< Luka 21 >

1 Yesu alipoinua macho yake, aliwaona matajiri wakiweka sadaka zao kwenye sanduku la hazina ya Hekalu.
Yesun atilinga am'bweni analome matajiri, bababile kababika zawadi yabe mu akiba.
2 Akamwona pia mjane mmoja maskini akiweka humo sarafu mbili ndogo za shaba.
Amweni ywa wilikwe yumo maskini kabika senti yake ibele.
3 Yesu akasema, “Amin, nawaambia, huyu mjane maskini ameweka humo zaidi ya watu wengine wote.
Nga nyo ngabaya kweli wendakuwabakia, hayu ngwelekwa maskini abika yanambone kuliko benge boti.
4 Hawa watu wengine wote wametoa sadaka kutokana na wingi wa mali zao. Lakini huyu mjane ametoa kutokana na umaskini wake vyote alivyokuwa navyo, hata kile alichohitaji ili kuishi.”
Haba boti bapiyite bayi zawadi buka katika yanambone yababile nayo, lakini hayu n'gwelekwa katika umaskini wake, apiyite mbanje yoti yabile nayo kwaajili ya lama kwake,”
5 Baadhi ya wanafunzi wake wakawa wanamwonyesha jinsi Hekalu lilivyopambwa kwa mawe mazuri na kwa vitu vilivyotolewa kuwa sadaka kwa Mungu. Lakini Yesu akawaambia,
Wakati wenge pababile kababaya usu hekalu, namna mwalibile litipambilwe na maliwe yananoga ni matoleo atibaya,
6 “Kuhusu haya mnayoyaona hapa, wakati utafika ambapo hakuna jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, bali kila moja litabomolewa.”
“Kwa habari ya makowe aga mwamugabona, machuba gaicha ambayo ntopo liwe limo ambalo lalekelwa panani ya liwe lyinge ambalo lya bomolelwa kaa,”
7 Wakamuuliza, “Mwalimu, mambo haya yatatukia lini? Ni dalili gani itaonyesha kwamba yanakaribia kutendeka?”
Nga nyoo, batikunnokia babayite, “Mwalimu, makowe aga gapita lichuba gani? namani yabaa ishara kwamba aga makowe gai karibu pitya.
8 Yesu akawajibu, “Jihadharini msije mkadanganywa. Maana wengi watakuja kwa Jina langu, wakidai, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati umekaribia.’ Msiwafuate.
Yesu ayangwi, “Mube aangalifu kwamba kana mukongelwe, kwa sababu baingi baicha kwa lina lyangu, kababaya Nenga nga naywembe, ni muda utikaribia.'kana muakengame.
9 Lakini msikiapo habari za vita na machafuko, msiogope. Kwa maana hayo ni lazima yatokee kwanza, ila ule mwisho hautakuja wakati huo.”
Mana muyowine vita ni vurugu vurugu kana mwayogope, kwa sababu aga makowe agapiti kwanza lakini mwisho wapitya kwaa upesi.”
10 Kisha akawaambia: “Taifa litainuka dhidi ya taifa jingine, na ufalme mmoja dhidi ya ufalme mwingine.
Kai ababakiye, Taifa lakakatuka kumbwana ni taifa lenge, ufalme ni ufalme wenge.
11 Kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, na njaa kali, na magonjwa ya kuambukiza katika sehemu mbalimbali. Pia kutakuwa na matukio ya kutisha na ishara kuu kutoka mbinguni.
Pabaa ni malendemo makulu, ni njala ni tauni katika maeneo mbalembale bapaa matukio yatisha ni ishara yatisha buka kumaunde.
12 “Lakini kabla yote hayajatokea, watawakamata ninyi na kuwatesa. Watawatia mikononi mwa wakuu wa masinagogi na kuwafunga magerezani. Nanyi mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya Jina langu.
Lakoni kabla makowe aga goti, babika maboko gabe panani yinuni kubatesa kubapelekanga mu'masinagogi ni mumagereza, kunneta nnongi ya ufalme ni bene mamlaka kwasababu ya lina lyangu.
13 Hii itawapa nafasi ya kushuhudia.
Ayii ipakunyoghulyanga mwenga nafasi kwa ushuhuda winu.
14 Lakini kusudieni mioyoni mwenu msisumbuke awali kuhusu mtakalosema mbele ya mashtaka.
Kwaiyo muamue mumyoyo yinu aandaa kwaa kwinu mapema,
15 Kwa maana nitawapa maneno na hekima ambayo hakuna hata adui yenu mmoja atakayeweza kushindana nayo wala kuipinga.
Kwasababu nampea maneno aga hekima, ambago adui zinu boti bawecha kwaa kuipinga au kuikana.
16 Mtasalitiwa hata na wazazi, ndugu, jamaa na marafiki, na baadhi yenu watawaua.
Lakini mwa kanilwa kae ni azazi binu anunabinu, alongo binu ni mabwiga ni bapakumulaga baadhi yinu.
17 Mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya Jina langu.
Mwatolelwa ni kila yumo kwa sababu ya lina lyangu.
18 Lakini hapatakuwa na unywele mmoja wa kichwa chenu utakaoangamia.
Lakini ntopo hata unywi kwaa umo wa mitwe yinu waupala oba.
19 Kwa kuvumilia mtaokoa roho zenu.
Katika vumilia mwaipanga nafsi yinu.
20 “Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, basi fahamuni kwamba kuharibiwa kwake kumekaribia.
Pampala bona Yerusalemu baitindiike majeshi, basi mutange kwamba ualibifu wake ukalibiye.
21 Wakati huo, wale walio Uyahudi wakimbilie milimani, walio mjini Yerusalemu watoke humo, nao wale walioko mashambani wasiingie mjini.
Hapo balo babile Yudea babutukii muitumbii, ni balo bababile pakatikati ya jiji babuke, ni kana mwaleke bababile muijiji jingya.
22 Kwa sababu huu utakuwa ni wakati wa adhabu ili kutimiza yote yaliyoandikwa.
Mana aga nga machuba ga kisasi, linga kwamba makowe goti gagaandikilwe gapate timya.
23 Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha watoto siku hizo! Kutakuwa na dhiki kuu katika nchi na ghadhabu juu ya hawa watu.
Ole kwa balo bene ndumbo ni kwa balo babayongeya katika machuba aga! kwa maana pabaa ni tabu nkolo muilambo ni nyongo kwa bandu haba.
24 Wataanguka kwa makali ya upanga, na wengine watachukuliwa kuwa mateka katika mataifa yote. Nao mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa Mataifa hadi muda wa hao watu wa Mataifa utimie.
Ni batumbuka kwa ncha ya lipanga na batolelwa mateka kwa mataifa goti, ni Yerusalemu yalibatilwa ni bandu ba mataifa, mpaka wakati wa bandu ba mataifa paupala timilika.
25 “Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na nyota. Hapa duniani, mataifa yatakuwa katika dhiki na fadhaa kutokana na ngurumo na misukosuko ya bahari.
Yapanga ni ishara katika liumu, mwei ni ndondwa. Ni katika ilambo papabaa ni dhiki ya mataifa, katika kata tamaa bukana lilobe lya habari ni mawimbi.
26 Watu watazimia roho kutokana na hofu kuu na kuyaona yale mambo yanayotokea duniani, kwa maana nguvu za angani zitatikisika.
Panga ni bandu kabainduka kwa yogopa ni katika tarajia mambo gagapita duniani. Kwa maana ngupu ya mbingu ya tikwa tikwa.
27 Wakati huo ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni pamoja na uweza na utukufu mkuu.
Nga bamona mwana wa Adamu kaicha kumaunde katika ngupu ni utikufu mkulu.
28 Mambo haya yatakapoanza kutendeka, simameni na mkaviinue vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umekaribia.”
Lakini makowe aga gapatumbwa pitya muyimee mukakatuye mitwe yinu kwa sababu kombolelwa kwinu kwanda egelwa karibu.”
29 Akawaambia mfano huu: “Uangalieni mtini na miti mingine yote.
Yesu aabakiye kwa mfano, “Muulinge mtini, ni mikongo yoti.
30 Inapochipua majani, ninyi wenyewe mnaweza kuona na kutambua wenyewe ya kuwa wakati wa kiangazi umekaribia.
Paiipuka, mwenda kuiboniya mwabene ni tanga kwamba mpenja tayari ui karibu.
31 Vivyo hivyo, myaonapo mambo haya yakitukia, mnatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
Nyonyo, pamona makowe aga kagapitya mwenga mutange ya kuwa ufalme wa Nnongo utikaribiya.
32 “Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia.
Kweli, nenda kuwabakiya, ubeleko wuno wapeta kwaa, mpaka mambo aga goti mpaka gapita kwaa.
33 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.”
Kumaunde ni kilambo gapeta, lakini maneno gangu gapita kwaa kabisa.
34 “Jihadharini mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na fadhaa za maisha haya, nayo siku ile ikawakuta ninyi bila kutazamia kama vile mtego unasavyo.
Lkini muilinge mwa bene linga kwamba mioyo ginu kana yalemewa ni ufisadi, ulevi, ni mahangaiko ga maisha aga. Kwa sababu lilo lichoba yabaichilya gafula.
35 Kwa maana kama vile mtego unasavyo, ndivyo siku hiyo itakavyowapata wanadamu wote waishio katika uso wa dunia yote.
Kati ntego, kwa sababu yabaa kwa kila yumo ywaishi katika kuminyo ya kilambo choti.
36 Kesheni daima na mwombe ili mweze kuokoka na yale yote yatakayotokea na kusimama mbele ya Mwana wa Adamu.”
Lakini mube tayari wakati woti, mulobe kwamba mwaba imara ya kutosha kugaepuka aga goti pagapita, na yima nnongi ya mwana wa Adamu.”
37 Kila siku Yesu alikuwa akifundisha Hekaluni, na jioni ilipofika, alikwenda zake kwenye Mlima wa Mizeituni na kukaa huko usiku kucha.
Nga nyo wakati wa mutwekati abile kafundisha muhekalu ni kiloo apitike panja ni yenda keleka katika kitumbi chakikemelwa cha Mizeituni.
38 Nao watu wote walikuja asubuhi na mapema Hekaluni ili kumsikiliza.
Bandu boti bamwichi kwaa kindai na mapema linga kumpikaniya nkati ya hekalu.

< Luka 21 >