< Danieli 4 >

1 Mfalme Nebukadneza, Kwa kabila za watu, mataifa na watu wa kila lugha, wanaoishi katika ulimwengu wote: Mafanikio yawe kwenu sana!
Ķēniņš Nebukadnecars visiem ļaudīm, tautām un mēlēm, kas dzīvo pa visu zemi: miers lai jums ir papilnam!
2 Ni furaha yangu kuwaambia kuhusu ishara za miujiza na maajabu ambayo Mungu Aliye Juu Sana amenifanyia.
Man ir paticis izsludināt tās zīmes un tos brīnumus, ko tas visuaugstākais Dievs pie manis darījis.
3 Ishara zake ni kuu aje, na maajabu yake yana nguvu aje! Ufalme wake ni ufalme wa milele; enzi yake hudumu kutoka kizazi hadi kizazi.
Jo Viņa zīmes ir lielas un Viņa brīnumi ir vareni, Viņa valstība ir mūžīga valstība un Viņa valdīšana paliek līdz radu radiem.
4 Mimi, Nebukadneza, nilikuwa nyumbani katika jumba langu la kifalme, nikiwa ninaishi kwa raha na hali ya kufanikiwa.
Es, Nebukadnecars, dzīvoju droši savā namā un laimīgi savā pilī.
5 Niliota ndoto iliyoniogopesha. Nilipokuwa nimelala kitandani mwangu, njozi na maono yaliyopita mawazoni mwangu vilinitisha.
Tad es redzēju sapni, kas mani izbiedēja, un tās domas, ko es savā gultā domāju, un manas galvas parādīšanas mani iztrūcināja.
6 Hivyo nikaagiza kwamba watu wote wenye hekima wa Babeli waletwe mbele yangu kunifasiria ndoto yangu.
Un es pavēlēju visus Bābeles gudros atvest manā priekšā, lai tie man teiktu šī sapņa izstāstīšanu.
7 Walipokuja waganga, wasihiri, wanajimu na waaguzi, niliwaambia ndoto yangu, lakini hawakuweza kunifasiria.
Tad tie gudrie, vārdotāji, Kaldeji un pareģi atnāca, un es tiem teicu to sapni, bet tie man to neizstāstīja,
8 Mwishoni, Danieli alikuja mbele yangu nikamweleza hiyo ndoto. (Danieli anaitwa Belteshaza, kwa jina la mungu wangu, nayo roho ya miungu mitakatifu inakaa ndani yake.)
Tiekams pēdīgi manā priekšā nāca Daniēls, ko sauc par Beltsacaru pēc mana dieva vārda un iekš kā ir to svēto dievu gars, un es tam teicu to sapni:
9 Nilisema, “Belteshaza, mkuu wa waganga, ninajua kuwa roho ya miungu mitakatifu iko ndani yako, wala hakuna siri iliyo ngumu kwako. Hii ndiyo ndoto yangu, nifasirie.
Beltsacar, gudro virsniek, par ko es zinu, ka svēto dievu gars ir iekš tevis, un nekāds noslēpums tev nav grūts, tad saki nu mana sapņa parādīšanu, ko es esmu redzējis, un viņa izstāstīšanu.
10 Haya ndiyo maono niliyoona nilipokuwa nimelala kitandani mwangu: Nilitazama, na mbele yangu ulisimama mti katikati ya nchi. Ulikuwa mrefu sana.
Bet tas ir, kas manam prātam rādījās uz manas gultas. Es skatījos, un redzi, viens koks bija zemes vidū, un tas bija ļoti augsts.
11 Mti ule ulikua, ukawa mkubwa na wenye nguvu, nayo ncha yake ikagusa anga; ulionekana mpaka miisho ya dunia.
Tas koks bija liels un resns, un viņa augstums sniedzās līdz debesīm, un tas bija redzams līdz pasaules galam.
12 Majani yake yalikuwa ya kupendeza, matunda yake yalikuwa mengi, na juu yake kulikuwa na chakula kwa ajili ya wote. Chini ya kivuli chake wanyama wa kondeni walipata hifadhi, na ndege wa angani waliishi katika matawi yake. Kila kiumbe kililishwa kutokana na mti huo.
Viņa zari bija skaisti, un viņa augļi bagāti, un barība tam bija priekš visiem; zemes zvēri apakš viņa atrada pavēni, un putni apakš debess dzīvoja uz viņa zariem, un visa miesa no tā barojās.
13 “Katika maono niliyoyaona nikiwa nimelala kitandani mwangu, nilitazama, na mbele yangu alikuwepo mlinzi, aliye mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni.
Un es redzēju savas galvas parādīšanā uz savas gultas, un raugi, svēts sargs nonāca no debesīm.
14 Akaita kwa sauti kubwa: ‘Kateni mti huu, myafyeke matawi yake; yaondoeni majani yake na kuyatawanya matunda yake. Wanyama na wakimbie kutoka chini yake na ndege waondoke kutoka matawi yake.
Tas sauca ar spēku un sacīja tā: nocērtiet to koku un apcērtiet viņa zarus un noplūciet viņa lapas un izkaisiet viņa augļus, lai zvēri apakš viņa aizbēg un putni no viņa zariem aizskrien.
15 Lakini acheni kisiki chake na mizizi, kikiwa kimefungwa kwa chuma na shaba, kibaki ardhini, kwenye majani ya kondeni. “‘Mwacheni aloweshwe na umande wa mbinguni, naye aachwe aishi pamoja na wanyama miongoni mwa mimea ya dunia.
Bet to celmu ar saknēm atstājiet zemē, bet vara un dzelzs pinekļos, lauka zālē, lai viņš no debess rasas top slacināts, un viņa daļa lai ir kā lopiem zāle laukā.
16 Akili yake na ibadilishwe kutoka ile ya mwanadamu na apewe akili ya mnyama, mpaka nyakati saba zipite juu yake.
Viņa sirds lai top pārvērsta, ka vairs nav cilvēka sirds, un lopa sirds lai viņam top dota, kamēr septiņi laiki paiet pār viņu.
17 “‘Uamuzi huu umetangazwa na walinzi, hukumu imetangazwa na watakatifu, ili walio hai wajue kuwa Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme zote za wanadamu, naye humpa yeyote amtakaye na kumtawaza juu yake hata yeye aliye mnyonge sana miongoni mwa wanadamu.’
Tas ir to sargu padoms, kas top sludināts, to svēto spriedums ir tā lieta; lai, kas dzīvo, atzīst, ka tam Visuvaldītājam vara ir pār cilvēku valstību, un viņš to dod, kam gribēdams, un pār to ieceļ to zemāko starp cilvēkiem.
18 “Hii ndiyo ndoto niliyoipata mimi, Mfalme Nebukadneza. Sasa Belteshaza, niambie maana yake, kwa maana hakuna hata mmoja wa wenye hekima katika ufalme wangu anayeweza kunifasiria. Bali wewe waweza, kwa sababu roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako.”
Šo sapni es, ķēniņš Nebukadnecars, esmu redzējis. Tu tad, Beltsacar, izstāsti to, tādēļ ka visi manas valsts gudrie man to nevar izstāstīt, bet tu to gan māki, tāpēc ka svēto dievu gars ir iekš tevis.
19 Ndipo Danieli (aliyeitwa pia Belteshaza) alipofadhaika sana kwa muda, nayo mawazo yake yakamtia hofu. Basi mfalme akasema, “Belteshaza, usiruhusu ndoto wala maana yake kukutia hofu.” Belteshaza akamjibu, “Bwana wangu, laiti ndoto hii ingehusu adui zako, na maana yake iwahusu watesi wako!
Tad Daniēls, kam Beltsacars vārdā, iztrūcinājās vienu stundu, un viņa domas viņu izbiedēja. Tad ķēniņš iesāka un sacīja: Beltsacar, lai tas sapnis un viņa izstāstīšana tevi neizbiedē. Beltsacars atbildēja un sacīja: mans kungs, šis sapnis lai notiek taviem ienaidniekiem un viņa izstāstīšana taviem pretiniekiem!
20 Mti uliouona, uliokua ukawa mkubwa na wenye nguvu, nayo ncha yake ikagusa anga na kuonekana duniani kote,
Tas koks, ko tu esi redzējis tik lielu un resnu, un kura augstums sniedzās līdz debesīm, un kas bija redzams pa visu pasauli,
21 ukiwa na majani ya kupendeza na matunda mengi, ukitoa chakula kwa wote, na ukiwapa hifadhi wanyama wa kondeni na kuwa mahali pa viota katika matawi yake kwa ajili ya ndege wa angani.
Un kura zari skaisti, un kam bija daudz augļu, un kur barība bija priekš visiem, apakš tā lauka zvēri dzīvoja, un kura zaros putni apakš debess ligzdas taisīja, -
22 Ee mfalme, wewe ndiwe ule mti! Umekuwa mkubwa na mwenye nguvu, nao ukuu wako umekua mpaka kufika juu angani, nayo mamlaka yako yameenea mpaka miisho ya dunia.
Tas tu esi, ķēniņ, kas palicis liels un stiprs, jo tava augstība ir tā augusi, ka tā sniedzās līdz debesīm, un tava valstība iet līdz pasaules galam.
23 “Ee mfalme, wewe ulimwona mlinzi, aliye mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni na kusema, ‘Ukateni mti na kuuangamiza, lakini kiacheni kisiki kikiwa kimefungwa kwa chuma na kwa shaba, kwenye majani ya kondeni, wakati mizizi yake inabaki ardhini. Mwacheni aloweshwe na umande wa mbinguni, mwacheni aishi kama wanyama pori mpaka nyakati saba zipite juu yake.’
Ka nu ķēniņš vienu sargu, vienu svētu, redzējis no debesīm nākam un sakām: nocērtiet to koku un samaitājiet viņu, bet atstājiet to celmu ar saknēm zemē, bet vara un dzelzs pinekļos laukā zālē, ka viņš no debess rasas top slacināts, un viņa daļa lai ir ar lopiem uz lauka, tiekams septiņi laiki pār viņu paiet; -
24 “Ee mfalme, hii ndiyo tafsiri, na hii ni amri ya Aliye Juu Sana aliyoitoa dhidi ya bwana wangu mfalme:
Šī ir tā izstāstīšana, kungs ķēniņ, un šis ir tā Visuaugstākā padoms, kas nāks pār manu kungu, ķēniņu:
25 Wewe utafukuzwa mbali na wanadamu, nawe utaishi pamoja na wanyama pori; utakula manyasi kama ngʼombe, na kuloana kwa umande wa mbinguni. Nyakati saba zitapita juu yako, mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme za wanadamu, naye humtawaza yeyote amtakaye.
Tu tapsi izstumts no cilvēkiem un dzīvosi pie lopiem laukā, un tev dos ēst zāli kā vēršiem, un debess rasa tevi slacinās, un septiņi laiki paies pār tevi, tiekams tu atzīsti, ka tam Visuaugstākam vara ir pār cilvēku valstīm, tās dot, kam Viņš grib.
26 Amri ya kuacha kisiki pamoja na mizizi yake inamaanisha kwamba ufalme wako utarejezwa kwako utakapokubali kwamba Mbingu ndizo zitawalazo.
Bet kā ir sacīts, lai to celmu ar tā koka saknēm atstāj zemē: tava valsts tev pastāvēs, kad būsi atzinis, ka tas debesu Dievs valda.
27 Kwa hiyo, ee mfalme, uwe radhi kupokea shauri langu: Acha dhambi zako kwa kutenda yaliyo haki, ukaache uovu wako, na uwe na huruma kwa walioonewa. Hivyo itawezekana baada ya hayo, mafanikio yako yakaendelea.”
Tādēļ, kungs ķēniņ, lai tev mans padoms patīk, un atsvabinājies no saviem grēkiem caur taisnību un no saviem noziegumiem caur žēlastību pret nabagiem, redzi, vai varbūt tava labklāšanās nepastavēs vēl ilgāki. -
28 Haya yote yalimpata Mfalme Nebukadneza.
Tas viss uzgāja ķēniņam Nebukadnecaram.
29 Miezi kumi na miwili baadaye, mfalme alipokuwa akitembea juu ya paa la jumba la kifalme la Babeli,
Jo pēc divpadsmit mēnešiem, kad Viņš staigāja ķēniņa pilī Bābelē,
30 alisema, “Je, huu si Babeli mji mkuu nilioujenga kama makao ya kifalme, kwa uwezo wangu mkubwa, na kwa ajili ya utukufu wa enzi yangu?”
Tad viņš, tas ķēniņš, runāja un sacīja: vai šī nav tā lielā Bābele, ko es esmu uztaisījis ķēniņam par mājokli caur savas varas stiprumu un par savas augstības godību?
31 Maneno hayo yalikuwa bado katika midomo yake wakati sauti ilipokuja kutoka mbinguni, ikisema, “Mfalme Nebukadneza, hiki ndicho kilichoamriwa kwa ajili yako: Mamlaka yako ya ufalme yameondolewa kutoka kwako.
Šis vārds vēl bija ķēniņa mutē, tad balss no debesīm krita: tev, ķēniņ Nebukadnecar, top sacīts: tava valdība no tevis ir atņemta,
32 Utafukuzwa mbali na wanadamu, ukaishi pamoja na wanyama pori, na utakula manyasi kama ngʼombe. Nyakati saba zitapita juu yako, mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme za wanadamu, naye humtawaza yeyote amtakaye.”
Un tu no cilvēkiem tapsi izstumts un tava dzīve būs pie lopiem laukā, tev dos zāli ēst kā vēršiem, un tā paies septiņi laiki, tiekams tu atzīsti, ka tam Visuaugstākam vara ir pār cilvēku valstīm, un viņš tās dod kam gribēdams.
33 Papo hapo yale yaliyokuwa yamesemwa kuhusu Nebukadneza yakatimia. Alifukuzwa mbali na wanadamu, akala majani kama ngʼombe. Mwili wake uliloweshwa kwa umande wa mbinguni mpaka nywele zake zikakua kama manyoya ya tai na kucha zake kama makucha ya ndege.
Tai pašā stundā šis vārds notika par Nebukadnecaru, un viņš no cilvēkiem tapa izstumts un ēda zāli kā vērši, un viņa miesas no debess rasas tapa slacinātas, tiekams viņa mati auga kā ērgļu spalvas un viņa nagi kā putnu nagi.
34 Mwisho wa huo wakati, mimi Nebukadneza, niliinua macho yangu kuelekea mbinguni, nazo fahamu zangu zikanirudia. Ndipo nikamsifu Yeye Aliye Juu Sana, nikamheshimu na kumhimidi yeye aishiye milele. Utawala wake ni utawala wa milele; ufalme wake hudumu kutoka kizazi na kizazi.
Un pēc šā laika es, Nebukadnecars, pacēlu savas acis pret debesīm, jo mana saprašana man nāca atpakaļ, un es teicu to Visuaugstāko un slavēju un pagodināju to, kas dzīvo mūžīgi, tāpēc ka Viņa valdība ir mūžīga valdība, un Viņa valstība paliek līdz radu radiem.
35 Mataifa yote ya dunia yanahesabiwa kuwa si kitu. Hufanya kama atakavyo kwa majeshi ya mbinguni, na kwa mataifa ya dunia. Hakuna anayeweza kuuzuia mkono wake au kumwambia, “Umefanya nini wewe?”
Un visi zemes iedzīvotāji ir tā kā nekas, un Viņš dara pēc sava prāta ar debesu spēku un ar zemes iedzīvotājiem, un neviena nav, kas Viņa roku varētu aizturēt, vai uz Viņu sacīt: ko Tu dari?
36 Wakati huo huo fahamu zangu ziliponirudia, nikarudishiwa heshima yangu na fahari yangu kwa ajili ya utukufu wa ufalme wangu. Washauri wangu na wakuu wangu walikuja kunitafuta, nami nikarudishwa kwenye kiti changu cha ufalme hata nikawa mkuu kuliko mwanzoni.
Tanī laikā mans prāts man nāca atpakaļ ir mana valsts godība, mana augstība un mans spožums man nāca atpakaļ un mani runas kungi un varenie mani meklēja un es atkal tapu iecelts savā valstībā, un dabūju vēl lielāku godību.
37 Basi mimi, Nebukadneza, humhimidi, na humtukuza na kumsifu Mfalme wa mbinguni, kwa sababu kila kitu afanyacho ni haki, na njia zake zote ni adili. Nao waendao kwa kiburi anaweza kuwashusha.
Nu es, Nebukadnecars, slavēju un paaugstināju un pagodināju to debesu Ķēniņu, jo visi Viņa darbi ir patiesība un Viņa ceļi taisnība, Viņš ir varens, tos pazemot, kas lepnībā staigā.

< Danieli 4 >