< Zaburi 150 >

1 Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
Praise Yahweh. Praise God in his holy place; praise him in the mighty heavens.
2 Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
Praise him for his mighty acts; praise him for his surpassing greatness.
3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
Praise him with the blast of the horn; praise him with lute and harp.
4 msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
Praise him with tambourines and dancing; praise him with stringed instruments and wind instruments.
5 msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
Praise him with loud cymbals; praise him with high sounding cymbals.
6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!
Let everything that has breath praise Yahweh. Praise Yahweh.

< Zaburi 150 >