< Isaya 32 >

1 Tazama, mfalme atatawala kwa uadilifu na watawala watatawala kwa haki.
Evo, car æe carovati pravo i knezovi æe vladati po pravdi.
2 Kila mtu atakuwa kama kivuli cha kujificha kutokana na upepo na kimbilio kutokana na dhoruba, kama vijito vya maji jangwani na kivuli cha mwamba mkubwa katika ardhi yenye kiu.
I èovjek æe biti kao zaklon od vjetra, i kao utoèište od poplave, kao potoci na suhu mjestu, kao sjen od velike stijene u zemlji sasušenoj.
3 Ndipo macho ya wale wanaoona hayatafumbwa tena, nayo masikio ya wale wanaosikia yatasikiliza.
I oèi onijeh koji vide neæe biti zaslijepljene, i uši onijeh koji èuju slušaæe.
4 Moyo wa mtu mwenye hamaki utafahamu na kuelewa, nao ulimi wenye kigugumizi utanena kwa ufasaha.
I srce nerazumnijeh razumjeæe mudrost, i jezik mutavijeh govoriæe brzo i razgovijetno.
5 Mpumbavu hataitwa tena muungwana, wala mtu mbaya kabisa kupewa heshima ya juu.
Nevaljalac se neæe više zvati knez, niti æe se tvrdica nazivati podašnijem.
6 Kwa kuwa mpumbavu hunena upumbavu, moyo wake hushughulika na uovu: Hutenda mambo yasiyo ya kumcha Mungu, na hueneza habari za makosa kuhusu Bwana; yeye huwaacha wenye njaa bila kitu, na wenye kiu huwanyima maji.
Jer nevaljalac o nevaljalstvu govori, i srce njegovo gradi bezakonje, radeæi licemjerno i govoreæi na Boga laž, da isprazni dušu gladnomu i napoj žednomu da uzme.
7 Taratibu za mtu mbaya kabisa ni ovu, hufanya mipango miovu ili kumwangamiza maskini kwa uongo, hata wakati ambapo hoja za mhitaji ni za haki.
I sprave tvrdièine zle su; smišlja lukavštine da zatre nište rijeèima lažnijem i kad siromah govori pravo.
8 Lakini mtu muungwana hufanya mipango ya kiungwana, na kwa matendo ya kiungwana yeye hufanikiwa.
Ali knez smišlja kneževski, i ustaje da radi kneževski.
9 Enyi wanawake wenye kuridhika sana, amkeni na mnisikilize. Enyi binti mnaojisikia kuwa salama, sikieni lile ninalotaka kuwaambia!
Ustanite, žene mirne, slušajte glas moj; kæeri bezbrižne, èujte rijeèi moje.
10 Muda zaidi kidogo ya mwaka mmoja, ninyi mnaojisikia salama mtatetemeka, mavuno ya zabibu yatakoma na mavuno ya matunda hayatakuwepo.
Za mnogo godina biæete u smetnji, vi bezbrižne; jer neæe biti berbe, i sabiranje neæe doæi.
11 Tetemekeni, enyi wanawake wenye kuridhika, tetemekeni kwa hofu, enyi binti mnaojisikia salama! Vueni nguo zenu, vaeni nguo ya gunia viunoni mwenu.
Strašite se, vi mirne; drkæite, vi bezbrižne, svucite se, budite gole, i pripašite oko sebe kostrijet,
12 Pigeni matiti yenu kwa ajili ya mashamba mazuri, kwa ajili ya mizabibu iliyozaa vizuri
Bijuæi se u prsi za lijepijem njivama, za rodnijem èokotima.
13 na kwa ajili ya nchi ya watu wangu, nchi ambayo miiba na michongoma imemea: naam, ombolezeni kwa ajili ya nyumba zote za furaha na kwa ajili ya mji huu wenye kufanya sherehe.
Trnje i èkalj niknuæe na zemlji naroda mojega, i po svijem kuæama veselijem, u gradu veselom.
14 Ngome itaachwa, mji wenye kelele nyingi utahamwa, ngome ndani ya mji na mnara wa ulinzi vitakuwa ukiwa milele, mahali pazuri pa punda na malisho ya makundi ya kondoo,
Jer æe se dvorovi ostaviti, vreve gradske nestaæe; kule i stražare postaæe peæine dovijeka, radost divljim magarcima i paša stadima,
15 mpaka Roho amwagwe juu yetu kutoka juu, nalo jangwa kuwa shamba lenye rutuba, na shamba lenye rutuba kuwa kama msitu.
Dokle se ne izlije na nas duh s visine i pustinja postane njiva a njiva se stane uzimati za šumu.
16 Haki itakaa katika jangwa, na uadilifu utakaa katika shamba lenye rutuba.
Tada æe sud stanovati u pustinji, i pravda æe stajati na njivi.
17 Matunda ya haki yatakuwa amani, matokeo ya haki yatakuwa utulivu na matumaini milele.
I mir æe biti djelo pravde, što æe pravda uèiniti biæe pokoj i bezbrižnost dovijeka.
18 Watu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani, katika nyumba zilizo salama, katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.
I moj æe narod sjedjeti u mirnu stanu i u šatorima pouzdanijem, na poèivalištima tihim.
19 Hata kama mvua ya mawe iangushe msitu na mji ubomolewe kabisa,
Ali æe grad pasti na šumu, i grad æe se vrlo sniziti.
20 tazama jinsi utakavyobarikiwa, ukipanda mbegu yako katika kila kijito, na kuwaacha ngʼombe wako na punda wajilishe kwa uhuru.
Blago vama koji sijete pokraj svake vode, i puštate volove i magarce.

< Isaya 32 >