< Zaburi 112 >

1 Msifuni Bwana. Heri mtu yule amchaye Bwana, mtu yule apendezwaye sana na amri zake.
Louez l'Eternel. [Aleph.] Bienheureux est l'homme qui craint l'Eternel, [Beth.] et qui prend un singulier plaisir en ses commandements!
2 Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.
[Guimel.] Sa postérité sera puissante en la terre, [ Daleth.] la génération des hommes droits sera bénie.
3 Nyumbani mwake kuna mali na utajiri, haki yake hudumu milele.
[ He.] Il y aura des biens et des richesses en sa maison; [Vau.] et sa justice demeure à perpétuité.
4 Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu, yule mwenye rehema, huruma na haki.
[Zaïn.] La lumière s'est levée dans les ténèbres à ceux qui sont justes; [Heth.] il est pitoyable, miséricordieux et charitable.
5 Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba, anayefanya mambo yake kwa haki.
[Teth.] L'homme de bien fait des aumônes, et prête; [Jod.] Il dispense ses affaires avec droiture.
6 Hakika hatatikisika kamwe, mtu mwenye haki atakumbukwa milele.
[Caph.] Même il ne sera jamais ébranlé. [Lamed.] Le juste sera en mémoire perpétuelle.
7 Hataogopa habari mbaya, moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.
[Mem.] Il n'aura peur d'aucun mauvais rapport; [Nun.] Son cœur est ferme s'assurant en l'Eternel.
8 Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu, mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.
[Samech.] Son cœur est bien appuyé, il ne craindra point, [Hajin.] jusqu’à ce qu'il ait vu en ses adversaires [ce qu'il désire].
9 Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele; pembe yake itatukuzwa kwa heshima.
[Pe.] Il a répandu, il a donné aux pauvres; [Tsade.] sa justice demeure à perpétuité; [Koph.] sa corne sera élevée en gloire.
10 Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.
[Resch.] Le méchant le verra, et en aura du dépit. [Sein.] Il grincera les dents, et se fondra; [Thau.] le désir des méchants périra.

< Zaburi 112 >