< Ayubu 18 >

1 Bildadi Mshuhi akajibu:
Tad Bildads no Šuhas atbildēja un sacīja:
2 “Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.
Cik ilgi vēl jūs grābstīsities pēc vārdiem? Pieņemiet padomu, un tad runāsim.
3 Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?
Kāpēc mēs topam turēti par lopiem, un par muļķiem jūsu acīs?
4 Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?
Tava dvēsele no dusmām plīst; vai tad tevis dēļ zeme paliks tukša un klintis celsies no savas vietas?
5 “Taa ya mwovu imezimwa, nao mwali wa moto wake umezimika.
Tomēr bezdievīgo gaisma izdzisīs, un viņa uguns liesma nespīdēs.
6 Mwanga hemani mwake umekuwa giza; taa iliyo karibu naye imezimika.
Gaišums paliek tumšs viņa dzīvoklī, un viņa spīdeklis pār viņu izdziest.
7 Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa; shauri lake baya litamwangusha.
Viņa varas ceļi paliek šauri, un paša padoms viņu gāž.
8 Miguu yake imemsukumia kwenye wavu, naye anatangatanga kwenye matundu ya wavu.
Jo viņa kājas to iedzen tīklā, un viņš staigā pār slazda valgiem.
9 Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.
Valgs saista viņa pēdas, un saites viņu satver.
10 Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake; mtego uko kwenye njia yake.
Viņa valgs ir apslēpts zemē, un viņa slazds uz ceļa.
11 Vitisho vimemtia hofu kila upande, na adui zake humwandama kila hatua.
Visapkārt bailība viņu iztrūcina un viņu dzen uz visiem soļiem.
12 Janga linamwonea shauku; maafa yako tayari kwa ajili yake aangukapo.
Nelaime taisās viņu rīt, un posts ir gatavs viņu gāzt.
13 Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake; mzaliwa wa kwanza wa mauti atakula maungo yake.
Tas ēd viņa miesas, un nāves pirmdzimušais rij viņa locekļus.
14 Atangʼolewa kutoka usalama wa hema lake, na kupelekwa kwa mfalme wa vitisho.
Viņa cerība tiek atņemta no viņa dzīvokļa, un viņam jānoiet pie briesmu ķēniņa.
15 Moto utakaa katika hema lake; moto wa kiberiti utamwagwa juu ya makao yake.
Viņa dzīvoklī dzīvo visai sveši, uz viņa mājas vietu kaisa sēru.
16 Mizizi yake chini itakauka na matawi yake juu yatanyauka.
No apakšas sakalst viņa saknes, un no augšienes novīst viņa zari.
17 Kumbukumbu lake litatoweka katika dunia, wala hatakuwa na jina katika nchi.
Viņa piemiņa iznīkst no zemes, un slava viņam nepaliek pasaulē.
18 Ameondolewa nuruni na kusukumiwa gizani, naye amefukuzwa mbali atoke duniani.
No gaismas to izstumj tumsā un aizdzen no zemes virsas.
19 Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu wake, wala aliyenusurika mahali alipoishi.
Viņam nav nedz bērna, nedz bērnu bērna savos ļaudīs, un neviens neatliek viņa māju vietās.
20 Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata; watu wa mashariki watapatwa na hofu.
Kas rietumos, iztrūcinājās par viņa dienu, un kas austrumos, tos pārņem šaušalas.
21 Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu; ndivyo palivyo mahali pake mtu asiyemjua Mungu.”
Tiešām, tā notiek netaisno dzīvokļiem un tādu ļaužu vietai, kas Dievu neatzīst.

< Ayubu 18 >