< Yoshua 21 >

1 Basi viongozi wa jamaa ya Walawi, wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa nyingine za makabila ya Israeli
Tada doðoše glavari otaèkih porodica Levitskih k Eleazaru svešteniku i k Isusu sinu Navinu i glavarima porodica otaèkih i plemenima sinova Izrailjevijeh.
2 huko Shilo katika Kanaani na kuwaambia, “Bwana aliamuru kupitia Mose kuwa mtupe miji ya kuishi yenye sehemu za malisho kwa mifugo yetu.”
I rekoše im u Silomu u zemlji Hananskoj govoreæi: Gospod je zapovjedio preko Mojsija da nam se dadu gradovi gdje æemo živjeti i podgraða njihova za stoku našu.
3 Hivyo kama vile Bwana alivyoamuru, Waisraeli wakawapa Walawi miji ifuatayo pamoja na sehemu zake za malisho kutoka urithi wao wenyewe.
I dadoše sinovi Izrailjevi Levitima od našljedstva svojega po zapovijesti Gospodnjoj ove gradove i podgraða njihova:
4 Kura ya kwanza ikaangukia Wakohathi, ukoo kwa ukoo. Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Aroni walipewa miji kumi na mitatu kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini.
Izide ždrijeb za porodice Katove; i dopade sinovima Arona sveštenika izmeðu Levita ždrijebom trinaest gradova od plemena Judina i od plemena Simeunova i od plemena Venijaminova.
5 Wazao wengine waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za makabila ya Efraimu, Dani na nusu ya Manase.
A ostalijem sinovima Katovijem dopade ždrijebom deset gradova od porodica plemena Jefremova i od plemena Danova i od polovine plemena Manasijina.
6 Wazao wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kutoka koo za makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya Manase huko Bashani.
A sinovima Girsonovijem dopade ždrijebom od porodica plemena Isaharova i od plemena Asirova i od plemena Neftalimova i od polovine plemena Manasijina u Vasanu trinaest gradova;
7 Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
Sinovima Merarijevim po porodicama njihovijem od plemena Ruvimova i od plemena Gadova i od plemena Zavulonova dvanaest gradova.
8 Kwa hiyo Waisraeli wakawapa Walawi miji hii pamoja na sehemu zake za malisho, kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru kupitia kwa Mose.
Dadoše dakle sinovi Izrailjevi Levitima te gradove i podgraða njihova ždrijebom, kao što bješe zapovjedio Gospod preko Mojsija.
9 Kutoka makabila ya Yuda na Simeoni waligawa miji ifuatayo kwa majina
I dadoše od plemena sinova Judinijeh i od plemena sinova Simeunovijeh ove gradove koji se kazuju po imenima;
10 (miji hii walipewa wazao wa Aroni ambao walitokana na koo za Wakohathi wa Walawi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
I dopade sinovima Aronovijem od porodica Katovijeh izmeðu sinova Levijevih, za koje pade prvi ždrijeb,
11 Waliwapa Kiriath-Arba (yaani Hebroni), pamoja na sehemu zake za malisho zilizoizunguka, katika nchi ya vilima ya Yuda. (Arba alikuwa baba wa Anaki.)
Njima dopade: Kirijat-Arva, a Arva je otac Anakov, a taj je grad Hevron u gori Judinoj, s podgraðem svojim unaokolo.
12 Lakini mashamba na vijiji vilivyozunguka mji mkubwa walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune kuwa milki yake.
A polje oko toga grada i sela njegova dadoše Halevu sinu Jefonijinu u našljedstvo.
13 Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni wakapewa Hebroni (mji mkuu wa makimbilio kwa ajili ya yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji), Libna,
Dadoše dakle sinovima Arona sveštenika grad za utoèište krvniku Hevron s podgraðem, i Livnu s podgraðem.
14 Yatiri, Eshtemoa,
I Jatir s podgraðem, i Estemoju s podgraðem,
15 Holoni, Debiri,
I Olon s podgraðem, i Davir s podgraðem,
16 Aini, Yuta na Beth-Shemeshi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji tisa kutoka kwa makabila haya mawili.
I Ajin s podgraðem, i Jutu s podgraðem, i Vet-Semes s podgraðem: devet gradova od ta dva plemena.
17 Kutoka kabila la Benyamini wakawapa Gibeoni, Geba,
A od plemena Venijaminova Gavaon s podgraðem, i Gavaju s podgraðem,
18 Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Anatot s podgraðem, i Almon s podgraðem: èetiri grada.
19 Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa Aroni, ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.
Svega gradova sinova Arona sveštenika trinaest gradova s podgraðima.
20 Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:
A porodicama sinova Katovijeh, Levitima, što ih još bješe od sinova Katovijeh, dopadoše na njihov ždrijeb gradovi od plemena Jefremova;
21 Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji mkubwa wa makimbilio kwa yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji) na Gezeri,
Dopade im grad za utoèište krvniku Sihem s podgraðem u gori Jefremovoj, i Gezer s podgraðem,
22 Kibsaimu na Beth-Horoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
I Kivsajim s podgraðem, i Vet-Oron s podgraðem: èetiri grada;
23 Pia kutoka kabila la Dani wakapokea Elteke, Gibethoni,
A od plemena Danova: Eltekon s podgraðem, Giveton s podgraðem,
24 Aiyaloni na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne
Ajalon s podgraðem, Gat-Rimon s podgraðem: èetiri grada.
25 Kutoka nusu ya kabila la Manase, wakapokea Taanaki na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili.
A od polovine plemena Manasijina: Tanah s podgraðem i Gat-Rimon s podgraðem: dva grada.
26 Miji yote hii kumi pamoja na sehemu zake za malisho ilipewa koo za Wakohathi zilizobaki.
Svega deset gradova s podgraðima dadoše porodicama sinova Katovijeh ostalijem.
27 Koo za Walawi za Wagershoni walipewa: kutoka nusu ya kabila la Manase, Golani katika Bashani (mji mkuu wa makimbilio kwa yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na Beeshtera, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili;
A sinovima Girsonovijem izmeðu porodica Levitskih dadoše od polovine plemena Manasijina grad za utoèište krvniku Golan u Vasanu s podgraðem, i Vesteru s podgraðem: dva grada;
28 kutoka kabila la Isakari walipewa, Kishioni, Daberathi,
A od plemena Isaharova: Kison s podgraðem, Davrot s podgraðem.
29 Yarmuthi na En-Ganimu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne
Jarmut s podgraðem, En-Ganim s podgraðem: èetiri grada;
30 kutoka kabila la Asheri walipewa, Mishali, Abdoni,
A od plemena Asirova: Misal s podgraðem, Avdon s podgraðem,
31 Helkathi na Rehobu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Helkat s podgraðem, i Reov s podgraðem: èetiri grada;
32 Kutoka kabila la Naftali walipewa, Kedeshi katika Galilaya (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji), Hamoth-Dori na Kartani, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji mitano.
A od plemena Neftalimova grad za utoèište krvniku Kedes u Galileji s podgraðem, i Amot-Dor s podgraðem, i Kartan s podgraðem: tri grada.
33 Miji yote ya koo za Wagershoni ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.
Svega gradova sinova Girsonovijeh po porodicama njihovijem trinaest gradova s podgraðima.
34 Koo za Wamerari (Walawi waliobaki) walipewa: kutoka kabila la Zabuloni, Yokneamu, Karta,
A porodicama sinova Merarijevih, ostalijem Levitima, dadoše od plemena Zavulonova Jokneam s podgraðem, Kartu s podgraðem,
35 Dimna na Nahalali, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;
Dimnu s podgraðem, Nalol s podgraðem: èetiri grada;
36 kutoka kabila la Reubeni walipewa Bezeri, Yahasa,
A od plemena Ruvimova: Vosor s podgraðem, i Jazu s podgraðem,
37 Kedemothi na Mefaathi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;
Kedimot s podgraðem, i Mifat s podgraðem: èetiri grada;
38 kutoka kabila la Gadi walipewa, Ramothi katika Gileadi (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa ajili ya mauaji), Mahanaimu,
A od plemena Gadova: grad za utoèište krvniku Ramot u Galadu s podgraðem, i Mahanajim s podgraðem.
39 Heshboni na Yazeri, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Esevon s podgraðem, Jazir s podgraðem; svega èetiri grada.
40 Miji yote waliyopewa koo za Wamerari, waliokuwa mabaki ya Walawi, ilikuwa ni kumi na miwili.
Sve ove gradove dadoše sinovima Merarijevim po porodicama njihovijem, što još bijahu izmeðu porodica Levitskih; i doðe na ždrijeb njihov dvanaest gradova.
41 Miji yote ya Walawi katika eneo lililoshikwa na Waisraeli lilikuwa arobaini na minane, pamoja na sehemu zake za malisho.
Svega gradova Levitskih u našljedstvu sinova Izrailjevijeh bješe èetrdeset i osam gradova s podgraðima.
42 Kila mmoja wa miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho kuuzunguka; ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.
A svi gradovi imaju svoja podgraða unaokolo; tako je u svakoga grada.
43 Kwa hiyo Bwana akawapa Israeli nchi yote aliyokuwa ameapa kuwapa baba zao, nao wakaimiliki na kukaa humo.
Tako dade Gospod Izrailju svu zemlju, za koju se zakle ocima njihovijem da æe im je dati, i naslijediše je i naseliše se u njoj.
44 Bwana akawapa pumziko kila upande, kama vile alivyokuwa amewaapia baba zao, hakuna hata mmoja wa adui zao aliyeweza kusimama mbele yao, Bwana akawatia adui zao wote mikononi mwao.
I umiri ih Gospod otsvuda unaokolo, kao što se zakleo ocima njihovijem; i niko se ne održa pred njima od svijeh neprijatelja njihovijeh; sve neprijatelje njihove predade im Gospod u ruke.
45 Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya Bwana kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia.
Ništa ne izosta od svega dobra što bješe obrekao Gospod domu Izrailjevu; sve se zbi.

< Yoshua 21 >