< Ayubu 10 >

1 “Nayachukia sana haya maisha yangu; kwa hiyo nitatoa malalamiko yangu kwa wazi bila kujizuia, nami nitanena kutokana na uchungu wa moyo wangu.
Dodijao je duši mojoj život moj; pustiæu od sebe tužnjavu svoju, govoriæu u jadu duše svoje.
2 Nitamwambia Mungu: Usinihukumu, bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.
Reæi æu Bogu: nemoj me osuditi; kaži mi zašto se preš sa mnom.
3 Je, inakupendeza wewe kunionea, kuikataa kwa dharau kazi ya mikono yako, huku wewe ukitabasamu juu ya mipango ya waovu?
Je li ti milo da èiniš silu, da odbacuješ djelo ruku svojih i savjet bezbožnièki obasjavaš?
4 Je, wewe una macho ya kimwili? Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?
Jesu li u tebe oèi tjelesne? vidiš li kao što vidi èovjek?
5 Je, siku zako ni kama zile za mwanadamu, au miaka yako ni kama ile ya mtu,
Jesu li dani tvoji kao dani èovjeèji, i godine tvoje kao vijek ljudski,
6 ili kwamba utafute makosa yangu na kuichunguza dhambi yangu;
Te istražuješ moje bezakonje i za grijeh moj razbiraš?
7 ingawa wajua kuwa mimi sina hatia, na hakuna awezaye kunitoa mkononi mwako?
Ti znaš da nijesam kriv, i nema nikoga ko bi izbavio iz tvoje ruke.
8 “Mikono yako ndiyo iliyoniumba na kunifanya. Je, sasa utageuka na kuniangamiza?
Tvoje su me ruke stvorile i naèinile, i ti me otsvuda potireš.
9 Kumbuka kuwa ulinifinyanga kama udongo wa mfinyanzi. Je, sasa utanifanya kuwa mavumbi tena?
Opomeni se da si me kao od kala naèinio, i opet æeš me u prah obratiti.
10 Je, wewe hukunimimina mimi kama maziwa, na kunigandisha kama jibini,
Nijesi li me kao mlijeko slio i kao sir usirio me?
11 ukanivika ngozi na nyama, na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa?
Navukao si na me kožu i meso, i kostima i žilama spleo si me.
12 Umenipa uhai na kunitendea wema, katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.
Životom i milošæu darivao si me; i staranje tvoje èuvalo je duh moj.
13 “Lakini hili ndilo ulilolificha moyoni mwako, nami ninajua kuwa hili lilikuwa katika nia yako:
I sakrio si to u srcu svojem; ali znam da je u tebe.
14 Kama nilifanya dhambi, ungekuwa umeniona, wala usingeacha kosa langu lipite bila kuadhibiwa.
Ako sam zgriješio, opazio si me, i nijesi me oprostio bezakonja mojega.
15 Kama nina hatia, ole wangu! Hata kama ningekuwa sina hatia, siwezi kukiinua kichwa changu, kwa kuwa nimejawa na aibu, na kuzama katika mateso yangu.
Ako sam skrivio, teško meni! ako li sam prav, ne mogu podignuti glave, pun sramote i videæi muku svoju.
16 Kama nikiinua kichwa changu juu, unaninyatia kama simba, na kuonyesha tena uwezo wa kutisha dhidi yangu.
I ako se podigne, goniš me kao lav, i opet èiniš èudesa na meni.
17 Wewe waleta mashahidi wapya dhidi yangu na kuzidisha hasira yako juu yangu; nazo nguvu zako zinanijia wimbi moja baada ya jingine.
Ponavljaš svjedoèanstva svoja protiv mene, i umnožavaš gnjev svoj na me; vojske jedna za drugom izlaze na me.
18 “Kwa nini basi ulinitoa tumboni? Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona.
Zašto si me izvadio iz utrobe? o da umrijeh! da me ni oko ne vidje!
19 Laiti nisingekuwako kamwe, au ningekuwa nimechukuliwa moja kwa moja kutoka tumboni kwenda kaburini!
Bio bih kao da nigda nijesam bio; iz utrobe u grob bio bih odnesen.
20 Je, siku zangu chache si zimekaribia kuisha? Niachie ili niweze kupata muda mfupi wa kufurahi
Nije li malo dana mojih? prestani dakle i okani me se da se malo oporavim,
21 kabla sijaenda mahali ambapo hakuna kurudi tena, katika nchi ya giza na uvuli wa mauti,
Prije nego otidem odakle se neæu vratiti, u zemlju tamnu i u sjen smrtni,
22 nchi ya giza kuu sana, yenye uvuli wa giza na machafuko, mahali ambapo hata nuru ni giza.”
U zemlju tamnu kao mrak i u sjen smrtni, gdje nema promjene i gdje je vidjelo kao tama.

< Ayubu 10 >