Aionian Verses
Wanawe wote na binti zake wakaja kumfariji, lakini hakukubali kufarijiwa. Akasema, “Hapana, nitamwombolezea mwanangu mpaka nimfikie kaburini.” Kwa hiyo baba yake akaendelea kumlilia. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini Yakobo akasema, “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi; ndugu yake amekufa naye ndiye peke yake aliyebaki. Ikiwa atapatwa na madhara katika safari mnayoiendea, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini kwa masikitiko.” (Sheol )
(parallel missing)
Ikiwa mtaniondolea huyu tena na akapatwa na madhara, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa mwenye huzuni.’ (Sheol )
(parallel missing)
akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini ikiwa Bwana ataleta jambo jipya kabisa, ardhi ikifunua kinywa chake na kuwameza wao, pamoja na kila kitu kilicho mali yao, nao washuke chini kaburini wakiwa hai, ndipo mtafahamu kuwa watu hawa wamemdharau Bwana.” (Sheol )
(parallel missing)
Wakashuka chini kaburini wakiwa hai, pamoja na kila kitu walichokuwa nacho; nchi ikajifunika juu yao, nao wakaangamia wakatoweka kutoka kusanyiko. (Sheol )
(parallel missing)
Kwa maana moto umewashwa kwa hasira yangu, ule uwakao hadi kwenye vina vya mauti. Utateketeza dunia pamoja na mazao yake, na kuwasha moto katika misingi ya milima. (Sheol )
(parallel missing)
“Bwana huua na huleta uhai, hushusha chini mpaka kaburini na hufufua. (Sheol )
(parallel missing)
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol )
(parallel missing)
Shughulika naye kwa kadiri ya hekima yako, lakini usiache kichwa chake chenye mvi kishukie kaburi kwa amani. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini sasa, usidhani kwamba hana hatia. Wewe ni mtu wa hekima, utajua la kumtendea. Zishushe mvi zake kaburini kwa damu.” (Sheol )
(parallel missing)
Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka, vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini harudi tena. (Sheol )
(parallel missing)
Ni juu mno kuliko mbingu: waweza kufanya nini? Kina chake ni kirefu kuliko kuzimu: wewe waweza kujua nini? (Sheol )
(parallel missing)
“Laiti kama ungenificha kaburini, na kunisitiri hadi hasira yako ipite! Laiti ungeniwekea wakati, na kisha ukanikumbuka! (Sheol )
(parallel missing)
Kama nyumba pekee ninayoitarajia ni kaburi, kama nikikitandika kitanda changu gizani, (Sheol )
(parallel missing)
Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti? Je, tutashuka pamoja mavumbini?” (Sheol )
(parallel missing)
Huitumia miaka yao katika mafanikio nao hushuka kaburini kwa amani. (Sheol )
(parallel missing)
Kama vile joto na hari vinyakuavyo theluji iliyoyeyuka, ndivyo kuzimu kuwanyakuavyo waliotenda dhambi. (Sheol )
(parallel missing)
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol )
(parallel missing)
Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu? (Sheol )
(parallel missing)
Waovu wataishia kuzimu, naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu. (Sheol )
(parallel missing)
kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol )
(parallel missing)
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol )
(parallel missing)
Ee Bwana, umenitoa Kuzimu, umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti. (Sheol )
(parallel missing)
Usiniache niaibike, Ee Bwana, kwa maana nimekulilia wewe, bali waovu waaibishwe na kunyamazishwa Kuzimu. (Sheol )
(parallel missing)
Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini, nacho kifo kitawala. Wanyofu watawatawala asubuhi, maumbile yao yataozea kaburini, mbali na majumba yao makubwa ya fahari. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini Mungu atakomboa uhai wangu na kaburi, hakika atanichukua kwake. (Sheol )
(parallel missing)
Kifo na kiwajie adui zangu ghafula, na washuke kuzimu wangali hai, kwa maana uovu upo ndani yao. (Sheol )
(parallel missing)
Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu; umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi. (Sheol )
(parallel missing)
Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu, na maisha yangu yanakaribia kaburi. (Sheol )
(parallel missing)
Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo, au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi? (Sheol )
(parallel missing)
Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol )
(parallel missing)
Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko; nikifanya vilindi kuwa kitanda changu, wewe uko huko. (Sheol )
(parallel missing)
Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi, ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.” (Sheol )
(parallel missing)
tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni. (Sheol )
(parallel missing)
Miguu yake hushuka kuelekea kwenye kifo; hatua zake huelekea moja kwa moja kaburini. (Sheol )
(parallel missing)
Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini, ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol )
(parallel missing)
Mauti na Uharibifu viko wazi mbele za Bwana: je, si zaidi sana mioyo ya wanadamu! (Sheol )
(parallel missing)
Mapito ya uzima huelekea juu kwa ajili ya wenye hekima kumwepusha asiende chini kaburini. (Sheol )
(parallel missing)
Mwadhibu kwa fimbo na kuiokoa nafsi yake kutoka mautini. (Sheol )
(parallel missing)
Kuzimu na Uharibifu havishibi kadhalika macho ya mwanadamu. (Sheol )
(parallel missing)
Ni kaburi, tumbo lisilozaa, nchi isiyoshiba maji kamwe, na moto, usiosema kamwe, ‘Yatosha!’ (Sheol )
(parallel missing)
Lolote mkono wako upatalo kufanya, fanya kwa nguvu zako zote, kwa kuwa huko kuzimu, unakokwenda, hakuna kufanya kazi wala mipango wala maarifa wala hekima. (Sheol )
(parallel missing)
Nitie kama muhuri moyoni mwako, kama muhuri kwenye mkono wako; kwa maana upendo una nguvu kama mauti, wivu wake ni mkatili kama kuzimu. Unachoma kama mwali wa moto, kama mwali mkubwa wa moto wa Bwana hasa. (Sheol )
(parallel missing)
Kwa hiyo kaburi limeongeza hamu yake na kupanua mdomo wake bila kikomo, ndani mwake watashuka wakuu wao na wingi wa watu, pamoja na wagomvi wao, na wafanyao sherehe wote. (Sheol )
(parallel missing)
“Mwombe Bwana Mungu wako ishara, iwe kwenye vina virefu sana, au kwenye vimo virefu sana.” (Sheol )
(parallel missing)
Kuzimu kote kumetaharuki kukulaki unapokuja, kunaamsha roho za waliokufa ili kukupokea, wote waliokuwa viongozi katika ulimwengu, kunawafanya wainuke kwenye viti vyao vya kifalme: wale wote waliokuwa wafalme juu ya mataifa. (Sheol )
(parallel missing)
Majivuno yako yote yameshushwa mpaka kuzimu, pamoja na kelele ya vinubi vyako, mafunza yametanda chini yako, na minyoo imekufunika. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu, hadi kwenye vina vya shimo. (Sheol )
(parallel missing)
Ninyi mnajisifu, “Tumefanya agano na mauti, tumefanya mapatano na kuzimu. Wakati pigo lifurikalo litakapopita, haliwezi kutugusa sisi, kwa kuwa tumefanya uongo kuwa kimbilio letu na miungu ya uongo kuwa mahali petu pa kujificha.” (Sheol )
(parallel missing)
Agano lenu na kifo litabatilishwa, patano lenu na kuzimu halitasimama. Wakati pigo lifurikalo litakapowakumba, litawaangusha chini. (Sheol )
(parallel missing)
Nilisema, “Katika ustawi wa maisha yangu, je, ni lazima nipite katika malango ya mauti, na kupokonywa miaka yangu iliyobaki?” (Sheol )
(parallel missing)
Kwa maana kaburi haliwezi kukusifu, mauti haiwezi kuimba sifa zako; wale washukao chini shimoni hawawezi kuutarajia uaminifu wako. (Sheol )
(parallel missing)
Ulikwenda kwa Moleki ukiwa na mafuta ya zeituni, na ukaongeza manukato yako. Ukawatuma wajumbe wako mbali sana, ukashuka kwenye kaburi lenyewe! (Sheol )
(parallel missing)
“‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mwerezi uliposhushwa chini kaburini nilizifunika chemchemi zenye maji mengi kwa maombolezo: Nilivizuia vijito vyake na wingi wa maji yake nikauzuia. Kwa sababu yake niliivika Lebanoni huzuni, nayo miti yote ya shambani ikanyauka. (Sheol )
(parallel missing)
Niliyafanya mataifa yatetemeke kwa kishindo cha kuanguka kwake wakati nilipoushusha chini kaburini pamoja na wale washukao shimoni. Ndipo miti yote ya Edeni, miti iliyo bora kuliko yote na iliyo mizuri sana ya Lebanoni, miti yote ile iliyokunywa maji vizuri, ilifarijika hapa duniani. (Sheol )
(parallel missing)
Wale walioishi katika kivuli chake, wale walioungana naye miongoni mwa mataifa, nao pia walikuwa wamezikwa pamoja naye, wakiungana na wale waliouawa kwa upanga. (Sheol )
(parallel missing)
Kutoka kuzimu viongozi hodari watanena kuhusu Misri pamoja na wale walioungana nao, ‘Wameshuka chini, nao wamelala kimya pamoja na hao wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.’ (Sheol )
(parallel missing)
Je, hawakulala na mashujaa wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai. (Sheol )
(parallel missing)
“Nitawakomboa watu hawa kutoka nguvu za kaburi, nitawakomboa kutoka mautini. Yako wapi, ee mauti, mateso yako? Uko wapi, ee kuzimu, uharibifu wako? “Sitakuwa na huruma, (Sheol )
(parallel missing)
Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya kuzimu, kutoka huko mkono wangu utawatoa. Wajapopanda juu hadi kwenye mbingu, kutoka huko nitawashusha. (Sheol )
(parallel missing)
Akasema: “Katika shida yangu nalimwita Bwana, naye akanijibu. Kutoka kina cha kaburi niliomba msaada, nawe ukasikiliza kilio changu. (Sheol )
(parallel missing)
hakika mvinyo humsaliti; ni mwenye kiburi na hana amani. Kwa sababu ni mlafi kama kuzimu na kama kifo kamwe hatosheki; anajikusanyia mataifa yote na kuchukua watu wote mateka. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote atakayemkasirikia ndugu yake, atapaswa hukumu. Tena, yeyote atakayemwambia ndugu yake, ‘Raka,’atapaswa kujibu kwa Baraza la Wayahudi. Lakini yeyote atakayesema ‘Wewe mpumbavu!’ atapaswa hukumu ya moto wa jehanamu. (Geenna )
Adubu eina nakhoida hairibasini, kanagumba amana magi machin-manaogi mathakta saorabadi, wayen-gi awabada tagani. Aduga amuksu, kanagumbana magi machin manaoda ‘Raca’ haina hairabadi mahakna sanhedrin-gi mamangda pukhatpagi khudongthiba adu nanggani. Amasung kanagumbana mahakki machin manaoda ‘Apang mirem’ hairabadi mahakna norokki meigi awabada tagani. (Geenna )
Jicho lako la kuume likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima ukatupwa jehanamu. (Geenna )
Aduga karigumba nahakki yetthangba mitna nahakpu papta tahallabadi, madu kothoktuna nangondagi langthok-u; maramdi nahakki hakchang apumba norokta langsinkhigadabagi sarukpudi, nahakki hakchanggi kayat ama mangkhibana nahakkidamak henna phei. (Geenna )
Kama mkono wako wa kuume ukikusababisha kutenda dhambi, ukate, uutupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima utupwe jehanamu. (Geenna )
Aduga nahakki yetthangba khutna nahakpu papta tahallabadi madu kakthattuna langthok-u; maramdi nahakki hakchang apumba norokta chatkadabagi sarukpudi, nahakki hakchang kayat ama mangkhibana nahakkidamak henna phei. (Geenna )
Msiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho. Afadhali mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanamu. (Geenna )
Aduga hakchangbu hatlaga, thawaibudi hatpa ngamdaba makhoising adubu kiganu; adubu thawai amasung hakchang animakpu norokta manghanba ngamba Ibungo mahakpu kiyu. (Geenna )
Nawe Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu. Miujiza iliyofanyika kwako ingefanyika huko Sodoma, mji huo ungalikuwepo hadi leo. (Hadēs )
Aduga he Capernaum, nangdi swargada ikai khumnaba phanggadra? Natte, nangdi khamnung leibakta kumlagani, maramdi nangonda toukhiba angakpa thabaksing adu Sodom-da touramlabadi, ngasi phaoba Sodom leiramgadabani. (Hadēs )
Mtu yeyote atakayesema neno dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote anenaye neno dhidi ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, iwe katika ulimwengu huu au katika ulimwengu ujao. (aiōn )
Aduga Migi Machanupa adugi mathakta wa ngangba mahak adubu kokpigani, adubu Thawai Asengbagi mathakta ngangba mahak adubu houjikki mirol asidasu aduga lakkadaba miroldasu kokpiroi. (aiōn )
Ile mbegu iliyopandwa katika miiba ni yule mtu alisikiaye neno, lakini masumbufu ya maisha haya na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno na kulifanya lisizae matunda. (aiōn )
Aduga tingkhang marakta hunba maru aduna wa adu tariba makhoising aduni. Adubu taibangpan punsi asigi langtaknaba amadi lanthumgi oiba nungaibagi lounamna wa adubu namhatkhibana makhoina mahei yanba ngamde. (aiōn )
Yule adui aliyepanda magugu ni ibilisi. Mavuno ni mwisho wa dunia, nao wavunaji ni malaika. (aiōn )
Amasung makhoising adubu hullamba yeknaba aduna Devil-ni. Lokpagi matam aduna taibangpangi aroiba matam aduni, aduga lokpagi thabak suribasing aduna swargadutnisingni. (aiōn )
“Kama vile magugu yangʼolewavyo na kuchomwa motoni, ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. (aiōn )
Aduga napising adubu khomjillaga meida thajinba aduga chap mannana taibangpangi aroiba matam adudasu oigani. (aiōn )
Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki. (aiōn )
Aduga taibangpangi aroiba matam adudasu matou asumna oigani. Swargadutsingna laktuna achumba chatpasingdagi phattaba misingbu tonganna khaidokkani. (aiōn )
Nami nakuambia, wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, hata malango ya Kuzimu hayataweza kulishinda. (Hadēs )
Aduga eina nangonda hairi, madudi nahakti Peter-ni, nungjao asigi mathakta eina eigi singlup sagani, aduga khamnung leibakki panggalna madubu maithiba piba ngamloi. (Hadēs )
Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate na uutupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa huna mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele. (aiōnios )
“Aduga nahakki nakhut nattraga nakhongna nahakpu papta tahallabadi, madu kakthattuna langthokkho. Maramdi nakhut ani amadi nakhong ani pallaga lomba naidaba meinungda langsinbabudi, nakhut soinaina amadi khong tekna hingbada changbana nahakidamak henna phei. (aiōnios )
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe, ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa katika moto wa jehanamu. (Geenna )
Aduga nahakki mitna nahakpu papta tahallabadi, madu kotthoktuna langthokkho. Maramdi namit ani pallaga norokki meinungda langsinbabudi, namit namatang pallaga hingbada changbana nahakkidamak henna phei. (Geenna )
Mtu mmoja akamjia Yesu na kumuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye jambo gani jema ili nipate uzima wa milele?” (aiōnios )
Nongma nupa amana Jisugi nakta laktuna asumna hangjarammi, “Aphaba Oja Ibungo, lomba naidaba hingba phangnanaba eina kari aphaba thabak toujagadage?” (aiōnios )
Kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu zake wa kiume au wa kike, baba au mama, watoto au mashamba kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na ataurithi uzima wa milele. (aiōnios )
Aduga eigi maramgidamak mayum makei, machin-manao, machan-mache, mama mapa, macha-masu, lou-sing thadokpa mi khudingmakna madugi saruk chama henna amasung lomba naidaba hingba phangjagani. (aiōnios )
Akauona mtini kando ya barabara, naye akaukaribia, lakini hakupata tunda lolote ila majani. Ndipo akauambia, “Wewe usizae matunda tena kamwe!” Papo hapo ule mtini ukanyauka. (aiōn )
Aduga Ibungona lambi mapanda heiyit pambi ama houba ubada pambidugi manakta changlammi adubu manakhak nattana mahei amata panba thengnaramde. Maduda Ibungona heiyit pambi aduda hairak-i, “Matam pumnamakta nahak mahei pandaba oirasanu!” Aduga khudak aduda heiyit pambi adu kangsillaklammi. (aiōn )
“Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, enyi wanafiki! Ninyi mnasafiri baharini na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja mwongofu, lakini baada ya kumpata, mnamfanya mwana wa jehanamu mara mbili kuliko ninyi! (Geenna )
“Aphasasinaba, he Wayel Yathanggi ojasing amasung Pharisee-sing nakhoidi awabanida! Maramdi nakhoina mi amabu nakhoigi lainingda olhannabagidamak ipak kaya amasung lamdam kaya koina chatli. Aduga mahakna ollaklabada mahakpu nakhoina oiba adudagi saruk ani henna norokki macha oihalli.” (Geenna )
“Ninyi nyoka, ninyi uzao wa nyoka wenye sumu! Mtaiepukaje hukumu ya jehanamu? (Geenna )
He lilsa, he lindugi machasa, norokki wayen adudagi nakhoina karamna nanthokkadage? (Geenna )
Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamjia faraghani, wakamuuliza, “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, nayo dalili ya kuja kwako na ya mwisho wa dunia ni gani?” (aiōn )
Aduga Jisuna chorphon chingthakta phamlingeida tung-inbasing aduna Ibungogi nakta makhoi khaktamak lakladuna hairak-i, “Pumnamaksing asi karamba matamda thokkadage? Ibungona amuk lengbirakkadaba amasung taibangpan-gi aroiba matamgi khudam adu karino haiba eikhoida takpiyu.” (aiōn )
“Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, ‘Ondokeni kwangu, ninyi mliolaaniwa, nendeni kwenye moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya ibilisi na malaika zake. (aiōnios )
“Adudagi Ibungona mahakki oiromda leibasing aduda haigani, ‘He sirap phangbasa, eingondagi chatthoktuna Satan amasung mahakki dutsingidamak thourang toukhraba mutpa naidaba mei aduda chatkhro! (aiōnios )
“Ndipo hawa watakapoingia kwenye adhabu ya milele, lakini wale wenye haki wataingia katika uzima wa milele.” (aiōnios )
Adudagi makhoina lomba naidaba cheirak phanggadaba maphamda chatkani, adubu achumba chatpasingna lomba naidaba hingbada chatkani.” (aiōnios )
nanyi wafundisheni kuyashika mambo yote niliyowaamuru ninyi. Hakika mimi niko pamoja nanyi siku zote, hadi mwisho wa nyakati.” (aiōn )
Eina nakhoida pikhiba yathang pumnamak adu ngaknaba makhoibu tambiyu. Aduga yeng-u, taibangpangi aroiba matam adu phaoba nakhoibu matam pumnamakta eina loinabigani.” (aiōn )
Lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.” (aiōn , aiōnios )
Adubu Thawai Asengbagi maiyokta thina ngangba mahakpudi keidoungeidasu kokpiroi maramdi mahakna lomba naidaba pap ama langsillabani.” (aiōn , aiōnios )
lakini masumbufu ya maisha haya, na udanganyifu wa mali na tamaa ya mambo mengine huja na kulisonga lile neno na kulifanya lisizae. (aiōn )
adubu taibangpan punsi asigi langtaknaba, lanthumgi oiba nungaibagi lounam amadi makhal kayagi apambasingna makhoida changkhiduna Mapu Ibungogi wahei adu namhatkhi aduga mahei yalhande. (aiōn )
Kama mkono wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na mkono mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili lakini ukaingia jehanamu, mahali ambako moto hauzimiki. [ (Geenna )
Maram aduna nahakki khutna nahakpu papta tahallabadi, madu kakthatkho. Maramdi nakhut ani pallaga norokki mutnaidaba meida langsinbabudi, nakhut namata panduna hingbada changbana nahakkidamak henna phei. (Geenna )
Kama mguu wako ukikusababisha kutenda dhambi, ukate. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa kiwete, kuliko kuwa na miguu miwili lakini ukaingia jehanamu. [ (Geenna )
Nahakki khongna nahakpu papta tahallabadi, madu kakthatkho. Maramdi nakhong ani pallaga norokta langsinbabudi, nakhong nama yaodana hingbada changbana nahakkidamak henna phei. (Geenna )
Nalo jicho lako likikusababisha kutenda dhambi, lingʼoe. Ni afadhali kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa jehanamu, (Geenna )
Nahakki mitna nahakpu papta tahallabadi, madu kotthokkho. Maramdi namit ani pallaga norokta langsinbabudi, namit namatang pallaga Tengban Mapugi leibakta changbana nahakkidamak henna phei. (Geenna )
Yesu alipokuwa anaondoka, mtu mmoja akamkimbilia, akapiga magoti mbele yake, akamuuliza, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios )
Adudagi Jisuna maphamdu thadoklamlaga lambida asum lakpada nupa amana chellaklaga Ibungogi mangda khuru khudak kunladuna Ibungoda hangjarak-i, “Aphaba Oja Ibungo, lomba naidaba punsi phangjanaba eina kari toujagadage?” (aiōnios )
ambaye hatalipwa mara mia katika ulimwengu huu: nyumba, ndugu wa kiume na wa kike, mama na baba na watoto, mashamba pamoja na mateso, kisha uzima wa milele katika ulimwengu ujao. (aiōn , aiōnios )
taibangpanda leiringei matamda mayum-makei, machin-manao, machan-mache, mama, macha, amadi lou-singgi saruk chama chama henna phangjagani aduga loinana otpi neibiba amasung lakkadaba matam aduda lomba naidaba punsi phangjagani. (aiōn , aiōnios )
Akauambia ule mti, “Tangu leo mtu yeyote asile kamwe matunda kutoka kwako.” Wanafunzi wake walimsikia akisema hayo. (aiōn )
Adudagi Jisuna heiyit pambi aduda hairak-i, “Kana amatana nangondagi mahei amuk hanna chadasanu.” Aduga Ibungona haiba adu tung-inbasing aduna tare. (aiōn )
Ataimiliki nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.” (aiōn )
Aduga mahakna Jacob-ki chada-naodasinggi ningthou oina matam pumbagi oina pan-gani, amadi mahakki leibak adu lomba nairoi.” (aiōn )
Abrahamu na uzao wake milele, kama alivyowaahidi baba zetu.” (aiōn )
Ningsingbikhi mahakna, matam pumnamakta chanbiba utpigani haibadu, Abraham amadi mahakki charon suronsingda!” (aiōn )
kama alivyonena kwa vinywa vya manabii wake watakatifu tangu zamani, (aiōn )
Mahakna mamangngeida mahakki wa phongdokpiba asengba maichousingi mapanna washakpikhi, (aiōn )
Wale pepo wachafu wakamsihi sana asiwaamuru kwenda katika Shimo. (Abyssos )
Adudagi lai phattabasing aduna Ibungoda makhoibu makha naidaba komda chatnanaba yathang pibidanaba hanna hanna haijarammi. (Abyssos )
Nawe, Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu.” (Hadēs )
Aduga he Capernaum! Nangbu swargada thanggatpigadra? Natte, nangdi khamnung leibakta hunthagani.” (Hadēs )
Wakati huo mtaalamu mmoja wa sheria alisimama ili kumjaribu Yesu, akamuuliza, “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios )
Nongma wayel yathanggi oja amana hougatlaga Jisubu chang yengladuna wahang ama hanglak-i, “Oja Ibungo, lomba naidaba punsi phangnaba eina kari toujagadage?” (aiōnios )
Lakini nitawaambia nani wa kumwogopa: Mwogopeni yule ambaye baada ya kuua mwili, ana mamlaka ya kuwatupa motoni. Naam, nawaambia, mwogopeni huyo! (Geenna )
Adubu nakhoina kanabu kigadabano haibadu eina nakhoida haige. Madudi hatlaba matungda norokta langsingnaba matik leiba Tengban Mapu mahakpu kiyu. Eina nakhoida hairibasini, nakhoina kigadaba adu mahak asini. (Geenna )
“Yule bwana akamsifu yule msimamizi dhalimu kwa jinsi alivyotumia ujanja. Kwa maana watu wa dunia hii wana ujanja zaidi wanapojishughulisha na mambo ya dunia kuliko watu wa nuru. (aiōn )
Madugi mahei oina mapu aduna pukchel sengdaba thabak asin arang touba nupa adubu asigumba heisingba thabak asigidamak thagatlammi. Maramdi taibangpan asigi machasingna makhoigi mirol asida mangalgi machasingdagi henna sing-i.” (aiōn )
Nawaambia, tumieni mali ya kidunia kujipatia marafiki, ili itakapokwisha, mkaribishwe katika makao ya milele. (aiōnios )
Eina nakhoida hairibasini, asumna nakhoina taibangpanbagi lan thum sijinnaduna nakhoi nasagidamak marup semmu aduga langi kanapham leitraba matam aduda makhoina nakhoibu lomba naidaba yumda lousinbigani. (aiōnios )
Kule kuzimu alipokuwa akiteseka, alitazama juu, akamwona Abrahamu kwa mbali, naye Lazaro alikuwa karibu yake. (Hadēs )
Amasung khamnung leibakta mahakna awaba khangduna mathakta yengkhatpa matamda thapna Abraham amasung mahakki nakanda Lazarus leiba urammi. (Hadēs )
Mtawala mmoja akamuuliza Yesu, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios )
Nongma Jihudigi luchingba amana Jisuda asumna hanglammi, “Aphaba Oja Ibungo, lomba naidaba punsi phangjanaba eina kari toujagadage?” (aiōnios )
ambaye hatapewa mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya, na hatimaye kupata uzima wa milele ujao.” (aiōn , aiōnios )
mahakna taibangpanda leiringei matamda madudagi saruk yamna henna phangloidaba amasung lakkadaba matam aduda lomba naidaba punsi phangloidaba mi kana amata leite.” (aiōn , aiōnios )
Yesu akawajibu, “Katika maisha haya watu huoa na kuolewa. (aiōn )
Maduda Jisuna makhoida khumlak-i, “Chak asidadi misingna luhong-i, aduga machasingbu luhongnaba thajei-yonjei. (aiōn )
Lakini wale ambao wamehesabiwa kwamba wanastahili kupata nafasi katika ulimwengu ule na katika ufufuo wa wafu, hawaoi wala hawaolewi. (aiōn )
Adubu sibadagi hinggatpada amadi lakkadaba matam aduda leibada matik chaba nupa nupising adunadi maduda luhonglaroi. (aiōn )
Ili kila mtu amwaminiye awe na uzima wa milele. (aiōnios )
madu mahakpu thajaba mi khudingna lomba naidaba punsi phangnanabani. (aiōnios )
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. (aiōnios )
Tengban Mapuna taibangpanbabu asukki matik nungsibire aduna mahakki amatta ngairaba Machanupa adu pibire, maram aduna Machanupa adubu thajaba mi khudingna mangdaduna lomba naidaba hingba phangjananabani. (aiōnios )
Yeyote anayemwamini Mwana ana uzima wa milele, lakini yeye asiyemwamini Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu itakuwa juu yake.” (aiōnios )
Machanupa adubu thajaba mi aduna lomba naidaba hingba adu phangle; Machanupa adugi wa indaba mahak aduna hingba phangloi adubu Mapu Ibungogi asaoba mahakki mathakta leigani. (aiōnios )
Lakini yeyote anywaye maji nitakayompa hataona kiu kamwe. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika uzima wa milele.” (aiōn , aiōnios )
adubu eina piba ising adu thakpa mi khudingmak adudi makhoida khourangba amuk hanna leiraroi. Eina pigadaba ising aduna makhoida hingba piba iphut oiraktuna makhoida lomba naidaba hingba pibigani.” (aiōn , aiōnios )
Mvunaji tayari anapokea mshahara wake, naye anakusanya mazao kwa ajili ya uzima wa milele. Ili yeye apandaye na yeye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios )
Maru hunba mahakka akhaoba mahakka punna haraominnanaba, akhaoba mahak adu khutsuman phang-i amasung lomba naidaba hingbagi mahei khomjilli. (aiōnios )
“Amin, amin nawaambia, yeyote anayesikia maneno yangu na kumwamini yeye aliyenituma, anao uzima wa milele, naye hatahukumiwa, bali amepita kutoka mautini, na kuingia uzimani. (aiōnios )
“Eina nakhoida tasengnamak hairiba asini, eigi wa taba amadi eibu thabirakpa Ibungo mahakpu thajaba makhoi adu lomba naidaba hingba phangle. Makhoigi mathakta wayenba leiraroi; makhoidi sibadagi hingbada hannana lanthokkhre. (aiōnios )
Ninyi mnachunguza Maandiko mkidhani ya kuwa ndani yake mna uzima wa milele, maandiko haya ndiyo yanayonishuhudia Mimi. (aiōnios )
Nakhoina Mapugi puyabu thawai yaona neinei maramdi puyaduda nakhoina lomba naidana hingba adu phanggani haina khalli. Adubu Mapugi puya adumakna eigi maramda hairi! (aiōnios )
Msishughulikie chakula kiharibikacho, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele, ambacho Mwana wa Adamu atawapa. Yeye ndiye ambaye Mungu Baba amemtia muhuri.” (aiōnios )
Manggadaba chinjakkidamak thabak suganu adubu lomba naidaba hingba phaoba leiba chinjak adugidamak thabaksu. Masigi chinjak asidi Migi Machanupa aduna nakhoida pibigani maramdi Tengban Mapu Mapa Ibungo aduna mangonda yabibagi khudam nambire.” (aiōnios )
Kwa maana mapenzi ya Baba yangu ni kwamba kila mmoja amtazamaye, Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele, nami nitawafufua siku ya mwisho.” (aiōnios )
Eigi Ipagi aningba adudi Machanupa adubu ujaba amadi Ibungo mahakpu thajaba makhoi pumnamakna lomba naidaba hingba phangbani aduga eina makhoibu aroiba numitta hinggat-hanbigani.” (aiōnios )
Amin, amin nawaambia, yeye anayeamini anao uzima wa milele. (aiōnios )
Eina nakhoida tasengnamak hairibasini, eibu thajaba mahak aduna lomba naidaba hingba phangle. (aiōnios )
Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu yeyote akiula mkate huu, ataishi milele. Mkate huu ni mwili wangu, ambao nitautoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn )
Swargadagi kumtharakpa ahingba tal adu eini. Kanagumbana tal asi charabadi mahak lomba naidana hinggani. Taibangpan asina hingjanaba eina pigadouriba tal adu eigi hakchangni.” (aiōn )
Mtu yeyote aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, anao uzima wa milele. Nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios )
Adubu eigi hakchang charaba amadi eigi ee thaklaba mi aduna lomba naidana hingba phangle aduga eina mahakpu aroiba numitta hinggat-hanbigani. (aiōnios )
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.” (aiōn )
Masini swargadagi kumtharaklaba tal adu. Nakhoigi napa napusingna manna chakhi aduga sikhi adubu tal asi chaba mahak adudi lomba naidana hinggani.” (aiōn )
Simoni Petro akamjibu, “Bwana, tuondoke twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele. (aiōnios )
Maduda Simon Peter-na khumlak-i, “Ibungo, eikhoina kanada chatlugani? Ibungoda lomba naidaba hingba pibiba waheising adu lei. (aiōnios )
Mtumwa hakai nyumbani anakotumika siku zote, lakini mwana hukaa nyumbani daima. (aiōn )
Minaidi imung aduda matam pumbagi oina leite adubu machanupa adudi matam pumbagi oina lei. (aiōn )
Amin, amin nawaambia, mtu yeyote akilitii neno langu hataona mauti milele.” (aiōn )
Eina nakhoida tasengnamak hairibasini, kanagumbana eigi wa illabadi mahak keidoungeidasu siraroi.” (aiōn )
Ndipo Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kwamba una pepo mchafu. Ikiwa Abrahamu alikufa na vivyo hivyo manabii, nawe unasema ‘Mtu akitii neno langu hatakufa milele.’ (aiōn )
Maduda makhoina Ibungoda hairak-i, “Nangonda lai phattaba sungsoi soidana changle haibasi houjikti eikhoi khangle. Abraham sikhi aduga Mapu Ibungogi wa phongdokpa maichousingsu sikhi adubu nahaknadi ‘Kanagumbana eigi wa illabadi mahak keidoungeidasu siraroi’ haina hairi. (aiōn )
Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu. (aiōn )
Pokpadagi mit tanglakpa mi amabu uhanbiba haibasi taibangpan houbadagi kana amatana tadri. (aiōn )
nami ninawapa uzima wa milele, hawataangamia kamwe wala hakuna mtu atakayewapokonya kutoka mikono yangu. (aiōn , aiōnios )
Eina makhoida lomba naidaba hingba pibi aduga makhoi keidoungeidasu siraroi. Kana amatana makhoibu eigi khuttagi munba ngamloi. (aiōn , aiōnios )
na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je, unasadiki haya?” (aiōn )
Eingonda leiba aduga eibu thajaba mi khudingna keidoungeidasu siraroi. Nahak masi thajabra?” (aiōn )
Mtu yeyote anayependa maisha yake atayapoteza, naye ayachukiaye maisha yake katika ulimwengu huu atayaokoa hata kwa uzima wa milele. (aiōnios )
Mahakki thawaibu nungsiba aduna madu mangjagani adubu taibangpan asida leiringeida mahakki thawaibu tukkachaba mahak aduna lomba naidana hingba phaoba madu thamgani (aiōnios )
Ule umati wa watu ukapiga kelele ukasema, “Tumesikia kutoka Sheria kwamba ‘Kristo adumu milele,’ wewe wawezaje kusema, ‘Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa juu’? Huyu ‘Mwana wa Adamu’ ni nani?” (aiōn )
Miyamsing aduna khumlak-i, “Wayel Yathangdagi eikhoina khangle adudi Christtadi matam pumnamakta hingduna leigani. Aduga ‘Migi Machanupa adu thanggatpa tai’ haina nahakna kamdouna hairibano? Migi Machanupa hairibasi kanano?” (aiōn )
Nami ninajua amri zake huongoza hadi kwenye uzima wa milele. Hivyo lolote nisemalo, ndilo lile Baba aliloniambia niseme.” (aiōnios )
Ibungo mahakki yathangdi lomba naidana hingba aduda chingbi haiba eina khang-i. Maram aduna eina haiba khudingmak adu Ipana eingonda hainanaba haibibasingni.” (aiōnios )
Petro akamwambia, “La, wewe hutaninawisha miguu kamwe.” Yesu akamjibu, “Kama nisipokunawisha, wewe huna sehemu nami.” (aiōn )
Peter-na hairak-i, “Ibungo, Ibungona keidoungeidasu eigi khong hambiroidabani.” Maduda Jisuna khumlak-i, “Eina nahakki khong hambidrabadi nahak eihakka karisu mari leinade.” (aiōn )
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine akae nanyi milele. (aiōn )
Eina Ipada haijagani aduga Ipana nakhoida atoppa Pangbiba ama thabirakkani aduga mahakna nakhoiga matam pumbada loinabigani. (aiōn )
Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. (aiōnios )
Ibungona mangonda mi pumnamakki mathakta matik pibire madu Ibungona mangonda pibiba makhoi pumnamakta mahakna lomba naidaba hingba pinanabani. (aiōnios )
Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. (aiōnios )
Amatta ngairaba achumba Tengban Mapu nahakpu khangba amadi Ibungona thabirakpa Jisu Christtabu khangba asi lomba naidana hingba aduni. (aiōnios )
Kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu. (Hadēs )
Maramdi Ibungona eibu khamnung leibakta hundokpiroi; Nahakna nahakki Asengba Mahak adubu mongphamda pattha-pumthanhanbiroi, (Hadēs )
Daudi, akiona mambo yaliyoko mbele, akanena juu ya kufufuka kwa Kristo, kwamba hakuachwa kaburini, wala mwili wake haukuona uharibifu. (Hadēs )
Tengban Mapuna tungda tourakkadaba adu David-na ukhi maram aduna mahakna Christtana sibadagi hinggatpagi maramda asumna haikhi, ‘Ibungobu khamnung leibakta hundokpide; Ibungogi hakchang mongphamda pattha-pumthahanbide.’ (Hadēs )
Ilimpasa mbingu zimpokee mpaka wakati wa kufanywa upya kila kitu, kama Mungu alivyoahidi zamani kupitia kwa vinywa vya manabii wake watakatifu. (aiōn )
Tengban Mapugi asengba maichousinggi mapanna kuirabagi mamangda khanghanbikhibagumna, Tengban Mapuna pot pumnamakpu hanjinhanbibagi matam adu laktriba phaoba Jisudi swargada leiba tai. (aiōn )
Ndipo Paulo na Barnaba wakawajibu kwa ujasiri, wakisema, “Ilitupasa kunena nanyi neno la Mungu kwanza. Lakini kwa kuwa mmelikataa, mkajihukumu wenyewe kuwa hamstahili uzima wa milele, sasa tunawageukia watu wa Mataifa. (aiōnios )
Adubu Paul amadi Barnabas-na thouna phana paokhum pirak-i, “Eikhoina Tengban Mapugi wa adu nakhoida hanna haiba tabani adubu nakhoina madu loudrabanina nakhoi lomba naidana hingba phangba matik chade haina nasana khanjare. Houjikti eikhoi nakhoibu thadoktuna Jihudi nattaba phurupsingda chatlagani. (aiōnios )
Watu wa Mataifa waliposikia haya wakafurahi na kulitukuza neno la Bwana; nao wote waliokuwa wamekusudiwa uzima wa milele wakaamini. (aiōnios )
Jihudi nattaba mising aduna madu tabada makhoi haraorammi amadi Mapu Ibungogi wa adu thagatcharammi aduga lomba naidana hingba phangnaba khandokpirabasingna thajare. (aiōnios )
ambayo yamejulikana tangu zamani. (aiōn )
Matam kuirabagi mamangda khanghanbiraba Mapu Ibungona masi haibire.’” (aiōn )
Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, imeonekana waziwazi, ikitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na udhuru. (aïdios )
Maramdi taibangpan asi semba matamdagi houna uba ngamdaba Ibungo mahakki magunsing haibadi Ibungo mahakki lomba naidaba panggal amadi Tengban Mapugi oiba magun adu Tengban Mapuna sembikhrabasing adudagi mayek sengna ujei amadi khangba ngammi, maram asina makhoigi ngakpipham leite. (aïdios )
Kwa sababu waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba, ahimidiwaye milele! Amen. (aiōn )
Makhoina Tengban Mapugi achumba adubu minambaga onthoknare aduga matam pumnamakta thagatkadaba Sembiba Mapubu khurumjabagi mahutta Tengban Mapuna sembikhraba khutsemsingda makhoina khurumduna thougal toure. Amen. (aiōn )
Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele. (aiōnios )
Khaangheibaga loinana aphaba touriba, matik mangal, ikai khumnaba amasung mangba naidaba hingba thiriba makhoida Tengban Mapuna lomba naidaba hingba pibigani. (aiōnios )
ili kwamba kama vile dhambi ilivyotawala kwa njia ya mauti, vivyo hivyo neema iweze kutawala kwa njia ya kuhesabiwa haki hata kuleta uzima wa milele katika Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios )
masi papna sibagi mapanna panbagumna eikhoigi Mapu Ibungo Jisu Christtagi mapanna lomba naidaba hingba puraknaba thoujalnasu achumba chatpagi mapanna pannabani. (aiōnios )
Lakini sasa kwa kuwa mmewekwa huru mbali na dhambi na mmekuwa watumwa wa Mungu, faida mnayopata ni utakatifu, ambao mwisho wake ni uzima wa milele. (aiōnios )
Adubu houjikti nakhoi paptagi naning tamhanduna Tengban Mapugi minaising oire, madugi tongjabadi nakhoigi punsi adu mapung phana Tengban Mapuda katchare, madugi maheidi lomba naidaba hingbani. (aiōnios )
Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios )
Maramdi papki atoumandi sibani, adubu Tengban Mapugi khudoldi eikhoigi Ibungo Christta Jisuda lomba naidaba hingbani. (aiōnios )
Wao ni wa uzao wa mababa wakuu wa kwanza, ambao kutoka kwao Kristo alikuja kwa jinsi ya mwili kama mwanadamu, yeye ambaye ni Mungu aliye juu ya vyote, mwenye kuhimidiwa milele! Amen. (aiōn )
makhoising asi masak nairaba Hebrew ipa ipusinggi chada naodani; mioiba ama oina Christtasu makhoigi phuruptagini. Pumnamakki mathakta panbiriba Tengban Mapu mangonda lomba naidana thagatpa oisanu! Amen. (aiōn )
“au ‘Ni nani atashuka kwenda kuzimu?’” (yaani ili kumleta Kristo kutoka kwa wafu.) (Abyssos )
“nattraga, Kanana makha naidaba komda kumthagani?” (Madudi Christtabu asibasinggi maraktagi pukhatpani). (Abyssos )
Kwa maana Mungu amewafunga wanadamu wote kwenye kuasi ili apate kuwarehemu wote. (eleēsē )
Maramdi Tengban Mapuna mioi pumnamakta chanbiba utnaba mahakna mioi pumnamakpu haiba indabadagi phadok oihalle. (eleēsē )
Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwake na kwa ajili yake. Utukufu ni wake milele! Amen. (aiōn )
Maramdi pot pumnamak Ibungona semkhibani aduga pot pumnamak Ibungogi mapanna amadi Ibungogidamak leibani. Matik mangal matam pumnamakki oina Tengban Mapugi oirasanu! Amen. (aiōn )
Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu. (aiōn )
Aduga taibangpan asigi sakwong louganu, adubu nakhoigi pukning nouhanduna sakwong onthok-u. Maduna Tengban Mapugi aphaba, Ibungo mahakpu pelhanba amadi mapung phaba aningba adu nakhoina khangba ngamgani. (aiōn )
Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale. (aiōnios )
Eikhoina Tengban Mapuda matik mangal pirasi! Jisu Christtagi maramda eina sandokpa Aphaba Paogi matung inna amadi mamangeida matam kuina lottuna thamlaklaba athuppa achumba adubu phongdokpiba adugi matung inna, Ibungo mahakna nakhoigi thajabada nakhoibu chetna lep-hanba ngam-i. (aiōnios )
Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii (aiōnios )
Adubu houjikti Tengban Mapugi wa phongdokpiba maichousingna ibirambasing adugi mapanna phongdokpire; aduga lomba naidaba Tengban Mapu mahakki yathangna phurup pumnamakta khanghanbire, maduna makhoi pumnamakna thajaraktuna haiba innanabani. (aiōnios )
Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen. (aiōn )
Amatta ngaiba ikhang khangba Tengban Mapuda Jisu Christtagi mapanna matam pumnamakta thagatpa oisanu. Amen. (aiōn )
Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi msomi? Yuko wapi mwanafalsafa wa nyakati hizi? Je, Mungu hakufanya hekima ya ulimwengu huu kuwa upumbavu? (aiōn )
Adu oirabadi, asingba mi kadaida leibage? Wayel yathanggi oja kadaida leibage? Taibangpan asigi yetnaba heiba akhang aheising kadaida leibage? Tengban Mapuna taibanpan asigi lousing adu apangbani haina utpikhraba nattra? (aiōn )
Lakini miongoni mwa watu waliokomaa twanena hekima, wala si hekima ya ulimwengu huu au ya watawala wa dunia hii wanaobatilika. (aiōn )
Adumakpu thawaida mapungpharaba makhoising aduda eina lousinggi wa ngangngi. Adubu madu taibangpan asigi lousing natte aduga aremba oiragadaba, taibangpan asida pallibasing adugi lousingsu natte. (aiōn )
Sisi tunanena hekima ya Mungu ambayo ni siri, tena iliyofichika, ambayo Mungu aliikusudia kabla ya ulimwengu kuwepo, kwa ajili ya utukufu wetu. (aiōn )
Adubu eikhoina ngangthokliba lousing asidi Tengban Mapuna mioibasingdagi lottuna thambiramba adubu taibangpan leisemdringei mamangdagi eikhoigi matik mangalgidamak hanna langduna thambiramlaba Tengban Mapugi athuppa lousing aduni. (aiōn )
Hakuna hata mtawala mmoja wa nyakati hizi aliyeelewa jambo hili. Kwa maana kama wangelielewa, wasingemsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn )
Taibangpan asigi leingakpa kananasu lousing asibu khangkhide. Karigumba makhoina masibu khanglamlabadi makhoina matik mangalgi Ibungobu cross-ta hatlamloidabani. (aiōn )
Msijidanganye. Kama mtu yeyote miongoni mwenu akidhani kuwa ana hekima kwa viwango vya dunia hii, inampasa awe mjinga ili apate kuwa na hekima. (aiōn )
Mi kana amatana masana masabu minamdasanu. Aduga nakhoigi naraktagi kanagumbana taibangpan asigi machat matung-inna masa mathantabu asingbani khanjarabadi mahakna tasengna asingba oiraknaba mahakna apangba oiraksanu. (aiōn )
Kwa hiyo, kama kile ninachokula kitamfanya ndugu yangu aanguke katika dhambi, sitakula nyama kamwe, nisije nikamfanya ndugu yangu aanguke. (aiōn )
Maram aduna eina chariba pot aduna eigi ichil inaobu papta tahallabadi, eina mahakpu papta tahandanaba ei keidounungdasu sa sukcha chararoi. (aiōn )
Mambo haya yote yaliwapata wao ili yawe mifano kwa wengine, nayo yaliandikwa ili yatuonye sisi ambao mwisho wa nyakati umetufikia. (aiōn )
Masi pumnamaksing asi atoppasingda pandam oinaba makhoida thokkhibani aduga makhoina aroiba matam asida hingliba eikhoida cheksin-wa oinaba irambani. (aiōn )
“Kuko wapi, ee mauti, kushinda kwako? Uko wapi, ee mauti, uchungu wako?” (Hadēs )
“Siba, nahakki lanngamba adu kadaidano? Siba, nahakki mamu adu kadaida leibage?” (Hadēs )
Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu. (aiōn )
Makhoina thajade maramdi Tengban Mapugi sak-ong oiriba Christtagi matik mangalgi Aphaba Pao adubu makhoina uba ngamdananaba makhoigi pukningbu taibangpanba asigi phattaba lai aduna mamit tanghalle. (aiōn )
Kwa maana dhiki yetu nyepesi iliyo ya kitambo inatutayarisha kwa ajili ya utukufu wa milele unaozidi kuwa mwingi kupita kiasi, (aiōnios )
Maramdi ngaihakki oiba karisu nattaba eikhoigi awa anangsing asina makhoidagi yamna henba lomba naidaba matik mangal adu eikhoida pubirakkani. (aiōnios )
kwa sababu hatuangalii yale yanayoweza kuonekana bali yale yasiyoweza kuonekana. Kwa maana yale yanayoweza kuonekana ni ya kitambo tu, bali yale yasiyoweza kuonekana ni ya milele. (aiōnios )
Maram aduna eikhoina uba ngamba potsing aduda yengdaduna uba ngamdaba aduda mityeng chetna thamjei. Maramdi eikhoina uribasing asidi matam kharakhaktanggini adubu uba ngamdaba adudi lomba naidabagini. (aiōnios )
Kwa maana twajua kama hema yetu ya dunia tunayoishi ikiharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu, nyumba iliyo ya milele kule mbinguni, isiyojengwa kwa mikono ya wanadamu. (aiōnios )
Maramdi eikhoina leiriba phiyum haibadi eikhoigi taibang hakchang asina mangkhrabada mioibagi khutna saba nattaba, Tengban Mapugi oiba, lomba naidana leigadaba yum eikhoigi lei haiba eikhoina khang-i. (aiōnios )
Kama ilivyoandikwa: “Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele.” (aiōn )
Masi Mapugi Puyada ikhibagumbani, “Awatpa leibasingda mahakna marang kaina pinabi; Mahakki chanbi-heiba adu matam pumnamakta lengdana lei.” (aiōn )
Mungu na Baba wa Bwana Yesu, yeye ambaye anahimidiwa milele, anajua ya kuwa mimi sisemi uongo. (aiōn )
Ibungo Jisugi Tengban Mapusu, Mapasu oiriba lomba naidana thagatchagadaba Ibungo mahakna eina minamba ngangde haibasi khangbi. (aiōn )
aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. (aiōn )
Eikhoibu houjikki phattraba chak asidagi kanbinaba eikhoigi Tengban Mapu amadi Ipa adugi aningba adubu injaduna eikhoigi papkidamak Christtana masamakpu katthokpire. (aiōn )
Utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
Lomba naida naidana Tengban Mapuda matik mangal oisanu. Amen! (aiōn )
Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele. (aiōnios )
Maramdi masagi hakchangbu pelhannaba hunba mahak aduna hachangdagi amangba lokchagani; adubu Thawai adubu pelhannaba hunba mahak aduna Thawai adudagi lomba naidana hingba lokchagani. (aiōnios )
juu sana kuliko falme zote na mamlaka, enzi na milki, na juu ya kila jina litajwalo, si katika ulimwengu huu tu, bali katika ule ujao pia. (aiōn )
Christtana swargagi leingakpasing, matiksing, pangalsing amasung mapusing pumnamakki mathakta palle; amadi taibangpan asidata nattana lakkadaba adudasu Christtagi mingna matik pumnamakki minggi mathakta lei. (aiōn )
ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi sasa ndani ya wale wasiotii. (aiōn )
Matam aduda nakhoina taibangpangi oiba phattaba machat adugi matung illammi; malangda leiriba thawaigi panggalsinggi mapu adugi, haibadi Tengban Mapuna haiba indaba mising adubu houjik makhada thamliba thawai aduna haiba induna leirammi. (aiōn )
ili katika ule ulimwengu ujao apate kuonyesha wingi wa neema yake isiyopimika, iliyodhihirishwa kwetu kwa wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn )
Masi mahakna Christta Jisuda, eikhoida utpikhiba nungsiba aduda phongdokpiriba changdamningai leitana marang kairaba mahakki thoujal adu lakkadaba matam pumnamakta utpinanabani. (aiōn )
na kuweka wazi kwa kila mtu siri hii iliyokuwa imefichwa tangu zamani katika Mungu, aliyeumba vitu vyote. (aiōn )
Amasung Tengban Mapugi athuppa thourang adu kamdouna mahei yalhan-gadage haibadu mipum khudingmakta uhannaba khudongchaba adu iphamda pinabire. Athupa asi pot pumnamakpu sembiba Mapu, Tengban Mapuna houkhraba miron pumnamakta thuptuna thamlammi. (aiōn )
sawasawa na kusudi lake la milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn )
Tengban Mapuna masi eikhoigi Ibungo Christta Jisugi mapanna thunghanbikhraba mahakki lomba naidraba thourang adugi matung inna toubani. (aiōn )
yeye atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote, milele na milele. Amen. (aiōn )
Singlupta amadi Christta Jisuda, matam pumnamakta lomba naida naidana Tengban Mapugi matik mangal oirasanu! Amen. (aiōn )
Kwa maana kushindana kwetu si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. (aiōn )
Maramdi eikhoina mioibagi maiyokta lanthengnaba natte adubu swargagi maphamsingda leiriba phattaba thawaisinggi oiba panggalsing, leingakpasing, matiksing, amadi amamba taibanpan asigi panggalsing aduga lanthengnabani. (aiōn )
Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen. (aiōn )
Eikhoigi Tengban Mapu amasung Ipa Ibungoda lomba naidana matik mangal oisanu. Amen. (aiōn )
Hii ni siri iliyokuwa imefichika tangu zamani na kwa vizazi vingi, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu. (aiōn )
athuppa adu houkhraba chahi kaya kaya amadi mirol kaya kaya lottuna thamlakpani adubu houjikti Mapu Ibungogi misinggi maphamda phongdokpire. (aiōn )
Wataadhibiwa kwa uangamivu wa milele na kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa uweza wake, (aiōnios )
Makhoi adu Ibungogi mangdagi amasung Ibungogi matik mangal panggalgi adudagi khaidoktuna lomba naidaba amang-atagi cheirak khaanggani. (aiōnios )
Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema, (aiōnios )
Houjik, eikhoigi Ibungo Jisu Christta masamakna amasung eikhoibu nungsibiba eikhoigi Ipa Ibungo Tengban Mapu amadi mahakki thoujalna eikhoida lomba naidana thougatpiba amadi aphaba asha pinabisanu. (aiōnios )
Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele. (aiōnios )
Adum oinamak maram asigidamak haibadi pap chenbasinggi marakta khwaidagi pap chenba eingonda Tengban Mapuna chanbiba adu utpire, madu Ibungo mahakpu tungda thajagababa amadi lomba naidaba punsi phanggadaba mi pumnamakta Christta Jisuna mahakki kuina khaangheiba adu pandam oina utpinanabani. (aiōnios )
Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen. (aiōn )
Lomba naidaba Ningthou, siba naidraba, uba ngamdaba, amatta ngairaba Tengban Mapu Ibungo mangonda matam pumnamakta ikai khumnaba amasung matik mangal leiba oirasanu! Amen. (aiōn )
Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi. (aiōnios )
Thajabagi akanba laan adu soknou. Lomba naidaba hingba adu chetna paiyu masida nahakpu koubire amasung sakhi kayagi mamangda nahakna phongdokle. (aiōnios )
yeye peke yake ambaye hapatikani na mauti, na anakaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen. (aiōnios )
Sinaidaba asi Ibungo Mahak khaktani amadi kananasu changsinba ngamdaba mangal aduda Ibungo mahak lei. Aduga kana amatana Ibungo mahakpu ukhidri amasung ubasu ngamde. Ibungo mangonda ikai khumnaba amasung lomba naidana panggal leiba oirasanu! Amen. (aiōnios )
Waagize wale ambao ni matajiri wa ulimwengu huu waache kujivuna, wala wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie. (aiōn )
Houjikki taibangpanba asida inakkhullibasing makhoina pukning nawangdanaba amadi areppa leitaba landa asa thamdanaba adubu eikhoibu nungainanaba pot pumnamak marang kaina pibiba Tengban Mapuda makhoigi asa thamjanaba yangthang piyu. (aiōn )
ambaye alituokoa na kutuita katika mwito mtakatifu: si kwa kadiri ya matendo yetu mema bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na neema yake. Neema hii tulipewa katika Kristo Yesu tangu milele. (aiōnios )
Ibungona eikhoibu kanbire amasung Ibungo mahakmakki mi oinaba eikhoibu koubire, masi eikhoina toukhiba karigumba thabak amagidamak natte adubu Ibungo mahakki ningba amasung thoujalgi matung innani. Thoujal asi taibang leisemdringei mamangda Christta Jisugi mapanna eikhoida pibire, (aiōnios )
Kwa hiyo ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios )
Maram aduna lomba naidaba matik mangalga loinana Christta Jisuda leiba aran-khubham adu Tengban Mapuna khandoklaba makhoinasu phangnanaba eina makhoigidamak pumnamak khaang-i. (aiōnios )
kwa sababu Dema, kwa kuupenda ulimwengu, ameniacha na amekwenda Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia na Tito amekwenda Dalmatia. (aiōn )
maramdi Demas-na houjikki taibangpan asibu nungsibadagi eibu thadoklamlaga Thessalonica-da chatkhre. Crescens-su Galatia-da, aduga Titus-na Dalmatia-da chatkhre. (aiōn )
Bwana ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
Eingonda phattaba landarakpa pumnamaktagi Mapu Ibungona kanbigani aduga Ibungo mahakki swarga Leibakta eibu asoi angam yaodana pubigani. Ibungoda matam pumnamakta matik mangal leiba oirasanu! Amen. (aiōn )
imani na ujuzi ulioko katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu, asiyesema uongo, aliahidi hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, (aiōnios )
Minamba ngangdaba Tengban Mapuna leisemdringei mamangdagi eikhoida hingba asigidamak wasakpibani, (aiōnios )
Nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, ili tupate kuishi maisha ya kiasi, ya haki na ya utaua katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn )
Tengban Mapu ningdaba amasung taibangpan-gi oiba apamba adu thadoktuna, isa khudum chanjaba, pukchel tingba, amadi ngasigi taibangpan asida laining chetpa punsi ama hingnaba thoujal asina eikhoibu tambi, (aiōn )
ili kwamba, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele. (aiōnios )
masi Ibungo mahakki thoujalna eikhoibu chumhanbinabani aduga eikhoina asa toujaba lomba naidaba hingba adu phangnanabani. (aiōnios )
Huenda sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo kidogo ni ili uwe naye daima. (aiōnios )
Matam khara mahak nangondagi khainaramba asi nahakna mahakpu matam pumbagi oina phangjaba yananaba oiramba yai. (aiōnios )
lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia kwake aliuumba ulimwengu. (aiōn )
adubu aroiba numitsing asidadi Ibungo mahakna mahakki Machanupagi mapanna eikhoida wa ngangbire. Ibungo mahakki mapanna Tengban Mapuna taibangpan pumba sembi aduga aroibada Tengban Mapuna Ibungo mahakpu pot pumnamakki mapu oinanaba khandokpire. (aiōn )
Lakini kwa habari za Mwana asema, “Kiti chako cha enzi, Ee Mungu, kitadumu milele na milele, nayo haki itakuwa fimbo ya utawala ya ufalme wako. (aiōn )
Adubu Machanupa adugi maramda Tengban Mapuna hairak-i, “He Tengban Mapu, nahakki leibakti loiba naidana matam pumnamakki oina leigani! Nahakna nahakki misinggi mathakta achumba wayen-ga loinana pan-gani. (aiōn )
Pia mahali pengine asema, “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn )
Asengba puyagi atoppa mapham amadasu Tengban Mapuna asumna haikhi, “Melchizedek-ki matougumna nahakti lomba naidana purohitni.” (aiōn )
na akiisha kukamilishwa, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wote wanaomtii. (aiōnios )
Mahakpu mapung phahallabada, mahakna haiba inba makhoi pumnamakkidamak mahak asi lomba naidaba aran-khubham phangjapham oirakkhi. (aiōnios )
mafundisho kuhusu aina za ubatizo, kuwekea watu mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios )
baptize toubagi, amadi khut thambagi maramda tambiba; sibadagi hinggatpa amadi lomba naidaba wayenba hairiba hiramsing asigi yumpham amuk hanjinna tholloidabani. (aiōnios )
ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao, (aiōn )
Tengban Mapugi waheidi aphabani haiba amadi lakkadaba matam adugi panggalsing adu makhoina mahao tangkhre. (aiōn )
mahali ambapo Yesu mtangulizi wetu aliingia kwa niaba yetu. Yeye amekuwa Kuhani Mkuu milele, kwa mfano wa Melkizedeki. (aiōn )
Mapham aduda Jisuna Melchizedek-ki matougumna lomba naidaba purohitlen oiduna eikhoigidamak eikhoidagi mang thana changle. (aiōn )
Kwa maana imeshuhudiwa kwamba: “Wewe ni kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” (aiōn )
Maramdi Mapugi puyana hai, “Nahakti Melchizedek-ki matougumna matam pumbagi oina purohit ama oigani.” (aiōn )
lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia: “Bwana ameapa naye hatabadilisha mawazo yake: ‘Wewe ni kuhani milele.’” (aiōn )
Adubu Jisuna purohit oiba matamda wasakpa yao-i masi Tengban Mapuna Ibungoda haikhi, “MAPU IBUNGO-na achetpa wasak ama leple aduga madu amuk handokloi: ‘Nahak matam pumbagi oina purohit oigani.’” (aiōn )
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu. (aiōn )
Adubu Jisudi lomba naidana hingba maramna mahakki purohitki thabak adu atoppa kanagumba amada sinnaba toude. (aiōn )
Kwa kuwa sheria huwaweka makuhani wakuu watu ambao ni dhaifu; lakini lile neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, lilimweka Mwana, ambaye amefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn )
Moses-ki Wayel Yathangna asonba leiraba misingbu purohitlen oina khalli. Adubu Wayel Yathanggi matungda lakpa Tengban Mapuna wasakpiba amaga yaoba wasakpiba adunadi matam pumbagi oina mapung phahallaba Machanupabu purohitlen oina khanbi. (aiōn )
Hakuingia kwa njia ya damu ya mbuzi na ya ndama; lakini aliingia Patakatifu pa Patakatifu mara moja tu kwa damu yake mwenyewe, akiisha kupata ukombozi wa milele. (aiōnios )
Hameng amadi sallabagi ee-gi mapanna Ibungona changkhide; adubu Ibungona Khwaidagi Asengba Mapham aduda amuktanggi oina mahak masamakki ee-gi mapanna changle aduga eikhoigidamak lomba naidaba aran-khubham pubirakle. (aiōnios )
Basi ni zaidi aje damu ya Kristo, ambaye kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na waa, itatusafisha dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo mauti, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai! (aiōnios )
Masina achumba oibanina Christtagi ee-nadi kayagi matik amukka henna thabak pangthokkani! Lomba naidaba Thawaigi mapanna Ibungona masamakpu mapungphaba iratpot oina Tengban Mapuda katpire. Eikhoina ahingba Tengban Mapubu thougal touba yananaba Ibungogi ee-na eikhoigi achum aran khangba pukningbu kanadaba laininggi oiba chatnabisingdagi sengdokpigani. (aiōnios )
Kwa sababu hii Kristo ni mpatanishi wa agano jipya, ili kwamba wale walioitwa waweze kupokea ile ahadi ya urithi wa milele: kwa vile yeye alikufa awe ukombozi wao kutoka kwa dhambi walizozitenda chini ya agano la kwanza. (aiōnios )
Tengban Mapuna koubikhraba makhoina Tengban Mapuna wasakpikhiba lomnaidaba yaipha thoujalsing adu phangnabagidamak Christtana anouba walepnabagi sillangbiba adu oibire. Masi touba yabagi maramdi ahanba walepnabagi makhada leiringei matamda misingna toukhiba aranbasing adudagi ningtamhanbinaba sibikhiba ama leikhiba adunani. (aiōnios )
Ingekuwa hivyo, ingempasa Kristo kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Lakini sasa ametokea mara moja tu katika mwisho wa nyakati aiondoe dhambi kwa kujitoa mwenyewe kuwa dhabihu. (aiōn )
Madu oirabadi mahakna taibangpan semngeidagi kayarak hanna awa khaanglamgadabani. Adubu houjikti aroiba matam naksillaklaba asida masamakpu iratpagi mapanna pap louthoknaba matam pumnamakki oina amuktang masamak phongdokpire. (aiōn )
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, vitu vyote vinavyoonekana havikuumbwa kutoka kwa vitu vinavyoonekana. (aiōn )
Tengban Mapugi waheigi mapanna taibangpan apumba sembikhi haibasi thajabagi mapanna eikhoina khang-i, maram aduna uriba pot adu uba ngamdaba pottagi sembani. (aiōn )
Yesu Kristo ni yeye yule jana, leo na hata milele. (aiōn )
Jisu Christtadi ngarangsu ngasisu, amadi matam pumnamakta hongba leite. (aiōn )
Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya Agano la milele alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu wa kondoo, (aiōnios )
Houjikti ingthabagi Tengban Mapu, haibadi lomba naidaba walepnabagi ee adugi mapanna yaosinggidamak athoiba Yaosenba oiriba, eikhoigi Mapu Ibungo Jisubu asibadagi hinggat-hanbiba, (aiōnios )
awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
mahakna mahakki aningba touhannaba nakhoida aphaba pumnamakna sem sabinaba amasung Jisu Christtagi mapanna Ibungo mahakki apenba oiba adu eikhoida toubisanu. Christtada matam pumnamakki oina matik mangal leiba oisanu! Amen. (aiōn )
Ulimi pia ni moto, ndio ulimwengu wa uovu kati ya viungo vya mwili. Ulimi huutia mwili wote wa mtu unajisi na kuuwasha moto mfumo mzima wa maisha yake, nao wenyewe huchomwa moto wa jehanamu. (Geenna )
Leidi meigumbani, ayol arangi taibangpanbani; leina eikhoigi hakchang kayatsinggi marakta kayat ama oiduna hakchang apumbada phattaba sandok-i, amasung mahakki punsigi khongchat pumnamak norok-maktagi lakpa meina chak-halli. (Geenna )
Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. (aiōn )
Maramdi mangba yaba marudagi nattaduna mangba yadaba marudagi hingba amasung matam pumbada lengdana leiba Tengban Mapugi waheigi mapanna nakhoibu amuk hanna pokpire. (aiōn )
lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu. (aiōn )
adubu Mapu Ibungogi waheidi matam pumnamakta lengdana lei.” Nakhoida sandokpa Aphaba Pao adu wahei asini. (aiōn )
Yeyote asemaye hana budi kusema kama mtu asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Yeyote ahudumuye hana budi kuhudumu kwa nguvu zile anazopewa na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
Kanagumba amana wa nganglabadi, makhoina Tengban Mapugi wa ngangba amagumna nganggadabani; kanagumba amana thougal tourabadi, Tengban Mapuna pibiba panggalga loinana makhoina thougal tougadabani, masina Tengban Mapubu maram khudingmakta Jisu Christtagi mapanna thagatnabani. Matik mangal amasung panggal lomba naidana Ibungo mahakkini. Amen. (aiōn )
Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo kidogo, Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele ndani ya Kristo, yeye mwenyewe atawarejesha na kuwatia nguvu, akiwaimarisha na kuwathibitisha. (aiōnios )
Adubu nakhoina matam khara awaba khaanglaba matungda thoujal pumnamakki Tengban Mapuna mahakki lomba naidaba matik mangalda Christta Jisugi mapanna eikhoibu koubiraba Ibungo mahakna, nakhoibu mapung phahanbigani amasung achetpa, panggal amadi lengdraba yumpham nakhoida pibigani. (aiōnios )
Uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
Matam pumbagi oina panggal adu Ibungo mangonda leiba oisanu! Amen. (aiōn )
na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. (aiōnios )
Asumna oirabadi eikhoigi Mapu Ibungo amasung Kanbiba Mapu Jisu Christtagi lomba naidaba leibak aduda nakhoibu taramna okpigani. (aiōnios )
Kwa maana, kama Mungu hakuwasamehe malaika walipotenda dhambi, bali aliwatupa kuzimu katika vifungo vya giza wakae humo mpaka ije hukumu; (Tartaroō )
Maramdi Tengban Mapuna pap touba swarga dutsingbu kanbidaduna norokta langthakhi, amasung mapham aduda wayennabagidamak amambada yot-hingna punduna thamle. (Tartaroō )
Bali kueni katika neema na katika kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na milele! Amen. (aiōn )
Adubu thoujalda amadi eikhoigi Mapu Ibungo amasung Kanbiba Mapu Jisu Christtabu khangbada mathang mathang chaokhatpa oiyu. Houjik amasung lomba naidana Ibungoda matik mangal leiba oisanu! Amen. (aiōn )
Uzima huo ulidhihirishwa; nasi tumeuona na kuushuhudia, nasi twawatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa pamoja na Baba, nao ukadhihirishwa kwetu. (aiōnios )
Hingba adu uhanbire; eikhoina madu ujare amadi madugi maramda eikhoina sakhi pi amasung eikhoida uhanbiba amadi Mapa Ibungoga leiminnaramba lomba naidaba hingba adu eikhoina nakhoida laothok-i. (aiōnios )
Nao ulimwengu unapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele. (aiōn )
Taibangpan amasung masigi apamba adu mangsillakli; adubu Tengban Mapugi aningba touba mahak adudi matam pumnamakta hingduna lei. (aiōn )
Hii ndiyo ahadi yake kwetu, yaani, uzima wa milele. (aiōnios )
Christtana eikhoida pibigani wasakpikhiba adu asini madudi lomba naidaba hingba aduni. (aiōnios )
Yeyote amchukiaye ndugu yake ni muuaji, nanyi mwajua ya kwamba muuaji hana uzima wa milele ndani yake. (aiōnios )
Machin manaobu tukkachaba mahak adu mihatpani, mihatpa mi amatada lomba naidaba hingba leite haiba nakhoina khang-i. (aiōnios )
Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. (aiōnios )
Sakhi adu asini, Tengban Mapuna eikhoida lomba naidaba hingba pibire, aduga hingba adu mahakki Machanupa aduda lei. (aiōnios )
Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele. (aiōnios )
Tengban Mapugi Machanupagi mingda thajaba nakhoida lomba naidaba hingba lei haibasi nakhoina khangnanaba waramsing asi eina nakhoida i-bani. (aiōnios )
Nasi pia twajua ya kwamba Mwana wa Mungu amekuja, naye ametupa sisi ufahamu ili tupate kumjua yeye aliye Kweli. Nasi tumo ndani yake yeye aliye Kweli, yaani, ndani ya Yesu Kristo Mwanawe. Yeye ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios )
Eikhoina achumba Tengban Mapu adubu khangnanaba Tengban Mapugi Machanupa adu lengbiraktuna eikhoida wakhal taba pibire haibasu eikhoina khang-i. Tengban Mapugi Machanupa Jisu Christtada leijaduna eikhoina Tengban Mapuda lei. (aiōnios )
kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn )
eikhoida leiba amasung eikhoiga matam pumnamakta leiminnagadaba achumba adugi maramdani. (aiōn )
Nao malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini wakayaacha makao yao, hawa amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu Siku ile kuu. (aïdios )
Aduga masagi angambagi pham adu ngaktaduna makhoina leigadaba mapham adu thadokkhiba swarga dutsing adubu Ibungo mahakna achouba Numit aduda wayennabagidamak makhoibu lomba naidaba yot-hling phalangna punduna amambada thamle. (aïdios )
Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora na pia ile miji iliyokuwa kandokando, ambayo kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa katika moto wa milele. (aiōnios )
Masiga manana Sodom amasung Gomorrah, aduga madugi akoibada leiba saharsing adugi misingnasu nupa nupigi oiba lamchat kamba sajatsingda makhoi masasing pithoklammi. Makhoibu lomba naidaba meigi cheirak pigadabasing adugi pandam oina thamle. (aiōnios )
Wao ni mawimbi makali ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba waliowekewa milele. (aiōn )
Makhoidi masagi ikaibabu konggolgum kahalliba ipakki akanba ithaksingni; koipai paiba thawanmichaksingni, makhoigidamak khwaidagi mamba mapham ama khaaktuna thamle. (aiōn )
Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele. (aiōnios )
nakhoibu lomba naidaba hingbada chingbinaba eikhoigi Mapu Ibungo Jisu Christtagi chanbiba adu ngairingeida, nakhoi nasabu Tengban Mapugi nungsibada leiyu. (aiōnios )
kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen. (aiōn )
eikhoigi Kanbiba Mapu amatta ngairaba Tengban Mapua, eikhoigi Mapu Ibungo Jisu Christtagi mapanna matik mangal, chinglemba, panggal amasung matik houjik amadi matam pumnamakki oina leiba oirasanu! Amen. (aiōn )
akatufanya sisi kuwa ufalme na makuhani, tumtumikie Mungu wake ambaye ni Baba yake. Utukufu na uwezo ni vyake milele na milele! Amen. (aiōn )
amasung Ibungogi Mapa Tengban Mapubu thougal toujanaba eikhoibu purohitsinggi ningthouleibak ama oihanbire. Jisu Christtagi maphamda matam pumnamakta matik mangal amadi pangal leiba oisanu! Amen. (aiōn )
Mimi ni Yeye Aliye Hai, niliyekuwa nimekufa, na tazama, ni hai milele na milele! Nami ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn , Hadēs )
aduga eidi ahingba aduni, eihak sirure, adubu yeng-u houjikti ei lomba naida naidana hingle. Aduga eina asibagi amasung khamnung leibakki so adu pairi. (aiōn , Hadēs )
Kila mara viumbe hao wanne wenye uhai wanapomtukuza, kumheshimu na kumshukuru yeye aketiye kwenye kile kiti cha enzi, tena aishiye milele na milele, (aiōn )
Thawaipanba mari aduna phambal adugi mathakta phamliba lomba naidana hingliba Ibungo adugi matik mangalgi, ikai khumnabagi amadi thagatpagi isei saklammi. Amasung makhoina asumna touba matamda, (aiōn )
wale wazee ishirini na wanne huanguka mbele zake aketiye kwenye kiti cha enzi na kumwabudu yeye aliye hai milele na milele. Huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi, wakisema: (aiōn )
Ahal laman kunmari aduna phambaldugi mathakta phamliba Ibungo mahakki maangda tuthajaduna lomba naidana hingliba Ibungo mahakpu khurumjarammi. Makhoigi luhupsing adu phambaldugi mangda louthoktuna thamjaraga hai, (aiōn )
Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba: “Sifa na heshima na utukufu na uweza ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi na kwa Mwana-Kondoo, milele na milele!” (aiōn )
Aduga swargada, malemda, malemgi leironungda amadi samudrada leiba thawai panba khudingmakna isei sakpa eina tare: Phambal aduda phamliba Ibungo mangonda amasung Yaomacha aduda, thagatpa, ikai khumnaba, matik mangal amasung touba ngamba matik adu, lomba naida naidana leiba oisanu. (aiōn )
Nikatazama, na hapo mbele yangu alikuwepo farasi mwenye rangi ya kijivujivu! Yeye aliyempanda aliitwa Mauti, naye Kuzimu alikuwa akimfuata nyuma yake kwa karibu. Wakapewa mamlaka juu ya robo ya dunia, kuua kwa upanga, njaa, tauni na kwa wanyama wakali wa dunia. (Hadēs )
Aduga eina yengbada, maksinba machugi sagol ama eina ure. Madugi mathakta tongliba mahak adugi maming adu asiba kou-i aduga khamnung leibakna mahakki tung nakna illammi. Malemgi saruk mari thokpagi amagi mathakta lalna, chaktangbana, laina laichatna, amadi lamsasingna hatnaba makhoigi mathakta matik pire. (Hadēs )
wakisema: “Amen! Sifa na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amen!” (aiōn )
Hairak-i, “Amen! Thagat-khurumjaba, matik mangal, lousing, thagatchaba, ikai khumnaba, panggal, touba ngamba matik, lomba naidana naidana eikhoigi Tengban Mapugi oisanu! Amen!” (aiōn )
Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake, nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi ardhini. Nyota hiyo ilipewa ufunguo wa lile Shimo. (Abyssos )
Adudagi mangasuba swargadut aduna mahakki peresingga adu khongle amasung atiyadagi thawanmichak ama malemda tarakpa eina ure. Aduga mangonda makha naidaba komgi sow pire. (Abyssos )
Alipolifungua hilo Shimo, moshi ukapanda kutoka humo kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua na anga vikatiwa giza na ule moshi uliotoka katika hilo Shimo. (Abyssos )
Thawanmichak aduna makha naidaba kom adu hangdokle amasung achouba meiphamdagi meikhu thorakpagum madudagi meikhu thorakle, aduga makha naidaba komdagi thorakliba meikhu aduna numit amadi atiyabu mamhalle. (Abyssos )
Walikuwa na mfalme wao, ambaye ni malaika wa lile Shimo, ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani ni Apolioni. (Abyssos )
Makha naidaba kombu pannaba swargadut aduna makhoigi mathakta ningthou oina palli. Mahakki mamingdi Hebrew londa Abaddon kou-i; aduga Greek-tana Apollyon kou-i (wahandokti “Manghan takhanba mi” haibani). (Abyssos )
Naye akaapa kwa Yule aishiye milele na milele, aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote viijazavyo, pamoja na bahari na vyote vilivyomo ndani yake, akasema, “Hakuna kungoja tena! (aiōn )
Aduga swarga, malem, samudra amasung maduda leiriba pumnamakpu sembiba, lomba naidana hingliba Tengban Mapugi mingda wasakladuna hairak-i, “Amuk Panthararoi.” (aiōn )
Basi watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama atokaye katika lile Shimo atapigana nao vita, atawashinda na kuwaua. (Abyssos )
Makhoina makhoigi sakhi piba loirabada, makha naidaba komdagi thorakpa sa aduna makhoigi maiyokta landagani. Amasung mahakna makhoibu maithiba piduna makhoibu hatkani. (Abyssos )
Yule malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake, pakawa na sauti kubwa mbinguni iliyosema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atatawala milele na milele.” (aiōn )
Adudagi taretsuba swargadut aduna mahakki peresingga adu khongle, aduga swargada ahouba khonjelsingda hairak-i, “Taibangpanbagi ningthouleibak adu eikhoigi Ibungogi amadi mahakki Messiah-gi oirakle, aduga mahakna lomba naida naidana pangani” (aiōn )
Kisha nikamwona malaika mwingine akiruka juu angani, naye alikuwa na Injili ya milele ya kuwatangazia wale waishio duniani, yaani, kwa kila taifa, kabila, lugha na jamaa. (aiōnios )
Adudagi eina malemda leiriba misingda, mi kanglup khuding, salai khuding, lol khuding amadi phurup khudingda laothoknaba aphaba paogi lomnaidaba paojelga loinana awangba atiyada pairiba atoppa swargadut ama eina ure. (aiōnios )
Nao moshi wa mateso yao hupanda juu milele na milele. Hakuna mapumziko, mchana wala usiku, kwa wale wamwabuduo huyo mnyama na sanamu yake, au kwa yeyote anayepokea chapa ya jina lake.” (aiōn )
Makhoida awaba piriba meigi meikhu adu lomba naida naidana mathakta kakhatkani. Aduga sa adubu amadi magi murti adubu khurumbasing amasung mahakki minggi khudam phangba makhoising adugi awaba adu ahing nungthil anida leppa nairoi.” (aiōn )
Ndipo mmoja wa wale viumbe wanne wenye uhai akawapa wale malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, yeye aishiye milele na milele. (aiōn )
Thawaipanba mari adudagi amana swargadut taret aduda lomba naidana hingduna leiriba Tengban Mapugi meihouna saobana thallaba sanagi tenggot taret adu pirammi. (aiōn )
Huyo mnyama ambaye ulimwona, wakati fulani alikuwepo, lakini sasa hayupo, naye atapanda kutoka lile Shimo na kwenda kwenye maangamizo yake. Watu waishio duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwa ulimwengu watastaajabu kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwepo wakati fulani, na sasa hayupo, lakini atakuwepo. (Abyssos )
Nangna uriba sa asi matam amada leirammi, adubu mahak houjikti leitre; adumakpu mahak makha naidaba kom adudagi amuk kakhatlakkadouri aduga mahakki mang-takphamda chatkani. Taibangpan semdringei mamangdagi hingbagi lairikta makhoigi ming isinkhidaba malemda leibasingna sa adubu uba matamda ngakkani, maramdi mahakna matam amada leirammi, houjikna leitre adumakpu amuk lakkadouri. (Abyssos )
Wakasema tena kwa nguvu: “Haleluya! Moshi wake huyo kahaba unapanda juu milele na milele.” (aiōn )
Aduga makhoina amuk hanna laorak-i: “Halleluya! Achouba sahar adu chakthekpagi meiridagi thorakpa meikhuna lomba naida naidana ka-khatli.” (aiōn )
Lakini yule mnyama akakamatwa pamoja na huyo nabii wa uongo ambaye alikuwa amefanya ishara kwa niaba ya huyo mnyama, ambaye kwa ishara hizi aliwadanganya wale waliopokea chapa ya huyo mnyama na kuiabudu sanamu yake. Hawa wawili wakatupwa wakiwa hai ndani ya ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr )
Adubu sa aduga loinana mahakki mamangda angakpa thabak toukhiba Tengban Mapugi wa takthoksinaba mi aduga punna phare. (Mahakna sa adugi khudam leiba amadi sa adugi murtibu khurumba makhoising adubu minamkhiba adu angakpa thabaksing asigi mapannani.) Sa amadi Tengban Mapugi wa takthoksinnaba animakpu kantrukna chakliba meigi pat aduda hingna hunthare. (Limnē Pyr )
Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa ameshika ufunguo wa lile Shimo na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
Adudagi swargadut amana makha naidaba komgi so amasung chaoraba yotling phalang paiduna swargadagi kumtharakpa eina ure. (Abyssos )
Akamtupa katika lile Shimo, akamfunga humo na kulitia lakiri, ili kumzuia asiendelee kudanganya mataifa mpaka hiyo miaka 1,000 itimie. Baada ya hayo lazima afunguliwe kwa muda mfupi. (Abyssos )
Chahi lising amadu loidriba phaoba phurupsingbu amuk hanna minamba ngamdanaba swargadut aduna mahakpu makha naidaba komda hunjille aduga so lonsinduna chum namduna thamkhi. Madugi matungda mahakpu matam khradanggi oina thadokpa tai. (Abyssos )
Naye ibilisi aliyewadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti walikokuwa wametupwa yule mnyama na yule nabii wa uongo. Watateswa humo usiku na mchana, milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
Adudagi makhoibu minamkhiba Devil adubu sa amadi Tengban Mapugi wa takthoksinaba adubu hanna hunthakhraba mei amadi kantrukki pat aduda hunthare; aduga makhoibu ahing nungthil lomba naida naidana awa meichak khanghangani. (aiōn , Limnē Pyr )
Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, nayo mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Kila mtu akahukumiwa kulingana na yale aliyoyatenda. (Hadēs )
Adudagi samudrana magi manungda leiriba asibasingbu pithokle. Aduga siba amadi khamnung leibaknasu makhoigi manungda leiriba asibasingbu pithokle. Amasung makhoi pumnamakpu makhoi makhoina toukhiba thabakki matung-inna wayelle. (Hadēs )
Kisha mauti na Kuzimu zikatupwa katika ziwa la moto. Hii ndio mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. (Hadēs , Limnē Pyr )
Adudagi siba amadi khamnung leibakpu meigi pat manungda langsille. Meigi pat asi anisuba siba aduni. (Hadēs , Limnē Pyr )
Iwapo mtu jina lake halikuonekana katika kile kitabu cha uzima, alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. (Limnē Pyr )
Hingbagi lairikta makhoigi ming isinba phangdaba makhoising adubu meigi pat aduda hunjille. (Limnē Pyr )
Lakini waoga, wasioamini, wachafu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, pamoja na waongo wote, mahali pao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr )
Adubu pangdabasing, thajadabasing, tukkachaningai oibasing, mihatpasing, nupa nupi lannabasing, hidam yaidambagi thabak toubasing, lai murti latpasing amasung chinthiba pumnamakki panthungdi achakpa kantrukki meigi pat aduda oigani. Masi anisuba siba aduni.” (Limnē Pyr )
Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na milele. (aiōn )
Mapham aduda ahing amuk leiraroi, aduga makhoina thaomei amasung numitki mangalsu mathou tararoi, maramdi Ibungo Tengban Mapuna makhoigi mangal oigani; aduga makhoina ningthougumna lomba naida naidana pangani. (aiōn )
“‘Ni miti ipi ya Edeni inayoweza kulinganishwa nawe kwa fahari na utukufu? Hata hivyo, wewe pia, utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni mpaka kuzimu, utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga. “‘Huyu ni Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri, asema Bwana Mwenyezi.’” ()
“Mwanadamu, omboleza kwa ajili ya makundi ya wajeuri wa Misri na uwatupe kuzimu yeye na binti za mataifa yenye nguvu, waende huko pamoja nao washukao shimoni. ()
“Elamu yuko huko, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote wameuawa, wameanguka kwa upanga. Wote waliokuwa wameeneza hofu katika nchi ya walio hai walishuka kuzimu bila kutahiriwa. Wanaichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni. ()