< Joeli 2 >

1 Pigeni tarumbeta katika Sayuni; pigeni mbiu katika mlima wangu mtakatifu. Wote waishio katika nchi na watetemeke, kwa kuwa siku ya Bwana inakuja. Iko karibu,
در صهیون کرنا بنوازید و در کوه مقدس من صدا بلند کنید! تمامی ساکنان زمین بلرزندزیرا روز خداوند می‌آید و نزدیک است.۱
2 siku ya giza na huzuni, siku ya mawingu na utusitusi. Kama mapambazuko yasambaavyo toka upande huu wa milima hata upande mwingine jeshi kubwa na lenye nguvu linakuja. Jambo kama hili halijakuwepo tangu zamani wala halitakuwepo tena kamwe kwa vizazi vijavyo.
روزتاریکی و ظلمت، روز ابرها و ظلمت غلیظ مثل فجر منبسط بر کوهها! امتی عظیم و قوی که مانندآن از ازل نبوده و بعد از این تا سالها و دهرهای بسیار نخواهد بود.۲
3 Mbele yao moto unateketeza, nyuma yao miali ya moto inawaka kwa nguvu. Mbele yao nchi iko kama bustani ya Edeni, nyuma yao ni jangwa lisilofaa: hakuna kitu kinachowaepuka.
پیش روی ایشان آتش می‌سوزاند و در عقب ایشان شعله ملتهب می‌گردد. پیش روی ایشان، زمین مثل باغ عدن ودر عقب ایشان، بیابان بایر است و نیز از ایشان احدی رهایی نمی یابد.۳
4 Wanaonekana kama farasi; wanakwenda mbio kama askari wapanda farasi.
منظر ایشان مثل منظراسبان است و مانند اسب‌سواران می‌تازند.۴
5 Wanatoa sauti kama magari ya vita, wanaporukaruka juu ya vilele vya milima, kama mlio wa miali ya moto ilayo mabua, kama jeshi kubwa lililojipanga kwa ajili ya vita.
مثل صدای ارابه‌ها بر قله کوهها جست و خیزمی کنند؛ مثل صدای شعله آتش که کاه رامی سوزاند؛ مانند امت عظیمی که برای جنگ صف بسته باشند.۵
6 Wanapoonekana, mataifa yanakuwa katika maumivu makuu; kila uso unabadilika rangi.
از حضور ایشان قوم هامی لرزند. تمامی رویها رنگ پریده می‌شود.۶
7 Wanashambulia kama wapiganaji wa vita; wanapanda kuta kama askari. Wote wanatembea katika safu, hawapotoshi safu zao.
مثل جباران می‌دوند، مثل مردان جنگی بر حصارهابرمی آیند و هر کدام به راه خود می‌آیند وطریقهای خود را تبدیل نمی کنند.۷
8 Hakuna anayemsukuma mwenzake; kila mmoja anakwenda mbele moja kwa moja. Wanapita katika vizuizi bila kuharibu safu zao.
بر یکدیگرازدحام نمی کنند، زیرا هرکس به راه خودمی خرامد. از میان حربه‌ها هجوم می‌آورند وصف های خود را نمی شکنند.۸
9 Wanaenda kasi kuingia mjini; wanakimbia ukutani. Wanaingia ndani ya nyumba; kwa kuingilia madirishani kama wevi.
بر شهرمی جهند، به روی حصارها می‌دوند، به خانه هابرمی آیند. مثل دزدان از پنجره‌ها داخل می شوند.۹
10 Mbele yao dunia inatikisika, anga linatetemeka, jua na mwezi vinatiwa giza, na nyota hazitoi mwanga wake tena.
از حضور ایشان زمین متزلزل وآسمانها مرتعش می‌شود؛ آفتاب و ماه سیاه می‌شوند و ستارگان نور خویش را باز می‌دارند.۱۰
11 Bwana anatoa mshindo wa ngurumo mbele ya jeshi lake; majeshi yake hayana idadi, ni wenye nguvu nyingi wale ambao hutii agizo lake. Siku ya Bwana ni kuu, ni ya kutisha. Ni nani anayeweza kuistahimili?
و خداوند آواز خود را پیش لشکر خویش بلند می‌کند، زیرا اردوی او بسیار عظیم است و آنکه سخن خود را بجا می‌آورد، قدیراست. زیرا روز خداوند عظیم و بی‌نهایت مهیب است و کیست که طاقت آن را داشته باشد.۱۱
12 “Hata sasa,” asema Bwana, “nirudieni kwa mioyo yenu yote, kwa kufunga, kwa kulia na kuomboleza.”
و لکن الان خداوند می‌گوید با تمامی دل وبا روزه و گریه و ماتم بسوی من بازگشت نمایید.۱۲
13 Rarueni mioyo yenu na siyo mavazi yenu. Mrudieni Bwana, Mungu wenu, kwa maana yeye ndiye mwenye neema na mwingi wa huruma, si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo, huona huruma, hujizuia kuleta maafa.
و دل خود را چاک کنید نه رخت خویش را وبه یهوه خدای خود بازگشت نمایید زیرا که اورئوف و رحیم است و دیرخشم و کثیراحسان و ازبلا پشیمان می‌شود.۱۳
14 Ni nani ajuaye? Yeye aweza kugeuka na kuwa na huruma na kuacha baraka nyuma yake: sadaka za nafaka na sadaka za vinywaji kwa ajili ya Bwana Mungu wenu.
که می‌داند که شایدبرگردد و پشیمان شود و در عقب خود برکتی واگذارد، یعنی هدیه آردی و هدیه ریختنی برای یهوه خدای شما.۱۴
15 Pigeni tarumbeta katika Sayuni, tangazeni saumu takatifu, liiteni kusanyiko takatifu.
در صهیون کرنا بنوازید وروزه را تعیین کرده، محفل مقدس را ندا کنید.۱۵
16 Wakusanyeni watu, wekeni wakfu kusanyiko; waleteni pamoja wazee, wakusanyeni watoto, wale wanyonyao maziwa. Bwana arusi na atoke chumbani mwake na bibi arusi naye atoke katika chumba chake.
قوم را جمع کنید، جماعت را تقدیس نمایید، پیران و کودکان و شیرخوارگان را فراهم آورید. داماد از حجره خود و عروس از حجله خویش بیرون آیند.۱۶
17 Makuhani, ambao wanahudumu mbele za Bwana, na walie katikati ya ukumbi wa Hekalu na madhabahu. Waseme, “Wahurumie watu wako, Ee Bwana. Usifanye urithi wako kitu cha kudharauliwa, neno la dhihaka kati ya mataifa. Kwa nini wasemezane miongoni mwao, ‘Yuko wapi Mungu wao?’”
کاهنانی که خدام خداوند هستنددر میان رواق و مذبح گریه کنند و بگویند: «ای خداوند بر قوم خویش شفقت فرما و میراث خویش را به عار مسپار، مبادا امت‌ها بر ایشان حکمرانی نمایند. چرا در میان قومها بگویند که خدای ایشان کجا است؟»۱۷
18 Kisha Bwana atakuwa na wivu kwa ajili ya nchi yake na kuwa na huruma juu ya watu wake.
پس خداوند برای زمین خود به غیرت خواهد آمد و بر قوم خویش شفقت خواهد نمود.۱۸
19 Bwana atawajibu: “Ninawapelekea nafaka, mvinyo mpya na mafuta, vya kuwatosha ninyi hadi mridhike kabisa; kamwe sitawafanya tena kitu cha kudharauliwa na mataifa.
و خداوند قوم خود را اجابت نموده، خواهدگفت: «اینک من گندم و شیره و روغن را برای شمامی فرستم تا از آنها سیر شوید و شما را بار دیگردر میان امت‌ها عار نخواهم ساخت.۱۹
20 “Nitafukuza jeshi la kaskazini likae mbali nanyi, nikilisukuma ndani ya jangwa, askari wa safu za mbele wakienda ndani ya bahari ya mashariki na wale wa safu za nyuma katika bahari ya magharibi. Uvundo wake utapaa juu; harufu yake itapanda juu.” Hakika ametenda mambo makubwa.
و لشکرشمالی را از شما دور کرده، به زمین خشک ویران خواهم راند که مقدمه آن بر دریای شرقی وساقه‌اش بر دریای غربی خواهد بود و بوی بدش بلند خواهد شد و عفونتش برخواهد آمد زیراکارهای عظیم کرده است.»۲۰
21 Usiogope, ee nchi; furahi na kushangilia. Hakika Bwana ametenda mambo makubwa.
‌ای زمین مترس! وجد و شادی بنما زیرایهوه کارهای عظیم کرده است.۲۱
22 Msiogope, enyi wanyama pori, kwa kuwa mbuga za malisho yenu zinarudia ubichi. Miti nayo inazaa matunda, mtini na mzabibu inatoa utajiri wake.
‌ای بهایم صحرا مترسید زیرا که مرتع های بیابان سبز شد ودرختان میوه خود را آورد و انجیر و مو قوت خویش را دادند.۲۲
23 Furahini, enyi watu wa Sayuni, shangilieni katika Bwana Mungu wenu, kwa kuwa amewapa mvua za vuli kwa kipimo cha haki. Anawapelekea mvua nyingi, mvua ya vuli na ya masika, kama mwanzoni.
‌ای پسران صهیون در یهوه خدای خویش وجد و شادی نمایید، زیرا که باران اولین را به اندازه‌اش به شما داده است وباران اول و آخر را در وقت برای شما بارانیده است.۲۳
24 Sakafu za kupuria zitajaa nafaka, mapipa yatafurika mvinyo mpya na mafuta.
پس خرمن از گندم پر خواهد شد ومعصره‌ها از شیره و روغن لبریز خواهد گردید.۲۴
25 “Nitawalipa kwa ajili ya miaka ile iliyoliwa na nzige: parare, madumadu na tunutu, jeshi langu kubwa ambalo nililituma katikati yenu.
و سالهایی را که ملخ و لنبه و سوس و سن یعنی لشکر عظیم من که بر شما فرستاده بودم خوردندبه شما رد خواهم نمود.۲۵
26 Mtakuwa na wingi wa vyakula mpaka mshibe, na mtalisifu jina la Bwana Mungu wenu, ambaye amefanya maajabu kwa ajili yenu; kamwe watu wangu hawataaibishwa tena.
و غذای بسیارخورده، سیر خواهید شد و اسم یهوه خدای خودرا که برای شما کارهای عجیب کرده است، تسبیح خواهید خواند و قوم من تا به ابد خجل نخواهند شد.۲۶
27 Ndipo mtakapojua kwamba mimi niko katika Israeli kwamba mimi ndimi Bwana Mungu wenu, na kwamba hakuna mwingine; kamwe watu wangu hawataaibika tena.
و خواهید دانست که من در میان اسرائیل می‌باشم و من یهوه خدای شما هستم ودیگری نیست و قوم من خجل نخواهند شد تاابدالاباد.۲۷
28 “Hata itakuwa, baada ya hayo, nitamimina Roho wangu juu ya wote wenye mwili. Wana wenu na binti zenu watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono.
و بعد از آن روح خود را بر همه بشر خواهم ریخت و پسران و دختران شما نبوت خواهندنمود و پیران شما و جوانان شما رویاها خواهنددید.۲۸
29 Hata juu ya watumishi wangu, wanaume kwa wanawake, katika siku zile nitamimina Roho wangu.
و در آن ایام روح خود را بر غلامان وکنیزان نیز خواهم ریخت.۲۹
30 Nami nitaonyesha maajabu katika mbingu na duniani: damu, moto na mawimbi ya moshi.
و آیات را از خون وآتش و ستونهای دود در آسمان و زمین ظاهرخواهم ساخت.۳۰
31 Jua litageuzwa kuwa giza na mwezi kuwa mwekundu kama damu, kabla ya kuja siku ya Bwana ile kuu na ya kutisha.
آفتاب به تاریکی و ماه به خون مبدل خواهند شد، پیش از ظهور یوم عظیم ومهیب خداوند.۳۱
32 Na kila mtu atakayeliitia jina la Bwana ataokolewa. Kwa maana juu ya Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwepo wokovu, kama Bwana alivyosema, miongoni mwa walionusurika ambao Bwana awaita.
و واقع خواهد شد هر‌که نام خداوند را بخواند نجات یابد زیرا در کوه صهیون و در اورشلیم چنانکه خداوند گفته است بقیتی خواهد بود و در میان باقی ماندگان آنانی که خداوند ایشان را خوانده است.۳۲

< Joeli 2 >