< Mwanzo 10 >

1 Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
Teć są rodzaje synów Noego, Sema, Chama i Jafeta, którym się narodziło synów po potopie.
2 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Synowie Jafetowi Gomer, i Magog, i Madai, i Jawan, i Tubal, i Mesech, i Tyras.
3 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
A synowie Gomerowi: Aschenaz, i Ryfat, i Togorma.
4 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
A synowie Jawanowi: Elisa, i Tarsis, Cytym, i Dodanim.
5 (Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
Od tych rozdzielone są wyspy narodów po swych ziemiach; każdy według języka swego, i według pokolenia swego, w narodziech swoich.
6 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
A synowie Chamowi: Chus, i Micraim, i Put, i Chanaan.
7 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Synowie zaś Chusowi: Seba, i Hewila, i Sabta, i Regma, i Sabtacha. A synowie Regmy: Seba i Dedan.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
A Chus spłodził Nemroda, który począł być możnym na ziemi.
9 Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
Ten był możnym myśliwcem przed obliczem Pańskiem; przetoż się mówi: Jako Nemrod możny myśliwiec przed Panem.
10 Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
A początek królestwa jego był Babel, i Erech, i Achad, i Chalne w ziemi Senaar.
11 Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
Z tej ziemi wyszedł Assur, i zbudował Niniwe, i Rechobot miasto, i Chale.
12 na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
Także Resen, między Niniwe i między Chale; to miasto jest wielkie.
13 Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Micraim też spłodził Ludyma, i Hananima, i Laubima, i Neftuhyma.
14 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
I Patrusyma, i Chasluchyma, ( z których poszli Filistynowie, ) i Kaftoryma.
15 Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
Chanaan też spłodził Sydona pierworodnego swego, i Heta.
16 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
I Jebusa, i Amorra, i Gergesa.
17 Wahivi, Waariki, Wasini,
I Hewa, i Archa, i Syma.
18 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
I Arada, i Samara, i Chamata, skąd się potem rozrodziły domy Chananejczyków.
19 na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
A granice Chananejskie były od Sydonu idąc do Gerary, aż do Gazy, aż wnijdziesz do Sodomy i Gomorry, i Adamy, i Seboima, aż do Lazy.
20 Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Ci są synowie Chamowi w familijach swych, w językach swych, w ziemiach swych, w narodziech swych.
21 Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
A Semowi, ojcu wszystkich synów Heberowych, bratu Jafeta starszego, urodzili się synowie.
22 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
Synowie Semowi: Elam i Assur, i Arfachsad, i Lud, i Aram.
23 Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Synowie zaś Aramowi: Hus, i Hul, i Geter, i Mesech.
24 Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
Arfachsad zaś spłodził Selecha, a Selech spłodził Hebera.
25 Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
A Heberowi urodzili się dwa synowie: imię jednemu Faleg, iż za dni jego rozdzielona jest ziemia; a imię brata jego Jektan.
26 Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Jektan też spłodził Elmodada, i Salefa, i Hasarmota, i Jarecha.
27 Hadoramu, Uzali, Dikla,
I Adorama, i Uzala, i Dekla.
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
I Hebala, i Abymaela, i Sebaja.
29 Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
I Ofira, i Hewila, i Jobaba: ci wszyscy są synowie Jektanowi.
30 Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
A było mieszkanie ich od Mescha idąc, do góry Sefar na wschód słońca.
31 Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Cić są synowie Semowi w domach swych, w językach swych, w ziemiach swych, w narodziech swych.
32 Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.
Teć są domy synów Noego, według pokolenia ich, i w narodziech ich, i od nich rozdzielone są narody na ziemi po potopie.

< Mwanzo 10 >