< Zaburi 3 >

1 Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
Ein Psalm Davids, da er floh vor seinem Sohn Absalom. Ach, HERR, wie ist meiner Feinde so viel, und setzen sich so viele wider mich!
2 Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
Viele sagen von meiner Seele: Sie hat keine Hilfe bei Gott. (Sela)
3 Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
Aber du, HERR, bist der Schild für mich, und der mich zu Ehren setzet und mein Haupt aufrichtet.
4 Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
Ich rufe an mit meiner Stimme den HERRN, so erhöret er mich von seinem heiligen Berge. (Sela)
5 Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
Ich liege und schlafe und erwache; denn der HERR hält mich.
6 Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
Ich fürchte mich nicht vor viel Hunderttausenden, die sich umher wider mich legen.
7 Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
Auf HERR, und hilf mir, mein Gott; denn du schlägst alle meine Feinde auf den Backen und zerschmetterst der Gottlosen Zähne.
8 Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.

< Zaburi 3 >