< Zaburi 135 >

1 Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
Louez le Nom de l’Eternel; vous serviteurs de l'Eternel, louez-le.
2 ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
Vous qui assistez en la maison de l'Eternel, aux parvis de la maison de notre Dieu,
3 Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
Louez l'Eternel, car l'Eternel est bon; psalmodiez à son Nom, car il est agréable.
4 Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
Car l'Eternel s'est choisi Jacob, et Israël pour son plus précieux joyau.
5 Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
Certainement je sais que l'Eternel est grand, et que notre Seigneur [est] au-dessus de tous les dieux.
6 Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
L'Eternel fait tout ce qu'il lui plaît, dans les cieux et sur la terre, dans la mer, et dans tous les abîmes.
7 Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
C'est lui qui fait monter les vapeurs du bout de la terre; il fait les éclairs pour la pluie; il tire le vent hors de ses trésors.
8 Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
C'est lui qui a frappé les premiers-nés d'Egypte, tant des hommes que des bêtes;
9 Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
Qui a envoyé des prodiges et des miracles au milieu de toi, ô Egypte! contre Pharaon, et contre tous ses serviteurs;
10 Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
Qui a frappé plusieurs nations, et tué les puissants Rois;
11 Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
[Savoir], Sihon le roi des Amorrhéens, et Hog le roi de Hasan, et ceux de tous les Royaumes de Canaan;
12 akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
Et qui a donné leur pays en héritage, en héritage, [dis-je], à Israël son peuple.
13 Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
Eternel, ta renommée est perpétuelle; Eternel, la mémoire qu'on a de toi est d'âge en âge.
14 Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
Car l'Eternel jugera son peuple, et se repentira à l'égard de ses serviteurs.
15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
Les dieux des nations ne sont que de l'or et de l'argent, un ouvrage de mains d'homme.
16 Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
Ils ont une bouche, et ne parlent point; ils ont des yeux, et ne voient point;
17 zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
Ils ont des oreilles, et n'entendent point; il n'y a point aussi de souffle dans leur bouche.
18 Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
Que ceux qui les font, [et] tous ceux qui s'y confient, leur soient faits semblables.
19 Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
Maison d'Israël, bénissez l'Eternel; maison d'Aaron, bénissez l'Eternel.
20 ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
Maison des Lévites, bénissez l'Eternel; vous qui craignez l'Eternel, bénissez l'Eternel.
21 Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.
Béni soit de Sion l'Eternel qui habite dans Jérusalem. Louez l'Eternel.

< Zaburi 135 >