< 1 Nyakati 12 >

1 Hawa walikuwa wanaume walio kuja kwa Daudi huko Zikilagi, wakati akiwa bado amefukuzwa katika uwepo wa Sauli mwana wa Kishi. Walikuwa miongoni mwa wanajeshi, wasaidizi wake katika mapambano.
A ovo su koji doðoše k Davidu u Siklag dok se još krijaše od Saula sina Kisova, i bijahu meðu junacima pomažuæi u ratu,
2 Walikuwa wana upinde na waliweza kutumia mkono wa kuume na wakushoto kurusha mawe na manati na kupiga mishale kutoka kwenye upinde. Walikuwa Wabenjamini, ndugu wa kabila moja na Sauli.
Naoružani lukom, iz desne ruke i iz lijeve gaðahu kamenjem i iz luka strijelama, izmeðu braæe Saulove, od plemena Venijaminova:
3 Kiongozi alikuwa Ahi Eza, halafu Yoashi, Wana wote wa Shemaa Mgibeathi. Kulikuwa na Yezieli na Peleti, wana wa Azimavethi. Kulikuwa pia na Beraka, Yehu Waanathothi,
Poglavar Ahijezer i Joas sinovi Semaje iz Gavaje, Jezilo i Felet sinovi Azmavetovi, i Veraha i Juj iz Anatota,
4 Ishimaia Mgibeoni, mwanajeshi kati ya wale thelathini ( na kiongozi wa wale thelathini); Yeremia, Yahazieli, Yohana, Yozabadi Wagederathi,
I Ismaja Gavaonjanin, junak meðu tridesetoricom i nad tridesetoricom, i Jeremija i Jazilo i Joanan i Jozavad od Gedirota,
5 Eluzai, Yerimothi, Bealia, Shemaria, Shefatia Waharufi,
Eluzaj i Jerimot i Valija i Semarija i Sefatija od Arufa,
6 Wakorahi ni Elkana, Ishia, Azareli, Yoeza, Yashobeamu, na
Elkana i Jesija i Azareilo i Joezer i Jasoveam Korijani,
7 Yoela na Zebadia, wana wa Yeroham wa Gedori.
I Joila i Zevadija sinovi Jeroamovi iz Gedora.
8 Baadhi ya Wagadi walijiunga na Daudi katika ngome iliyo nyikani. Walikuwa wanaume wapiganaji, waliofundishwa kwa mapambano, walioweza kumudu ngao na mkuki; ambao nyuso zao zilikuwa kali kama za simba. Walikuwa wepesi kwenye milima kama swala.
I od plemena Gadova prebjegoše k Davidu u grad u pustinju hrabri junaci, vješti boju, naoružani štitom i kopljem, kojima lice bijaše kao lice lavovsko, i bijahu brzi kao srne po gorama:
9 Kulikuwa na Eza kiongozi, Obadia wapili, Eliabu watatu,
Eser prvi, Ovadija drugi, Elijav treæi,
10 Mishimana wanne, Yeremia watano,
Mismana èetvrti, Jeremija peti,
11 Atai wasita, Elieli wasaba,
Ataj šesti, Elilo sedmi,
12 Yohana wanane, Elizabadi watisa,
Joanan osmi, Elzaval deveti,
13 Yeremia wakumi, Makibanai wakumi na moja.
Jeremija deseti, Mohvanaj jedanaesti.
14 Wana wa Gadi walikuwa viongozi wa jeshi. Wamwisho aliongoza mia moja, na mkubwa aliongoza elfu moja.
To bijahu izmeðu sinova Gadovijeh poglavari u vojsci, najmanji nad stotinom a najveæi nad tisuæom.
15 Walikatisha Yordani kwa mwezi wa kwanza, wakati vijito vyake vilipofurika, na kuwafukuza wote wanaoishi katika mabonde, pande zote za mashariki na magharibi.
Oni prijeðoše preko Jordana prvoga mjeseca kad se razli preko svijeh bregova svojih, i otjeraše sve iz dolina na istok i na zapad.
16 Baadhi ya wanaume wa Benjamini na Yuda walikuja kwenye ngome kwa Daudi.
A doðoše i od sinova Venijaminovijeh i Judinijeh k Davidu u grad.
17 Daudi alienda nje kuwasalimu na kuwahutubia: “kama mmekuja kwa amani kunisaidia, mnaweza kujiunga nami. Lakini kama mmekuja kunisaliti kwa maadui zangu, Ee Mungu wa mababu zetu awaone na kuwakemea, tangu sijafanya kosa.”
I izide im David na susret, i govoreæi reèe im: ako mira radi idete k meni, da mi pomožete, srce æe se moje združiti s vama; ako li ste došli da me izdate neprijateljima mojim, nepravde nema na meni, neka vidi Gospod otaca naših i neka sudi.
18 Kisha roho ikaja juu ya Amasai, ambaye alikuwa kiongozi wa wale thelathini. Amasai alisema, “Sisi ni wako, Daudi. Sisi tupo upande wako, mwana wa Yesse. na amani iwe juu ya yeyote atakaye kusaidia. Kuwa Mungu wako anakusaidia.” Kisha Daudi akawapokea na kuwafanya wakuu wa watu wake.
Tada duh doðe na Amasaja poglavara meðu vojvodama, te reèe: tvoji smo, Davide, i s tobom æemo biti, sine Jesejev; mir, mir tebi i pomagaèima tvojim, jer ti pomaže Bog tvoj. Tako ih primi David, i postavi ih meðu poglavare nad èetama.
19 Baadhi kutoka kwa Manase pia wakamwendea Daudi alipokuja na Wafilisti dhidi ya Sauli katika pambano. Lakini hawakuwasaidia Wafilisti kwasababu mabwana wa Wafilisti walishauriana na wakamfukuza Daudi. Walisema, “Atamwendea Bwana wake Sauli na kuhatarisha maisha yetu.”
I od sinova Manasijinih neki prebjegoše Davidu kad iðaše s Filistejima na Saula u boj, ali im ne pomogoše; jer knezovi Filistejski dogovorivši se vratiše ga govoreæi: na pogibao našu prebjegnuæe gospodaru svojemu Saulu.
20 Alipokwenda kwa Zikilagi, wanaume wa Manase walioungana nae walikuwa Adina, Yozabadi, Yediaeli, Yozabadi, Elihu, na Zilethai, viongozi wa maelfu wa Manase.
Kad se vraæaše u Siklag, prebjegoše k njemu iz plemena Manasijina: Adna i Jozavad i Jediailo i Mihailo i Jozavad i Eliuj i Saltaj, tisuænici u plemenu Manasijinu.
21 Walimsaidia Daudi kupigana na kikundi cha wezi, maana walikuwa wanaume wa mapambano. Baadae walikuwa wakuu katika jeshi.
I oni pomagahu Davidu protivu èeti, jer hrabri junaci bjehu svi, te postaše vojvode u njegovoj vojsci.
22 Siku hadi siku, wanaume walikuja kwa Daudi kumsaidia, mpaka wakawa jeshi kubwa, kama jeshi la Mungu.
Jer svaki dan dolažahu k Davidu u pomoæ, dokle posta velika vojska kao vojska Božija.
23 Hii ni kumbukumbu ya wanajeshi wa vita, walio kuja kwa Daudi Hebroni, kuupindua ufalme wa Sauli kwake, ilikutimiza neno la Yahweh.
A ovo je broj ljudi naoružanijeh za vojsku koji doðoše k Davidu u Hevron da prenesu carstvo Saulovo na nj po rijeèi Gospodnjoj:
24 Kutoka Yuda walio beba ngao na mkuki ni 6, 800, tayari kwa vita.
Sinova Judinijeh koji nošahu štit i koplje šest tisuæa i osam stotina naoružanijeh za vojsku;
25 Kutoka kwa Wasimeoni walikuwa 7, 100 wanaume wa mapambano.
Sinova Simeunovijeh hrabrijeh vojnika sedam tisuæa i sto;
26 Kutoka kwa Walawi kulikuwa na wanaume wa mapambano 4, 600.
Sinova Levijevih èetiri tisuæe i šest stotina;
27 Yehoiada alikuwa kiongozi wa uzao wa Aruni, na kwa yeye walikuwa 3, 700.
I Jodaj poglavar izmeðu sinova Aronovijeh i s njim tri tisuæe i sedam stotina;
28 Kwa Zadoki, kijana, mwenye nguvu, na mjasiri, walikuwa viongozi ishirini na mbili kwa familia ya baba yake.
I Sadok mladiæ, hrabar junak, i od doma oca njegova dvadeset i dva kneza;
29 Kutoka kwa Benjamini, kabila la Sauli, walikuwa elfu tatu. Wengi wao walibaki waaminifu kwa Sauli mpaka muda huu.
I sinova Venijaminovih, braæe Saulove, tri tisuæe; jer ih se mnogi još držahu doma Saulova;
30 Kutoka kwa Waefraimu palikuwa na wanume wa mapambano 20, 800, wanaume maharufu kwenye familia za baba zao.
I sinova Jefremovijeh dvadeset tisuæa i osam stotina hrabrijeh junaka, ljudi na glasu u porodicama otaca svojih;
31 Kutoka kabila nusu la Manase palikuwa na wanaume elfu kumi na nane maharufu walio kuja kufanya Daudi mfalme.
A od polovine plemena Manasijina osamnaest tisuæa, koji biše imenovani poimence da doðu da postave Davida carem;
32 Kutoka kwa Isakari, palikuwa na viongozi mia mbili walio kuwa na ufahamu wa nyakati na walijua nini Israeli ya paswa kufanya. Ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.
I sinova Isaharovijeh, koji dobro razumijevahu vremena da bi znali šta æe èiniti Izrailj, knezova njihovijeh dvjesta, i sva braæa njihova slušahu ih;
33 Kutoka Zebuloni palikuwa na wanaume elfu hamsini wa mapambano, tayari kwa vita, na silaha zote za vita, na tayari kutoa uwaminifu usio pungua.
Sinova Zavulonovijeh, koji iðahu na vojsku i naoružani bijahu za boj svakojakim oružjem, pedeset tisuæa, koji se postavljahu u vrste pouzdana srca;
34 Kutoka kwa Naftali palikuwa na askari elfu moja, na pamoja nao wanaume elfu thelathini na saba wenye ngao na mikuki.
A od plemena Neftalimova tisuæa poglavara i s njima trideset i sedam tisuæa sa štitovima i kopljima;
35 Kutoka kwa Wadani palikuwa na wanaume 28, 600 wameandaliwa kwa ajili ya pambano.
A od plemena Danova dvadeset i osam tisuæa i šest stotina naoružanijeh za boj;
36 Kutoka kwa Asheri palikuwa na wanaume elfu arobaini wameandaliwa kwa pambano.
A od plemena Asirova èetrdeset tisuæa vojnika vještijeh postaviti se za boj;
37 Kutoka upande wa pili wa Yordani, kutoka kwa Warubeni, Wagadi, na nusu kabila la Manase, palikuwa na wanaume 120, 000 wameandaliwa na silaha za kila namna kwa ajili ya pambano.
A onijeh ispreko Jordana, od plemena Ruvimova i Gadova i od polovine plemena Manasijina, sto i dvadeset tisuæa sa svakojakim oružjem ubojitijem.
38 Wanajeshi hawa wote, waliandaliwa kwa pambano, kuja Hebroni kwa dhumuni maalumu la kumfanya Daudi mfalme wa Israeli yote. Israeli yote ilikubaliana na kumfanya Daudi mfalme.
Svi ovi vojnici u vojnièkom redu doðoše cijela srca u Hevron da postave Davida carem nad svijem Izrailjem. A i ostali svi Izrailjci bijahu složni da carem postave Davida.
39 Walikuwa na Daudi siku tatu, kula na kunywa, kwa kuwa ndugu zao waliwapa mahitaji ya kwenda nayo.
I bijahu ondje s Davidom tri dana jeduæi i pijuæi, jer im braæa bijahu pripravila.
40 Kwa kuongezea, wao walio kuwa karibu nao, kwa umbali wa Isakari na Zebuloni na Naftali, walileta mkate kwa punda, ngamia, ng'ombe, na keki, mvinyo, mafuta, ng'ombe, na kondoo, kwa kuwa Israeli walikuwa wana sherehekea
A i oni koji bijahu blizu njih, dori do Isahara i Zavulona i Neftalima, donošahu hljeba na magarcima i na kamilama i na mazgama i na volovima, jela, brašna, smokava i suhoga grožða i vina i ulja, volova, ovaca izobila; jer bijaše radost u Izrailju.

< 1 Nyakati 12 >