania, kiongozi wa Walawi, aliongoza uimbaji sababu alikuwa mwalimu wa muziki.
Quenanías, el líder de los levitas en el canto, fue elegido para dirigir la música debido a su habilidad.
23 Berekia na Elikana walikuwa walinzi wa sanduku.
Berequías y Elcana fueron designados para custodiar el Arca.
24 Shebania, Yoshafati, Nethanieli, Amasai, Zekaria, Benaia, na Eliezeri, makuhani, walikuwa wa kupuliza matarumbeta mbele ya sanduku la Mungu. Obedi Edomu na Yehia walikuwa walinzi wa sanduku.
Los sacerdotes Sebanías, Josafat, Natanel, Amasai, Zacarías, Benaía y Eliezer debían tocar las trompetas delante del Arca de Dios. Obed-edom y Jeías también fueron designados para custodiar el Arca.
25 Hivyo Daudi, wazee wa Israeli, na wakuu wa maelfu wakaenda kuchukua sanduku la agano la Yahweh kutoka nyumba ya Obedi Edomu kwa shangwe.
Luego David, los ancianos de Israel y los comandantes del ejército de mayor rango, fueron con gran celebración a traer el Arca del Pacto del Señor desde la casa de Obed-Edom.
26 Wakati Mungu alipo wasaidia Walawi kubeba sanduku la agano la Yahweh, walitoa ng'ombe saba na mbuzi
Como Dios ayudó a los levitas que llevaban el Arca del Pacto del Señor, sacrificaron siete toros y siete carneros.
27 Daudi alivishwa joho safi la maridadi, pamoja na Walawi walio beba sanduku, waimbaji, na Kenania, kiongozi wa nyimbo na waimbaji. Daudi alivaa juu ya joho lake naivera.
David se vistió con una túnica de lino fino, al igual que todos los levitas que llevaban el Arca, y los cantores y Quenanías, el líder de la música y los cantores. David también se puso un efod de lino.
28 Hivyo Israeli yote wakaleta sanduku la agano la Yahweh na kelele za shangwe, na sauti za tarumbeta, ngoma za saani, na vyombo vya uzi na vinubi.
Así que todo Israel trajo de vuelta el Arca del Pacto del Señor con mucha gritería, acompañada de cuernos, trompetas y címbalos, y música tocada con arpas y liras.
29 Lakini sanduku la Yahweh lilivyokuja kwa mji wa Daudi, Mikali binti wa Sauli, alitazama nje ya dirisha, Akamuona Mfalme Daudi akicheza na kusherehekea. Kisha akamdharau moyoni mwake.
Pero cuando el Arca del Pacto del Señor entró en la Ciudad de David, la hija de Saúl, Mical, miró desde una ventana. Al ver al rey David saltando y bailando de alegría, se llenó de desprecio por él.

< 1 Nyakati 15 >