< Nehemia 3 >

1 Eliashibu kuhani mkuu na makuhani wenzake walikwenda kufanya kazi na kulijenga upya Lango la Kondoo. Waliliweka wakfu na kuweka milango mahali pake, wakajenga hadi kufikia Mnara wa Mia, ambao waliuweka wakfu hadi Mnara wa Hananeli.
Un augstais priesteris Elijašibs cēlās ar saviem brāļiem, tiem priesteriem, un uztaisīja Avju vārtus; tie tos iesvētīja un iecēla viņu durvis; tos tie iesvētīja līdz Meas(Simtnieku) tornim, līdz Hananeēļa tornim.
2 Watu wa Yeriko wakajenga sehemu zilizopakana nao, naye Zakuri mwana wa Imri akajenga karibu nao.
Un viņiem sānis strādāja Jērikus vīri, un viņiem sānis strādāja Zakurs, Imra dēls.
3 Lango la Samaki lilijengwa upya na wana wa Hasenaa. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango yake na makomeo na nondo.
Un Zivju vārtus taisīja Senaās bērni; tie tos salaida un iecēla viņu durvis, viņu atslēgas un aizšaujamos.
4 Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu iliyofuatia. Baada yake Meshulamu mwana wa Berekia, mwana wa Meshezabeli, alifanya ukarabati na aliyemfuatia ni Sadoki mwana wa Baana.
Un viņiem sānis strādāja Meremots, Ūrijas dēls, Akoca dēla dēls. Un viņiem sānis strādāja Mešulams, Bereķijas dēls, Mešezabeēļa dēla dēls. Un viņiem sānis strādāja Cadoks, Baēnas dēls,
5 Sehemu iliyofuatia ilikarabatiwa na watu kutoka Tekoa, lakini wakuu wao walikataa kufanya kazi chini ya wasimamizi wao.
Un viņiem sānis strādāja Tekoieši, bet viņu cienīgie nepadeva savu kaklu, kalpot savam Kungam.
6 Lango la Yeshana lilikarabatiwa na Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango, makomeo na nondo.
Un Vecpilsētas vārtus taisīja Jojadus, Paseas dēls, un Mešulams, Besodijas dēls, tie tos salaida un iecēla viņu durvīs ar viņu atslēgām un viņu aizšaujamiem.
7 Karibu nao ukarabati ulifanywa na watu kutoka Gibeoni na Mispa, yaani Melati Mgibeoni, na Yadoni Mmeronothi, sehemu hizi zikiwa chini ya mamlaka ya mtawala wa Ngʼambo ya Frati.
Un viņiem sānis strādāja Gibeonietis Melatija un Meronietis Jadons, Gibeona un Micpas vīri (kas pieder) pie zemes valdnieka tiesas viņpus upes.
8 Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa masonara, alikarabati sehemu iliyofuatia, naye Hanania mmoja wa watengenezaji marashi akakarabati sehemu iliyofuatia. Walitengeneza Yerusalemu mpaka kufikia Ukuta Mpana.
Viņiem sānis strādāja Uziēls, Harhajas dēls, no tiem sudraba kalējiem. Viņiem sānis strādāja Hananija, zāļu pārdevēja dēls, un Jeruzālemi atkal uztaisīja līdz tam Platajam mūrim.
9 Refaya mwana wa Huri, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia.
Viņiem sānis strādāja Revaja, Ura dēls, Jeruzālemes pusapriņķa virsnieks.
10 Kupakana na sehemu hii, Yedaya mwana wa Harumafu alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba yake, naye Hatushi mwana wa Hashabnea akakarabati sehemu iliyofuatia.
Un viņiem sānis strādāja Jedaja, Arumava dēls, savam namam iepretim. Un viņam sānis strādāja Hatus, Azabenijas dēls.
11 Malkiya mwana wa Harimu, na Hashubu mwana wa Pahath-Moabu walikarabati sehemu nyingine pamoja na Mnara wa Matanuru.
Otru gabalu uztaisīja Malhija, Harima dēls, un Hašubs, PaātMoaba dēls, un arī to cepļa torni.
12 Shalumu mwana wa Haloheshi, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia akisaidiwa na binti zake.
Un viņiem sānis strādāja Šalums, Āloēs dēls, Jeruzālemes pusapriņķa virsnieks, viņš un viņa meitas.
13 Lango la Bondeni lilikarabatiwa na Hanuni na wakazi wa Zanoa. Walilijenga upya, na kuweka milango yake na makomeo na nondo mahali pake. Pia walikarabati ukuta wenye urefu wa mita 450 hadi Lango la Samadi.
Ielejas vārtus taisīja Hanuns un Zanoas iedzīvotāji; tie tos taisīja un iecēla viņu durvis, viņu atslēgas un viņu aizšaujamos, arī tūkstoš olektis mūra līdz Mēslu vārtiem.
14 Lango la Samadi lilikarabatiwa na Malkiya mwana wa Rekabu, mtawala wa wilaya ya Beth-Hakeremu. Alilijenga upya, na kuweka milango yake, na makomeo na nondo.
Un Mēslu vārtus taisīja Malhija, Rekaba dēls, vīna dārzu apgabala virsnieks; viņš tos uztaisīja, un iecēla viņu durvis, viņu atslēgas un viņu aizšaujamos.
15 Lango la Chemchemi lilikarabatiwa na Shalumu mwana wa Kolhoze, mtawala wa wilaya ya Mispa. Alilijenga upya, akaliezeka na kuweka milango yake, na makomeo na nondo mahali pake. Pia alikarabati ukuta wa Bwawa la Siloamu karibu na Bustani ya Mfalme, hadi kwenye ngazi zinazoshuka kutoka Mji wa Daudi.
Un Akas vārtus taisīja Šalums, KalKosus dēls, Micpas apriņķa virsnieks; viņš tos uztaisīja un tos apsedza un iecēla viņu durvis, viņu atslēgas un viņu aizšaujamos, tā arī to mūri pie Šelahas dīķa, pie ķēniņa dārza, līdz tām pakāpēm, kas nonāk no Dāvida pilsētas.
16 Baada yake, Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-Suri, alikarabati kufikia mkabala na makaburi ya Daudi, mpaka kwenye bwawa lililotengenezwa, na kufikia Nyumba ya Mashujaa.
Aiz viņa taisīja Nehemija, Azbuka dēls, Betzura pusapriņķa virsnieks, līdz pret Dāvida kapam un līdz Azujas dīķim un līdz varoņu namam.
17 Baada yake, ukarabati ulifanywa na Walawi chini ya uongozi wa Rehumu mwana wa Bani. Aliyefuatia ni Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, aliyekarabati sehemu ya wilaya yake.
Aiz viņa taisīja leviti, Rehums, Banus dēls. Viņam sānis strādāja Hašabija, Ķeģilas pusapriņķa virsnieks par savu apgabalu.
18 Baada yake, ukarabati ulifanywa na ndugu zao chini ya usimamizi wa Binui mwana wa Henadadi, mtawala wa nusu hiyo ingine ya wilaya ya Keila.
Aiz viņa strādāja viņu brāļi, Bavajus, EnHadada dēls, Ķeģilas pusapriņķa virsnieks.
19 Baada yao, Ezeri mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia ile sehemu inayotazamana na mwinuko wa kuelekea kwenye ghala la kuhifadhia silaha, mpaka kwenye pembe ya ukuta.
Viņam sānis strādāja Ezers, Ješuūs dēls, Micpas virsnieks, otru gabalu, turpat pretī, kur uzkāpj pie bruņu nama pašā stūrī.
20 Baada yake, Baruku mwana wa Zakai alikarabati kwa bidii sehemu nyingine kuanzia ile pembe, mpaka kwenye lango la nyumba ya Eliashibu kuhani mkuu.
Aiz viņa strādāja uzcītīgi Bāruks, Zebajus dēls, otru gabalu, no tā stūra līdz Elijašiba, augstā priestera, nama durvīm.
21 Kupakana naye, Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia penye lango la nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wake.
Aiz viņa strādāja Merimots, Ūrijas dēls, Akoca dēla dēls, otru gabalu, no Elijašiba nama durvīm līdz Elijašiba nama galam.
22 Baada yake, ukarabati ulifanywa na makuhani waliotoka eneo lililouzunguka mji.
Un aiz viņa strādāja priesteri, tie vīri no (Jardānes) ielejas.
23 Baada yao Benyamini na Hashubu walikarabati mbele ya nyumba zao, na baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania alifanya ukarabati kando ya nyumba yake.
Aiz tiem strādāja Benjamins un Hašubs savam namam iepretim. Aiz tiem strādāja Azarija, Maāsejas dēls, Ananijas dēla dēls, pie sava nama.
24 Baada yake, Binui mwana wa Henadadi alikarabati sehemu nyingine, kuanzia kwenye nyumba ya Azaria mpaka kwenye pembe ya ukuta.
Aiz viņa strādāja Binuūs, EnHadada dēls, otru gabalu, no Azarijas nama līdz kaktam un līdz stūrim,
25 Naye Palali, mwana wa Uzai alijenga sehemu iliyokuwa mkabala na pembe ya ukuta, mpaka kwenye mnara wa juu ambao unajitokeza kuanzia kwenye jumba la kifalme, kando ya ua wa walinzi. Baada yake, Pedaya mwana wa Paroshi,
Palals, Uzijus dēls, stūrim iepretim un tam augstam tornim iepretim, kas no augšēja ķēniņa nama izceļas un stāv pie cietuma pagalma. Aiz viņa Pedaja, Pareūs dēls.
26 na watumishi wa Hekalu walioishi juu ya kilima cha Ofeli walikarabati hadi kufikia mkabala na Lango la Maji, kuelekea mashariki na ule mnara uliojitokeza.
Bet Dieva nama kalpotāji dzīvoja Ofelā līdz Ūdens vārtiem pret rīta pusi un pret to torni, kas tur izceļas.
27 Baada yao, watu wa Tekoa walikarabati sehemu nyingine, kuanzia mnara mkubwa utokezao hadi ukuta wa Ofeli.
Aiz tiem strādāja Tekoieši otru gabalu, tam lielam tornim iepretim, kas tur izceļas, un līdz Ofela mūrim.
28 Makuhani walifanya ukarabati juu ya Lango la Farasi, kila mmoja mbele ya nyumba yake.
Augšpus Zirgu vārtiem strādāja priesteri, ikviens savam namam iepretim.
29 Baada yao, Sadoki mwana wa Imeri alifanya ukarabati mkabala na nyumba yake. Baada yake, Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki, alifanya ukarabati.
Aiz tiem strādāja Cadoks, Imera dēls, savam namam iepretim. Un aiz viņa Šemaja, Šehanijas dēls, Rīta vārtu sargs.
30 Baada yake, Hanania mwana wa Shelemia, na Hanuni mwana wa sita wa Salafu walikarabati sehemu nyingine. Baada yao, Meshulamu mwana wa Berekia alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba zake za kuishi.
Aiz viņa strādāja Hananija, Šelemijas dēls, un Hanuns, Calafa sestais dēls, otru gabalu. Aiz viņiem strādāja Mešulams, Bereķijas, dēls, savam kambarim iepretim.
31 Baada yake Malkiya, mmoja wa masonara, alifanya ukarabati mpaka kwenye nyumba za watumishi wa Hekalu na wafanyabiashara, mkabala na Lango la Ukaguzi, hadi kufikia chumba kilicho juu ya pembe.
Aiz viņa strādāja Malkija, sudraba kalēja dēls, līdz Dievu nama kalpotāju un zāļu pārdevēju namam, Tiesas vārtiem iepretim, līdz stūra uzkāpēm.
32 Masonara na wafanyabiashara walifanya ukarabati kutoka chumba kilichoko juu ya pembe hadi Lango la Kondoo.
Un starp stūra uzkāpēm un Avju vārtiem strādāja sudraba kalēji un zāļu pārdevēji.

< Nehemia 3 >