< Yoshua 12 >

1 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
Und dies sind die Könige des Landes, welche die Söhne Israels schlugen und deren Land sie eingenommen, jenseits des Jordans gegen Aufgang der Sonne vom Bache Arnon bis zum Berge Chermon, und das ganze Flachland gegen Aufgang;
2 Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
Sichon, der Amoriterkönig, der in Cheschbon wohnte und herrschte vor Aroer am Ufer des Baches Arnon und der Mitte des Baches und über die Hälfte von Gilead bis zum Bache Jabbok, der Grenze der Söhne Ammons;
3 Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
Und über das Flachland bis zum Meer Kinneroth gegen Aufgang und bis zum Meer des Flachlandes, dem Salzmeer, gegen Aufgang auf dem Wege nach Beth-Jeschimoth, und im Süden unten an den Abhängen des Pisgah;
4 Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
Und die Grenze Ogs, des Königs von Baschan, der von den Riesen übrigblieb, und zu Aschtaroth und Edrei wohnte,
5 Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
Und herrschte auf dem Berge Chermon und in Salchah und in ganz Baschan bis zur Grenze des Geschuriters und des Maachathiters, und über das halbe Gilead, zur Grenze Sichons, des Königs von Cheschbon.
6 Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
Mose, der Knecht Jehovahs, und die Söhne Israels schlugen sie, und Mose, der Knecht Jehovahs, gab es als Erbbesitz dem Rubeniter und dem Gaditer und dem halben Stamm Menascheh.
7 Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
Und dies sind die Könige des Landes, die Joschua schlug und die Söhne Israels diesseits des Jordans, dem Meere zu von Baal-Gad in der Talebene des Libanons und bis zum kahlen Berg, der aufsteigt gen Seir; und Joschua gab es den Stämmen Israels nach ihren Teilen zum Erbbesitz.
8 nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
Auf dem Gebirge und in der Niederung und in dem Flachlande und an den Abhängen und in der Wüste und im Mittagsland; die Chethiter, die Amoriter und die Kanaaniter, die Pherisiter, die Chiviter und die Jebusiter:
9 mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
Der König von Jericho einer; der König von Ai, das zur Seite von Beth-El ist, einer.
10 mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
Der König von Jerusalem einer; der König von Chebron einer;
11 mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
Der König von Jarmuth einer; der König von Lachisch einer;
12 mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
Der König von Eglon einer; der König von Geser einer;
13 mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
Der König von Debir einer; der König von Geder einer;
14 mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
Der König von Chorma einer; der König von Arad einer;
15 mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
Der König von Libnah einer; der König von Adullam einer;
16 mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
Der König von Makkedah einer; der König von Bethel einer;
17 mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
Der König von Tappuach einer; der König von Chepher einer;
18 mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
Der König von Aphek einer; der König Laschscharon einer;
19 mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
Der König von Madon einer; der König von Chazor einer;
20 mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
Der König von Schimron-Meron einer; der König von Achschaph einer;
21 mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
Der König von Taanach einer; der König von Megiddo einer;
22 mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
Der König von Kedesch einer; der König von Jokneam am Karmel einer;
23 mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
Der König von Dor zu Naphoth-Dor einer; der König von Gojim zu Gilgal einer;
24 mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.
Der König von Tirzah einer. Aller Könige sind es einunddreißig.

< Yoshua 12 >