< Nehemia 10 >

1 Wale waliotia muhuri walikuwa: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia. Sedekia,
Or, ceux qui apposèrent leur sceau furent: Néhémie, le gouverneur, fils de Hacalia, et Sédécias,
2 Seraya, Azaria, Yeremia,
Séraja, Azaria, Jérémie,
3 Pashuri, Amaria, Malkiya,
Pashur, Amaria, Malkija,
4 Hatushi, Shebania, Maluki,
Hattush, Shébania, Malluc,
5 Harimu, Meremothi, Obadia,
Harim, Mérémoth, Obadia,
6 Danieli, Ginethoni, Baruku,
Daniel, Guinnéthon, Baruc,
7 Meshulamu, Abiya, Miyamini,
Méshullam, Abija, Mijamin,
8 Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa ndio waliokuwa makuhani.
Maazia, Bilgaï, Shémaja. Ce sont les sacrificateurs.
9 Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,
Les Lévites: Jéshua, fils d'Azania, Binnuï, des fils de Hénadad, Kadmiel;
10 na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
Et leurs frères, Shébania, Hodija, Kélita, Pélaja, Hanan,
11 Mika, Rehobu, Hashabia,
Mica, Réhob, Hashabia,
12 Zakuri, Sherebia, Shebania,
Zaccur, Shérébia, Shébania,
13 Hodia, Bani na Beninu.
Hodija, Bani, Béninu.
14 Viongozi wa watu: Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
Les chefs du peuple: Parosh, Pachath-Moab, Élam, Zatthu, Bani,
15 Buni, Azgadi, Bebai,
Bunni, Azgad, Bébaï,
16 Adoniya, Bigwai, Adini,
Adonija, Bigvaï, Adin,
17 Ateri, Hezekia, Azuri,
Ater, Ézéchias, Azzur,
18 Hodia, Hashumu, Besai,
Hodija, Hashum, Betsaï,
19 Harifu, Anathothi, Nebai,
Hariph, Anathoth, Nébaï,
20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
Magpiash, Méshullam, Hézir,
21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
Meshézabéel, Tsadok, Jaddua,
22 Pelatia, Hanani, Anaya,
Pélatia, Hanan, Anaja,
23 Hoshea, Hanania, Hashubu,
Osée, Hanania, Hashub,
24 Haloheshi, Pilha, Shobeki,
Lochèsh, Pilcha, Shobek,
25 Rehumu, Hashabna, Maaseya,
Réhum, Hashabna, Maaséja,
26 Ahiya, Hanani, Anani,
Achija, Hanan, Anan,
27 Maluki, Harimu na Baana.
Malluc, Harim, Baana.
28 “Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu, na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu,
Et le reste du peuple, les sacrificateurs, les Lévites, les portiers, les chantres, les Néthiniens, et tous ceux qui s'étaient séparés des peuples de ces pays, pour observer la loi de Dieu, leurs femmes, leurs fils, et leurs filles, tous ceux qui étaient capables de connaissance et d'intelligence,
29 basi hawa wote wanajiunga na ndugu zao na wakuu wao, na kujifunga kwa laana na kwa kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu, na kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo na sheria za Bwana, Bwana wetu.
Se joignirent à leurs frères, les plus considérables d'entre eux, et s'engagèrent par imprécation et serment, à marcher dans la loi de Dieu, qui avait été donnée par Moïse, serviteur de Dieu, à garder et à faire tous les commandements de l'Éternel notre Seigneur, ses ordonnances et ses lois;
30 “Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana wetu binti zao.
A ne pas donner nos filles aux peuples du pays, et à ne point prendre leurs filles pour nos fils;
31 “Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa zao au nafaka kuuza siku ya Sabato, hatutazinunua kutoka kwao siku ya Sabato, wala siku nyingine yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba, tutaacha kuilima ardhi na tutafuta madeni yote.
Et à ne prendre rien, au jour du sabbat, ni dans un autre jour consacré, des peuples du pays qui apportent des marchandises et toutes sortes de denrées, le jour du sabbat, pour les vendre, et à faire relâche la septième année, et à faire remise de toute dette.
32 “Tunakubali wajibu wa kutimiza amri za kutoa theluthi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu:
Nous fîmes aussi des ordonnances, nous chargeant de donner, par an, le tiers d'un sicle, pour le service de la maison de notre Dieu,
33 Kwa ajili ya mikate ya Wonyesho, kwa ajili ya sadaka za kawaida za nafaka na sadaka za kuteketezwa, kwa ajili ya sadaka za siku za Sabato, Sikukuu za Mwandamo wa Mwezi na sikukuu nyingine zilizoamriwa, kwa ajili ya sadaka takatifu, kwa ajili ya sadaka za dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.
Pour les pains de proposition, pour l'offrande perpétuelle, pour l'holocauste perpétuel des sabbats, des nouvelles lunes, pour les fêtes, pour les choses consacrées, pour les sacrifices d'expiation en faveur d'Israël, et pour tout ce qui se fait dans la maison de notre Dieu.
34 “Sisi makuhani, Walawi na watu, tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati maalum kila mwaka mchango wa kuni za kukokea moto katika madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.
Nous tirâmes au sort, pour l'offrande du bois, tant les sacrificateurs et les Lévites que le peuple, afin de l'amener à la maison de notre Dieu, selon les maisons de nos pères, à des époques déterminées, année par année, pour le brûler sur l'autel de l'Éternel, notre Dieu, ainsi qu'il est écrit dans la loi.
35 “Pia tunachukua wajibu wa kuleta malimbuko ya mazao yetu na matunda ya kwanza ya kila mti wa matunda katika nyumba ya Bwana kila mwaka.
Nous décidâmes aussi d'apporter à la maison de l'Éternel, année par année, les premiers fruits de notre terre, et les premiers fruits de tous les arbres;
36 “Kama pia ilivyoandikwa katika Sheria, tutawaleta wazaliwa wetu wa kwanza wa kiume, na wa mifugo yetu, yaani wa ngʼombe wetu na wa makundi yetu ya kondoo na mbuzi, katika nyumba ya Mungu wetu, kwa ajili ya makuhani wanaohudumu huko.
Et les premiers-nés de nos fils et de nos bêtes, comme il est écrit dans la loi; et d'amener à la maison de notre Dieu, aux sacrificateurs qui font le service dans la maison de notre Dieu, les premiers-nés de notre gros et de notre menu bétail.
37 “Zaidi ya hayo, tutaleta katika ghala za nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani, vyakula vya kwanza vya mashamba yetu, sadaka zetu za nafaka, matunda ya miti yetu yote, divai yetu mpya na mafuta. Nasi tutaleta zaka za mazao yetu kwa Walawi, kwa kuwa Walawi ndio ambao hukusanya zaka katika miji yote tunakofanya kazi.
Et les prémices de notre pâte, nos offrandes, les fruits de tous les arbres, le vin et l'huile, nous les apporterons aux sacrificateurs, dans les chambres de la maison de notre Dieu, ainsi que la dîme de notre terre aux Lévites, qui eux-mêmes en paient la dîme dans toutes nos villes agricoles.
38 Kuhani atokanaye na uzao wa Aroni atashirikiana na Walawi wakati wanapopokea zaka, nao Walawi itawapasa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu katika ghala za hazina.
Le sacrificateur, fils d'Aaron, sera avec les Lévites, lorsque les Lévites paieront la dîme; et les Lévites apporteront la dîme de la dîme à la maison de notre Dieu, dans les chambres de la maison du trésor.
39 Watu wa Israeli pamoja na Walawi itawapasa kuleta michango yao ya nafaka, divai mpya na mafuta katika vyumba vya ghala, mahali vifaa vya mahali patakatifu vinapohifadhiwa, na wanapokaa makuhani wanaohudumu, na mabawabu na waimbaji. “Hatutaacha kuijali nyumba ya Mungu wetu.”
Car les enfants d'Israël et les enfants de Lévi doivent apporter dans ces chambres l'offrande du blé, du vin et de l'huile; là sont les ustensiles du sanctuaire, les sacrificateurs qui font le service, les portiers et les chantres. Et nous n'abandonnerons point la maison de notre Dieu.

< Nehemia 10 >