< Mwanzo 7 >

1 Ndipo Bwana akamwambia Noa, “Ingia katika safina wewe na jamaa yako yote, kwa sababu katika kizazi hiki nimeona ya kuwa wewe ni mwenye haki.
LEUM GOD El fahk nu sel Noah, “Utyak nu in oak uh wi sou lom nufon. Nga liye tuh kom mukena in faclu nufon pa oru ma suwohs.
2 Uchukue wanyama saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, na wanyama wawili wawili wa kila aina walio najisi wa kiume na wa kike.
Us kais itkosr sianyan ke kain in kosro ma nasnas in wi kom, tusruktu kais lukwa na ke kain kosro saya ma tia nasnas.
3 Pia uchukue ndege saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, ili kuhifadhi aina zao mbalimbali katika dunia yote.
Oayapa us kais itkosr sianyan ke kain in won. Oru ouinge tuh kain in kosro ac won nukewa fah moul ac sifilpa isus fin faclu.
4 Siku saba kuanzia sasa nitaleta mvua juu ya nchi kwa siku arobaini usiku na mchana, nami nitafutilia mbali kutoka uso wa nchi kila kiumbe hai nilichokiumba.”
Tukun len itkosr nga ac supwama af ma ac kahk ke len angngaul ac fong angngaul, in tuh kunausla ma nukewa ma oasr moul la ma nga orala.”
5 Noa akafanya yote kama Bwana alivyomwamuru.
Ac Noah el orala ma nukewa ma LEUM GOD El sapkin.
6 Noa alikuwa na miaka 600 gharika ilipokuja juu ya dunia.
Noah el yac onfoko ke sronoti faclu.
7 Noa na mkewe na wanawe na wake zao wakaingia katika safina ili waepuke ile gharika.
El, mutan kial, wen natul ac mutan kialos sroang nu in oak uh in kaingla liki sronot uh.
8 Jozi ya wanyama walio safi na walio najisi, ndege na viumbe vitambaavyo,
Mukul se ac mutan se ke kain kosro ac won nukewa, finne ma nasnas ku ma tia nasnas,
9 wa kiume na wa kike, walikuja kwa Noa wakaingia katika safina kama Mungu alivyomwamuru Noa.
welul Noah utyak nu in oak uh, oana ke God El sapkin.
10 Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya dunia.
Tukun len itkosr na sronot ah tuku.
11 Katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili mwaka wa 600 wa kuishi kwake Noa, siku hiyo ndipo chemchemi zote hata zilizo chini sana ya ardhi zilibubujika kwa nguvu, na malango ya mafuriko ya mbinguni yakafunguliwa.
Ke Noah el yac onfoko matwal, in len se aksingoul itkosr ke malem se akluo, unon in kof nukewa ke kof lulap ye faclu fokelik ac kof uh asrma, ac ikakelik inkusrao pac,
12 Mvua ikanyesha juu ya nchi siku arobaini usiku na mchana.
ac af uh kahk nu fin faclu ke len angngal ac fong angngaul.
13 Siku hiyo Noa, na mkewe, na wanawe Shemu, Hamu na Yafethi pamoja na wake zao wakaingia katika ile safina.
Ke len sacna, Noah ac mutan kial sroang nu in oak uh, wi wen tolu natultal, Shem, Ham, ac Japheth, ac mutan kialtal.
14 Nao walikuwa pamoja na kila mnyama wa mwituni kufuatana na aina yake, wanyama wote wafugwao kufuatana na aina zao, kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi kwa aina yake, na kila ndege kufuatana na aina yake, naam kila kiumbe chenye mabawa.
Kain in kosro muna ac lemnak, yohk ac srik nukewa, ac kain in won nukewa welulos utyak nu in oak uh.
15 Viumbe vyote vyenye pumzi ya uhai ndani yake vikaja kwa Noa viwili viwili, vikaingia katika safina.
Mukul se ac mutan se ke kain in ma moul nukewa welul Noah utyak nu in oak uh,
16 Wanyama walioingia katika safina walikuwa wa kiume na wa kike, wa kila kiumbe chenye uhai kama Mungu alivyomwamuru Noa, ndipo Bwana akamfungia ndani.
oana ke God El sap. Na LEUM GOD El kaleang srungul in oak uh.
17 Kwa siku arobaini mafuriko yaliendelea kujaa duniani na maji yalivyozidi kuongezeka, yaliinua safina juu sana kutoka kwenye uso wa nchi.
Sronot uh yokyokelik ke len angngaul, ac kof uh lapak nwe pahtkakunak oak uh.
18 Maji yakajaa na kuongezeka sana juu ya nchi, na safina ikaelea juu ya uso wa maji.
Kof uh loali, na oak ah pahtpat fin kof uh.
19 Maji yakazidi kujaa juu ya nchi, yakaifunika milima yote mirefu chini ya mbingu yote.
Lapak nwe eol ma fulat oemeet uh afla pac.
20 Maji yakaendelea kujaa yakaifunika milima kwa kina cha zaidi ya dhiraa kumi na tano.
Sronot uh kiluk na nu lucng nwe ke na sun fit longoul limekosr lucng liki mangon eol fulat faclu.
21 Kila kiumbe hai kitambaacho juu ya nchi kikaangamia: Ndege, wanyama wa kufugwa, wanyama pori, viumbe vyote juu ya nchi na wanadamu wote.
Ma oasr moul la nukewa fin faclu misa — won nukewa, kosro nukewa, ac mwet nukewa.
22 Kila kiumbe juu ya nchi kavu chenye pumzi ya uhai kikafa.
Ma nukewa ma oasr momong la fin faclu misa.
23 Kila kitu chenye uhai juu ya uso wa nchi kilifutiliwa mbali, watu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege warukao angani wakafutiliwa mbali toka duniani. Waliobaki ni Noa peke yake na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina.
LEUM GOD El kunausla ma moul nukewa faclu — mwet, kosro, ac won. Pwayena ma lula pa Noah, sou lal, ac ma nukewa su welul in oak uh.
24 Maji yakaifunika dunia kwa siku 150.
Kof uh tiana kiluk nu ten, nwe ke sun len aksiofok lumngaul.

< Mwanzo 7 >

The Great Flood
The Great Flood