< Hosea 9 >

1 Usifurahie, ee Israeli; usishangilie kama mataifa mengine. Kwa kuwa hukuwa mwaminifu kwa Mungu wako; umependa ujira wa kahaba kwenye kila sakafu ya kupuria nafaka.
Nie ciesz się, Izraelu, nie raduj się jak inne narody, bo uprawiałeś nierząd, odwracając się od swego Boga, [i] umiłowałeś zapłatę [nierządnicy] na wszystkich klepiskach zbożowych.
2 Sakafu za kupuria nafaka na mashinikizo ya kukamulia divai havitalisha watu, divai mpya itawapungukia.
Klepisko i prasa nie będą ich żywiły, a moszczu im zabraknie.
3 Hawataishi katika nchi ya Bwana, Efraimu atarudi Misri na atakula chakula kilicho najisi huko Ashuru.
Nie będą mieszkać w ziemi PANA, ale Efraim wróci do Egiptu i w Asyrii będą jedli nieczyste rzeczy.
4 Hawatammiminia Bwana sadaka ya divai wala dhabihu zao hazitampendeza. Dhabihu kama hizo zitakuwa kwao kama mkate wa waombolezaji; nao wote wazilao watakuwa najisi. Chakula hiki kitakuwa kwa ajili yao wenyewe; kisije katika Hekalu la Bwana.
Nie będą wylewali PANU [ofiar] z wina, nie będą mu one przyjemne. Ich ofiary [będą] dla nich jak chleb żałoby; wszyscy, którzy będą z niego jedli, będą nieczyści. Ich chleb bowiem za ich dusze nie wejdzie [do] domu PANA.
5 Mtafanya nini katika siku ya sikukuu zenu zilizoamriwa, katika siku za sikukuu za Bwana?
Cóż będziecie czynić w uroczysty dzień i w dzień święta PANA?
6 Hata ikiwa wataokoka maangamizi, Misri atawakusanya, nayo Memfisi itawazika. Hazina zao za fedha zitasongwa na michongoma, nayo miiba itafunika mahema yao.
Oto bowiem poszli z powodu spustoszenia. Egipt ich zgromadzi, a Memfis ich pogrzebie. Przyjemne [miejsca] na ich srebro odziedziczy pokrzywa, a w ich namiotach [wyrosną] ciernie.
7 Siku za adhabu zinakuja, siku za malipo zimewadia. Israeli na afahamu hili. Kwa sababu dhambi zenu ni nyingi sana na uadui wenu ni mkubwa sana, nabii anadhaniwa ni mpumbavu, mtu aliyeongozwa na Mungu anaonekana mwendawazimu.
Przyjdą dni nawiedzenia, przyjdą dni zapłaty. Izrael pozna, że prorok jest głupcem, a człowiek duchowy – szalony, z powodu twojej wielkiej nieprawości i wielkiej nienawiści.
8 Nabii, pamoja na Mungu wangu, ndiye mlinzi juu ya Efraimu, hata hivyo mitego inamngojea katika mapito yake yote, na uadui katika nyumba ya Mungu wake.
Prorok, który trzymał straż nad Efraimem razem z moim Bogiem, stał się sidłem ptasznika na wszystkich jego drogach; nienawiść jest w domu jego Boga.
9 Wamezama sana katika rushwa, kama katika siku za Gibea. Mungu atakumbuka uovu wao na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.
Zepsuli się do głębi, jak za dni Gibea. [PAN] będzie pamiętał o ich nieprawości i ukarze ich za grzechy.
10 “Nilipompata Israeli, ilikuwa kama kupata zabibu jangwani; nilipowaona baba zenu, ilikuwa kama kuona matunda ya kwanza katika mtini. Lakini walipofika Baal-Peori, walijiweka wakfu kwa ile sanamu ya aibu, nao wakawa najisi kama kitu kile walichokipenda.
Znalazłem Izraela jak winne grona na pustyni, widziałem twoich ojców jak pierwszy owoc figowca na jego początku. Ale oni poszli do Baal-Peor i oddali się tej hańbie, i stali się obrzydliwi, tak jak się im upodobało.
11 Utukufu wa Efraimu utaruka kama ndege: hakuna kuzaa, hakuna kuchukua mimba, hakuna kutunga mimba.
Jak ptak sława Efraima uleci zaraz od urodzenia, od łona i od poczęcia.
12 Hata wakilea watoto, nitamuua kila mmoja. Ole wao nitakapowapiga kisogo!
A choćby odchowali swoich synów, osierocę ich, [zanim osiągną] wiek męski. Owszem, biada im, gdy ja od nich odstąpię!
13 Nimemwona Efraimu, kama Tiro, aliyeoteshwa mahali pazuri. Lakini Efraimu wataleta watoto wao kwa mchinjaji.”
Efraim, jak widzę, jest jak Tyr zasadzony na przyjemnym miejscu. Efraim jednak wyprowadzi swoich synów do mordercy.
14 Wape, Ee Bwana, je, utawapa nini? Wape matumbo ya kuharibu mimba na matiti yaliyokauka.
Daj im, PANIE! Cóż im dasz? Daj im łono bezpłodne i wyschnięte piersi.
15 “Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali, niliwachukia huko. Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi, nitawafukuza katika nyumba yangu. Sitawapenda tena, viongozi wao wote ni waasi.
Cała ich niegodziwość jest w Gilgal, dlatego tam ich nienawidzę. Z powodu zła ich uczynków wyrzucę ich z mego domu, nie będę ich już miłował. Wszyscy ich książęta są buntownikami.
16 Efraimu ameharibiwa, mzizi wao umenyauka, hawazai tunda. Hata kama watazaa watoto, nitawachinja watoto wao waliotunzwa vizuri.”
Efraim jest powalony, ich korzeń wysechł, nie przynoszą owocu. A choćby też zrodzili, zabiję umiłowane [dzieci] ich łona.
17 Mungu wangu atawakataa kwa sababu hawakumtii; watakuwa watu wa kutangatanga miongoni mwa mataifa.
Mój Bóg ich odrzuci, bo nie chcieli go słuchać, a będą tułaczami wśród narodów.

< Hosea 9 >