< Yohana 12 >

1 Siku sita kabla ya Pasaka, Yesu alikwenda Bethania mahali ambako Lazaro aliyekuwa amefufuliwa na Yesu alikuwa anaishi.
Potem je Jezus, šest dni pred pasho, prišel v Betanijo, kjer je bil Lazar, ki je bil mrtev, ki ga je obudil od mrtvih.
2 Wakaandaa karamu kwa heshima ya Yesu. Martha akawahudumia wakati Lazaro alikuwa miongoni mwa waliokaa mezani pamoja na Yesu.
Tam so mu pripravili večerjo in Marta je stregla, toda Lazar je bil eden izmed teh, ki je z njim sedel za mizo.
3 Kisha Maria akachukua chupa ya painti moja yenye manukato ya nardo safi ya thamani kubwa, akayamimina miguuni mwa Yesu na kuifuta kwa nywele zake. Nyumba nzima ikajaa harufu nzuri ya manukato.
Tedaj je Marija vzela funt zelo dragocenega mazila iz narde in mazilila Jezusova stopala in s svojimi lasmi obrisala njegova stopala, in hiša je bila napolnjena z vonjem mazila.
4 Ndipo Yuda Iskariote mwana wa Simoni, mmoja wa wale wanafunzi ambaye ndiye angemsaliti Yesu, akasema,
Potem reče eden izmed njegovih učencev, Juda Iškarijot, Simonov sin, ki naj bi ga izdal:
5 “Kwa nini manukato haya hayakuuzwa kwa dinari 300 na fedha hizo wakapewa maskini?”
»Zakaj ni bilo to mazilo prodano za tristo denarjev in dano revnim?«
6 Yuda alisema hivi si kwa kuwa aliwajali maskini, bali kwa kuwa alikuwa mwizi, kwani ndiye alikuwa akitunza mfuko wa fedha akawa anaiba kile kilichowekwa humo.
To je rekel, ne, ker bi skrbel za revne, temveč zato, ker je bil tat in je imel mošnjo ter nosil, kar je bilo dano vanjo.
7 Yesu akasema, “Mwacheni. Aliyanunua manukato hayo ili ayaweke kwa ajili ya siku ya maziko yangu.
Potem je Jezus rekel: »Pusti jo pri miru. To je zadržala za dan mojega pokopa.
8 Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini mimi hamtakuwa nami siku zote.”
Kajti revne imate vedno s seboj, mene pa nimate vedno.«
9 Umati mkubwa wa Wayahudi walipojua kwamba Yesu alikuwa huko Bethania, walikuja si tu kwa ajili ya Yesu, lakini pia kumwona Lazaro ambaye Yesu alikuwa amemfufua.
Veliko ljudi izmed Judov je torej vedelo, da je bil tam. Niso pa prišli samo zaradi Jezusa, temveč, da bi lahko videli tudi Lazarja, ki ga je obudil od mrtvih.
10 Kwa hiyo viongozi wa makuhani wakafanya mpango wa kumuua Lazaro pia,
Toda visoki duhovniki so se posvetovali, da bi mogli usmrtiti tudi Lazarja,
11 kwa kuwa kutokana na habari za kufufuliwa kwake Wayahudi wengi walikuwa wanamwendea Yesu na kumwamini.
zato ker je zaradi tega razloga mnogo izmed Judov odšlo proč in verovalo v Jezusa.
12 Siku iliyofuata umati mkubwa uliokuwa umekuja kwenye Sikukuu walisikia kwamba Yesu angekuja Yerusalemu.
Naslednji dan je mnogo ljudi, ki so prišli na praznik, ko so slišali, da je v Jeruzalem prihajal Jezus,
13 Basi wakachukua matawi ya mitende, wakatoka kwenda kumlaki, huku wakipaza sauti wakisema, “Hosana!” “Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!” “Amebarikiwa Mfalme wa Israeli!”
vzelo mladike palmovih dreves in mu odšlo naproti, da ga srečajo ter klicali: »Hozana: ›Blagoslovljen je Izraelov Kralj, ki prihaja v Gospodovem imenu.‹«
14 Yesu akamkuta mwana-punda akampanda, kama ilivyoandikwa,
In Jezus, ko je našel mladega osla, je sédel nanj, kakor je pisano:
15 “Usiogope, Ewe binti Sayuni; tazama, Mfalme wako anakuja, amepanda mwana-punda!”
»Ne boj se, hči sionska, glej, tvoj Kralj prihaja, sedeč na osličjem žrebetu.«
16 Wanafunzi wake Yesu mwanzoni hawakuelewa mambo haya, lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walipokumbuka kuwa mambo haya yalikuwa yameandikwa kwa ajili yake na alitendewa yeye.
Teh stvari njegovi učenci sprva niso razumeli, toda ko je bil Jezus poveličan, potem so se spomnili, da so bile te stvari pisane o njem in da so mu te stvari storili.
17 Wale waliokuwepo wakati Yesu alipomwita Lazaro kutoka kaburini na kumfufua kutoka kwa wafu, waliendelea kushuhudia.
Množica torej, ki je bila z njim, ko je Lazarja poklical iz njegovega groba in ga obudil od mrtvih, je pričevala.
18 Ni kwa sababu pia walikuwa wamesikia kwamba alikuwa ametenda muujiza huu ndiyo maana umati wa watu ukaenda kumlaki.
Zaradi tega razloga ga je množica tudi srečala, ker so slišali, da je storil ta čudež.
19 Hivyo Mafarisayo walipoona hayo wakaambiana, “Mnaona, hamwezi kufanya lolote. Angalieni, ulimwengu wote unamfuata yeye!”
Farizeji so torej med seboj govorili: » [Ali] ne zaznate, kako ničesar ne prevladate? Glejte, svet je odšel za njim.«
20 Basi palikuwa Wayunani fulani miongoni mwa wale waliokuwa wamekwenda kuabudu wakati wa Sikukuu.
In med njimi so bili neki Grki, ki so ob prazniku prišli gor oboževat.
21 Hawa wakamjia Filipo, ambaye alikuwa mwenyeji wa Bethsaida huko Galilaya, wakiwa na ombi. Wakamwambia, “Tungependa kumwona Yesu.”
Isti so torej prišli k Filipu, ki je bil iz Betsajde v Galileji in ga prosili, rekoč: »Gospod, mi bi videli Jezusa.«
22 Filipo akaenda akamweleza Andrea, nao wote wawili wakamwambia Yesu.
Filip prihaja ter pove Andreju in prav tako Andrej ter Filip povesta Jezusu.
23 Yesu akawajibu, “Saa imewadia ya Mwana wa Adamu kutukuzwa.
In Jezus jima je odgovoril, rekoč: »Ura je prišla, da naj bi bil Sin človekov poveličan.
24 Amin, amin nawaambia, mbegu ya ngano isipoanguka ardhini na kufa, hubakia kama mbegu peke yake. Lakini ikifa huzaa mbegu nyingi.
Resnično, resnično, povem vam: ›Razen če pšenično zrno ne pade na tla in ne umre, ostaja sámo; toda če umre, obrodi mnogo sadu.‹
25 Mtu yeyote anayependa maisha yake atayapoteza, naye ayachukiaye maisha yake katika ulimwengu huu atayaokoa hata kwa uzima wa milele. (aiōnios g166)
Kdor ima rad svoje življenje, ga bo izgubil; kdor pa svoje življenje na tem svetu sovraži, ga bo ohranil za večno življenje. (aiōnios g166)
26 Mtu yeyote akinitumikia lazima anifuate, nami mahali nilipo ndipo mtumishi wangu atakapokuwa. Mtu akinitumikia, Baba yangu atamheshimu.
Če katerikoli človek služi meni, naj mi sledi; in kjer sem jaz, tam bo tudi moj služabnik. Če katerikoli človek služi meni, ga bo moj Oče počastil.
27 “Sasa roho yangu imefadhaika sana. Niseme nini? ‘Baba, niokoe katika saa hii.’ Lakini ni kwa kusudi hili nimeufikia wakati huu.
Sedaj je moja duša vznemirjena in kaj naj rečem? ›Oče, reši me pred to uro.‹ Toda zaradi tega razloga sem prišel v to uro.
28 Baba, litukuze jina lako.” Ndipo ikaja sauti kutoka mbinguni, “Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.”
›Oče, proslavi svoje ime.‹« Tedaj je tja prišel glas iz nebes, rekoč: »Proslavil sem ga in ponovno ga bom proslavil.«
29 Ule umati wa watu uliokuwa mahali pale uliisikia nao ukasema, “Hiyo ni sauti ya radi,” wengine wakasema, “Malaika ameongea naye.”
Množica torej, ki je stala poleg in to slišala, je rekla, da je zagrmelo; drugi so rekli: »Angel mu je govoril.«
30 Yesu akawaambia, “Sauti hii imesikika kwa faida yenu, wala si kwa faida yangu.
Jezus je odgovoril in rekel: »Ta glas ni prišel zaradi mene, temveč zaradi vas.
31 Sasa ni saa ya hukumu kwa ajili ya ulimwengu huu, sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje.
Sedaj je sodba tega sveta. Sedaj bo princ tega sveta izgnan ven.
32 Lakini mimi, nikiinuliwa kutoka nchi, nitawavuta watu wote waje kwangu.”
In jaz, če bom povzdignjen z zemlje, bom k sebi pritegnil vse ljudi.«
33 Yesu aliyasema haya akionyesha ni kifo gani atakachokufa.
To je rekel, ker je naznanil, kakšne smrti naj bi umrl.
34 Ule umati wa watu ukapiga kelele ukasema, “Tumesikia kutoka Sheria kwamba ‘Kristo adumu milele,’ wewe wawezaje kusema, ‘Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa juu’? Huyu ‘Mwana wa Adamu’ ni nani?” (aiōn g165)
Množica mu je odgovorila: »Iz postave smo slišali, da Kristus ostaja večno; in kako praviš ti: ›Sin človekov mora biti dvignjen?‹ Kdo je ta Sin človekov?« (aiōn g165)
35 Ndipo Yesu akawaambia, “Bado kitambo kidogo nuru ingalipo pamoja nanyi. Enendeni maadamu mna nuru, msije mkakumbwa na giza. Mtu anayetembea gizani hajui anakokwenda.
Potem jim je Jezus rekel: »Še malo časa je z vami svetloba. Hodíte, dokler imate svetlobo, da ne bi nad vas prišla tema, kajti kdor hodi v temi, ne ve, kam gre.
36 Wekeni tumaini lenu katika nuru hiyo ili mpate kuwa wana wa nuru.” Baada ya kusema haya, Yesu aliondoka, akajificha wasimwone.
Dokler imate svetlobo, verujte v svetlobo, da boste lahko otroci svetlobe.« Te besede je govoril Jezus in odšel ter se skril pred njimi.
37 Hata baada ya Yesu kufanya miujiza hii yote mbele yao, bado hawakumwamini.
Toda čeprav je pred njimi storil toliko čudežev, kljub temu niso verovali vanj,
38 Hili lilikuwa ili kutimiza lile neno la nabii Isaya lililosema: “Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu, na mkono wa Bwana umefunuliwa kwa nani?”
da se je lahko izpolnila beseda preroka Izaija, ki je govoril: ›Gospod, kdo je veroval našemu poročilu in komu se je razodel Gospodov laket?‹
39 Kwa hivyo hawakuamini, kwa sababu Isaya anasema mahali pengine:
Torej niso mogli verovati, zato ker je ta Izaija ponovno rekel:
40 “Amewafanya vipofu, na kuifanya mioyo yao kuwa migumu, ili wasiweze kuona kwa macho yao, wala kuelewa kwa mioyo yao, wasije wakageuka nami nikawaponya.”
›Oslepel je njihove oči in zakrknil njihovo srce, da ne bi mogli videti s svojimi očmi niti razumeti s svojim srcem in ne bi bili spreobrnjeni in bi jih jaz ne ozdravil.‹
41 Isaya alisema haya alipoona utukufu wa Yesu na kunena habari zake.
Te besede je izrekel Izaija, ko je videl njegovo slavo in govoril o njem.
42 Lakini wengi miongoni mwa viongozi wa Wayahudi walimwamini, lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakukiri waziwazi kwa maana waliogopa kufukuzwa katika masinagogi.
Vendar so tudi med visokimi vladarji mnogi verovali vanj, toda zaradi farizejev ga niso priznali, da ne bi bili izločeni iz sinagoge,
43 Wao walipenda sifa za wanadamu kuliko sifa zitokazo kwa Mungu.
kajti bolj so ljubili hvalo ljudi kakor Božjo hvalo.
44 Yesu akapaza sauti akasema, “Yeyote aniaminiye, haniamini mimi peke yangu, bali yeye aliyenituma.
Jezus je zaklical in rekel: »Kdor veruje vame, ne veruje vame, temveč v tistega, ki me je poslal.
45 Yeyote anionaye mimi, amemwona yeye aliyenituma.
In kdor vidi mene, vidi tistega, ki me je poslal.
46 Mimi nimekuja kama nuru ulimwenguni, ili kwamba kila mtu aniaminiye asibaki gizani.
Prišel sem, svetloba na svet, da kdorkoli veruje vame, ne bi ostal v temi.
47 “Mimi simhukumu mtu yeyote anayesikia maneno yangu na asiyatii, kwa maana sikuja kuuhukumu ulimwengu, bali kuuokoa.
In če katerikoli človek sliši moje besede in ne veruje, ga ne sodim jaz, kajti nisem prišel, da svet sodim, temveč da svet rešim.
48 Yuko amhukumuye yeye anikataaye mimi na kutokuyapokea maneno yangu, yaani, yale maneno niliyosema yenyewe yatamhukumu siku ya mwisho.
Kdor zavrača mene in ne sprejema mojih besed, ima nekoga, ki ga sodi. Beseda, ki sem jo govoril, ta ista ga bo sodila na poslednji dan.
49 Kwa maana sisemi kwa ajili yangu mwenyewe, bali Baba aliyenituma aliniamuru ni nini cha kusema na jinsi ya kukisema.
Kajti nisem govoril sam od sebe, temveč Oče, ki me je poslal, mi je dal zapoved, kaj naj rečem in kaj naj govorim.
50 Nami ninajua amri zake huongoza hadi kwenye uzima wa milele. Hivyo lolote nisemalo, ndilo lile Baba aliloniambia niseme.” (aiōnios g166)
In jaz vem, da je njegova zapoved večno življenje. Karkoli torej govorim, govorim tako, celó kakor mi je rekel Oče.« (aiōnios g166)

< Yohana 12 >