< Maombolezo 5 >

1 Kumbuka, Ee Bwana, yaliyotupata, tazama, nawe uione aibu yetu.
Молитва Иеремии пророка. Помяни, Господи, что бысть нам: призри и виждь укоризну нашу:
2 Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni, na nyumba zetu kwa wageni.
достояние наше обратися к чуждим и домы нашя ко иноплеменником:
3 Tumekuwa yatima wasio na baba, mama zetu wamekuwa kama wajane.
сири быхом, несть отца, матери нашя яко вдовы.
4 Ni lazima tununue maji tunayokunywa, kuni zetu zapatikana tu kwa kununua.
Воду нашу за сребро пихом, дрова наша за цену куповахом:
5 Wanaotufuatilia wapo kwenye visigino vyetu, tumechoka na hakuna pumziko.
на выя нашя гоними быхом, трудихомся, не почихом.
6 Tumejitolea kwa Misri na Ashuru tupate chakula cha kutosha.
Египет даде руку, Ассур в насыщение их.
7 Baba zetu walitenda dhambi na hawapo tena, na sisi tunachukua adhabu yao.
Отцы наши согрешиша, и несть их, мы же беззакония их подяхом.
8 Watumwa wanatutawala na hakuna wa kutuokoa mikononi yao.
Раби обладаша нами, избавляющаго несть от руку их.
9 Tunapata chakula chetu kwa kuhatarisha maisha yetu kwa sababu ya upanga jangwani.
В душах наших носихом хлеб наш, от лица меча в пустыни.
10 Ngozi yetu ina joto kama tanuru, kwa sababu ya fadhaa itokanayo na njaa.
Кожа наша аки пещь обгоре, разседошася от лица бурей глада.
11 Wanawake wametendwa jeuri katika Sayuni, na mabikira katika miji ya Yuda.
Жен в Сионе смириша, девиц во градех Иудиных.
12 Wakuu wametungikwa juu kwa mikono yao, wazee hawapewi heshima.
Князи в руках их повешени быша, старейшины не прославишася.
13 Vijana wanataabika kwenye mawe ya kusagia, wavulana wanayumbayumba chini ya mizigo ya kuni.
Избраннии плачь подяша, и юноши в кладе изнемогоша.
14 Wazee wameondoka langoni la mji, vijana wameacha kuimba nyimbo zao.
И старцы от врат оскудеша, избраннии от песней своих умолкоша.
15 Furaha imeondoka mioyoni mwetu, kucheza kwetu kumegeuka maombolezo.
Разсыпася радость сердец наших, обратися в плачь лик наш,
16 Taji imeanguka kutoka kichwani petu. Ole wetu, kwa maana tumetenda dhambi!
спаде венец со главы нашея: горе нам, яко согрешихом.
17 Kwa sababu hiyo, mioyo yetu inazimia, kwa sababu ya hayo, macho yetu yamefifia,
О сем смутися сердце наше, о сем померкнуша очи наши.
18 kwa ajili ya Mlima Sayuni, ambao unakaa ukiwa, nao mbweha wanatembea juu yake.
На горе Сионе, яко погибе, лисицы ходиша.
19 Wewe, Ee Bwana unatawala milele, kiti chako cha enzi chadumu kizazi hadi kizazi.
Ты же, Господи, во веки вселишися, престол Твой в род и род.
20 Kwa nini watusahau siku zote? Kwa nini umetuacha kwa muda mrefu?
Вскую во веки забываеши нас, оставиши ли нас в продолжение дний?
21 Turudishe kwako mwenyewe, Ee Bwana, ili tupate kurudi. Zifanye mpya siku zetu kama siku za kale,
Обрати ны, Господи, к Тебе, и обратимся, и вознови дни нашя якоже прежде.
22 isipokuwa uwe umetukataa kabisa na umetukasirikia pasipo kipimo.
Яко отревая отринул еси нас, разгневался еси на ны зело.

< Maombolezo 5 >