< Ezra 2 >

1 Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
Now these are the people of the province, who went up out of the captivity of those who had been carried away, whom Nebuchadnezzar the king of Babylon had carried away to Babylon, and who returned to Jerusalem and Judah, everyone to his city;
2 wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
who came with Zerubbabel, Jeshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Mordecai, Bilshan, Mispar, Bigvai, Rehum, Baanah. The number of the men of the people of Israel:
3 wazao wa Paroshi 2,172
The descendants of Parosh, two thousand one hundred seventy-two.
4 wazao wa Shefatia 372
The descendants of Shephatiah, three hundred seventy-two.
5 wazao wa Ara 775
The descendants of Arah, seven hundred seventy-five.
6 wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
The descendants of Pahath-Moab, of the descendants of Jeshua and Joab, two thousand eight hundred twelve.
7 wazao wa Elamu 1,254
The descendants of Elam, one thousand two hundred fifty-four.
8 wazao wa Zatu 945
The descendants of Zattu, nine hundred forty-five.
9 wazao wa Zakai 760
The descendants of Zaccai, seven hundred sixty.
10 wazao wa Bani 642
The descendants of Bani, six hundred forty-two.
11 wazao wa Bebai 623
The descendants of Bebai, six hundred twenty-three.
12 wazao wa Azgadi 1,222
The descendants of Azgad, one thousand two hundred twenty-two.
13 wazao wa Adonikamu 666
The descendants of Adonikam, six hundred sixty-six.
14 wazao wa Bigwai 2,056
The descendants of Bigvai, two thousand fifty-six.
15 wazao wa Adini 454
The descendants of Adin, four hundred fifty-four.
16 wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
The descendants of Ater, of Hezekiah, ninety-eight.
17 wazao wa Besai 323
The descendants of Bezai, three hundred twenty-three.
18 wazao wa Yora 112
The descendants of Jorah, one hundred twelve.
19 wazao wa Hashumu 223
The descendants of Hashum, two hundred twenty-three.
20 wazao wa Gibari 95
The descendants of Gibbar, ninety-five.
21 watu wa Bethlehemu 123
The men of Bethlehem, one hundred twenty-three.
22 watu wa Netofa 56
The men of Netophah, fifty-six.
23 watu wa Anathothi 128
The men of Anathoth, one hundred twenty-eight.
24 watu wa Azmawethi 42
The descendants of Beth Azmaveth, forty-two.
25 wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
The descendants of Kiriath Jearim, Kephirah, and Beeroth, seven hundred forty-three.
26 wazao wa Rama na Geba 621
The descendants of Ramah and Geba, six hundred twenty-one.
27 watu wa Mikmashi 122
The men of Michmas, one hundred twenty-two.
28 watu wa Betheli na Ai 223
The men of Bethel and Ai, two hundred twenty-three.
29 wazao wa Nebo 52
The descendants of Nebo, fifty-two.
30 wazao wa Magbishi 156
The descendants of Magbish, one hundred fifty-six.
31 wazao wa Elamu ile ingine 1,254
The descendants of the other Elam, one thousand two hundred fifty-four.
32 wazao wa Harimu 320
The descendants of Harim, three hundred twenty.
33 wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
The descendants of Lod, Hadid, and Ono, seven hundred twenty-five.
34 wazao wa Yeriko 345
The descendants of Jericho, three hundred forty-five.
35 wazao wa Senaa 3,630
The descendants of Senaah, three thousand six hundred thirty.
36 Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
The priests: the descendants of Jedaiah, of the house of Jeshua, nine hundred seventy-three.
37 wazao wa Imeri 1,052
The descendants of Immer, one thousand fifty-two.
38 wazao wa Pashuri 1,247
The descendants of Pashhur, one thousand two hundred forty-seven.
39 wazao wa Harimu 1,017
The descendants of Harim, one thousand seventeen.
40 Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
The Levites: the descendants of Jeshua and Kadmiel, of the descendants of Hodaviah, seventy-four.
41 Waimbaji: wazao wa Asafu 128
The singers: the descendants of Asaph, one hundred twenty-eight.
42 Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
The descendants of the gatekeepers: the descendants of Shallum, the descendants of Ater, the descendants of Talmon, the descendants of Akkub, the descendants of Hatita, the descendants of Shobai, in all one hundred thirty-nine.
43 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
The Nethinim: the descendants of Ziha, the descendants of Hasupha, the descendants of Tabbaoth,
44 wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
the descendants of Keros, the descendants of Siaha, the descendants of Padon,
45 wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
the descendants of Lebanah, the descendants of Hagabah, the descendants of Akkub,
46 wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
the descendants of Hagab, the descendants of Shalmai, the descendants of Hanan,
47 wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
the descendants of Giddel, the descendants of Gahar, the descendants of Reaiah,
48 wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
the descendants of Rezin, the descendants of Nekoda, the descendants of Gazzam,
49 wazao wa Uza, Pasea, Besai,
the descendants of Uzza, the descendants of Paseah, the descendants of Besai,
50 wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
the descendants of Asnah, the descendants of Meunim, the descendants of Nephusim,
51 wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
the descendants of Bakbuk, the descendants of Hakupha, the descendants of Harhur,
52 wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
the descendants of Bazluth, the descendants of Mehida, the descendants of Harsha,
53 wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
the descendants of Barkos, the descendants of Sisera, the descendants of Temah,
54 wazao wa Nesia na Hatifa.
the descendants of Neziah, the descendants of Hatipha.
55 Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
The descendants of Solomon's servants: the descendants of Sotai, the descendants of Hassophereth, the descendants of Peruda,
56 wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
the descendants of Jaalah, the descendants of Darkon, the descendants of Giddel,
57 wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
the descendants of Shephatiah, the descendants of Hattil, the descendants of Pokereth Hazzebaim, the descendants of Amon.
58 Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
All the Nethinim, and the descendants of Solomon's servants, were three hundred ninety-two.
59 Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
These were those who went up from Tel Melah, Tel Harsha, Cherub, Addan, and Immer; but they could not show whether their fathers' house, and their descent, were from Israel:
60 wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
the descendants of Delaiah, the descendants of Tobiah, the descendants of Nekoda, six hundred fifty-two.
61 Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
Of the descendants of the priests: the descendants of Habaiah, the descendants of Hakkoz, the descendants of Barzillai, who took a wife of the daughters of Barzillai the Gileadite, and was called after their name.
62 Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
These sought their place among those who were registered by genealogy, but they were not found: therefore were they deemed polluted and put from the priesthood.
63 Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
The governor said to them, that they should not eat of the most holy things, until there stood up a priest with Urim and with Thummim.
64 Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
The whole assembly together was forty-two thousand three hundred sixty,
65 tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
besides their male servants and their female servants, of whom there were seven thousand three hundred thirty-seven: and they had two hundred singing men and singing women.
66 Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
Their horses were seven hundred thirty-six; their mules, two hundred forty-five;
67 ngamia 435 na punda 6,720.
their camels, four hundred thirty-five; their donkeys, six thousand seven hundred and twenty.
68 Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
Some of the heads of ancestral houses, when they came to the house of Jehovah which is in Jerusalem, offered willingly for God's house to set it up in its place:
69 Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
they gave after their ability into the treasury of the work sixty-one thousand darics of gold, and five thousand minas of silver, and one hundred priests' garments.
70 Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.
So the priests, and the Levites, and some of the people, and the singers, and the gatekeepers, and the Nethinim, lived in their cities, and all Israel in their cities.

< Ezra 2 >