< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam pa papa tumal Seth, ac Seth pa papa tumal Enosh, ac Enosh pa papa tumal Kenan.
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan pa papa tumal Mahalalel, ac Mahalalel pa papa tumal Jared.
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Jared pa papa tumal Enoch, su papa tumal Methuselah. Methuselah pa papa tumal Lamech,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
su papa tumal Noah. Oasr wen tolu natul Noah: Shem, Ham, ac Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Wen natul Japheth pa Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Meshech, ac Tiras. Tulik natulos kais sie ac fwil nukewa tokolos elos ekin papa matu tumalos ingan.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Fwil natul Gomer pa mwet in acn Ashkenaz, Riphath, ac Togarmah.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Fwil natul Javan pa mwet in acn Elishah, Spain, Cyprus, ac Rhodes.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Wen natul Ham pa Cush, Egypt, Libya, ac Canaan. Tulik natulos kais sie, ac fwil nukewa tokolos elos ekin papa matu tumalos ingan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Fwil natul Cush pa mwet in acn Seba, Havilah, Sabtah, Raamah, ac Sabteca. Fwil natul Raamah pa mwet in acn Sheba ac Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
(Oasr wen se natul Cush su pangpang Nimrod, ac el pa mwet se emeet su watwen ke mweun fin fahlu.)
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Fwil natul Egypt pa mwet in acn Lydia, Anam, Lehab, Naphtuh,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
Pathrus, Casluh, ac Crete. (Mwet in acn Crete pa papa tumun mwet Philistia.)
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Wen se meet natul Canaan pa Sidon, ac wen se akluo pa Heth. Tulik natultal kais sie, ac fwil nukewa tokoltal, elos ekin papa matu tumaltal ingan.
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
Fwil natul Canaan pa mwet Jebus, mwet Amor, mwet Girgash,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
mwet Hiv, mwet Ark, mwet Sin,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
mwet Arvad, mwet Zemar, ac mwet Hamath.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Wen natul Shem pa Elam, Asshur, Arpachshad, Lud, Aram, Uz, Hul, Gether, ac Meshek. Tulik natulos kais sie, ac fwil nukewa tokolos, elos ekin papa matu tumalos ingan.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Arpachshad pa papa tumal Shelah, su papa tumal Eber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Oasr wen luo natul Eber: inen sie pa Peleg, ke sripen in pacl lal ah mwet fin faclu tuh fahsrelik. Inen tulik se wial ah pa Joktan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Fwil natul Joktan pa mwet in acn Almodad, Sheleph, Hazarmaveth, Jerah,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Uzal, Diklah,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael, Sheba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Ophir, Havilah, ac Jobab.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Pa inge fwil natul Shem fahla nwe kacl Abram: Shem, Arpachshad, Shelah,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Reu
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Terah,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
ac Abram (su oayapa pangpang Abraham).
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Oasr wen luo natul Abraham: elos pa Isaac ac Ishmael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Wen natul Ishmael elos sifen sruf singoul luo inge: Nebaioth (el pa wounse se), Kedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma, Dumah, Massa, Hadad, Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jetur, Naphish, ac Kedemah.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Oasr mutan kulansap se kial Abraham su inel pa Keturah, ac el oswela wen onkosr natul Abraham: elos pa Zimran, Jokshan, Medan, Midian, Ishbak, ac Shuah. Oasr wen luo natul Jokshan: elos pa Sheba ac Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Oasr wen limekosr natul Midian: elos pa Ephah, Epher, Hanoch, Abida, ac Eldaah.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Abraham pa papa tumal Isaac. Oasr wen luo natul Isaac: elos pa Esau ac Jacob.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Wen natul Esau pa Eliphaz, Reuel, Jeush, Jalam, ac Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Eliphaz pa papa tumun sruf inge: Teman, Omar, Zephi, Gatam, Kenaz, Timna, ac Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Reuel pa papa tumun sruf inge: Nahath, Zerah, Shammah, ac Mizzah.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Wen natul Seir pa Lotan, Shobal, Zibeon, Anah, Dishon, Ezer, ac Dishan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Wen natul Lotan pa Hori ac Homam. Tamtael lal Lotan pa Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Wen natul Shobal pa Alvan, Manahath, Ebal, Shephi, ac Onam. Wen natul Zibeon pa Aiah ac Anah.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Wen natul Anah pa Dishon, ac wen natul Dishon pa Hamran, Eshban, Ithran, ac Cheran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Wen natul Ezer pa Bilhan, Zaavan, ac Jaakan. Ac wen natul Dishan pa Uz ac Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Pa inge inen tokosra su leum fin acn Edom meet liki oasr tokosra lun mwet Israel: Bela, wen natul Beor, su siti sel uh pa Dinhabah.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Ke Bela el misa, Jobab wen natul Zerah in acn Bozrah el aolul.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Ke Jobab el misa, Husham, sie mwet in acn Teman, el aolul.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Ke Husham el misa, Hadad wen natul Bedad, su kutangla mwet Midian in facl Moab, el aolul. Inen siti sel pa Avith.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Ke Hadad el misa, Samlah, sie mwet in acn Masrekah, el aolul.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Ke Samlah el misa, Shaul, sie mwet in acn Rehoboth sisken Infacl Euphrates, el aolul.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Ke Shaul el misa, Baal Hanan wen natul Achbor el aolul.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Ke Baal Hanan el misa, Hadad el aolul. Inen siti sel pa Pau, ac inen mutan kial pa Mehetabel acn natul Matred, ac Matred acn natul Mezahab.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Na Hadad el misa. Inen sruf in acn Edom pa Timna, Alvah, Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Oholibamah, Elah, Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Kenaz, Teman, Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
Magdiel, ac Iram.

< 1 Nyakati 1 >