< Zaburi 131 >

1 Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
A Song of Ascents; of David. LORD, my heart is not haughty, nor mine eyes lofty; neither do I exercise myself in things too great, or in things too wonderful for me.
2 Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
Surely I have stilled and quieted my soul; like a weaned child with his mother; my soul is with me like a weaned child.
3 Ee Israeli, mtumaini Bwana tangu sasa na hata milele.
O Israel, hope in the LORD from this time forth and for ever.

< Zaburi 131 >