< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Seth, Enos,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Caïnan, Malalehel, Jared,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Enoch, Mathusalem, Larnech, Noé.
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Fils de Noé: Sem, Cham, Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Fils de Japheth: Corner, Magog, Madaï, Javan, Elisa, Thobel, Mosoch et Thiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Fils de Gomer: Ascenez, Rhiphath et Thorgama.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Fils de Javan: Elisa, Tharsis, les Citians et les Rhodiens.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Fils de Cham: Chus, Mesraïm, Phuth et Chanaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Fils de Chus: Saba, Evila, Sabatha, Regma et Sabalhaca. Fils de Regma: Saba et Dadan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Et Chus engendra Nemrod; celui-ci commença à être puissant et chasseur sur la terre.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Fils de Sem: Elam, Assur, Arphaxad,
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Salé,
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Salé,
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Salé,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Salé,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Salé,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Salé,
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Salé,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Héber, Phaleg, Réhu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Sarug, Nachor, Tharé.
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Fils d'Abraham: Isaac et Ismaël.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Voici leurs familles: premier-né d'Ismaël: Nabaïoth, Cédar, Abdéel, Massan,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Masma, Duala, Massi, Choddan, Thèman,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jethur, Naphis, Cedma; voilà les fils d'Ismaël.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Fils de Cettura, concubine d'Abraham: elle lui enfanta: Zameran, Jezan, Madian, Madal, Jesboc et Sué. Fils de Jezan: Dedan et Saba.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Fils de Madian: Gephar, Aphir, Enoch, Abida et Elduga; voilà tous les fils de Cettura.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Abraham engendra Isaac. Fils d'Isaac: Jacob et Esaü.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Fils d'Esaü: Eliphaz, Raguel, Jehul, Jeglon et Coré.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Fils d'Eliphaz: Thêman, Omar, Sophar, Gatham, Canez, Thamna et Amalec.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Fils de Raguel: Nachoth, Zaré, Somé et Mozé.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Fils de Seïr: Lotan, Sobal, Sébégon, Ana, Dison, Asar et Rison.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Fils de Lotan: Horri et Héman; sœur de Lotan, Thamna.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Fils de Sobal: Alon, Machanath, Tébel, Sophi et Onan. Fils de Sébégon: Eth et Sonan.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Fils de Sonan: Dison. Fils de Dison: Emeron, Asebon, Jethram et Harran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Fils d'Asar: Balaam, Zucam, Acan. Fils de Bison, Os et Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Et voici leurs rois: Balac, fils de Béor; le nom de sa ville est Dennaba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Balac mourut, et Jobab, fils de Zara de Bosora, régna à sa place.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Jobab mourut, et Asom, de la terre des Thêmanites, régna à sa place.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Asom mourut, et Adad, fils de Barad, régna à sa place; ce fut lui qui vainquit Madian dans le champ de Moab; le nom de sa ville est Gethaim.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Adad mourut, et Sebla (Samada) de Maseca régna à sa place.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Sebla mourut, et Saul de Rooboth, sur l'Euphrate, régna à sa place.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Saul mourut, et Balaennor (Ballanan), fils d'Achobor, régna à sa place.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Balaennor mourut, et Arad, fils de Barad, régna à sa place; le nom de sa ville est Phogor.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Chefs d'Edom: le chef Thaman (Thamna), le chef Golada (Gola), le chef Jéther,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Le chef Elibamas (Olibema), le chef Ela, le chef Phinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Le chef Cenez, le chef Théman, le chef Bassor (Mazar),
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
Le chef Magediel, le chef Zaphoin: voilà les chefs d'Edom.

< 1 Nyakati 1 >