< Zaburi 80 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu. Ee Mchungaji wa Israeli tusikie, wewe umwongozaye Yosefu kama kundi; wewe uketiye katika kiti cha enzi katikati ya makerubi, angaza
Tu, que és pastor de Israel, dá ouvidos: tu, que guias a José como a um rebanho: tu, que te assentas entre os cherubins, resplandece.
2 mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase. Uamshe nguvu zako, uje utuokoe.
Perante Ephraim, Benjamin e Manasseh, desperta o teu poder, e vem salvar-nos.
3 Ee Mungu, uturejeshe, utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.
Faze-nos voltar, ó Deus, e faze resplandecer o teu rosto, e seremos salvos.
4 Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi dhidi ya maombi ya watu wako?
Ó Senhor Deus dos exércitos, até quando te indignarás contra a oração do teu povo
5 Umewalisha kwa mkate wa machozi, umewafanya wanywe machozi bakuli tele.
Tu os sustentas com pão de lágrimas, e lhes dás a beber lágrimas, com abundância.
6 Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu, na adui zetu wanatudhihaki.
Tu nos pões em contendas com os nossos vizinhos: e os nossos inimigos zombam de nós entre si.
7 Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, nasi tuweze kuokolewa.
Faze-nos voltar, ó Deus dos exércitos, e faze resplandecer o teu rosto; e seremos salvos.
8 Ulileta mzabibu kutoka Misri, ukawafukuza mataifa, ukaupanda.
Trouxeste uma vinha do Egito: lançaste fora as nações, e a plantaste.
9 Uliandaa shamba kwa ajili yake, mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.
Preparaste-lhe lugar, e fizeste com que ela deitasse raízes; e encheu a terra.
10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.
Os montes foram cobertos da sua sombra, e os seus ramos se fizeram como os formosos cedros.
11 Matawi yake yalienea mpaka Baharini, machipukizi yake mpaka kwenye Mto.
Ela estendeu a sua ramagem até ao mar, e os seus ramos até ao rio.
12 Mbona umebomoa kuta zake ili wote wapitao karibu wazichume zabibu zake?
Porque quebraste então os seus valados, de modo que todos os que passam por ela a vindimam?
13 Nguruwe mwitu wanauharibu na wanyama wa kondeni hujilisha humo.
O javali da selva a devasta, e as feras do campo a devoram.
14 Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote! Tazama chini kutoka mbinguni na uone! Linda mzabibu huu,
Oh Deus dos exércitos, volta-te, nós te rogamos, atende dos céus, e vê, e visita esta vide;
15 mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume, mwana uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
E a videira que a tua dextra plantou, e o sarmento que fortificaste para ti.
16 Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto, unapowakemea, watu wako huangamia.
Está queimada pelo fogo, está cortada: pereceu pela repreensão da tua face.
17 Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume, mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
Seja a tua mão sobre o varão da tua dextra, sobre o filho do homem, que fortificaste para ti.
18 Ndipo hatutakuacha tena, utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.
Assim nós não te viraremos as costas; guarda-nos em vida, e invocaremos o teu nome.
19 Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.
Faze-nos voltar, Senhor Deus dos exércitos: faze resplandecer o teu rosto; e seremos salvos.

< Zaburi 80 >